Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
THANKS FOR WATCHING THE KENYAN PRINCE ON CELEB RIDE!
Always watching your shows and they are on another level bro Amazing sana always your fan 2mbili
120k ya kusomeshwa plus 30k ya kuinvest kwa forex😂😂...mimi tangu 2021 hady wah leo bado sijaomoka buana bado tunakazana na news za inflation📈😂
At least ukae kama hizo pesa unamake
Mombasa to Nairobi 3h ata SRG haiendi hivo hii pressure inafanya many men weak 🤣🤣🤣🤣
Huyu kijana anatupima bana
😂😂😂😂😂
Sanaa mwanangu 2mbili💥👊
Actually this guy hana ata iyo kiburi inaongelelewa.... he seems so cool and full of knowledge
Mnasema ukora kidogo😅😅😅
Tafuta carnversations .. Erick alisema watu wakona ma b4 na g4 waende drag test na gari flani ya kitambo 😂😭
He is my guy...... inakaa hiyo gari imemdrain. Kula poa......kunywa maji bro.....congrats baba......
Amazing celeb ride ❤️🔥❤️🔥❤️🔥 please 2mbili tuletee Dorea chege celeb ride ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
The guy is making moves bana🥰🔥 nice show tumbili
hapo sawa leta mavideo tutawatch
Him: I've been driving for the past 3 yrs.Him again: nilikua naishi streets 2021 bro..Lol
He could have been driving street girls crazy. Hii ni mbwembwe wacha bijana bya gisii wachemuse maneno
ALAFU AKULE FOOD ANAKAA EMACIATED AND DEHYDRATED
willy paul awezi fanya subaru😂
Willy Paul hawezi bebwa na kichwa mbaya kama weww
Amazing sanaa watu wangu 🔥🔥 keep them coming 🔥🔥
G4 is actually worth 1.4m to 1.7m
True
Wewe uko Na gani ??
@@mentay675 b4
Si aty nini G4 si 2.7 wueh
Which G4 are you talking about bro 2.7m actually best price
tumbili na grow😂😂😂
Ambia huyo jamaa hiyo yake ndio chura, it's a small car
Watu wanasema amekonda, kijana bado n mdogo hiyo kifua itafunguka with time. Atanona tu.
Proud for Kenyan Prince wakisii na skills za FX 💪
Hii ni 15k ya training 😂😂🤣
Pale Mombasa g4 bei iko Sawa,sio 2.7m....na juzi alionekana akitoka na gari lipya mitaa ya Mombasa 🤣🤣🤣hatutaji wapi ...
Ati tugari tudogo kama panya🤔 Pozze all the way
eeh that price is 2.7m....watu si wajinga bwanaa
Aifiki mita mbili 🤣🤣
iyo n forester xt 2015 with the same milleage ya 99000km
20 years ama 27,si Ni neighbor wangu😂😂
Banaaa heri angenunuaa forester basii😂😂😂
Aligongwa 😂 bei
Tumbili tuletee Pluto🔥
Gari ya 1.6 -1.8mtu anasema 2.7🤣🤣🤣🤣 otherwise congratulations
Ndio nashagaa 😂😂
Congratulations bro, I follow you from today.
Nimewakilisha watu wa Moshaza 22
Subaru G4 ranges from 1.5-1.7m...watu si wajinga bana..
@@OGM375 true
Ssi to bdo ndio tnampea moods see him now wow cangrats
Next mkisii naomoka hizi streets 2mbili n mm nipee time
Huyu jamaa the more he becomes rich the more anakonda Hadi uso.
😂😂😂😂😂😂
Watu sio wajinga buana😂...Umesukumwa
Hii gari ni ya 1.4 ikienda sana.. 2.7m to 3m?? atleast mngeuliza mwenyewe its value 😂😂
😁😂😂😂😂mwenyewe so sio mwenyewe
Willy Paul Msafi ako na magari hawezi itajii lift
Gari ni ya beshteake flani anaitwa Kamah. Yaani content creators mko na jokes sana. Si basi angefanya background check ya bei 😂😂. Wah
aaai msee kuwa serious😂😂😂...uskii alilipa 130kplus 30k investing kwa forex kijana akaomoka😂
@@ronniedaniel3616 masaa ni machache bro
Value for ur money
Hio doh ya kubuy gari angekula kula kwanza anonee joh
Was that caption necessary 😂😂😂
tangu lini Subaru Impreza G4 2014 model ikakuwa 2.7m 😂 2.7m ni bei ya Subaru Forester 2015
Hawa wakisii ni wakora.
