MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2024
  • MFALME ZUMARIDI - ''MIMI SIO MUNGU - YUPO NDANI YANGU - WAANDISHI MUNANIWEKEA NYOKA SIO VIZURI''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 107

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 13 dny +4

    Mkorogo oyeeee 👍

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 13 dny +2

    Yaani ungelikuwa kwenye nchii nyengine ukijisifia ujinga na kumshirikisha Mungu ungelitiwa ndani

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před 13 dny +5

    Nimetamanj ku comment ila sitaki kumkufuru Mungu wangu Mungu wa Ibrahim na Isack

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg Před 10 dny

      Mi na moment maana nakumbuka yeye alisema anakwebda mbinguni mara nyingi , nimekubali huyu dada ni kichaa siyo mzima kicwani.

  • @user-my4gd9px7s
    @user-my4gd9px7s Před 11 dny +1

    Kumbe sasa hivi hajiiti Mungu, safi sana, hilo baso ni pigonla kwanza tusuburi next.

  • @EvelinQueen
    @EvelinQueen Před 9 dny

    Ee Mungu tupe kuyatambua majira na nyakati maana haya yote Yesu alisema sas mda ndo huu Yesu yukarib kurudi

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Před 13 dny +4

    Dishi bado halijakaa bado halijakaa sawaaa

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u Před 12 dny +2

    Mpinga kristo huyu walioko rohoni watakua wamemjua cku za mwisho hizi. Ila wkumbuke Mungu haziwakuwagi.mtu mwenye Yesu hayuko ivi

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 Před 10 dny

    Ameacha kujiita mungu chini ya jua

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Před 13 dny +7

    Unaweza ukawana waumini ef tano lakini hata watatu walio andikwa kwenye kitabu Cha uzima hawapo,itakusaidia Nini,miujiza sio tiketi ya kwenda Mbinguni,,

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n Před 12 dny

      Utajuwaje kama tiketi ya mbinguni Hana? Wewe ni Mungu mpaka umuhukumu wewe unajihesabia haki wewe kama nani?usihukumu usije ukahukumiwa

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 Před 12 dny

      @@user-eb9ni9sb3n hakuna hukumu ya kumuhukumu Nabii wa kuzimu anaye kokota maelfu kwenda jehnm,,kwaiyo uko radhi Mtu mmoja asihukumiwe,ila aongoze maelfu kuzimu,wao mnao watetea wenzenu hawacheki na nyie,kaa kiroho ndugu tupo siku za mwisho una mtazama Mtu kimwili au unaridhika na maneno yake pole we

  • @user-hh7df4mq1j
    @user-hh7df4mq1j Před 13 dny +4

    Hao wanao abudu kwake akiri zao ziko vizurii kweli mm nayaona kama mazombie

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Před 12 dny +1

    Naomba kuuliza hizi online tv mnampa air time za nini??

  • @GIDIONIYEREMIA
    @GIDIONIYEREMIA Před 13 dny +5

    We mama usipo Kua makini utayeyuka ghafla

  • @LucasKaik-xt8qe
    @LucasKaik-xt8qe Před 11 dny

    Mwehu kweli wew, umemtaja mbarikiwa et amenyamanzishwa au humsikilizagi siku hizi hajapoa hata kidogo.

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 13 dny +3

    Sawa Eunice wa kisukuma

  • @deadcrush
    @deadcrush Před 13 dny

    Mungu kakimbia.

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po Před 13 dny +4

    Hili dada shetani😢 eish dunia hii

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 Před 13 dny +1

    Kheee!Yeye ni mwamba,King Zumaridi.........😂😂. I thought I've seen n heard it all
    Kila nikimuona nakumbuka ile sura ya Millard very serious "Jua!!??Usiku!!?🤣🤣

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele Před 9 dny

    Jaman tujihadhal shetan yupo kazin hakuna mungu hapo

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz Před 12 dny +1

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 Před 13 dny

    Umependeza mfalme

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi8401 Před 11 dny

    Shetani yuko ndani yako, iwe mwanzo na mwisho leo kumtaja Mbarikiwa kwenye DOMO lako hilo mbavûuuuweee

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Před 13 dny +5

    Muwakilish wa shetan

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Před 13 dny +2

    "Yesu kambeba Mungu" uislam raha saana straight forward no contradictions!

