Maajabu ya Ambwene Mwasongwe,ameimba pure live kwa Joel Lwaga
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Bonyeza "SUBSCRIBE" ili uwe wa kwanza kupokea matangazo ya habari ya za kikristo, nyimbo na video mpya za muziki wa Injili, Pia utapata nafasi ya kutazama mahojiano mbalimbali, Elimu ya mambo ya jamii, matukio ya muziki wa Injili, mahubiri, na mambo mengine mengi kila siku kutoka ndani na nje ya Tanzania kupitia channel yako pendwa ya GOSPOTV ambayo kusudi lake kubwa ni kuitangaza Injili kwa watu wote.
Pia unaweza kupata updates za matangazo yetu kupitia:
* Tovuti/Website: www.gospomedia.com
* Facebook: / gospomedia
* Instagram: / gospomedia
* Twitter: / gospomedia
* Google+: plus.google.co...
Kwa huduma ya habari na matangazo wasiliana nasi kupitia simu: +255755038159, +255658293696, +255 679 433 323 Email: gospomedia@gmail.com Wote Mnakaribishwa!
#GOSPO | Gospel.Spreading.Power
Ambwene nyimbo zako hazichoshi ila zinazidi kunifanya niwe juu barikiwa sanaaaa
Kaka Ambwene Mungu akubariki sana, kazi yako ni njema mno. Endelea kunyenyekea.
Love you brother wangu ambwene 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘naupenda Sana Huuu wimbo
abwene Mungu akubariki sana una sauti nzuri sana hakika umekuwa Baraka sana kwangu katika uimbaji wako, Mungu akuinue sana sana sana
Barikiwa sana Kaka
Nakupenda sana
Ambwene Mungu akubariki, nabarikiwa sana na huduma yako.
Nyimbo zako zinaponya moyo wangu Sanaa.. Mungu akubariki sana 🙏
nabarikiwa sana kwakweli Mungu atakulipa zaidi kaka ambwene
Mubashara inapendeza zaidi kaka ambwene.. Na tuijengee vizur
Yaan akapela hii imenigusa sana, sifa kwa MUNGU ALIYE JUU
God bless you my Brother you've singed well!!
MUNGU azidi kukubariki🤗
MUNGU akupe maisha marefu
Upo vizuri sana. mtu wa mungu Hongera sana
mubarikiwe kwa huduma njema
wow...
Asante Ambwene ulipewa kuimba ili nipone,
Amen..!
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Nice
So nice
Barikiwa sana kaka Ambwene
Barikiwa mtumishi
Njema sana!
mung akubarki abwene
Amen kaka
amen
Jehova is your name
barikiwa sana mtumishi,Upendo haupo ktk maneno wala hauonekani kwenye raha bali huzibitika wakati wa shidaaaa
Tamasha zuri sana lakini tujifunze hata kwa jirani zetu Kenya , wanamuziki wapo ila wanakatiza katiza tu stejini.
Wanaongea sana kuliko kufanya kilicho waweka hapo, samahani kama nime wa kwaza
uko sahihi WaTZ wengi hawana ustaarabu
EDWARD MWAMBOPE wapiga vyombo walikuwa hawajajipanga na pia skills zao especially waliokuwa na guitar inabidi next time wasifanye makosa ya kutest vyombo vyao kwenye live performance
Good