PART 1: SAMIA QUEENS - WANAWAKE MOTO (STUDIO) | SAMIA QUEENS WAKIREKODI, ZUCHU, NANDY, ANJELLA...
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- PART 1: SAMIA QUEENS - WANAWAKE MOTO (STUDIO) | SAMIA QUEENS WAKIREKODI, ZUCHU, NANDY, ANJELLA...
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mbosa ni moto kwa kweli mtunzi mzuri sana blaza huyu respect kwako, tunapenda kaz zako na wasafi kwa ujumla kuupushi mziki mzuri wa Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nyimbo imeandikwa na zuchu, mbosso amekuja tu kujazia na kurekebisha vipande vidogo
@@Sunflower001-xt3ounyimbo ametunga mbosso kama hujui sas
Zuchu wrote this song in January
Zuchu kaandika nyimbo Mbosso amekuja tu kushindikiza
@Sunflower001-xt3ou kwa hyo unapingana na watoa taarifa yao,ww ndio unajua zaid🤣🤣🤣🤣
Kumbe mbosso ana uwezo mkubwa hivi daah sikuwai kulifikilia hili
Kumbe hii nyimbo iliandikwa kitambo kuna kipnd hii clip ilivuja watu wakasema kuna ngoma ya zuchu inakuja kumbe ilikua ni collabo ya samia queen
Sauti ya nyimbo hi inaekezana na nyimbo ya.Dimpoz.diamond.jux na melody.
Kumbe alie andika alicho Imba Nandy ni Zuu ( Alafu Mnamlinganisha Zuu na Nandy kweli? Mnamkosea Heshima ) 👑😎🌹
Ameandika mbosso wimbo
Zuuuuuu moto wakuotea mbali
@@SamairaSameer Zuchu wrote this song in January
Queen darling nae yuko poa sana ushirikiano between zuu na nandy 😊
Mbosso Kiboko, Apewe mauwa yake. 😎
😂
Ogh but Queen darlin verse ,,she really went in the song with her different style guys just repeat the song .much love from Namibia..
that song is very strong, I really like the music of tz, I really like it
Mbosso bravo respect
Bravo à vous tous les filles 👍👍👍👋👋👋👋👋👋💐💐💐💐💐💐💐💐💐💐♥️♥️♥️♥️🐎
Kweli moto🙌🙌🙌
Nandy kasema haaaa inamkataa ila ukweli nandy na zuchu Wana ushirikiano mzuri
Zuchu is beautiful ❤
Nandy the best verse and vocal
Alichokifanya Harmonize kwa Diamond State House Harmonize alikua anatimiza maagizo ya Wachawi wake... Maskini Diamond 🙏😭🇹🇿🦇🦇🦇🦇
Zuchu kiboko apewe mauwa yake ngoma ni kali anajuwa kuandika mtoto wa kizenji
zuchu mwalim wao WCB wapo juu
looooh!! zuhura nomaaaa sana❤❤❤❤
mbosso mimi nakubali sana uwandinzi Mungu akupe maisha marefu
Zuchu anaweza
Kabisa
Mbosso ww ni fundi sana❤❤❤
HATUKATAI DUNIA BILA NYIE HAIPENDEZI LKN KUBALINI BILA WANAUME HAKUNA NYINYI MANA HADI NYIMBO YENU TU MMEANDIKIWA NA MWANAUME😂
😂😂😂😂😂😂😂nan kakwambia uwaze kote uko😂😂😂😂😂
Una miakili mingi😁
Ko unalilia kuwepo? Washtue wakuimbe na wewe!
Hawajiwezi😀
Umeupiga mwingiaisee😂😂😂😂😂😅😅😅
Zuchu the best ❤ 👑
Niatar kbs kazi njema wasanni mpendane 🎉🎉🎉🎉😮😮
Sasa wale wanasema Nandy na zuu awapatani weko wapi jamani? Eeeee mungu awalinde msigombana
Napenda san nyimbo hii
Zuchu na nandy wanapendana sana
😂
Uuuum! Uwongo!
@@Zuu673 Labda🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️
Sana
Wangapi waliona gisi zuchu alivyo msimamisha anjela tuonane kwenye likes
Gisi ndo nn
@@najmasalim-rg6ow alitaka kuandika Jinsi ndo amekosea ameandika gisi
Zuchu alivyosema tu wajukuu yammy shwaaa kanyanyuka kana heshima sana 😊
Mbosso khan mushedede respect bro
All did well, but Appy and Abby for me, nailed it.
Mbosso ktk uandishi 🎉❤
Nandy umeuaa❤
I admire the love tanzanianshs have
Mmmmh moto
Mashallah
Congratulations mbosso kwa kazi nzuri
Nishaona nyimbo ya Zuchu na nandy itavyo kua 🙌🏼❤️🔥
Billinass
Lovely,well done Queens,Samia hoyee,UWT safii❤
Yami ajapendeza
Wenzie wote wamevaa vitovu ndani yeye sasa kitovu nje 😂😂😂
@@happychilambo1883 keshajua ana kitovu kizuri bac ndo anakiuza kuliko ata mziki wake
I crealy see that battle btwn nandy vs zuchu
Jaman ruby hayupooo dah😢😢
Mbosso khan❤
Kumbe wametuzidi kipato tu ila wanavyo pata tabu kwenyeuimbaji kama sisi tu😂😂😂
Mama eti sifa zetu zinajulikana kweli
Nandi anasauti nzuri inajirosti bila nyanya❤😂😂
Sema wanaume hapa,tumepigwa na kitu kizito hii ngoma katika ngoma zote hii ni kali,kwaiyo wasanii wa kiume mjiandae kutubeba nyimbo ijayo.
