MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI AJA NA MTINDO MPYA WA UPIGAJI FEDHA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Licha ya Serikali kulifungia Kanisa la Christian Life (CLC), lililoongozwa na Dominique Dibwe maarufu kama ‘Kiboko ya Wachawi’, imebainika kiongozi huyo wa dini anaendelea kutoa huduma hiyo, huku akiomba mamilioni ya fedha kwa waumini wake.
Tofauti na awali, Dibwe ambaye ni raia wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo (DRC) kwa sasa anatoa huduma ya maombezi na kile anachokiita uponyaji kwa njia ya simu, akiomba kulipwa mamilioni hayo kwa waumini wenye matatizo.
Kwa sababu hiyo hiyo ya kutoza fedha kuanzia Sh500,000 kwa waumini wake ili awape huduma ya uponyaji wa kiroho, ndiyo iliyoifanya Serikali ilifutie usajili wa kanisa lake, Julai 25, 2024.
Soma zaidi www.mwananchi.co.tz
(Imeandikwa na Waandishi Wetu)
Mganga wa kienyeji huyu..... hamna Mungu hapo..... hana tofauti na mpiga ramli chonganishi
Mwandishi hongeraaaa
Naipongeza selikali kwa kazi mliofanya watanzania wameibiwa sana kwa kiboko cha wachawi
hivi watu huwa hawaoni matapeli kabisa😅😅😅😅😅😊
Ila huyu mwandishi nae kiboko😂😂😂🙌apelekwe Bongo movie, maana ni muigizaji mzuri.
Ametisha sana,apewe scene za kutia huruma bongo movie😂😂
Liongo sana hilo
Nyie watu endeleeni kujitoa ufahamu mtauza hadi nyumba zenu mkampe huyo tapeli
Waandishi mmecheza kama pele
😂😂😂😂
Hiii Dunia hii watu wengi ni faras
Nilijua wanamsingizia kumbee ndo zakee hahahaha hongera sana mwandishi kwa habari nzurii hahahhahahaha
Hata mimi
Waongo hao acheni kuwasikiliza
@@annagidion7817 Wadanganye ili wapate nini? Itakuwa umeshatapeliwa wewe na hutaki kukubali ukweli.
😂😂😂 ame wekewa mtego kajaa jamaa maana wabongo wasinge kubali bila ushahidi..
WAANDISHI MMEFANYA KAZI NZURI SANA. MAANA MMEFICHUA HILI JANGILI LILILOKUWA LIKIJIPA HESHIMA YA UTUMISHI.
NA HALINA HATA AI BU KIDOGO
Baba nabii haijalishi watu wanaongea nn kukaa kimya nijibu ili ucfanane nao ukiwajibu utafanana nao maneno ya hekima in bora nasheshimu kitu mungu ameweka ndani yako piga kazi revo ya kujipizana na watu umepita
Wachungaji kama hawa serikali inatakiwa iwakamate na kuwapiga sindano za kuwahanisi..ili wapate funzo!!.
hv police wanashindwa kwenda pale na buldoza, wakakiwashe pale watu wasambaratike
Kafanye wewe😅😅
@@shammhagama2527😂😂😂😂
😂😂 MGONJWA (Muandishi) AJENGEWE SANAMU yaani hapo ana igiza?
Sanamu yake tutaijenga pale posta na kumpa zawadi ya kuwaumbua machawa wa injili
huuu ndo ushahidi, ambao serikal ifanye kwa wachungaji wote
Tapeli mkubwa huyu,anatakiwa afatiliwe kwakina.Hyu Alikuja kwnia ovu kbisa .Aipaswa afuguwe nakupelekwa mhkmn nakufunguliwa mashtaka.
@@dignakanje4508 alikutapeli nini Acha uchawi wewe, maisha yenyewe huna ukatapeliwe nini njaa inakuuma mshenzi mkubwa
Mimi hushangazwa sana na serikalo ya Tz hua wanangojea hadi raia kuhujumiwa ili wapate tarifa za kutrend nazo😂
Huyu ni mkristo au muislamu
Huyu mwandishi anakipaji cha Kuigiza. Directors mtafuteni na mtanishukuru
Hio ndo kosa lake kafungiwa huduma anaanza kupost ujinga
Haaa haaa hatari 😂😂😂. Huyu asije tena Tz
Duh😢
Vichwa vipo wazi hakuna kitu wamepumbazwa
Huyu kiboko ya wachawi ana roho ya utambuzi kwa hiyo alikwisha mgundua kuwa huyo mwandishi aliye mpigia simu na kujifanya mgonjwa, ni muongo na ndio maana alimtishia kuwa atafariki dunia ndani ya masaa 24 iwapo hatalipa shilingi million 10!!
