MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI AJA NA MTINDO MPYA WA UPIGAJI FEDHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Licha ya Serikali kulifungia Kanisa la Christian Life (CLC), lililoongozwa na Dominique Dibwe maarufu kama ‘Kiboko ya Wachawi’, imebainika kiongozi huyo wa dini anaendelea kutoa huduma hiyo, huku akiomba mamilioni ya fedha kwa waumini wake.
    Tofauti na awali, Dibwe ambaye ni raia wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo (DRC) kwa sasa anatoa huduma ya maombezi na kile anachokiita uponyaji kwa njia ya simu, akiomba kulipwa mamilioni hayo kwa waumini wenye matatizo.
    Kwa sababu hiyo hiyo ya kutoza fedha kuanzia Sh500,000 kwa waumini wake ili awape huduma ya uponyaji wa kiroho, ndiyo iliyoifanya Serikali ilifutie usajili wa kanisa lake, Julai 25, 2024.
    Soma zaidi www.mwananchi.co.tz
    (Imeandikwa na Waandishi Wetu)

Komentáře • 125

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před měsícem +2

    Mganga wa kienyeji huyu..... hamna Mungu hapo..... hana tofauti na mpiga ramli chonganishi

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Před měsícem +6

    Mwandishi hongeraaaa

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 27 dny +2

    Naipongeza selikali kwa kazi mliofanya watanzania wameibiwa sana kwa kiboko cha wachawi

  • @ruthsima8152
    @ruthsima8152 Před měsícem +2

    hivi watu huwa hawaoni matapeli kabisa😅😅😅😅😅😊

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před měsícem +4

    Ila huyu mwandishi nae kiboko😂😂😂🙌apelekwe Bongo movie, maana ni muigizaji mzuri.

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 29 dny

      Ametisha sana,apewe scene za kutia huruma bongo movie😂😂

    • @annagidion7817
      @annagidion7817 Před 7 dny

      Liongo sana hilo

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před měsícem +6

    Nyie watu endeleeni kujitoa ufahamu mtauza hadi nyumba zenu mkampe huyo tapeli

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Před měsícem +6

    Waandishi mmecheza kama pele

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Před měsícem +6

    Hiii Dunia hii watu wengi ni faras

  • @fredyfile623
    @fredyfile623 Před měsícem +4

    Nilijua wanamsingizia kumbee ndo zakee hahahaha hongera sana mwandishi kwa habari nzurii hahahhahahaha

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Před měsícem

      Hata mimi

    • @annagidion7817
      @annagidion7817 Před 7 dny

      Waongo hao acheni kuwasikiliza

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 7 dny

      @@annagidion7817 Wadanganye ili wapate nini? Itakuwa umeshatapeliwa wewe na hutaki kukubali ukweli.

    • @jeremiapeter683
      @jeremiapeter683 Před 6 dny +1

      😂😂😂 ame wekewa mtego kajaa jamaa maana wabongo wasinge kubali bila ushahidi..

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Před měsícem +6

    WAANDISHI MMEFANYA KAZI NZURI SANA. MAANA MMEFICHUA HILI JANGILI LILILOKUWA LIKIJIPA HESHIMA YA UTUMISHI.
    NA HALINA HATA AI BU KIDOGO

  • @NicolausAsifu
    @NicolausAsifu Před 5 dny

    Baba nabii haijalishi watu wanaongea nn kukaa kimya nijibu ili ucfanane nao ukiwajibu utafanana nao maneno ya hekima in bora nasheshimu kitu mungu ameweka ndani yako piga kazi revo ya kujipizana na watu umepita

  • @khamis9187
    @khamis9187 Před 20 dny +1

    Wachungaji kama hawa serikali inatakiwa iwakamate na kuwapiga sindano za kuwahanisi..ili wapate funzo!!.

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm Před měsícem +3

    hv police wanashindwa kwenda pale na buldoza, wakakiwashe pale watu wasambaratike

  • @modestapeter2997
    @modestapeter2997 Před měsícem +4

    😂😂 MGONJWA (Muandishi) AJENGEWE SANAMU yaani hapo ana igiza?

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa Před měsícem

      Sanamu yake tutaijenga pale posta na kumpa zawadi ya kuwaumbua machawa wa injili

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm Před měsícem +3

    huuu ndo ushahidi, ambao serikal ifanye kwa wachungaji wote

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před měsícem +2

    Tapeli mkubwa huyu,anatakiwa afatiliwe kwakina.Hyu Alikuja kwnia ovu kbisa .Aipaswa afuguwe nakupelekwa mhkmn nakufunguliwa mashtaka.