Siku ya wanaume inakuwaga tarehe ngapi
Umeambiwa mpaka mama amalize sasa unataka nini tena.
Wait for ruto men hapa Kenya almost ready
Mbosso nayeye ni biti 😂😂
😅😅jinga sana
🔥🔥🔥🔥🔥
Lizer very humble person
Nampenda angela❤❤
Ndani kibokooo
Rosa Yuko wapiiiiiiiiii
Kwann verse ya Nandy tamu zaidi nani alimuandikia?
Zuchu
@@Sunflower001-xt3ou yakwake mbayaa si bora angeimba hiyo
Zuchu njo aliandika nyimbo wote
@@malkavoice2570ya kwake mbaya vipi na verse ya zuchu ndo inaimbwa sana, sema kisa unampenda Nandi lazima ya zuchu iwe mbaya Kwa maskio yako
@@hassanmakokha274 Mimi na Nandy wapi na wapi ila tu nimeona alipoimba yeye ni kipande heavy ndiomana nikauliza kaandika nani!
Iyo verse yamama samia mama,mama ni mama mwanzo aliingizia zuchu ilinoga
Sure
Good song
Nandy kila siku anawakalisha wote😂😂😂😂😂😂😂
Hajaandika yeye ni zuchu
@@SOPHIASIMBA-db4tdhujaambiwa kuandika kuimba
@@SOPHIASIMBA-db4td zuchu pia kaandikiwa n mbosso kwaio wote wameandikiwa sawa
Hata zuchu Kawa kalisha wote
Sawa Malkia wa Samia msiishie hapo..
Beautiful
Anataka yote😂😂😂😂😂
apewe pekeake
Kazi Kubwa ☝️🇨🇩
Nyimbo nzima aroimba vizur saana Ni The African Princess Nandy
Unalako jambo ww😂😂
Mboso Ni kichwa cha muziki but nandy na zuchu wameshow san love
Zuchu noma
Ka zuchu eti kana taka sasa kamu bebe shingoni nandy
❤❤❤❤❤
Mwasiti 😂😂😂😂😂🙌🙌
Nice
Samia Queen vipi wakati Harmonize ana abuse Diamond Platnum... Viongozi Kimya 😭😭😭🇹🇿
😂😂😂😂😂😂
Wakwanzaa nikiwa live kutoka shambani..😂 wapi like zangu
Jamani 🤭😂😂
@Dvoice anatafuta madem pale namuonaa tuuu 😃😃😃
My question is Why Mbosso doing all that talk when it’s Zuchu who originally started writing the song since January?
He had to for you to fall for the story.
Mwasiti kanenepa!
Gigy money hayupo
Nice❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuchu pumzi bado sana
Unataka yote mwasiti
Wa kwanza Kuview, Kulike & commenting
Y'all don't see Rosa ree verse ❤🔥
Mbosso ubarikiwe kwakwel
Nandy anaandika mwenyewe
Kiongozi tapeli huzulum wananchi wa chini tena kwa ushaidi Tosha tena naomba mama samia atuhurumie ss wanyonge mm sio msanii najitegemea ila hata mtu yoyote akiwa tapeli tumuweke wazi
😂😂😂😂
@@goodluckmichael3492 mm hatakama maskni napambana kwa Jasho langu tena naomba kama huyu mtu mm anirejeshee pesa zangu tu inshaallah kwa uwezo wa mungu haki yangu nitaipata nna ushaidi tosha mm
Part two lini
Humu wanaokomenti wengi hawataki kuona kinachoonekana; hapo ni wapi, producer ni nani, mwandishi ni nani, project kakabidhiwa nani, stage na post hii sterling nani!? Ukiyajua hayo utaona na kuelewa. Wale wanaobisha ombeni project hyohyo ikafanyikie clouds mtaanza kunielewa.
Mbosso ana aibu 😂😂
Au siyo hayaaa😅 zuu na nady
Dada mwasiti yuko good bado hajachoka 😊
daaah punguenii,,,,angeeeela
Where is Ruby, Gigy??
Yami pekee yake kavaa kitofaut hii kuonyesh ajiheshmu🤣🤣
Malkia Karen ana komwe 😂😂
😂😂😂mungu nisamehe
Mbona Angela ha ongei
Mondi ni moto wa kuotea mbali, humu humu utakuta amewahi kula zaidi ya mmoja
Jamani
😂😂😂
Kabisa, kama wagombea umiss wote wa mwaka 2006 aliwala wote mondi ni moto wa kuotea mbali 😂😂😂
Joket,zuchu,nandy wengine kimya kimya hahaha
@@Zuu673Hata hamisa mondi alimla kimya kimya ila yeye mwenyewe hamisa ndio alitaka watu wajue
Watu wapungue au sio
Sasa zuu na naaa mnateta nini??? 😂😂 alsfu nandy anatoa sauti umeona eeee😅
Like zang wa 3
❤❤❤
Wanawake kwa chips yai😂😂😂😂😂😂
Mshedede maana yake nini?
Maana yake ni kihelehele