A.I.C CHANGOMBE VIJANA CHOIR - MWILI WA KRISTO
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2013
- Subscribe to Wyld Pytch / 51 Lex: bit.ly/WyldSubs
Wyld Pytch / 51 Lex Records
Web - wyldpytch.com/
Instagram- wyldpytch51lex
Facebook - / 51lexrecords. .
Tiktok: / wyldpytch51lexrecords
Twitter - / wyldpytch - Hudba
Mie nabarikiwa katika wimbo huu na nyimbo zenu zote. Neema yake Mungu Baba izidi kujaa ndani yenu siku zote.AMINA
Congratulations aict chango'mbe Tanzania, nyimbo zenu ziko Sawa kabisa,barikiweni Wana choir wrote Wa hii kabisa,Ni Charles kyalo nyamai nikiwa Kenya Kitui county.asanteni.....
This choir has been blessing to me for long time and may Lord bless you greatly as you spread the word through your sweet songs.
Naipenda sana kwaya zenu bwana awabariki na awazidishie vipaji vyenu mzidi kumtukuza aliye juu
Amen amen barikiwa sana mtumishi wa mungu wimbo safi sana amen amen amen
I love your songs. Munatumia maandiko kutunga nyimbo zenu. mungu awapanue zaidi zaidi
Sote kwa pamoja tunamwabudu mungu amina saana
Barikiwa sana wimbo safi sana mtumishi wa mungu amen amen
Dini ya kweli ni ile inayosaidia kwa moyo wote. Mungu awabariki sana
Hadi raha kusikiliza neno la Mungu kwa njia ya nyimbo, Mungu awabariki na tuzidi kuitoa miili yetu kwa Bwana, tumtukuze kweli kweli, Ameen!!!!!!!!
Hongeren toka mby nawakubar sana natamani huduma yenu sana
Barikiwa sana wimbo safi sana amen amen
Sisi Ni mwili mmoja katika kristo
Mungu awabaliki sana akika nabalikiwa sana
uhuuuu, sisi Ni mwili Wa kristo, asanten Sana kwa kuhubir kwa njia ya wimbaji
Hongereni sana💯💯💯💯
akika mungu ni mwema wakila jambo,wimbo unanigusa
NAWASALIM KATIKA JINA BWANA YESU KRISTO .....NAAAM NAZIDI KUPATA UPAKO KUPITIA NYIMBO HIZI MBARIKIWE SANA AIC CHANG'OMBE
kwakwel mwenyez mungu aliwashukia utuz wenu wanyimbo bora na zenye ufundisho wa hari ya juu sana mwenyez mungu awarehe kwa utuz.
Aksante sana kwa kutoa album mupia nawapenda sana waimbaji wa choir aic chang'ombe vijana
May God continue to bless you AIC CHANG'OMBE CHOIR
mungu awabarik kufksh ujumbe ktk jamii kpitia nyimbo za injili
Mubarikiwe sana wimbo umenibariki hakika mungu ni mwema azid kuwabariki katka kaz ya wito wenu
2021 may 25 Still Am Receiving The blessings from this song 💯💯 mbarikiwe wote
Kweli sisi ni mwili wa KRISTO
the best choir in town kwa kumwimbia Mungu wako vzr
Kuna raha kusikiliza nyimbo ziletazo tumaini jipya na ondoleo la dhambi.
Mungu azidi kuwainua na kuwapa kibali mbele zake.
mbea
I appreciate you guys may God bless you
Excellente chanson, que l'éternel Dieu bénisse et protège toute la chorale.
Mbarikiwe sana waimbaji,tuzidi kueneza injili isonge mbele
hakika mschoke kuubiri yesu bado ana watayarishia Makao ya mimilele
Tujuane tunaoangalia nyimbo hii October 2019, nawapenda San Hawa waimbaji
Ilove their song changombe
Pamoja nanyi kuanzia zile.enzi za Vunja wapendwa
Very educative song. It is blessing my soul. God bless you
i love you people you have really mentored me musically
tushirikiane katika kumpinga shetani na mungu atutangulie mbarikiwe xn
i love their songs! God is great!
Mbarikiweee Waimbaji wa Bwanaa kama nilivyobarikiwaaa mm na huuu Wimbooo
mbarikiwe
Very good.The truth
I love this song. God bless your beautiful voices.
mungu awatangulie katika kaz yenu ya kumtumikia yeye
I love this choir really they bless me
Mung awabariki sana
mwili moja wakiristu wimbo umenikonga sana
hakika uumbaji Wa mungu unapendeza amina!!
Monttey Justine from Dubai PSL nasikiliza this song
ujumbe mzur kwa taiga la Mungu
Sollo nakupenda bure,hongera san
nyimbo zenu ni nzuri sana zinanibariki sana mungu aendelee kuwalinda nyote
ujumbe mzito kweli barikiweni.
a lovely song i love it dearly
nimebarikiwa na nyimbo zenu
hiyo sauti walai
uuuuuuuuuu
Safi sana vijana wa Jesus!!
I love all your songs
Safi sana vijana wa Jesus!
I congratulate you and be blessed.
God is Great
golden sounds God bless u all, keep us alive in Iraq.
Ndani ya 2-3-2021 hiyoooooooooooooo
2020 nko ndani,nani mwingine?
Kazi yenu ni njema sana.
Safi sana kwa ujumbe mzuri
mbarikiwe sana watumish
mbarikiwe sana na mungu awaongoze
Amna nyimbo vizur
Congratulation to CVC ,coz ur doing good
Nzuri nimeipenda
Mbarikiwe saana changombe
Safi sana vijana wa Jesus
wonderfuly song amina.
Mko vzuri,mbarkiwe atumishi wa bwana
mungu awabariki mko vizuri
your are songs is so nice
Raymond is the only one that is the best of
Kazi yenu ni njema
Encouraging.
Nakupenda wewe mama unae ongoza
l like your songs
nimebarikiwa sana
very nice n too creative
Sisi ni mwili wa kirsito
hakika dini ya kwel ni inayosaidia waitaji co kujigamba kwa maneno
ndiyo
ninawingi wa shuklani kwaajili ya wiimbaji wenu mko vzr
God bless u guys
Nyimbo nzur xn inanibariki
Hayupo
to God be Glory
mungu awabariki
Ubunifu mzuri
Apo sawa vijana was mola
Really Really Love This Choir. Please could anyone tell me which County's language this is?
The choir is from Tanzania ,East Africa , by Africa inland church at Changombe suburb of their capital city Dare-salaam. The language is Kiswahili a major language spoken in east Africa. they sing about the body of Christ as the living bread.
Tanzania's , that is Swahili language
Tz
be blessed
Utumishi mwema huu.
Esther museve
mungu awapariki
Amina
nani n nani
Amen
like De song en De video as well
mungu awabaliki sana
Mariam shirinde nyimbo zur mubarikiwe
Amina
LOWASA mollel