Irene Keneth namwombaa mungu kupitia madhabahu ya inuka uangaze anitie nguvu kwenye masomo yangu na nipate alama a mitihani yangu yote Amina naamin mungu ataendaa
hehe,umewai kuskia mkojo ukitoka mfululizo,tunaujua mchezo huu ila tunamuogopa mungu,hii acting inafanywa south africa sana na akina bushiri na alph lukau,bado mtaona acting nyingi tu watu wapige hela wende mbele
@@shabamuhidin634 usije ukajaribu kwenda kweny hayo maombi na hiyo mikutano ya injili ukatanguliza dharau zako.utakuja kupigwa na nguvu ya ajabu hautokaa usahau katika maisha yako yote kwa utakachakipata.
Yes niponyee na Mimi pia nakuamini Sana yes wangu Emungu wangu umenitowa mbali Sana pia umenitendea mengi na Amina na tatizo la tumbo language likaletee matunda amina
Nakumpenda sana mtumishi wetu yesu akulinde milele ámen
Mungu wa mwamposa anaponya Naamini NAMI napokea uponyaji kwa jna la yesu kristo
Irene Keneth namwombaa mungu kupitia madhabahu ya inuka uangaze anitie nguvu kwenye masomo yangu na nipate alama a mitihani yangu yote Amina naamin mungu ataendaa
God bles you man of God.
Ni furaha tele ndani ya Yesu nimechek😀😀😀😀 sana asante Yesu
Hata Mimi mhuu yaani bac tu
Thank you 🙏 Doctor Jesus
Siku ya shuhuda huyu mama akiutoa nilimuona Mungu wa mahali hapa kwa nguvu by 🔥
Kweli mungu afanye barikiwa mtumishi wa mungu
Hakuna asiyejua nguvu na mamlaka ya YESU, wengine ubishi tu, imani zao zinawabana tatizo
100%.
Hahahahaha waambieee
hehe,umewai kuskia mkojo ukitoka mfululizo,tunaujua mchezo huu ila tunamuogopa mungu,hii acting inafanywa south africa sana na akina bushiri na alph lukau,bado mtaona acting nyingi tu watu wapige hela wende mbele
@@shabamuhidin634 usije ukajaribu kwenda kweny hayo maombi na hiyo mikutano ya injili ukatanguliza dharau zako.utakuja kupigwa na nguvu ya ajabu hautokaa usahau katika maisha yako yote kwa utakachakipata.
@@shabamuhidin634 Kama huamini uwe unaenda tu.mwisho utakuja kukipata unachokitafuta😂😂
Amen nataka mwanangu samweli akumbuke kurudi nyumba leo
Mungu ambariki huyu mume ana upendo wa ajabu sana
Amin amina hakika anaebisha na asie amini Kwa yesu anaweza huyo kweli ni shetani, ashukuliwe yesu anaetumia watoto wake kutenda miujiza
mwamposa jaman hongera kaz ya mungu umeifanya
Mungu wetu Ni mwema Sana, tunamuona kupitia mteule wake, Ameeen.
Mungu akupe maisha marefu mwamposa nguvu za mungu zinafanya kazi kupitia mtumishi wako.
Najiunganisha na madhabahu ya inuka uangaze mungu anifungue kiuchumi na badiliko la maisha yangu Asante inaamini nitafunguliwa
Ameni nataka kaka yangu osabi aache kunywa pombe kwa jina la yesu amen
Yes niponyee na Mimi pia nakuamini Sana yes wangu Emungu wangu umenitowa mbali Sana pia umenitendea mengi na Amina na tatizo la tumbo language likaletee matunda amina
Hallelujah praise the Lord
Naamini maombi ya madhabahu ya inuka uangaze 2tapata mtoto mungu tenda miujiza!!!!:
Mimi ni binti wa Arusha nina miaka 22 wazaz wangu wananitegemea Nina vipele sehemu za Siri miaka 2 sasa ila kwa imani ya maombi haya nitapona
Kuna dawa ipo ukilamba vinaisha
@@gracejoseph6467 dawa gani hiyo
Haleluya haleluyah
Amemi mtumishi
Naomba munngu naomba aniponye kupitia mazabau yako baba amen
yesu ni mwema wakati wote anaokowa wakati wote ameni
Amen 🙏 thank you 🙏 Doctor Jesus
e namwoma mungu anitie nguvu na anipe uwezo nifauru mitihani yangu nipate a zotee
Hakika Yesu yu hai hata sasa anatenda 🇹🇿
Amen
Amen
Anaebisha ni wivu2.
