Kwanini nilisoma Ph.D in Nursing in USA, na pia kuwa Financial Advisor | Dr Veronica

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2022
  • Dr. Veronica Njwaba alikuja USA mwaka 2008 baada ya kumaliza high school, Tanzania 🇹🇿. Sasahivi ana PhD in Nursing na pia Certified Financial Advisor
    Kwa waliopo USA 🇺🇸 wanaweza kuwasiliana naye kwa namba +1 501 269 8958 kupata ushauri wa emergency funds, debt management, retirement planning etc
    #retirementplanning #retirement #ebmscholars

Komentáře • 74

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  Před rokem +21

    Dr. Veronica Njwaba alikuja USA mwaka 2008 baada ya kumaliza high school, Tanzania 🇹🇿. Sasahivi ana PhD in Nursing na pia Certified Financial Advisor
    Kwa waliopo USA 🇺🇸 wanaweza kuwasiliana naye kwa namba +1 501 269 8958 kupata ushauri wa emergency funds, debt management, retirement planning etc

  • @dyamwalesaid2176
    @dyamwalesaid2176 Před rokem +9

    Hii ni moja kati ya interview bora kwangu....maana imeonyesha uhalisia wa maisha ya USA katika suala na kodi na uwekezaji.Shukrani kwa muda wako EDM na hii elimu

  • @unique_god
    @unique_god Před rokem +12

    Dada umekaa marekani muda mlefu lakini kiswahili chako kipo vizuri sio kama wadada wa hapa bongo wakienda marekani mwaka you know , you know nyingi sana

  • @collinmhema5443
    @collinmhema5443 Před rokem +3

    Dada mzuri mjanja msomi ana shule za kutosha anaongea kiswahili kizuri licha ya kukaa us kwa mda mrefu kuna kenge zipo hapa dar zikienda tu hapo kenya zikakaa wiki mbili tu zikirudi tunapata tabu tayar zishasahau kiswahili na maringo kibao nimempenda sana huyu dada naninamuombea

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před rokem +8

    This lady sounds like a tax lawyer right? Nimekupenda bure. Well composed.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem +3

    Uyo dada nimempenda sana yuko mbele lkn English kidogo sana kiswahili sanaa🤝Upendo mwingi kutoka hapa Finland 🇫🇮

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 Před rokem +4

    Financial education is very important 👏👏
    .
    🇹🇿

  • @irenebarakelimnene4895
    @irenebarakelimnene4895 Před rokem +3

    Unadumisha lugha hongera sana dada

  • @hassanabubakari3992
    @hassanabubakari3992 Před rokem +2

    Asante sana EBM, huyu dada akili nyingi sana 👏👏👏👏👏

  • @elphazimanyiri
    @elphazimanyiri Před rokem +3

    Mahojiano bora sana kaka EBM, appreciate.

  • @sportsnyahanga5504
    @sportsnyahanga5504 Před rokem +5

    EBM naomba mtafute doctor kulwa Yuko kule north Carolina. Binti wa daktari kulwa wa mwanza. Wananikumbusha mbali.mamake alikua mwalimu wangu Busia Kenya.

  • @tamarikyando8943
    @tamarikyando8943 Před rokem +4

    Marian girl

  • @thanksgivingchannel6247
    @thanksgivingchannel6247 Před rokem +4

    Congrats Dr Veronica

  • @wanyoikenaftali4114
    @wanyoikenaftali4114 Před rokem +3

    So so inspiring,,proud of our very visionary daughter

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 Před rokem +1

    Alikuwa best friend wangu marian girls secondary school❤

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 Před 4 měsíci

    Dr. Vero, hongera I like the way you express yourself.

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Před rokem +2

    Asante sana kwa elimu hii

  • @queentz8314
    @queentz8314 Před rokem +1

    Mashaalah Mashaalah Dada Veronica keep blessing

  • @mimsbaibemimskim9556
    @mimsbaibemimskim9556 Před rokem +6

    Congrats all the best i need ur advice thanks guys for sharing good information

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před rokem +7

    Ernest unamkatisha sana Veronica muache aongee amalize. Wewe ni interviewer ila ndo unaongea zaidi kuliko Vero mwenyewe. Good interview nonetheless.