Never judge a book by its cover ... C mm nilisemanga.... Anyway... Congrats Kenyan price 👏
🤣🤣🤣 ati Hadi wazee wote wa mafuta wanadance wee funny bana
Yaani hata cc ya gari unacheat🤣
hatuskii hata power ya music system ni tumbili anaperform
Anyone who hates willy paul is my enemy
Mbona tunafanana🤣🤣
Kaskie vibya na huko kwenyu
umesema JJ tight whatttt😂😂😂😂
Hii gari aifiki 2M watu c wajinga bwana 🤣🤣🤣
Very true
This car is worth 2.8
Haifiki ni 1.6-1.8😅😅
Wapi yako😂
2.7m 😂😂😂😂 2000cc 😂😂😂😂😂 wacheni kutubeba ujinga
2.7M for a G4 is a NO
Walai aki hapo ametupima
@@rayvonnjiriri9887 hiyo bei ni ya sabaru wrx ya 2015 hapo ametupima
@@traveldroll9159 walai tena wueh
ETI 2.7MILLION.THESE CON BOYS SHOULD ASK WHAT ISKSH. 2.7M?THAT CAR IS BASIC GOES FOR 1.4M
G4 is the cheapest of Subaru sedans, 1.4M is even overpriced
Wallahi... ask me .haifiki anything close to that
Kama SGR ni 6 hours na gari acha za ovyo bro
G4 is 1.4m
2mbili usikuwe unadanganywa banaaa
Co driver knows all the routes...🤣
Huyu ataleta aibu kwa club ya Subaru....Kwanza wewe 2mbili unakubali aje achomee aje Subaru Boyz ukiwa chairman wa Subaru ...lazima upigwe fine ya 230bob🤣🤣
Congratulations are in order man prince
Ati kafukuswii Hanaga shida 😂😂😂
My Gem 💎💞💞💞
2.7 to 3.1 is a mark X teritory for G 4 isa no anyway congrats to him
Kijana mwongo sana Ati 2.7M🤣🤣🤣🤣
This is liiit for real Kenyan prince
Wakisii na ushamba lazima apanue meno ndo tuone braces,bytha you should not hate willy paul he is my mentor
Kipchoge mdogoo
Ile uongo iko kwa hii vedio ogopa
How is an imprezza G4 worth 2.7-3M ?
In kenyan market it is around 1.7m anyway congrats to him that is achievement
Ati 😂 alinunuwa gari ju ya speed bro u don't know what u are saying
Uyo ata vile anaongelele magari za watu ni kiburi tu umangaa ya pesa nane
🔥
Subaru G4 at 2.7M 🤔🤔🤔 it's 1.5 ata
huyu ndio ng'ombe no one
Kijana mjinga
uwoga ndio ako nayo mingi bado
Obinna toxic masculinity,,mwanaume unatuma aje mwanaume mwenzako emoji
This guy wants to scam people. Best knowledge on Forex is to learn by your own
Aende apimp ikae gari🙂
Mombasa had Nairobi 3hrs 😂😂😂😂
Anatumiangsa expressway na haijuii
The ninja anauliza hadi entrance
2mbili wewe ni msimple lakini huyu mkisii kiburi mingi na kuita watu ng'ombe
2.7 m??issa big No..thats the price of an STI
Hahaha eti sti...kwisha mm
@@famaousmuturi6669 sti(subaru technica international) with horsepower of around 305 .. hatchback/sedan 2012/2013 models
KRG alisema unakuwa na kiburi kaa uko na kakitu huwezi kuwa na kiburi kaa huna kitu so kuwa na kiburi sioni kaa n mbaya
3hours 😂😂😂😂 zima io kitu😂😂😂👋
Kwani ni ndenge?😂😂😂
Nice one,Leo nipitieni pia Mimi mnifikishie 500 so u scribers please
Method 😅 who else heard
2.7M?? Kwani ni forester ?
2.7m for a G4😮. Si heri angechukua a VX or WRX
Gari haina paddle shifters hata
no hate its 1.3m...b4 its 2.5m
2.7 for a G4 is a total lie plus Subaru is a Japanese model not a Chinese model
POZEE hawezi panda SUBENYEE yeye Hucheza na Mercedes buda
Kenya prence I need to talk with
Kila mtu ni forex trader
SUBARU is Japanese model not a CHINESE model men
Uongo bwana
ati mnasema huyu kijana anafanya kazi gani
Kiongozi tutafutie man stevie nimeona ako na mnyama.
Hizi masiku hauko consistent mbona, should I buy your CZcams?
Just create yours! Single Parent hood is draining me
@@2mbili1 😂 ashuke 🤕🚒
Vijana Mtafute pesa!
2mbili kwani huyo jamaa ananyimwa chakula
Huyo jamaa Ako na depression si kawaida
🤣🤣🤣🤣
@@plangatkirui tuongee tu ukweli exprnce is the best teacher
Willy Paul himself can't ride with u..
Tafuta calvindesouza buana
Na uonyeshe magari zote
😂😂😂😂😂😂fake it till you make it.