Mm nlshapigwa TSH 200,000 pale mwenge na kuhani M.... kumuona tu asee nljiraum mnooo wakanipa maji ya vifuniko vya rangi tofauti nmerudi kanisani kwetu tu kkt usiombe ndugu yangu
😉😁😁😁😁
@@personalitiesan9806 Huyo Musa ni hatari sana
@@personalitiesan9806 ulipigwa ila kanisa linaendelea unajisikiaje mkuu
Nilipanga foleni ya kumuona huyo ajiitaye kuhani Musa, kwa usajili wa 50,000/= nilipofika dirisha la kulipia, wakasema wa elfu hamsini wamejaa, na sasa ni 100,000/=; nikasema sawa. Wakati nahesabu Fedha za nyongeza ili kutimiza kiwango cha laki moja inayotakiwa; ilikuja Nguvu kutoka juu, na kunitoa nje ya jengo hilo la ubatili, nikaenda kutubu.
@@user-kr9xx8br4o😂😂😂😂 mmh ilikuja nguvu wapi bwana...sema tu hela ilikua haitoshi
Huyu jamaa ni tapeli tangia siku ya kwanza namuona nikajua hapa hakuna mtu
Uganga mtupuu alijifisha kwenye kivuli cha kanisa...
Mungu awashughulikie watu kama hawa wasilione jua.
😂😂😂😂 kiboko ya wachawi kajaa kwenye Mfumo
Mtu akiendaKw
hahahahahaha nmecheka sana sana
Sitapili tumepona mbona
Sitapil
Hivi ni kweli na kama ni kweli mbona mbona mnamfanyia hivyo.
Mamaako ajawai kutapeliwa ,au wewe nitapeli pia ndomana haikuuimi
We unataka iweje ili ujue n kweli
kwahyo wewe hata iyo simu alopigiwa bado auamini tu? wacha kukaza gegedu hilo
Huyu jamaa tapeli kabisa.
Jina la yesu linatukanwa tu kwa sababu vitu vya hovyo kama hivi asee mwisho wa siku watumishi wote wataonekana matapeli
Jamn😢😢😢😢😢
Mmmmnmhh waaandishi wapigweeee hawanatofauti na wachawi ucmnukuu asimame aseme na huyo mgonjwa kapata wapi no za mtu ambae hayipo tz nchi aliopo hakuna anaejua muogopeni mungu lait mngejua dominick ni zawadi kutoka kwa Mungu mnge kaa kimyaaa mpokee uponyaji mm ninajuta cn kununua chumvi kidogo ningefahamu anafungiwa ningenunua contena zoma mungu akulinde kiboko kuwa na subira
Hii nyumbu inayoamini chumvi kuliko Mungu.... Hivyo sana
Pore
@@zabibusaidi1404 umeona mapepo wameungana kudhihirisha uovu wao. Hakuna aliyelazimishwa Hata ibadani watu waliombewa bure na Kuna watumishi wanatoza hela zaidi ya ile na wanaonekana Bora wivu chuki ndo vilitawa na alikuwa tishio Tz
Hapana nakataa hiyo si sauti ya mchungaji Kiboko ya wachawi kuna mtu kaigiza sauti ili aonekane anatoza hela no no no.
Pole yako😂
Pore sana
@@EmmanuelCharse Kuna clips nyingi zinasambaa kuhusu huyo tapeli anayemtetea,labda amebadili mawazo na kukubali 'mchungaji' wake ni mpigaji tu. Hakuna mchungaji pale,watu wamekuwa wajinga sana.
Utapeli
Nyiynyi wandishi wa habari hapa nchini niwachochezi sana kwanini stoke hazaràni tukaewaona? Mnaroho mbaya sana mungu anawaona
TUMEMSIKIA KIBOKO YA WACHAWI AKIOMBA MAPESA, SASA KURIPOTI UKWELI NDIYO KOSA.
WAANDISHI MMEFANYA KAZI NZURI.