    • @harunakayega5531
      @harunakayega5531 Před rokem +3

      Sana alafu anaongea utumbo muache mtu azungumze vitu vya msingi unaleta story zako unprofessional

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Huyo ni muha og

    • @allygibu7003
      @allygibu7003 Před rokem +1

      Na Mimi nashangaa mtangazaji anaongea kumzidi muhojiwa🤣🤣🤣

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage6693 Před 9 měsíci

    Dr Veronica habari dada angu mm naitwa Kisagenta Mollel baomba msaada wa kunisaidia kuja huko Marekani lakini mm ningependa kwensa Canada kufanya kazi ya Truck Driver kwa saabu huku Tanzania mm professional yangu ni driver naomba msaada wako Dr nakuombea kwa mungu ili uwe na moyo wa kunisaidia mungu akubariki Dr Veronica

  • @amanimwakilembe791
    @amanimwakilembe791 Před rokem +1

    Shukrani sana kwa maelezo haya. Kazi nzuri. Kila la kheri wakuu.

  • @jafaritego4142
    @jafaritego4142 Před rokem +3

    Vero yuko very detailed😘✊🏾

  • @florianntulo5731
    @florianntulo5731 Před rokem

    Huyu dada yupo vizuri sana, anamaono makubwa sana, Ernest naomba nipate mawasiliano yake

  • @ummyidriss1972
    @ummyidriss1972 Před rokem +1

    Wee baba unakera unamsemea saana achaa ajieleze mwenyewe

  • @batungwanayojonathan3009

    Nakuburi kazi zako mkuu

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Před rokem

    Nimempenda sana hana majishauo anatiririka kiswahili vyema. Siyo vijibongo vya hapa vikijua kakingetrza ka kuomnea maji tu baaaaaas. Nino moja la kiswahili mawili ya kiingereza tana kibovu

  • @kennychristian6882
    @kennychristian6882 Před rokem +1

    Habari njema sana

  • @safhe-mpungi6075
    @safhe-mpungi6075 Před rokem +1

    Nzuri sana hii, karibu Denver-Colorado

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 Před rokem +7

    Dada Vero ana madini muhimu mno,kuna haja ya kumtafuta.......

  • @ndollafans2339
    @ndollafans2339 Před rokem +1

    Jamn amaizing,akili nyingi sana

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před rokem

    Profound

  • @abiollashayo5698
    @abiollashayo5698 Před rokem

    mnatuumiza tu na kwenda kwenu mbele, maisha yenyew bongo hayaeleweki, tubebeni bas tuwe watumwa tu kama vip

  • @husseinibnuhassan1272

    Ebm uko vizuri kaka

  • @fredymwakalunde5544
    @fredymwakalunde5544 Před 10 měsíci

    she talk truly in open

  • @piusgadau6328
    @piusgadau6328 Před rokem +1

    safi sanaaaa

  • @nahimanauthman7425
    @nahimanauthman7425 Před rokem

    Very interested

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Před rokem +2

    Ernest badilika acha tabia ya kuingilia mahojiano. Unqnoa sana. Wewe tumeahakuchoka

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 Před rokem

    🔥🔥

  • @emmanuelmalanga9275
    @emmanuelmalanga9275 Před rokem +1

    Hi Dr Veronica. Robert Kiyosaki teaches us a lot about financial freedom. What is the easiest place to have financial freedom in the USA compared to Tz.?

  • @tumlakimwaitumule
    @tumlakimwaitumule Před rokem

    Dada ana sumu sana ,well done

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 Před rokem +6

    Tupokigwe oyeee

  • @shabanielia6905
    @shabanielia6905 Před rokem +2

    Kwaiyo sisi wapiga box 📦 iyi interview haituhusu🤣🤣🤣

  • @khalidinadhiri2370
    @khalidinadhiri2370 Před rokem +2

    Great

  • @mohammedbaraka9230
    @mohammedbaraka9230 Před rokem +2

    Nimechelewa kuingia kwenye Channel ila nakupata vizuri brother EBM..

