Kwanini nilisoma Ph.D in Nursing in USA, na pia kuwa Financial Advisor | Dr Veronica
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2022
- Dr. Veronica Njwaba alikuja USA mwaka 2008 baada ya kumaliza high school, Tanzania 🇹🇿. Sasahivi ana PhD in Nursing na pia Certified Financial Advisor
Kwa waliopo USA 🇺🇸 wanaweza kuwasiliana naye kwa namba +1 501 269 8958 kupata ushauri wa emergency funds, debt management, retirement planning etc
#retirementplanning #retirement #ebmscholars
Dr. Veronica Njwaba alikuja USA mwaka 2008 baada ya kumaliza high school, Tanzania 🇹🇿. Sasahivi ana PhD in Nursing na pia Certified Financial Advisor
Kwa waliopo USA 🇺🇸 wanaweza kuwasiliana naye kwa namba +1 501 269 8958 kupata ushauri wa emergency funds, debt management, retirement planning etc
PingeZi Dada👏
How to connect with you bro
Hii ni moja kati ya interview bora kwangu....maana imeonyesha uhalisia wa maisha ya USA katika suala na kodi na uwekezaji.Shukrani kwa muda wako EDM na hii elimu
Dada umekaa marekani muda mlefu lakini kiswahili chako kipo vizuri sio kama wadada wa hapa bongo wakienda marekani mwaka you know , you know nyingi sana
Ila wabongo
Dada mzuri mjanja msomi ana shule za kutosha anaongea kiswahili kizuri licha ya kukaa us kwa mda mrefu kuna kenge zipo hapa dar zikienda tu hapo kenya zikakaa wiki mbili tu zikirudi tunapata tabu tayar zishasahau kiswahili na maringo kibao nimempenda sana huyu dada naninamuombea
This lady sounds like a tax lawyer right? Nimekupenda bure. Well composed.
Uyo dada nimempenda sana yuko mbele lkn English kidogo sana kiswahili sanaa🤝Upendo mwingi kutoka hapa Finland 🇫🇮
Financial education is very important 👏👏
.
🇹🇿
Unadumisha lugha hongera sana dada
Asante sana EBM, huyu dada akili nyingi sana 👏👏👏👏👏
Mahojiano bora sana kaka EBM, appreciate.
EBM naomba mtafute doctor kulwa Yuko kule north Carolina. Binti wa daktari kulwa wa mwanza. Wananikumbusha mbali.mamake alikua mwalimu wangu Busia Kenya.
Dr Kurwa alihama NC. Yupo Washington DC now.
Marian girl
Congrats Dr Veronica
So so inspiring,,proud of our very visionary daughter
Alikuwa best friend wangu marian girls secondary school❤
Dr. Vero, hongera I like the way you express yourself.
Asante sana kwa elimu hii
Mashaalah Mashaalah Dada Veronica keep blessing
Congrats all the best i need ur advice thanks guys for sharing good information
Ernest unamkatisha sana Veronica muache aongee amalize. Wewe ni interviewer ila ndo unaongea zaidi kuliko Vero mwenyewe. Good interview nonetheless.
Sana alafu anaongea utumbo muache mtu azungumze vitu vya msingi unaleta story zako unprofessional
Huyo ni muha og
Na Mimi nashangaa mtangazaji anaongea kumzidi muhojiwa🤣🤣🤣
Dr Veronica habari dada angu mm naitwa Kisagenta Mollel baomba msaada wa kunisaidia kuja huko Marekani lakini mm ningependa kwensa Canada kufanya kazi ya Truck Driver kwa saabu huku Tanzania mm professional yangu ni driver naomba msaada wako Dr nakuombea kwa mungu ili uwe na moyo wa kunisaidia mungu akubariki Dr Veronica
Apply lotery green card
Shukrani sana kwa maelezo haya. Kazi nzuri. Kila la kheri wakuu.
