Video není dostupné.
Omlouváme se.

Jeshi la DRC lathibitisha kuchukuliwa kwa mji wa Bunagana.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2022
  • DRC Fishing Nets
    Moja ya njia kubwa za kupambana na malaria ni kutumia vyandarua kujikinga na mbu. Hata hivyo baadhi ya wakazi wa vijiji vya mwambao wa ziwa Tanganyika na ziwa Kivu nchini DRC wamekuwa wakitumia vyandarua kuvulia samaki ama kukausha dagaa kitu ambacho ni hatari kwa afya ya binadamu. Mwandishi wetu wa Kinshasa Byobe Malenga ana ripoti kamili.
    Jan 6 Hearing
    Uchunguzi kuhusiana na shambulizi la jengo la bunge la Januari 6 mwaka jana umeanza tena wiki hii, wakati baadhi ya mashahidi wakitoa maelezo yao hadharani. Wajumbe wa kamati ya bunge wanamtuhumu rais wa zamani Donald Trump kwa kuendeleza madai ya uwongo kuhusu wizi wa kura wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, licha ya onyo kutolewa na washauri wake wa karibu. Mwandishi wa bunge wa VOA Katherine Gypson ametuandalia ripoti inayosimuliwa hap ana Abdushakur Aboud .
    Health Covid 19 Vaccine for Kids
    Leo katika afya tunaangazia chanjo za Covid kwa watoto nchini Marekani. Tathmini iliyofanywa maafisa wa afya wa serikali inasema kwamba chanjo za Covid 19 za Pfizer zinaonekana ni salama na zinafanya kazi kwa watoto wa chini ya miaka 5, ni kundi pekee ambalo hivi sasa halistahili kwa chanjo. Wiki iliyopita, shirika la mpango wa chakula na dawa FDA ilichapisha tathmini kama hiyo kwa chanjo za Moderna kwa watoto chini ya miaka 6. Khadija Riyami anaisoma ripoti kamili.

Komentáře •

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před 2 lety +2

    Yani Rwanda imekuwa urusi inatwaa miji na ardhi na nchi jirani hii Ni hatari kubwa kwa dunia na huu Ni mwanzo2. tutashudia mengi.

    • @yussuphsaleh767
      @yussuphsaleh767 Před 2 lety

      Ukuwaji wa uchumi wa Rwanda unategemea sana uporaji wa madini kutoka congo..kagame anaishi kwa uporaji wa mali ya asili ya congo na kupata nguvu ya kuendeleza udicteta wake wa kuwakandamiza wapinzani wake wa kisiasa

  • @volontemph9773
    @volontemph9773 Před 2 lety

    Shukrani dada kwa habari hizi, jina ni volonté mapenzi Huruma toka nyamatovu mtaani masisi, leo niko Goma mjimkuu wajimbo la kivu ya kaskazini RDC

  • @nzengiyunvainnocent
    @nzengiyunvainnocent Před rokem +1

    minasapatiserekaliwetunaraiswetu kwampangohiyo

  • @MasimangoLulonga
    @MasimangoLulonga Před 4 měsíci

    Jambo mtagazaji iyo rwandaina ukubwa wa ainagani yakuchukua wakimbizi wanaoishi ulaya kwanza wanainchiwake wanadai wanateseke wakimbizi hao wata tateseka bureuko kama kunakiginesawa kwailo nihuogo mtupu

  • @mugishasilver8406
    @mugishasilver8406 Před 2 lety +1

    Rwandaimezidi kuoneya mukongomani

  • @jjmanwa6573
    @jjmanwa6573 Před 2 lety +1

    Hii Congo... muache kuwuwa Wanyamurenge... watutsi wa north kivu, wahima....
    Mugombane na M23. Peke... muache kuuwa kiholela ... wacongomani... Hao
    Asanti...

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 2 lety +1

    Bajeti ya Tanganyika so Tanzania

    • @sbboymkaliofficial9108
      @sbboymkaliofficial9108 Před 2 lety +1

      Acha ugonvi unataka kufufua makabur 🤣🤣🤣

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Před 2 lety +1

      @@sbboymkaliofficial9108 😁😅😅yeye anasema bajeti ya Tanzania wakati hakuna kitu hata kimoja alokitaja kitafanyika Zanzibar katika hiyo Bajeti mambo yote alotaja ya Tanganyika Sasa bajeti ya Tanzania vipi Or wewe umeonaje hiyo bajeti ya Tanzania or Tanganyika 🤣🤣😅

  • @donmlevi
    @donmlevi Před 2 lety

    Poa poa Mary Mgawe

  • @yussuphsaleh767
    @yussuphsaleh767 Před 2 lety +1

    Trump alikuwa ni rais mbaya kutokezea katika historia ya marekani alikuwa ni rais jeuri ,mbaguzi, anakiburi lakini kwasababu ya katiba nzuri ya marekani aliweza kudhibitiwa