❤Uigizaji mzuri lakini maudhui ya film sijayapenda. Nimependa sana uwezo wa BIBI, anakipaji kikubwa sana cha uigizaji kama vile msanii aliyepitia chuo cha KAOLE tangu ujana wake. ❤❤❤❤ hongera nyingi kwa bibi anaonesha anauwezo wa kuigiza nje ya kuelekezwa na Director anauwezo wake....
Bwana mimi napatikana DRC Congo Kinshasa, naisapoti kazi yenu tano juu ya tano. ila kitu kimoja ni mko nagawisha sana kwakutuo Ep nyingine. Nibora muwe natoa kisha siku tatu mmetoa apo itakuwa poa ama siku nne. Vraiment félicitations est bonne Contuiniteé à vs. J'aime beaucoup MFINANGA et MZEE DOKO
KESHO KUTWA GOD AKI BLESS NAACHIA YA KUMI NA MBILI,
I PROMISE 🙏🏻.
InShaa'Allah
Inshaallah
Fanya hvyo mzee
Inshallah
Sawa kk mzee wakukaza buti
Movie ikichelewa sana inapoteza mvuto wake
Yani doko kikongwe umeua
Hii kali sana
Naombeni like zangu kwa doko na Sonia bi Chaka apa tujuane tinaefuatilia kikongwe kwanzia mwanzo hadi sasa
Hii move umeua mzee mzima doko
Wanao mkubali doko dondosha like hapa tujuane
Tunamkubali ila hvyo vinywele vyake anyoe vimekuwa kama kope
Recho unajua kuigiza san ❤
Doko doko mweh hyoo sasa mama yako anapelekewa 🔥🔥🔥🔥 ww upo msikiliza miliyo y mama Tena jamn anvyo pinduliwa pinduliwa
"Makumazan" AkA DOKO muamkie BABA ameokoa maisha ya Mama ...😂😂 Wenye Vipara tumecheka ..🤣
Bibi chaka shikamoo❤❤❤...uko sawa mama nakupenda Bure
Move kalii lakini munachelewesha kuitoa
Mnachelewa jamani mpaka tushasahau❤❤❤
Uyu kamote chiz😂😂😂😂
❤Uigizaji mzuri lakini maudhui ya film sijayapenda. Nimependa sana uwezo wa BIBI, anakipaji kikubwa sana cha uigizaji kama vile msanii aliyepitia chuo cha KAOLE tangu ujana wake. ❤❤❤❤ hongera nyingi kwa bibi anaonesha anauwezo wa kuigiza nje ya kuelekezwa na Director anauwezo wake....
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Jamn et blacklist 😂😂😂😂 nawapenda kinoma❤❤❤❤
Wow nimekuwa wa kwanza doko tunazidizi kulisongesha baba❤🎉
😂😂😂😂😂 bibi kapewa dozi mpaka ameridi mtoto mchanga miaka kumi na tatu santa bibi 😂😂
hakika tunakupenda sana burundi doko wenye vipara atuchekeshi tunapenda sana uyo msemo wako
Mfinanga kayakanyaga
Toka drc kalemie wa kwanza naombeni likes zangu dokoo naikubaliii
Wa kwanza hapa kutoka kenya✊🙌
Kwakweli niseme tu doko unaweza Sana kaza tu nakubali Sana kazi yako
,🎉and 😮a🎉😢]2]=×
Oyaaa eee oya eee leo nimewah mjue😂🎉🎉 kazi nzuri mmaendelea kuupiga mwingi👆👆👏
Kikongwee 😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naombeni like jamani wakwaza kuyiona gapa natoka Bd🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ongera saana kwa kazi nzuri mfinanga mungu akutanguliye kakangu❤
Waooo nilikuwa naifikiria mda si mrefu
Number one
Bwana mimi napatikana DRC Congo Kinshasa, naisapoti kazi yenu tano juu ya tano. ila kitu kimoja ni mko nagawisha sana kwakutuo Ep nyingine. Nibora muwe natoa kisha siku tatu mmetoa apo itakuwa poa ama siku nne. Vraiment félicitations est bonne Contuiniteé à vs. J'aime beaucoup MFINANGA et MZEE DOKO
La communauté congolaise 🇨🇩 vous dit merci pour le travail fourni ❤❤❤
Kingongwe upingaje hap mapenz shikamooo wallah bibi kishaliwa chezea ww
Situfunge kibaruhaa ao Vip bah bron
mashallah kikongwe anajihisi kama under 18😂😂😂 doko kubali mfinanga awe babako big love❤❤❤ from 🇸🇦 to 🇰🇪
Kama umegundua huyu kikofia cheusi ana muiga kicheeche gonga like
Nawakubali sana 💥💥💥💥💪