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 12 dny +2

      Uislam na shetani ni uji na mgonjwa

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani6954 Před 18 hodinami

    Hadi chumbani milad kaingia 😂😂😂 hajananihiliyuu Jmn maana anapenda vitoto huyu Dada

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před 12 dny +1

    Nilikuwaga na fikiri ndo mama mzazi wa gigi many juu ni copy right

    • @amosibilingi4299
      @amosibilingi4299 Před 10 dny

      Ila kweli jmn mbona kama vile, dah! Kweli dunian tuko double double

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 13 dny

    Mungu akulaani ww mama Acha kucheza na Mungu nyani ww usio ogopa yaani mnacheza na Mungu bila khofu anaweza kukugeuza nyani shenzi mkubwa

  • @Isabella-ww8ks
    @Isabella-ww8ks Před 13 dny

    Watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa😢

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před 13 dny

    Mungu anakutakianini sheitani moja akuiingie kivipi kwa Ibadan gani ulio nayo hata akushuhulikie pekee yko ww nyama tubu

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Před 13 dny +1

    ''BANGI ZA CHOONI''

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 Před 11 dny

    DADA D LEO UMEROPOKA VIZURI....

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 Před 13 dny

    Sasa unajisifia mwenyewe

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi Před 8 dny

    Kinachonishangaza jamn naona anawaumini watu wazima kabisa wenye akilitimamu .inawezekananje uyu mwehu anafanya iv .mala kanumba amgufufue mala mbinguni magolafa alafu mazee yana kaa yanamsikiliza uyu mwezi mchanga uyu ...

  • @hamadwazir2733
    @hamadwazir2733 Před 12 dny

    Kumbe unajua kama kuna mungu ww ni nan sas unakufuru

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před 12 dny

    Eti , mbarikiwa ,kaufyata, mbarikiwa sio , type yako wewe 😊

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před 11 dny

    Dada njoo geto uje ufue nguo zangu alafu nikupake mafuta ya upako maana wew ni ,,,,,

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před 11 dny

    Haya miladi ayo unaitwa huku😅

  • @jkuser7593
    @jkuser7593 Před 11 dny

    Akili imekukaa sasa ulijitamba wewe Mungu leo umebadili msemo woiii acha ujinga wako

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před 12 dny

    Ili limama nilitajiri kweli,kweli,tena lisukuma.

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 12 dny

    Milladi alikula hilo zigo.

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 Před 12 dny

    Huyo dada wa nyuma kafanana na mfanyakazi wa ahime wa Kendra

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 Před 13 dny

    😂 Sasa ngoja Mbarikiwa akusikie😂😂😂😂

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před 13 dny

    Huyo bodigad wa nyuma anavoitikia sasa😂😂

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 13 dny +1

    Shetwani huyo yupokazini

  • @JeniferNgolanya-gt5xx
    @JeniferNgolanya-gt5xx Před 13 dny +1

    Muwakilishi wa shenanigans.. nakuchukia mbaya siku zako zaja...devil ww

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 Před 13 dny +1

    Wewe mweu zumaridi piga ela zako tu mwamba wapi wewe

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Před 13 dny

    Huyu mlugaluga nae ana afya ya akili😂😂😂😂😂😂😂

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 13 dny

    Anaongea mpaka koo linanikauka mimi

  • @reginaldshirima5646
    @reginaldshirima5646 Před 13 dny

    Mwili wako utaliwa na ndege wa angani na wanyama wa porini

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 13 dny

    Huyu ni mtu kama yule mtu wanaomwamini akina flani. Lakini wanavyomtukana kama wao hawalijui kaburi lake jamaa yao.

