DUH! KUMBE GIGY NDIO ALIMTAKA BWANAAKE NAI, SIRI YAVUJA, NAI AONGEA MAZITO
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- DUH! KUMBE GIGY NDIO ALIMTAKA BWANAAKE NAI, SIRI YAVUJA, NAI AONGEA MAZITO
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nai is very smart gigy atulie kwanza gigy ndio alikuwa demu wa kwanza kufanya interview na kuwataja wanaume zake gigy hajielewi maisha yakimshinda anaingia mtandao analia lia
Nai yuko so matured mungu azidi kukuinua dada♥️👐
Usijimalize sanaaa huend gigi kashatembea na huy bwana ako hiv umpigie sim umuulize unazan ndo atasema kama kweli au wew nae umeanz vizuri mwish umeharibu mwanaume sio kiumbe wa kumuamini sana hivyo
Tatizo hamsemi ukweli na sisi tuko na gigy tunataka muwe wakweli
Ukiona mwanaume anakukataza urafiki na mtu jua anamtaka
Deliver Nyinyi wote wadangaji amna speed ya biashara ya pesa mnayoongelea nyinyi acheni utoto....hapanaga faida na mafanikio ya speed eti namjua since day 1 Qmmk achen utoto
Mbona huyu dada Ni Kama anateseka🥱 Nani ameona Kama mimi
Mie Naona maana gig wala haraka jina lakini wamekuja juu kama moto wa kifua
WE NAI MWANAUME AWEZI KUKUBALI UNAWAJUA WANAUME WEWE
Kitendo Cha kukataa tu ni heshma tupu kwa nai na gigy atafute bwana wa maana aaache wivu
Anawazimu
Hawa mademu huwa hawanaga bwana mmoja,, tena sio madem wakukaa unajisifia kwa wanaume wenzio ni malaya tu ,, sema wakiambiwa ukweli ndo wana mind
Kwani na yeye si adange giggy;mbona ni kazi rahisi tu kudanga
Ukiona wenzio wanatoboa na wewe danga;hatutaki chuki.
kama huna hata nyota ya kudanga sasa biashara utaiwezea wapi???
Mchaga mwehu kama mpnz kakununulia kitu sio danga bhna
Danga ni mtu ambaye umdate it’s like crush
Sawa dadaake
Nai she is very smart
Hatakama kadanga kama kadanga afu kafungua duka that a smart move. Wengine mnadanga hela zenu zinaishia hello jua😂😂😂😂
Ndio nikweli kabisa
Uzuri ni kuwa Gigy alisema hela siyo zao na kumbe ni Kweli msiwe mnasema tumesota.
Jamani naomba kuuliza mimi sijawai tumia kucha zabandi (mshamba) je? Wanye kucha ndefu wakienda Chooni wa nafanya je ili kubaki wasafi kucha zao? Nielimishe jamani🙏
Wanazisugua na mswaki uchafu unatoka
Kumbe, Asante kwa kunifungua macho. Kumbe mimi ni mvivu pia ninakinyaa cha ushamba. Kumbe mda unatosha Sana hata tukiamua kuwa na Dk 10 kila siku kwaajili ya Mungu.
@@tumusiimeomukama3151 jmn😂sio ushamba ni upendeleo wa mtu
Nai jiandae lazima anachukuliwa na vidio utaipata hapana chezea gigy
Empambo ezo kayakukuniga nofa mwana watata
Hivi Huyu dada anajua wanaume kweli??
Anapayuka
Unategemea akuambie nikweli au 😄😄unamfumania uchi wa mnyama na anakukatalia sembuse skendo
Nimependa coment yako
Gigy kajinyea dem mbov vile kashaumbuka ahahaha
Ndio icho alicho kisema Gigy msikatae kuwa mmepewa surport kama umesaidiwa kigugumiz chann jmn
Kwani ukipewa support ndio umedanga
😂😂😂😂Sasa Nai Alitaka Mwanaume Akubali Au😂hivi Huyu anatujua Wanaume😂😂
Nashangaa. 🤔
😂😂😂
Hawajui wanaume nyau huyu
@@joycemalaso7349 🤣🤣🤣
Apokwanza 😄😄😄😂🤣
Nai anaumia sana
Wewe pia akili huna una mpigia bwana Yako Ili iweje maswala a a kike hayo jani
Nyie wote wale wale bana
Nai rudi dodoma bwaanah aha😥
Watu wanaona wasafitv kama hovyo sana ila hizi story zinachangamsha game🔥
Sanaaa mm napenda sana kuzifatilia 😂😂
@@rehemalukali8326 wanafurahisha sana saiv diva kampost gigy et nampenda sana ggy akaja kukoment wee🔥🔥😀😀😀😀
@@njoroboihustla125 😂😂😂😂😂
@@rehemalukali8326 wananichekesha ase
We Kila mtu anaiba bwanaako tunda hivo ww bwanaako ni bwana wa bwana 😀😀😀🤸
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimechekaaa eti bwana wa mabwanaa
Ee kazidi hee
Mchaga anakujua wapi wewe? Pambana na shida zako. Humfikii gigy hata uzikiri uchiiii. Miwani ka kiwavi jeshi
Kumbe ukiwa na mshiko wagombewa eeeh!!?