    • @user-qv4wh2pb1d
      @user-qv4wh2pb1d Před měsícem

      @@dignakanje4508 alikutapeli nini Acha uchawi wewe, maisha yenyewe huna ukatapeliwe nini njaa inakuuma mshenzi mkubwa

  • @BLUBEENICE
    @BLUBEENICE Před dnem

    Mimi hushangazwa sana na serikalo ya Tz hua wanangojea hadi raia kuhujumiwa ili wapate tarifa za kutrend nazo😂

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 Před 20 dny

    Huyu ni mkristo au muislamu

  • @fredmpondachuma8230
    @fredmpondachuma8230 Před 13 hodinami

    Huyu mwandishi anakipaji cha Kuigiza. Directors mtafuteni na mtanishukuru

  • @ISSACKPETERKAGINE
    @ISSACKPETERKAGINE Před 4 dny

    Hio ndo kosa lake kafungiwa huduma anaanza kupost ujinga

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před 6 dny

    Haaa haaa hatari 😂😂😂. Huyu asije tena Tz

  • @JescaMalisa-v1w
    @JescaMalisa-v1w Před měsícem +1

    Duh😢

  • @abbykashuba4332
    @abbykashuba4332 Před 9 dny

    Vichwa vipo wazi hakuna kitu wamepumbazwa

  • @evelynjames9398
    @evelynjames9398 Před 18 dny

    Huyu kiboko ya wachawi ana roho ya utambuzi kwa hiyo alikwisha mgundua kuwa huyo mwandishi aliye mpigia simu na kujifanya mgonjwa, ni muongo na ndio maana alimtishia kuwa atafariki dunia ndani ya masaa 24 iwapo hatalipa shilingi million 10!!

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před měsícem +1

    Mm nlshapigwa TSH 200,000 pale mwenge na kuhani M.... kumuona tu asee nljiraum mnooo wakanipa maji ya vifuniko vya rangi tofauti nmerudi kanisani kwetu tu kkt usiombe ndugu yangu

    • @sigfridchristian1890
      @sigfridchristian1890 Před měsícem

      😉😁😁😁😁

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      @@personalitiesan9806 Huyo Musa ni hatari sana

    • @user-qv4wh2pb1d
      @user-qv4wh2pb1d Před měsícem

      @@personalitiesan9806 ulipigwa ila kanisa linaendelea unajisikiaje mkuu

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      Nilipanga foleni ya kumuona huyo ajiitaye kuhani Musa, kwa usajili wa 50,000/= nilipofika dirisha la kulipia, wakasema wa elfu hamsini wamejaa, na sasa ni 100,000/=; nikasema sawa. Wakati nahesabu Fedha za nyongeza ili kutimiza kiwango cha laki moja inayotakiwa; ilikuja Nguvu kutoka juu, na kunitoa nje ya jengo hilo la ubatili, nikaenda kutubu.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před měsícem

      ​@@user-kr9xx8br4o😂😂😂😂 mmh ilikuja nguvu wapi bwana...sema tu hela ilikua haitoshi

  • @AminahassanSaidi
    @AminahassanSaidi Před měsícem +1

    Huyu jamaa ni tapeli tangia siku ya kwanza namuona nikajua hapa hakuna mtu

  • @bahatilyimo659
    @bahatilyimo659 Před měsícem

    Mungu awashughulikie watu kama hawa wasilione jua.

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem +3

    😂😂😂😂 kiboko ya wachawi kajaa kwenye Mfumo

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před 10 dny

    Mtu akiendaKw

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm Před měsícem +1

    hahahahahaha nmecheka sana sana

  • @HawaOman
    @HawaOman Před 27 dny

    Sitapili tumepona mbona

  • @HawaOman
    @HawaOman Před 27 dny

    Sitapil

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před měsícem +1

    Hivi ni kweli na kama ni kweli mbona mbona mnamfanyia hivyo.

    • @4karimu_
      @4karimu_ Před měsícem +1

      Mamaako ajawai kutapeliwa ,au wewe nitapeli pia ndomana haikuuimi

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Před měsícem

      We unataka iweje ili ujue n kweli

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před měsícem

      kwahyo wewe hata iyo simu alopigiwa bado auamini tu? wacha kukaza gegedu hilo

  • @User92.invisible
    @User92.invisible Před měsícem +1

    Huyu jamaa tapeli kabisa.