Tuna omba musicheleshe tena kikongwe part 12 kama vile mulichelewesha part 11, jamani kama muko pamoja Namimi mugonge like apa🎉🎉❤❤
Mwenyewe Vipara Hatuchekeshii Hata siku Moja...💪🏿
Leo kikongwe ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 pokea maua yako mapema 😂😂 Doko big up
Kweli
Wenye kipara hawachekeshi❤
Kazi zuli sana ila munachelewa sana ,nampenda sana buree pokey a mauwa yeno🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kaz nzur kka umeonexh big up xana 2naxubir vipande vijavyo 🎉🎉🎉🎉
Shida mnachelewesha sana
Umeweza broo
Napenda rafudhi ya Sonia alafu anavyoongea hatumii nguvu nyingi kama ataki vilee Sonia the best actress ❤🎉
Nakuhaidi doko ukinipa Sonia timu nzima nawakaribisha Zanzibar kula kila kitu kwangu
Aaaaahh matangazo mengi bnaa
Duh hilo ndiyo doko bwana
Bibi like zako dah kikongwe noma anatetema kma mayele baada yakupata kitu roho inapenda
Safy doko
Hadithi nzuri, wahusika wamevaa uhusika barabara
Naikubali filamu nzuri...kutoka congo lubumbashi
Uyu bibi mjinga kweli
Jamani mnatukosea mna tukawiza kutekeleza wajibu wenu nini mbaya
kaka doko umeua sana
😂😂😂😂😂😂 mimi kikongwe atanimaliza aki.. alipewa mapenzi na mfinanga akaskia msuri 😂😂😂
Kazi nzuri ila unachelewesha kazi san💐💐💐
Kazi mzuri inahitaji muda na maarifa. Ona vile clam anavyopata 250k views kwa masaa mawili tu kwa kipindi cha Snake boy.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sana ata Wana boo
KUSHACHANGAMKA SHABIKI YENU FROM DUBAI
Kutoka Kenya kazi nzuri dogo ila mnachelewa sana
Sonia kiukweli ni mschana mzuri sana kama msomalian
Kazi Suri xana doko wenye kipara atuchekeshi Ila una moyo
Tumeipokea kazi yenu kwa mikono miwili, "ni kazi nzuri"
Jaman muache yot leo tumpe like zake zot kikongwe leo
Je vous suivez a partir de la RDC la ville de Lubumbashi j'aime beaucoup votre film j vous encourage vraiment
Nakubali snaa ❤
Ubaya mnakalia sehemu Moja mpka ep inaisha namnavyochelewa
Hahahaha 🤣🤣 nakubali kazi ila bibi kasha nyanuduliwa bro unajiza tu bro naona umenjoy vitu 😂😂😂
Daaaah navuta picha kiukweli ukweli inakuaje na bibi
Blacklist😂😂😂,jomoni nyie mko vibyaaa kikazi ila ndio uzuri🎉🎉🎉🎉❤
AHSANT MUNGU 🙏🏻😍
Safi sana Makumazani kutoka🇲🇿
Kazi nzuri❤
Mm shabiki yake namba moja
Kazi nzur brother ❤❤❤
😢❤
Mkali mamboyanazidikua 🔥🔥🔥
Mumeupiga mwingi,,kip it up
😂😂😂😂😂, yaani Doko unakaa mlangoni mamako akiliwa?😂, tamu sana❤
Ipo Vzr Xan Ila Inabidi Apone Ten Kila Siku Aponi
Recho kafarikikule kafufuka huku😅😅
Mfinanga kaingia cha kike mamaeeh umu tuu umu tuu 😂😂😂😂😂👏👏👏
Wakwanza mim naombeni like zangu hapa🎉
Woooow noma sana
hadithi nzuri sana yani
Nimekua Wamwisho nip hata 1like jameni
Daaah ni nzur ila mwaichelewesha sanaaaa
Nahitaji 🎉🎉yangu me ndiyo wa kwanza jaman
Hahahhahha eti black list😂😂😂😂
Fundisho zuri ongeren team doko
Nimependa mfinanga,bibi na doko nouma sanah very talented..
Mbona mnatucheleweshea huu mzigo jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Movie Iko sawa lakini mnachelewesa jamani
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Oya eeee doko nafatilia sana mwanangu ujue
Muvi inachelewa Sana kutoka
Bongo wanajuwa tu sema kutoka ndio tunakaziana
Congrats! Kutoka ZANZIBARkazi nzr.
Doko nenda Kwa recho acha mama alivitu ww achaujinga hatariii soon ww Malaya kweli mfinaga pole San masikin
Mpo vzur sana ❤❤❤🎉🎉
Mlijaribu sana sasa mpaka lini tupate hiyo kumi na mbili
Simpendi uyo anae ongea ana mgeza kicheche
Awesome watching from Kenya 🇰🇪 ❤
🎉🎉🎉🎉nic Dj