THANKS FOR WATCHING THE KENYAN PRINCE ON CELEB RIDE!
Always watching your shows and they are on another level bro Amazing sana always your fan 2mbili
120k ya kusomeshwa plus 30k ya kuinvest kwa forex😂😂...mimi tangu 2021 hady wah leo bado sijaomoka buana bado tunakazana na news za inflation📈😂
At least ukae kama hizo pesa unamake
Mombasa to Nairobi 3h ata SRG haiendi hivo hii pressure inafanya many men weak 🤣🤣🤣🤣
Huyu kijana anatupima bana
😂😂😂😂😂
Sanaa mwanangu 2mbili💥👊
Actually this guy hana ata iyo kiburi inaongelelewa.... he seems so cool and full of knowledge
Mnasema ukora kidogo😅😅😅
Tafuta carnversations .. Erick alisema watu wakona ma b4 na g4 waende drag test na gari flani ya kitambo 😂😭
He is my guy...... inakaa hiyo gari imemdrain. Kula poa......kunywa maji bro.....congrats baba......
Amazing celeb ride ❤️🔥❤️🔥❤️🔥 please 2mbili tuletee Dorea chege celeb ride ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
The guy is making moves bana🥰🔥 nice show tumbili
hapo sawa leta mavideo tutawatch
Him: I've been driving for the past 3 yrs.
Him again: nilikua naishi streets 2021 bro..
Lol
He could have been driving street girls crazy. Hii ni mbwembwe wacha bijana bya gisii wachemuse maneno
ALAFU AKULE FOOD ANAKAA EMACIATED AND DEHYDRATED
willy paul awezi fanya subaru😂
Willy Paul hawezi bebwa na kichwa mbaya kama weww
Amazing sanaa watu wangu 🔥🔥 keep them coming 🔥🔥
G4 is actually worth 1.4m to 1.7m
True
Wewe uko Na gani ??
@@mentay675 b4
Si aty nini G4 si 2.7 wueh
Which G4 are you talking about bro 2.7m actually best price
tumbili na grow😂😂😂
Ambia huyo jamaa hiyo yake ndio chura, it's a small car
Watu wanasema amekonda, kijana bado n mdogo hiyo kifua itafunguka with time. Atanona tu.
Proud for Kenyan Prince wakisii na skills za FX 💪
Hii ni 15k ya training 😂😂🤣
Pale Mombasa g4 bei iko Sawa,sio 2.7m....na juzi alionekana akitoka na gari lipya mitaa ya Mombasa 🤣🤣🤣hatutaji wapi ...
Ati tugari tudogo kama panya🤔 Pozze all the way
eeh that price is 2.7m....watu si wajinga bwanaa
Aifiki mita mbili 🤣🤣
Aifiki mita mbili 🤣🤣
iyo n forester xt 2015 with the same milleage ya 99000km
20 years ama 27,si Ni neighbor wangu😂😂
Banaaa heri angenunuaa forester basii😂😂😂
Aligongwa 😂 bei
Tumbili tuletee Pluto🔥
Gari ya 1.6 -1.8mtu anasema 2.7🤣🤣🤣🤣 otherwise congratulations
Ndio nashagaa 😂😂
Congratulations bro, I follow you from today.
Nimewakilisha watu wa Moshaza 22
Subaru G4 ranges from 1.5-1.7m...watu si wajinga bana..
@@OGM375 true
Ssi to bdo ndio tnampea moods see him now wow cangrats
Next mkisii naomoka hizi streets 2mbili n mm nipee time
Huyu jamaa the more he becomes rich the more anakonda Hadi uso.
😂😂😂😂😂😂
Watu sio wajinga buana😂...Umesukumwa
Hii gari ni ya 1.4 ikienda sana.. 2.7m to 3m?? atleast mngeuliza mwenyewe its value 😂😂
😁😂😂😂😂mwenyewe so sio mwenyewe
Willy Paul Msafi ako na magari hawezi itajii lift
Gari ni ya beshteake flani anaitwa Kamah. Yaani content creators mko na jokes sana. Si basi angefanya background check ya bei 😂😂. Wah
aaai msee kuwa serious😂😂😂...uskii alilipa 130kplus 30k investing kwa forex kijana akaomoka😂
@@ronniedaniel3616 masaa ni machache bro
Value for ur money
Hio doh ya kubuy gari angekula kula kwanza anonee joh
Was that caption necessary 😂😂😂
tangu lini Subaru Impreza G4 2014 model ikakuwa 2.7m 😂
2.7m ni bei ya Subaru Forester 2015
Hawa wakisii ni wakora.