  • @benmushi6335
    @benmushi6335 Před měsícem

    Jina la yesu linatukanwa tu kwa sababu vitu vya hovyo kama hivi asee mwisho wa siku watumishi wote wataonekana matapeli

  • @JescaMalisa-v1w
    @JescaMalisa-v1w Před měsícem +1

    Jamn😢😢😢😢😢

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi1404 Před měsícem

    Mmmmnmhh waaandishi wapigweeee hawanatofauti na wachawi ucmnukuu asimame aseme na huyo mgonjwa kapata wapi no za mtu ambae hayipo tz nchi aliopo hakuna anaejua muogopeni mungu lait mngejua dominick ni zawadi kutoka kwa Mungu mnge kaa kimyaaa mpokee uponyaji mm ninajuta cn kununua chumvi kidogo ningefahamu anafungiwa ningenunua contena zoma mungu akulinde kiboko kuwa na subira

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 Před měsícem +1

      Hii nyumbu inayoamini chumvi kuliko Mungu.... Hivyo sana

    • @EmmanuelCharse
      @EmmanuelCharse Před 9 dny

      Pore

    • @annagidion7817
      @annagidion7817 Před 7 dny

      @@zabibusaidi1404 umeona mapepo wameungana kudhihirisha uovu wao. Hakuna aliyelazimishwa Hata ibadani watu waliombewa bure na Kuna watumishi wanatoza hela zaidi ya ile na wanaonekana Bora wivu chuki ndo vilitawa na alikuwa tishio Tz

  • @LevinaModesti
    @LevinaModesti Před měsícem

    Hapana nakataa hiyo si sauti ya mchungaji Kiboko ya wachawi kuna mtu kaigiza sauti ili aonekane anatoza hela no no no.

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 29 dny

      Pole yako😂

    • @EmmanuelCharse
      @EmmanuelCharse Před 9 dny +1

      Pore sana

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk Před 9 dny

      @@EmmanuelCharse Kuna clips nyingi zinasambaa kuhusu huyo tapeli anayemtetea,labda amebadili mawazo na kukubali 'mchungaji' wake ni mpigaji tu. Hakuna mchungaji pale,watu wamekuwa wajinga sana.

  • @flm1530
    @flm1530 Před měsícem +1

    Utapeli

  • @user-qv4wh2pb1d
    @user-qv4wh2pb1d Před měsícem

    Nyiynyi wandishi wa habari hapa nchini niwachochezi sana kwanini stoke hazaràni tukaewaona? Mnaroho mbaya sana mungu anawaona

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem +3

      TUMEMSIKIA KIBOKO YA WACHAWI AKIOMBA MAPESA, SASA KURIPOTI UKWELI NDIYO KOSA.
      WAANDISHI MMEFANYA KAZI NZURI.

    • @sigfridchristian1890
      @sigfridchristian1890 Před měsícem

      Wewe ndio mungu anakuona pia akushughulikie mana unapenda watu waendelee kupigwa pesa 😂😂😂😂😂

  • @CastoFighter
    @CastoFighter Před měsícem

    Mkund nn alikuw anawalazimisha kutoa hela wivu tyu kuomba aaaaah

  • @TheresiaSteven-bq6ze
    @TheresiaSteven-bq6ze Před 26 dny

    Mnataka kumualibia tu awana lolote

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 Před měsícem

    Kwani hao waotozwa ni machizi au wanaakili zao timamu ila amin kila mjinga na mjanja wake piga kazi mzee ila siku za mwisho utajuta😂😂

  • @ziggertv3185
    @ziggertv3185 Před měsícem +1

    Kwani anaetoa hela kapazimishwa wajinga ndo waliwao

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před měsícem

    Ukiwaambia wanatusema hatujampokea yesu hatujaokoka hatujui kitu aya sasa

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Před měsícem

    Binadamu hatusomi maandiko kweli

  • @HawaOman
    @HawaOman Před 27 dny

    Wanga wamekula kuku mbuzi mayai hatujapona ibadani tumepona

  • @InnocentNdano
    @InnocentNdano Před měsícem

    Aiseh😂

  • @BennyKalinga
    @BennyKalinga Před měsícem

    Sikweli

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr Před měsícem

    Hili ni tapeli

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr Před měsícem

    Tapeli

  • @TheresiaSteven-bq6ze
    @TheresiaSteven-bq6ze Před 26 dny

    😂kiboko kamjua kama mwandishi kiboko hayuko hivyo kama walitaka kumchezea bas na yeye kawachezea😂,nakupenda sana kiboko rudi baba ❤❤❤

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Před měsícem

    Acha ulongo

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Před měsícem

    Acha ungodly na unafiki

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Před měsícem

    Mbona muuza maji na mchanga na mafuta hafungiwi????