Wewe ndio mungu anakuona pia akushughulikie mana unapenda watu waendelee kupigwa pesa 😂😂😂😂😂
Mkund nn alikuw anawalazimisha kutoa hela wivu tyu kuomba aaaaah
Mnataka kumualibia tu awana lolote
Kwani hao waotozwa ni machizi au wanaakili zao timamu ila amin kila mjinga na mjanja wake piga kazi mzee ila siku za mwisho utajuta😂😂
Kwani anaetoa hela kapazimishwa wajinga ndo waliwao
Ukiwaambia wanatusema hatujampokea yesu hatujaokoka hatujui kitu aya sasa
Binadamu hatusomi maandiko kweli
Wanga wamekula kuku mbuzi mayai hatujapona ibadani tumepona
@@HawaOman safi
Aiseh😂
Sikweli
Hili ni tapeli
Tapeli
😂kiboko kamjua kama mwandishi kiboko hayuko hivyo kama walitaka kumchezea bas na yeye kawachezea😂,nakupenda sana kiboko rudi baba ❤❤❤
Wajinga ndio waliwao
Poreni Sana
Acha ulongo
Acha ungodly na unafiki
Mbona muuza maji na mchanga na mafuta hafungiwi????
kumbuka hayo maji na mafuta yanauzwa bei rahisi ef moja na kuendelea, tofautisha Kati ya lak5 na ef 1
Tapeli hilo
MWARABU FIGHTER BODYGUARD WA DIAMOND PLATNUMZ NDIO ALIKUA BODYGUARD WAKE😁
@@web2.095 Watenda kazi wa shetani
@@web2.095 DAMU YA YESU KRISTO
Kwani mtu analazimishwa kulipa hizo pesa si viherehere vyenu nabii fanya kazi yako Mungu aliyokuitia . Maneno hayasaidii
@@user-el8rp6pd5q Utapeli ni kosa kisheria.
😂😂😂 dunia ina vijimambo,,
Ninajamaa zangu bado hawaamini kuwa huyu ni nabii wa uongo,,
Wanaichukia serikali kwa kufunga kanisa.
Hao wamepewa dawa washakuwa mazombiii 😂😂😂😂😂😂😂
Hawataelewa hao hata Waone nn 😁😁😁😁😁
Uyuu jamaa ngoja aje bongo
Anawapiga pesa ahahaha
Uyu jamaa ni tapeli ahaha ....ila tuacheni utani uyu jamaa ni tapeli
Wewe wacha uongo
kumanyoko sasa unakata nn
@@jizzotheking9238 🤣🤣🤣🤣waumwa????
@@charlesomollo-ui1np unamtetea kiboko ya wachawi?
Who the hell r u to question me???shut the fuck up dude,shame on you
@@jizzotheking9238 who r u to question me?????can you shut the fuck up!!!!!!!Shame on you....clown
Khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wajinga ndo waliwao.
Nabii hajatapeli mtu
Chizi wewe tapeli mwenzake 😅😂
@@4karimu_ 🤣🤣🤣🤣mwaumwa sio???🤣🤣🤣
Kama steve nyerere anaweza kuiga sauti ya kiongozi hata huyu kaigizwa wanapiga nondo asirudi mungu yupo mtapata aibu
Hahaha
Nyinyi mwafikiri huduma ni mchezo,huduma ni gharama saaana,nabii hana makosa
@@charlesomollo-ui1np kwa yeyote anayetamka nabii ni tupeli huyo nimchawi tena anaroga na mama yake maana swala la kuua wachawi limewauma sana. Kama alikutapeli kwanini ustoke hazarani vyombo vipo ongea tukuone. Mbona unatuma sms online? Wachawi wakubwa kwa taarifa yenu mtakufa mmeweka kidole mkunduni
@@charlesomollo-ui1np Hiyo yake haikuwa huduma, bali kazi ya uganga.
@@user-kr9xx8br4o sasa sisi huku tunaona ni huduma kwa sababu tumesaidika bila kutoa hela na hatuwezi kumchukia kwa maneno ya watu periooooood.
@@charlesomollo-ui1np Hatuna huduma kama hiyo Duniani.
Haikai kwenye maandiko.
@@user-kr9xx8br4o poleni 🤣🤣🤣🤣sisi twampenda🤣🤣🤣🤣poleni sana kwa machungu🤣🤣🤣
Mtu akiendaKw
Tapeli