Kipaji chako ki wasi. Endelea na kazi nzuri. Epuka na kazi ya BBC kulipoti hata yasiokuhusu. Hatari kubwa. Dada, nakupenda- Jike la Chui. Dr. Ogeto International
Daaah nilikuwa nakuonea huruma ulivyokuwa ukiandamwa na ndugu zako Siwa na Govinda la mtaa 😄😄 ila nakupenda mnooh hanifa sijui na kwenye uhakisia mpole Ivo Ivo duuh
Nani mwengine anarudiarudia 👌🏼👌🏼❤❤2023 hapo ss ofisi yake ina chaza siri yake naitoa.💃💃💃💃💃
Miaka yote nasikiliza nyimbo za huyu mdada mpaka nazijua na Jina nalijua Sema sura sikuwahi kumjua dah napenda sana nyimbo zako jamani 😘😘😘😍😍😍
Jaman Chiku wa kombolela unaweza Mpenzi , Ubarikiwe
Saafiiii Chiku wa bi kikala nakupendajeeeee❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Uyoo ndio chikuu sas wa mzee kikala
Anae iludia tena 2021 nani kama mimi
Taarab is simply the best therapy to me it defines my life ❤️🙏👏. Kipendacho roho ni dawa📌
Kipaji chako ki wasi. Endelea na kazi nzuri. Epuka na kazi ya BBC kulipoti hata yasiokuhusu. Hatari kubwa. Dada, nakupenda- Jike la Chui. Dr. Ogeto International
Hiii nyimbo nilikua naitafuta niliisikia kitambo sana leo kama bahatiii
Chiku weeeee ,kaimbe bb Akina akurudie tena🤣🤣🤣
Wimbo pambee👌👌👌 hata kwetu wapo visokorombwinyo waliovamia maji watatoka nduki🏃🏃🏃
Jike la chui kazi zako nazipenda lakini naomba utuwekee wimbo wa nafunga mtaa ukiwa full naupenda sana big up dada yangu
Dada weee mie nakukubali. Like
Kazi yako ni nzuri sana. Hongera wewe na mtunzi wako keptain temba
Naendelea kusikiliza ngoma tam 2021 wanao angalia Kama Mimi gonga like kwa jike la chui💪
Nyimbo tamu haichuji😍🔥 nairudia mara mbili mbili
Kumbe ndio huyu wa lombolela
Jmn nakupenda huu wimbo mpkaa
Ii kazi haichuji ata kwa miaka 100
kazi nzuri sana nikiisikiliza najisikia nipo duniani
Hanifah nskupenda
Bado inatamba hadi 2022 naiangalia
mm hapabongo siomgeni utanisemea wap nyampua upo hapo kiju hanifa pambeee 👌👌👌👌👌👌
Maa shaa llaa chiku wa bibi kikala mungu akulinde
28/1/2020 me natazama km nawe watazama gonga like hapa tujuwane
Mariam vipi dada
Hatali
Hongera Mama la Mama kombolela na taarabu kote upo vzr ujapata kunikela mwenzako
Daaah nilikuwa nakuonea huruma ulivyokuwa ukiandamwa na ndugu zako Siwa na Govinda la mtaa 😄😄 ila nakupenda mnooh hanifa sijui na kwenye uhakisia mpole Ivo Ivo duuh
Mimi bongo sio mgeni utanisemea wapi haaaaa hanipha hatariiiiii
Wembwa acha kunitumia
Tambala maisha bora
Ninamajeshi kila upande hahaaaahalooooo utanicmea wapi ww
Nakupenda sana hanifa nakupenda unavoimba kwa kujishaua
Nakupenda Anifa
Kuanzia Leo nakufwatilia shoga angu,nyimbo nafaham lkn ckujua kama ww chiku wa kombolela duh ,hongera sn ,harusi yangu ntakutafuta
Kazi nzuri hanifa, keep it up
mi leo ndo najua kama chiku mubaji
2020 Bado nasikiliza pambe tuuu
Naona mwenda kwa mwendokasi ktk kuboresha Modern Taarab. Changamoto kwa Muziki wa Kizazi Kipya na Muziki wa dansi pia.
Mtanzania Junior
Ikovizur dada taarbu zko nazipenda sna
nakupenda ww dada
Da! Imetulia sana,upo poa
Haswaa
Kazi nzuri wana modern taarabu
Twaipanda jeti rafiki na sio bajaji!!! Asante
Hii nyimbo htr sana hongera dada
Nashangaa hapa bongo utanisemea wap kijuso
Haloooo chezea hanifa wewe utalala hoi
Hanifa kazi mwimbo mzuri sana, unamafundisho mengi sana. Keep it up
Nakupenda sana dada hanifa nyimbo zako ziko bomba
Tunafurahi kuturudishia taarabu mjengoni
Chiku wakombolela kanz nzur
kaz nzuriii jke la Chuiiiii
Wapi namie mtoto wa mjini👌
Nakukubali sana hanifa uko juu
Keep it up dadaa. Mungu akujaalie kipaji zaidi Inshallah
Kumbe chiku ndio aliimba hii wimbo😍😍
Hata mm ndiyo nimejua Leo,.
Pambeee pambileeeee
Farida Dadi pambeeeeeeeeeeeeeeeeer22
Farida Dadi pambeeeeeeeeeeeeeeeeer22
Nani amemwona mama Rukia kabla hajatangulia mbele za haki
Wewe Dada nakupenda Sana aisi
Mwez wa 1 tareh 2o mwaka 2020 nacoment Dada anifa umenkosha
Mama umeimba maneno makati
Safi Sana dada
Nimeikumbuka leoo
Aksanti sana ndugu lafiki wangu
2024❤❤❤
Kumbe unatabia za mbwa 😅 safi sana
aki halifa maulidi unamapasho let them hear
kumbe unatabiya za mbwa hhhhh hatari sana
Nakupendaaa❤❤❤❤
Zilipendwa diamondi
Upo vizuri sana
Anifa. Ongera. Ilenyimbo. Ishupambe aaa umenikosha Sana
Unanimaliza hapo ukitaka kudundana uwanjani hahaaaa
Umshukuru isha maana unamkopi kila kitu
😄😄😄😄👌
🤣🤣🤣
Chiku ubarikiwe
Weken hanifa maulid naufunga mtaa na ishu pambe
2024 tujuae
Tupo😂😂😂❤❤
Saf san chiku wa kombolela
Hanifa napenda nyimbo zako sana
God bless you
Wanao angalia 23/8/2020 tujuane apa..🇰🇪
Nimeipenda hiyo safi sana
napenda hanifa
Mwanasiti Digore ngoma yako nzuri honger
nina majeshi kila upande oyoooo
uko vizuri
🎶🎶🎶🎶🎤😍Motoooo
Unanikosha jee
Oct 31st 2020still my favorite
Love her
Apo chacha
Sawa kabisa
LOOOHH!
Nampenda sana uyu dd
Haswaa
Mm pia ameitendea haki hii nyimbo
Duh!!!! Sema mliopo Tz mnafaidi hv watoto wazur kama hao wapokweli au wameisha???
Nyimbo za kiswa kaswiba
jua la utosi bado lako linakuwakia pambe sana 😘😘😘😘😘
nc xana yan
👌
Minapemdaga unapo sema nigombane nae kwa kipi
Mashallah chiku penda wwe sna ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
nzuri sana jike la chui
Gud
Good
Na 21 Niko hap
2022
asili yako ya uji,thamani yangu yakeki,,nakushangaa nigombane nawe kwa lipi??😎😎
🤣🤣🤣
❤❤❤❤📢📢
Jamani sipati picha