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před měsícem

      kumbuka hayo maji na mafuta yanauzwa bei rahisi ef moja na kuendelea, tofautisha Kati ya lak5 na ef 1

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr Před měsícem

    Tapeli hilo

  • @web2.095
    @web2.095 Před měsícem

    MWARABU FIGHTER BODYGUARD WA DIAMOND PLATNUMZ NDIO ALIKUA BODYGUARD WAKE😁

  • @user-el8rp6pd5q
    @user-el8rp6pd5q Před měsícem

    Kwani mtu analazimishwa kulipa hizo pesa si viherehere vyenu nabii fanya kazi yako Mungu aliyokuitia . Maneno hayasaidii

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před měsícem

    😂😂😂 dunia ina vijimambo,,
    Ninajamaa zangu bado hawaamini kuwa huyu ni nabii wa uongo,,
    Wanaichukia serikali kwa kufunga kanisa.

  • @user-ky7mz7qh1o
    @user-ky7mz7qh1o Před měsícem

    Uyuu jamaa ngoja aje bongo

  • @BuhetySharia
    @BuhetySharia Před měsícem

    Anawapiga pesa ahahaha

    • @BuhetySharia
      @BuhetySharia Před měsícem

      Uyu jamaa ni tapeli ahaha ....ila tuacheni utani uyu jamaa ni tapeli

  • @charlesomollo-ui1np
    @charlesomollo-ui1np Před měsícem

    Wewe wacha uongo

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 Před měsícem

      kumanyoko sasa unakata nn

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Před měsícem

      @@jizzotheking9238 🤣🤣🤣🤣waumwa????

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 Před měsícem

      @@charlesomollo-ui1np unamtetea kiboko ya wachawi?

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Před měsícem

      Who the hell r u to question me???shut the fuck up dude,shame on you

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Před měsícem

      @@jizzotheking9238 who r u to question me?????can you shut the fuck up!!!!!!!Shame on you....clown

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před měsícem

    Khaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
    Wajinga ndo waliwao.

  • @charlesomollo-ui1np
    @charlesomollo-ui1np Před měsícem

    Nabii hajatapeli mtu

    • @4karimu_
      @4karimu_ Před měsícem +1

      Chizi wewe tapeli mwenzake 😅😂

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Před měsícem

      @@4karimu_ 🤣🤣🤣🤣mwaumwa sio???🤣🤣🤣

  • @zabibusaidi1404
    @zabibusaidi1404 Před měsícem

    Kama steve nyerere anaweza kuiga sauti ya kiongozi hata huyu kaigizwa wanapiga nondo asirudi mungu yupo mtapata aibu

  • @mediking8611
    @mediking8611 Před měsícem

    Hahaha

  • @charlesomollo-ui1np
    @charlesomollo-ui1np Před měsícem +1

    Nyinyi mwafikiri huduma ni mchezo,huduma ni gharama saaana,nabii hana makosa

    • @user-qv4wh2pb1d
      @user-qv4wh2pb1d Před měsícem

      @@charlesomollo-ui1np kwa yeyote anayetamka nabii ni tupeli huyo nimchawi tena anaroga na mama yake maana swala la kuua wachawi limewauma sana. Kama alikutapeli kwanini ustoke hazarani vyombo vipo ongea tukuone. Mbona unatuma sms online? Wachawi wakubwa kwa taarifa yenu mtakufa mmeweka kidole mkunduni

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem +1

      @@charlesomollo-ui1np Hiyo yake haikuwa huduma, bali kazi ya uganga.

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Před měsícem

      @@user-kr9xx8br4o sasa sisi huku tunaona ni huduma kwa sababu tumesaidika bila kutoa hela na hatuwezi kumchukia kwa maneno ya watu periooooood.

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před měsícem

      @@charlesomollo-ui1np Hatuna huduma kama hiyo Duniani.
      Haikai kwenye maandiko.

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Před měsícem

      @@user-kr9xx8br4o poleni 🤣🤣🤣🤣sisi twampenda🤣🤣🤣🤣poleni sana kwa machungu🤣🤣🤣

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před 10 dny

    Mtu akiendaKw

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr Před měsícem

    Tapeli