Vero yuko very detailed😘✊🏾
Huyu dada yupo vizuri sana, anamaono makubwa sana, Ernest naomba nipate mawasiliano yake
Wee baba unakera unamsemea saana achaa ajieleze mwenyewe
Nakuburi kazi zako mkuu
Nimempenda sana hana majishauo anatiririka kiswahili vyema. Siyo vijibongo vya hapa vikijua kakingetrza ka kuomnea maji tu baaaaaas. Nino moja la kiswahili mawili ya kiingereza tana kibovu
Habari njema sana
Nzuri sana hii, karibu Denver-Colorado
Dada Vero ana madini muhimu mno,kuna haja ya kumtafuta.......
Kwa kweli
Jamn amaizing,akili nyingi sana
Profound
mnatuumiza tu na kwenda kwenu mbele, maisha yenyew bongo hayaeleweki, tubebeni bas tuwe watumwa tu kama vip
Ebm uko vizuri kaka
she talk truly in open
safi sanaaaa
Very interested
Ernest badilika acha tabia ya kuingilia mahojiano. Unqnoa sana. Wewe tumeahakuchoka
🔥🔥
Hi Dr Veronica. Robert Kiyosaki teaches us a lot about financial freedom. What is the easiest place to have financial freedom in the USA compared to Tz.?
Dada ana sumu sana ,well done
Tupokigwe oyeee
Tanguliza utanzania nadhani umenielewa. Makabila hatutambiki
Congraturation...
Kwaiyo sisi wapiga box 📦 iyi interview haituhusu🤣🤣🤣
Great
Nimechelewa kuingia kwenye Channel ila nakupata vizuri brother EBM..
Nimekupenda unadumisha utamaduni,Swahili lang.
Namba
You are beautiful
Me nimempenda tuu huyu dada....VP Kwanza kaolewa?😊
Kama hujui ulisoma Kwa nini, samahani dada
Dr vee ana youtube channel yake?
What is your worth worth net ?
EBM nicheki inbox tuchonge nakutafuta Sana
Jamaa anaongea kuliko mtaalam mwenyewe
Naweza Pata namba yako?
Trump allegedly wrote off $70,000 in hair cuts as business expenses.
Looks like I’m getting a full makeup and hair upgrade. #BusinessOwner
Get you a LLC!
Sijambo. Hamjambo? Ninawaomba WATANZANIA mnaoishi Marekani na nchi zingine za nje, muungane watu wawili au watatu au wanne au watano kisha muanzishe kampuni za kuwapeleka watanzania kikazi na kimasomo katika nchi za nje hasa mnakoishi sasa. Kampuni za kiuchumi na biashara ili mfanye biashara za Import and Export kati ya nchi mnakoishi sasa na nchi saba za Jumuiya ya Afrika Mashariki na nchi 16 za SADC. Mje Tanzania mjenge viwanda, hoteli za kitalii, Real estate, mashamba makubwa ya kisasa, migodi na viwanja vya kisasa vya soka. Mmiliki kampuni za kuleta watalii Tanzania. Ni vizuri mtengeneze nafasi za ajira nchini Tanzania na nje ya Tanzania. Mmiliki kampuni na malori na mabehewa ya kusafirishia mizigo Tanzania kwenda nchi jirani. Pia huko mnakoishi mmiliki kampuni na malori ya kusafirishia mizigo ndani ya nchi mnazoishi sasa. Kwani tatizo kubwa la wasomi wengi wa Tanzania hivi sasa ni ukosefu wa ajira na mitaji. WAKATI NI HUU.
Diaspora wengi wameridhika na Kazi za warehouse au care wachache Sana wanajiendeleza kielimu
sio kupenda . ukiwa na watoto au familia inakutegemea its so hard . my self I would have loved to go back to school but decided to educate my son first he is getting his masters degree in london .
Siyo kupenda MAISHA ya Ulaya yako Magumu and so stressful unatakiwa kulipa chakula nyumba usafiri kodi hata hao wenye elimu kubwa nzuri MAISHA Siyo mazuri HIVYO kama tunavyoyasikia humu. Nenda utaona
@@edwardmkwelele nimeishi sana huko,wenye ujuzi wana nafuu kidogo ya maisha
Mmmh akili namna hii anaolewa kweli?
Tatizo sisi tunafikiria kuolewa zaidi