Pesa inaongoza afrika juu ya umaskini mwingi ,huku finland uwezi ona mtoto mdogo wakike anashobokea mtu mzima kisa ela zake ,wazee huku wanatembea na wazee wenzio ,njaa ni mbaya kabisa.
Kudadekizako kumbe boyfriend mimi nikafikiri mumewo 🤣🤣 uta achwa
naizuri jmn
Malaya woteee
Gigy inatakiwa akae ajitambue tu
Vijanamke vyetu vingi vibaya alafu ndio visuperstar vyetu mawani makubwa kuliko sura
Kichaa Mala bwna wanampgia bwana angu, Mala Hana namba ya bwana angu
First
Kutwa giggy kutoka na wanaume suruali/watoto na kujisifu mtandaoni anatongoza na kumgaramia mwanaume..🤣🤣🤣🤣🤣sasa asiymie roho wenzie wakidate kwa faida ama kudanga na wakatoboa🤣🤣🤣🤣🤣akili kichwani bibie 🤣🤣🤣gawa duka lako bure uzeeke maskini wenzio wazeeke na mabilioni..
Hatutaki chuki za kijinga..danga na wewe uendelee
Gigy njoo umeabishe mtu na bwana wake. Tuambie na jina na sura tumjea huyu mtu mzima
We mlaya huwezi shindana na gigy hamto muweza
Gigy ananin sasa?😆😅 akishindwa kulipa kodi analia lia yuko na wivu asiye danga nani nchi hii? Anadanga mama samia kwa ajiri yetu ebu toa ushabiki maandaz
@@ibrahimkibira9943 🤣🤣🤣🤣 Mama Samia mwenyewe Rais" yuwadanga na Mandege leo Nchi" hii kesho Nchii ile🤣🤣🤣🤣
💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥
@@barakatabdul3212 yani 😅😆 gigi mshamba msichana mzuri kujichetua muda wote ukiona mtu anamfagilia gigy ujue akili zake kama za gigy angalia page ya nai au ya huyo niffer wako na biashara zao gigy money yeye kutwa kukata viuno Tanzania nchi hii kuna watu wa ajabu wanapenda kufatilia ujinga na upumbavu gigy kapata ustaaa kwa kaa kaa uchi
@@barakatabdul3212 pambeee 😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Wwe mbwaa huezi sema tukuamini Giggy alisema fact muache kudanganya watu eti pesa za biashara nyoko,,,,,,,,,wakati unaenda danga huko nyama wewe
💯💯💯💯💯💯💯✌✌✌ Gigy Gigy money 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Achausenge we demu hebu tupe huo ushaidi yakuwa yeye gigy ndo alimtaka bwanaako hebu tupe ushaidi matako ww gigy kakuzidi we boya
We mwanaume angalia kauli zako mbona kama una msuta vp shekhe yani ugomvi wa mademu unakua mshabiki acha izo
Mbona umeumia Sana wee said
@@pennygibson4542 ana hasira kawa mkali sjui nini shida
Mwanaume unaongea mada za kike na matusi kama unafirwa au musenge si tunapenda mikundu iyo
We said au mwana idi
Kazi mnazo jamaan
Giggi hata mimi sina ela ila hata nimkute kalala uchi namruka nani anataka ku date na mlevi na chizi kama yule....
imeisha hiyo
😂
Anamidevu kweli😂😂😂😂
Ggy anatafta kiki kwa mabint wa watu wenye tabia nxur wakt yye n kahaba
Mbona chuki jamani si mtafuti na nyie alafu kama mwanaume uko naye si danga ni boyfriend so ana haki ya kukusaidia akitaka huyo sio danga kudanga ni ukalale na mwanaume alafu ulipwe
Nai ameongea ukweli mwanamke kupambana achana na Gigy maneno mengi na bangi
Ggy maixha yameixhinda
Usiusemee moyo wa mtu hata kama ni rafiki yako kivipi
Kweli ni watoto 😁😁😁😁😁😁😁
Ila wasaf wagombani nishi jaman tok juz unaowaoj wat hao hao tu mtu pumzish jaman kwan hakun wat wngn
sasa wew unakwama wap wew kaa kimya unavoshoboka mm nakuelew kam danga pilipili usiyo ila yakuwashia nn kama ungekua udangi isingekuuma
Gigy anamdomo mchafu .