DUH! KUMBE GIGY NDIO ALIMTAKA BWANAAKE NAI, SIRI YAVUJA, NAI AONGEA MAZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • DUH! KUMBE GIGY NDIO ALIMTAKA BWANAAKE NAI, SIRI YAVUJA, NAI AONGEA MAZITO
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 98

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před rokem +19

    Nai is very smart gigy atulie kwanza gigy ndio alikuwa demu wa kwanza kufanya interview na kuwataja wanaume zake gigy hajielewi maisha yakimshinda anaingia mtandao analia lia

  • @atukuzwelameck4869
    @atukuzwelameck4869 Před rokem +22

    Nai yuko so matured mungu azidi kukuinua dada♥️👐

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 Před rokem +8

    Usijimalize sanaaa huend gigi kashatembea na huy bwana ako hiv umpigie sim umuulize unazan ndo atasema kama kweli au wew nae umeanz vizuri mwish umeharibu mwanaume sio kiumbe wa kumuamini sana hivyo

  • @naimamkude4997
    @naimamkude4997 Před rokem +5

    Tatizo hamsemi ukweli na sisi tuko na gigy tunataka muwe wakweli

  • @joycemalaso7349
    @joycemalaso7349 Před rokem +8

    Ukiona mwanaume anakukataza urafiki na mtu jua anamtaka

  • @tbwayjunior8947
    @tbwayjunior8947 Před rokem +2

    Deliver Nyinyi wote wadangaji amna speed ya biashara ya pesa mnayoongelea nyinyi acheni utoto....hapanaga faida na mafanikio ya speed eti namjua since day 1 Qmmk achen utoto

  • @Umico_63
    @Umico_63 Před rokem +7

    Mbona huyu dada Ni Kama anateseka🥱 Nani ameona Kama mimi

    • @kulthumkhan1935
      @kulthumkhan1935 Před rokem

      Mie Naona maana gig wala haraka jina lakini wamekuja juu kama moto wa kifua

  • @tatotato506
    @tatotato506 Před rokem +13

    WE NAI MWANAUME AWEZI KUKUBALI UNAWAJUA WANAUME WEWE

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Před rokem +1

    Hawa mademu huwa hawanaga bwana mmoja,, tena sio madem wakukaa unajisifia kwa wanaume wenzio ni malaya tu ,, sema wakiambiwa ukweli ndo wana mind

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +6

    Kwani na yeye si adange giggy;mbona ni kazi rahisi tu kudanga
    Ukiona wenzio wanatoboa na wewe danga;hatutaki chuki.
    kama huna hata nyota ya kudanga sasa biashara utaiwezea wapi???

  • @nanaleetz
    @nanaleetz Před rokem +9

    Mchaga mwehu kama mpnz kakununulia kitu sio danga bhna
    Danga ni mtu ambaye umdate it’s like crush

  • @calvinhood2202
    @calvinhood2202 Před rokem +1

    Nai she is very smart

  • @missdija4959
    @missdija4959 Před rokem +19

    Hatakama kadanga kama kadanga afu kafungua duka that a smart move. Wengine mnadanga hela zenu zinaishia hello jua😂😂😂😂

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem +4

    Uzuri ni kuwa Gigy alisema hela siyo zao na kumbe ni Kweli msiwe mnasema tumesota.

  • @tumusiimeomukama3151
    @tumusiimeomukama3151 Před rokem +5

    Jamani naomba kuuliza mimi sijawai tumia kucha zabandi (mshamba) je? Wanye kucha ndefu wakienda Chooni wa nafanya je ili kubaki wasafi kucha zao? Nielimishe jamani🙏

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před rokem

      Wanazisugua na mswaki uchafu unatoka

    • @tumusiimeomukama3151
      @tumusiimeomukama3151 Před rokem

      Kumbe, Asante kwa kunifungua macho. Kumbe mimi ni mvivu pia ninakinyaa cha ushamba. Kumbe mda unatosha Sana hata tukiamua kuwa na Dk 10 kila siku kwaajili ya Mungu.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před rokem

      @@tumusiimeomukama3151 jmn😂sio ushamba ni upendeleo wa mtu

    • @modadiiiooop3336
      @modadiiiooop3336 Před rokem

      Nai jiandae lazima anachukuliwa na vidio utaipata hapana chezea gigy

    • @lilianmiguma6656
      @lilianmiguma6656 Před rokem +2

      Empambo ezo kayakukuniga nofa mwana watata

  • @merciesmercie1759
    @merciesmercie1759 Před rokem +10

    Hivi Huyu dada anajua wanaume kweli??