Yesu ni jibu la matatizo yetu
Yaani wanaobisha natamani hataniwape moto wangu hata kidogo aonje na aone neema ya yesu ilivyokubwa kwetu amina
Ameeee
Ameeeeeeeen 👏👏👏👏
Asante yesu mtenda miujiza
Mungu n mwaminifu
AMEN
Praise God Hallelujah
Mungu asanteee
Ameen
Mungu endelea kuwa naasiii
Naamini Mtume Asante kwa upendo wako kwa watu wako
Kweli mungu tumuache aitue mungu
🙏🙏🙏 yesu nimu kubwa sana
mungu kubwa
God is good all the time
Amina amina
Amina post
Yesu anaponya
Ameeen
Napokea. Maombi. Mungu. A ione. Anifungue
Natamani kupona tumbo ,mgongo na kichwa
Natamani niombewe nipone kwa jina la yesu
Mungu anaweza🙏
Naamin hata mm nitaponywa magonjwa yangu
Pls naomba no ya mtumishi
Yesu kristo ni Mungu mponyaji. Tuamini tu hakika
Yesu Bwana wa Daudi niponye na mm
i connect
Amina
Ameni mtumishi wa Mungu
God is Great
Kabisa Yesu yuko hapo
samahn jamn naomba mniombee nimefanyiwa opperesheni tarehe 10 mwezi 9 2021 na. Mamb mengine
hakika mungu ni mwema kwa wote wanaoamin
Mungu Ni mwema kwa kweli
Amen Amen
Kweli mungu ana weza
Naamini Leo nimepona kwa Nina la yesu
Mungu ni mwema
Ameni nataka nipate pesa za marejesho ya kikundi
Baba mwamposa naomba uniombee niweze kupata mchumba
🙏🙏🙏✋
Yesu in mwema
Ameeee
hha,si anapuzia mic jamani uyu?
Yesu ni BWANA
Yesu ni njia acheni ubishi tusifanye shingo ngumu Yesu anaweza nani mpole na hataki hata sent wewe ni kuamini na kumkiri tu ndio gharama zake..
Kabisaa
amina
How can I reach this church am a kenyans
Just come in Dar es salaam. It is free of charge. Karibu
nawasalimia naomba namba ya mchungaji
My my my my my
Naamini Mungu atanitendea miujiza nitapata Mtoto
Amiina
Amen
Thank you Jesus for healing us
Amn
Kupitia comment hii nifunguliw kuon siku zangu nakupata pacha ke na me
Ameeeeeeeeeeeeeena
Yuko YESU kwelikweli
Naamin kupitia mtumishi wako mwamposa ntafungulia vifungo vilivyo fungwa
Mambo vp
🤣🤣🤣🤣🤣🙆♂️🙏🙏🙏🙏
The devil is a liar
A men
Munaokota machizi mitaan ukafili mtupu
Toka pepo
Na. ww kaokote ulete
@@fabzanzibar9718 ndio nawewe kalete chizi wako weee vipi kafiri mwenyewe
Ameen
Amen
Ameen
Amen
Amen
Mungu anaweza
Ameen
Amen
Ameen
Amen
Ameen
Ameeeeeeeeeeeeeeeena mwapasa mungu akupe maisha marefu usizeeke ili uje usaindie na watoto wetu
Ninaamini sana mungua ataniponya naomba uniombee mtumishi wa mungu jamani