Never judge a book by its cover ... C mm nilisemanga.... Anyway... Congrats Kenyan price 👏
🤣🤣🤣 ati Hadi wazee wote wa mafuta wanadance wee funny bana
Yaani hata cc ya gari unacheat🤣
hatuskii hata power ya music system ni tumbili anaperform
Anyone who hates willy paul is my enemy
Mbona tunafanana🤣🤣
Kaskie vibya na huko kwenyu
umesema JJ tight whatttt😂😂😂😂
Hii gari aifiki 2M watu c wajinga bwana 🤣🤣🤣
Very true
This car is worth 2.8
Haifiki ni 1.6-1.8😅😅
Wapi yako😂
2.7m 😂😂😂😂 2000cc 😂😂😂😂😂 wacheni kutubeba ujinga
2.7M for a G4 is a NO
Walai aki hapo ametupima
@@rayvonnjiriri9887 hiyo bei ni ya sabaru wrx ya 2015 hapo ametupima
@@traveldroll9159 walai tena wueh
ETI 2.7MILLION.THESE CON BOYS SHOULD ASK WHAT ISKSH. 2.7M?
THAT CAR IS BASIC GOES FOR 1.4M
G4 is the cheapest of Subaru sedans, 1.4M is even overpriced
Wallahi... ask me .haifiki anything close to that
Kama SGR ni 6 hours na gari acha za ovyo bro
G4 is 1.4m
2mbili usikuwe unadanganywa banaaa
Co driver knows all the routes...🤣
Huyu ataleta aibu kwa club ya Subaru....Kwanza wewe 2mbili unakubali aje achomee aje Subaru Boyz ukiwa chairman wa Subaru ...lazima upigwe fine ya 230bob🤣🤣
Congratulations are in order man prince
Ati kafukuswii Hanaga shida 😂😂😂
My Gem 💎💞💞💞
2.7 to 3.1 is a mark X teritory for G 4 isa no anyway congrats to him
Kijana mwongo sana Ati 2.7M🤣🤣🤣🤣
This is liiit for real Kenyan prince
Wakisii na ushamba lazima apanue meno ndo tuone braces,bytha you should not hate willy paul he is my mentor
Kipchoge mdogoo
Ile uongo iko kwa hii vedio ogopa
How is an imprezza G4 worth 2.7-3M ?
In kenyan market it is around 1.7m anyway congrats to him that is achievement
Ati 😂 alinunuwa gari ju ya speed bro u don't know what u are saying
Uyo ata vile anaongelele magari za watu ni kiburi tu umangaa ya pesa nane
🔥
Subaru G4 at 2.7M 🤔🤔🤔 it's 1.5 ata
huyu ndio ng'ombe no one
Kijana mjinga
uwoga ndio ako nayo mingi bado
Obinna toxic masculinity,,mwanaume unatuma aje mwanaume mwenzako emoji
This guy wants to scam people. Best knowledge on Forex is to learn by your own
Aende apimp ikae gari🙂
Mombasa had Nairobi 3hrs 😂😂😂😂
Anatumiangsa expressway na haijuii
The ninja anauliza hadi entrance
2mbili wewe ni msimple lakini huyu mkisii kiburi mingi na kuita watu ng'ombe
2.7 m??issa big No..thats the price of an STI
Hahaha eti sti...kwisha mm
@@famaousmuturi6669 sti(subaru technica international) with horsepower of around 305 .. hatchback/sedan 2012/2013 models
KRG alisema unakuwa na kiburi kaa uko na kakitu huwezi kuwa na kiburi kaa huna kitu so kuwa na kiburi sioni kaa n mbaya
3hours 😂😂😂😂 zima io kitu😂😂😂👋
Kwani ni ndenge?😂😂😂
Nice one,Leo nipitieni pia Mimi mnifikishie 500 so u scribers please
Method 😅 who else heard
2.7M?? Kwani ni forester ?
2.7m for a G4😮. Si heri angechukua a VX or WRX
Gari haina paddle shifters hata
no hate its 1.3m...b4 its 2.5m
2.7 for a G4 is a total lie plus Subaru is a Japanese model not a Chinese model
POZEE hawezi panda SUBENYEE yeye Hucheza na Mercedes buda
Kenya prence I need to talk with
Kila mtu ni forex trader
SUBARU is Japanese model not a CHINESE model men
Uongo bwana
ati mnasema huyu kijana anafanya kazi gani
Kiongozi tutafutie man stevie nimeona ako na mnyama.
Hizi masiku hauko consistent mbona, should I buy your CZcams?
Just create yours! Single Parent hood is draining me
@@2mbili1 😂 ashuke 🤕🚒
Vijana Mtafute pesa!
2mbili kwani huyo jamaa ananyimwa chakula
Huyo jamaa Ako na depression si kawaida
🤣🤣🤣🤣
@@plangatkirui tuongee tu ukweli exprnce is the best teacher
Willy Paul himself can't ride with u..
Tafuta calvindesouza buana
Na uonyeshe magari zote
😂😂😂😂😂😂fake it till you make it.