  • @happystephano3097
    @happystephano3097 Před rokem +8

    Unategemea akuambie nikweli au 😄😄unamfumania uchi wa mnyama na anakukatalia sembuse skendo

  • @mr.pilipili5289
    @mr.pilipili5289 Před rokem +4

    Gigy kajinyea dem mbov vile kashaumbuka ahahaha

  • @happystephano3097
    @happystephano3097 Před rokem +6

    Ndio icho alicho kisema Gigy msikatae kuwa mmepewa surport kama umesaidiwa kigugumiz chann jmn

  • @lama6310
    @lama6310 Před rokem +10

    😂😂😂😂Sasa Nai Alitaka Mwanaume Akubali Au😂hivi Huyu anatujua Wanaume😂😂

  • @naimamkude4997
    @naimamkude4997 Před rokem +1

    Nai anaumia sana

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +3

    Wewe pia akili huna una mpigia bwana Yako Ili iweje maswala a a kike hayo jani

  • @vivianvivian8585
    @vivianvivian8585 Před rokem +2

    Nyie wote wale wale bana

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Před rokem +2

    Nai rudi dodoma bwaanah aha😥

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Před rokem +2

    Watu wanaona wasafitv kama hovyo sana ila hizi story zinachangamsha game🔥

    • @rehemalukali8326
      @rehemalukali8326 Před rokem

      Sanaaa mm napenda sana kuzifatilia 😂😂

    • @njoroboihustla125
      @njoroboihustla125 Před rokem

      @@rehemalukali8326 wanafurahisha sana saiv diva kampost gigy et nampenda sana ggy akaja kukoment wee🔥🔥😀😀😀😀

    • @rehemalukali8326
      @rehemalukali8326 Před rokem

      @@njoroboihustla125 😂😂😂😂😂

    • @njoroboihustla125
      @njoroboihustla125 Před rokem

      @@rehemalukali8326 wananichekesha ase

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 Před rokem +5

    We Kila mtu anaiba bwanaako tunda hivo ww bwanaako ni bwana wa bwana 😀😀😀🤸

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před rokem +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hildaarbat6684
      @hildaarbat6684 Před rokem +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimechekaaa eti bwana wa mabwanaa

    • @elvilamwambambale950
      @elvilamwambambale950 Před rokem

      Ee kazidi hee

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 Před rokem +6

    Mchaga anakujua wapi wewe? Pambana na shida zako. Humfikii gigy hata uzikiri uchiiii. Miwani ka kiwavi jeshi

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před rokem +1

    Kumbe ukiwa na mshiko wagombewa eeeh!!?

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Před rokem +1

    Pesa inaongoza afrika juu ya umaskini mwingi ,huku finland uwezi ona mtoto mdogo wakike anashobokea mtu mzima kisa ela zake ,wazee huku wanatembea na wazee wenzio ,njaa ni mbaya kabisa.

  • @nurahmahmoud6989
    @nurahmahmoud6989 Před rokem +1

    Kudadekizako kumbe boyfriend mimi nikafikiri mumewo 🤣🤣 uta achwa

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 Před rokem +2

    naizuri jmn

  • @justnjustn6168
    @justnjustn6168 Před rokem +2

    Malaya woteee

  • @lucykambarage8250
    @lucykambarage8250 Před rokem

    Gigy inatakiwa akae ajitambue tu

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před rokem

    Vijanamke vyetu vingi vibaya alafu ndio visuperstar vyetu mawani makubwa kuliko sura

  • @jacquirinekatto1764
    @jacquirinekatto1764 Před rokem

    Kichaa Mala bwna wanampgia bwana angu, Mala Hana namba ya bwana angu

  • @drjamesjames9337
    @drjamesjames9337 Před rokem +1

    First

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +1

    Kutwa giggy kutoka na wanaume suruali/watoto na kujisifu mtandaoni anatongoza na kumgaramia mwanaume..🤣🤣🤣🤣🤣sasa asiymie roho wenzie wakidate kwa faida ama kudanga na wakatoboa🤣🤣🤣🤣🤣akili kichwani bibie 🤣🤣🤣gawa duka lako bure uzeeke maskini wenzio wazeeke na mabilioni..
    Hatutaki chuki za kijinga..danga na wewe uendelee