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před 13 dny +1

    Zama za mwisho huyu ni Dada yake Masih Dajjal,Sasa kazi kwenu Wafuasi kunawa au kutokunawa, Ukimfuata Motooo utakula kwako,😮😮

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 13 dny

    Watu wamejaa na pesa unazidi kupiga si umalizie tu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 13 dny +1

    Kumbe Bado yupo😂😂😂

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před 13 dny +1

    Huyu mama akili zake anazijua mwenyewe cheki na alivyo jipodoa ka robot unice

  • @vom84
    @vom84 Před 13 dny

    Mmmh mbona huyu hafanani na yule wa gerezani? Au ni mwingine

  • @thamratysuleiman3053
    @thamratysuleiman3053 Před 13 dny

    Anahashuo

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 13 dny

    Huyu ni Amber Ruty aliechangamka

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 13 dny +1

    Mie nae niko busy tu kuangalia brazia ya Mfalme hapo kifuani.😝

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga Před 13 dny

    Huyo shetani katokea wapi tena

  • @nancyenock5601
    @nancyenock5601 Před 13 dny

    Kama Giggy kiasi fulani

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Před 13 dny

    Anahitaji wenye akili wa mshauri

  • @user-eo3xr2ld3g
    @user-eo3xr2ld3g Před 13 dny

    Mpuzi mkubwa ww utakufa vibaya

  • @teddylyimo5897
    @teddylyimo5897 Před 12 dny

    We mchawi tuu huna kitu shetanii mkubwa ww

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 Před 12 dny

    Kumbe Millard Ayo alifika Chumbani kwa Mfalme Zunarid na Hatujui😂

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 13 dny +1

    Wee mwehu na wehu wenzio unaukweli gani shetani mkubwa subiri tu siku zako kwa muumba zinahesabika

    • @user-eb9ni9sb3n
      @user-eb9ni9sb3n Před 13 dny

      Kati yeye nawewe nani mwehu?huna unachokijuwa ndiyo maana unaropoka Linda kinywa chako kitakugharimu

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k Před 12 dny

    Haka kashetani kananiuma sana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 13 dny

    Watu mnashida. Mnafanya hukumu ni kazi yenu?
    Sisi wenyewe tuna midhambi yakufa mtu. Kama yeye anajitambua ana Mungu ndani yake shida yetu ni nini haswa. Mwacheni aendelee na mambo yake sisi wote tutakitana na Mungu siku ya hukumu.

  • @user-ub1yx5vc8b
    @user-ub1yx5vc8b Před 13 dny

    Kila anayemfuata huyu shetani ni zizu

  • @mulolemary1317
    @mulolemary1317 Před 13 dny

    Tafuta pesa za kula na make up achana na shirk

  • @KasemaTV
    @KasemaTV Před 13 dny

    wewe ndiwe masihi wa kizazi hiki wakubali wakatae ndivyo ilivyo

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp

    🤣🤣🤣🤣

  • @user-eb9ni9sb3n
    @user-eb9ni9sb3n Před 13 dny +1

    Ipo siku mtajuwa kuwa Zumaridi ninani nyinyi mnaishia kutukana mwenzenu anazidi kupaaa nyinyi mnayetukana mnjulikana nanani?mwenzenu dunia nzima wanamtambuwa nyinyi hata balozi wako wa mtaa hakujui acheni chuki zisizo na msingi Zumaridi ni Mungu mkatae mkubali haibadiliki

    • @jkuser7593
      @jkuser7593 Před 11 dny

      😂😂😂 pole yako mweee

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 Před 17 hodinami

      Mungu anakunya chooni,anapelekwa gerezani,anafanya mapenzi Jmn hizo hisia za nini kajiwekea😮😮

  • @drsilo
    @drsilo Před 13 dny

    Ukiristo una shida kweli alimradi hamdi dini kila mmoj ana mambo yake😂
    Ila karibuni ktk din ya haki kitabu kimoj tu ni QURAN

    • @charlesmwasi7646
      @charlesmwasi7646 Před 13 dny

      Nani amemwambia huyo mkristo?? Kwenu huko Kuna mbingu zenye wanawake na mapombe Mambo ya kidunia kabisa, hatutaki kabisa.

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 Před 17 hodinami

      ​@@charlesmwasi7646kasome vzr hizo pombe hujaelewa kaka

  • @Gloria-vh5bz
    @Gloria-vh5bz Před 12 dny

    Ninaowahurumia ni hayo mazombie yake Hapo nyuma

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 13 dny

    Hivi waandishi siwalishakatazwa kumhoji huyo mama.

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija Před 13 dny

    Global kwanini mnamuhoji huyo kwani nanini kawatuma nimekuwa nimeshakwisha msahau huyo iblis myacheni huo Mungu yupo daima kitamrambaga tu