  • @joycesichone1175
    @joycesichone1175 Před rokem

    Nimekupenda unadumisha utamaduni,Swahili lang.

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Před rokem

    Namba

  • @ALEX_0383
    @ALEX_0383 Před rokem

    You are beautiful

  • @salimbahatisha3003
    @salimbahatisha3003 Před rokem

    Me nimempenda tuu huyu dada....VP Kwanza kaolewa?😊

  • @explorelondon3695
    @explorelondon3695 Před rokem

    Kama hujui ulisoma Kwa nini, samahani dada

  • @LifestyleSaverTweaks
    @LifestyleSaverTweaks Před 4 měsíci

    Dr vee ana youtube channel yake?

  • @brishi5274
    @brishi5274 Před rokem

    What is your worth worth net ?

  • @adammakoba4793
    @adammakoba4793 Před rokem

    EBM nicheki inbox tuchonge nakutafuta Sana

  • @samigenge9762
    @samigenge9762 Před rokem

    Jamaa anaongea kuliko mtaalam mwenyewe

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před rokem

    Naweza Pata namba yako?

  • @samrack4779
    @samrack4779 Před rokem

    Trump allegedly wrote off $70,000 in hair cuts as business expenses.
    Looks like I’m getting a full makeup and hair upgrade. #BusinessOwner
    Get you a LLC!

  • @jumakauli
    @jumakauli Před rokem

    Sijambo. Hamjambo? Ninawaomba WATANZANIA mnaoishi Marekani na nchi zingine za nje, muungane watu wawili au watatu au wanne au watano kisha muanzishe kampuni za kuwapeleka watanzania kikazi na kimasomo katika nchi za nje hasa mnakoishi sasa. Kampuni za kiuchumi na biashara ili mfanye biashara za Import and Export kati ya nchi mnakoishi sasa na nchi saba za Jumuiya ya Afrika Mashariki na nchi 16 za SADC. Mje Tanzania mjenge viwanda, hoteli za kitalii, Real estate, mashamba makubwa ya kisasa, migodi na viwanja vya kisasa vya soka. Mmiliki kampuni za kuleta watalii Tanzania. Ni vizuri mtengeneze nafasi za ajira nchini Tanzania na nje ya Tanzania. Mmiliki kampuni na malori na mabehewa ya kusafirishia mizigo Tanzania kwenda nchi jirani. Pia huko mnakoishi mmiliki kampuni na malori ya kusafirishia mizigo ndani ya nchi mnazoishi sasa. Kwani tatizo kubwa la wasomi wengi wa Tanzania hivi sasa ni ukosefu wa ajira na mitaji. WAKATI NI HUU.

  • @joejoshua7791
    @joejoshua7791 Před rokem

    Diaspora wengi wameridhika na Kazi za warehouse au care wachache Sana wanajiendeleza kielimu

    • @organisedme
      @organisedme Před rokem

      sio kupenda . ukiwa na watoto au familia inakutegemea its so hard . my self I would have loved to go back to school but decided to educate my son first he is getting his masters degree in london .

    • @edwardmkwelele
      @edwardmkwelele Před rokem

      Siyo kupenda MAISHA ya Ulaya yako Magumu and so stressful unatakiwa kulipa chakula nyumba usafiri kodi hata hao wenye elimu kubwa nzuri MAISHA Siyo mazuri HIVYO kama tunavyoyasikia humu. Nenda utaona

    • @joejoshua7791
      @joejoshua7791 Před rokem

      @@edwardmkwelele nimeishi sana huko,wenye ujuzi wana nafuu kidogo ya maisha

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před rokem

    Mmmh akili namna hii anaolewa kweli?