  • @bellabakera
    @bellabakera Před rokem +1

    Gigy njoo umeabishe mtu na bwana wake. Tuambie na jina na sura tumjea huyu mtu mzima

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před rokem +6

    We mlaya huwezi shindana na gigy hamto muweza

    • @ibrahimkibira9943
      @ibrahimkibira9943 Před rokem +1

      Gigy ananin sasa?😆😅 akishindwa kulipa kodi analia lia yuko na wivu asiye danga nani nchi hii? Anadanga mama samia kwa ajiri yetu ebu toa ushabiki maandaz

    • @barakatabdul3212
      @barakatabdul3212 Před rokem +1

      @@ibrahimkibira9943 🤣🤣🤣🤣 Mama Samia mwenyewe Rais" yuwadanga na Mandege leo Nchi" hii kesho Nchii ile🤣🤣🤣🤣

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před rokem

      💯💯💯💯💯💯💯🔥🔥🔥🔥

    • @ibrahimkibira9943
      @ibrahimkibira9943 Před rokem +1

      @@barakatabdul3212 yani 😅😆 gigi mshamba msichana mzuri kujichetua muda wote ukiona mtu anamfagilia gigy ujue akili zake kama za gigy angalia page ya nai au ya huyo niffer wako na biashara zao gigy money yeye kutwa kukata viuno Tanzania nchi hii kuna watu wa ajabu wanapenda kufatilia ujinga na upumbavu gigy kapata ustaaa kwa kaa kaa uchi

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před rokem

      @@barakatabdul3212 pambeee 😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salimsaid2588
    @salimsaid2588 Před rokem +2

    Wwe mbwaa huezi sema tukuamini Giggy alisema fact muache kudanganya watu eti pesa za biashara nyoko,,,,,,,,,wakati unaenda danga huko nyama wewe

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před rokem

      💯💯💯💯💯💯💯✌✌✌ Gigy Gigy money 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před rokem +5

    Achausenge we demu hebu tupe huo ushaidi yakuwa yeye gigy ndo alimtaka bwanaako hebu tupe ushaidi matako ww gigy kakuzidi we boya

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem +3

      We mwanaume angalia kauli zako mbona kama una msuta vp shekhe yani ugomvi wa mademu unakua mshabiki acha izo

    • @pennygibson4542
      @pennygibson4542 Před rokem

      Mbona umeumia Sana wee said

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      @@pennygibson4542 ana hasira kawa mkali sjui nini shida

    • @homesaickofficial7407
      @homesaickofficial7407 Před rokem

      Mwanaume unaongea mada za kike na matusi kama unafirwa au musenge si tunapenda mikundu iyo

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před rokem

      We said au mwana idi

  • @sulehyamdemu9301
    @sulehyamdemu9301 Před rokem +1

    Kazi mnazo jamaan

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před rokem

    Giggi hata mimi sina ela ila hata nimkute kalala uchi namruka nani anataka ku date na mlevi na chizi kama yule....

  • @keynasseib9999
    @keynasseib9999 Před rokem

    imeisha hiyo

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před rokem +1

    Anamidevu kweli😂😂😂😂

  • @hashimahashimu7366
    @hashimahashimu7366 Před rokem

    Ggy anatafta kiki kwa mabint wa watu wenye tabia nxur wakt yye n kahaba

  • @linahcharles1619
    @linahcharles1619 Před rokem

    Mbona chuki jamani si mtafuti na nyie alafu kama mwanaume uko naye si danga ni boyfriend so ana haki ya kukusaidia akitaka huyo sio danga kudanga ni ukalale na mwanaume alafu ulipwe

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem

    Nai ameongea ukweli mwanamke kupambana achana na Gigy maneno mengi na bangi

  • @islamibrahim4525
    @islamibrahim4525 Před rokem

    Ggy maixha yameixhinda

  • @musiccaentertainment100k8

    Usiusemee moyo wa mtu hata kama ni rafiki yako kivipi

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Před rokem +2

    Kweli ni watoto 😁😁😁😁😁😁😁

  • @pilikhamis7830
    @pilikhamis7830 Před rokem +1

    Ila wasaf wagombani nishi jaman tok juz unaowaoj wat hao hao tu mtu pumzish jaman kwan hakun wat wngn

  • @giftkimario7506
    @giftkimario7506 Před rokem

    sasa wew unakwama wap wew kaa kimya unavoshoboka mm nakuelew kam danga pilipili usiyo ila yakuwashia nn kama ungekua udangi isingekuuma

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Gigy anamdomo mchafu .