W mwish mm jaman naomb like zenu hap kp n zeb nakuombeni muslimu muigie kweny dini y kiislam naipend Sana michez yenu munajuw kueti nyny il nakuombeni muslimu ten
Mimi Nawakubali.wote Maana Wanajuwa.kazi.mzee.likoma.hongera.sana.kisai.nakukubali.hutuangushi.mAnna.karata.unazo.cheza.yani.upo Vizuri.shelisheli Pia Upo Vizuri.wote.kwakweli.mppovizuri❤
Nilichogundua watu wanawahi kutoa comment kabla hawajaangalia CONGRATULATIONS KP
Wow wakwanza leo kp plz naomba like hata kumi tu 😢😢❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😢😢😢
Congolesheni Bwana kp kwa kazi nzuri nawapenda wahusika wote ❤❤❤
Wa kwanza leo jamani..nawakubali sana watu wangu kutoka kenya❤❤
Mnaosema wa kwanza haya tumeni salamu kwa familia zenu 😂😂😂😂 tena wanaume pia wamekazana naomba like nyooni ovyoo hongera kp kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉
Waambie bwana imekua tabu hii like
@@saidkhamis210 nakwambia hadi kero
Ni bora tukupe ww maana umeongea la maana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimecheka kwa sauti😂😂😂😂
Kp nakupenda bule kazi nzuri❤❤
Sisi wengine tuna kesha CZcams kwaku fatiliya kazi ya sheila , sheila wewe noma kabisa upewe mauwa yako salute kwa kazi nzuri saana❤❤
Jamani kp na zebu nawapenda sana
Wakwanza leoooo hemb team kp tujuane gonga kopa hapooooo
Wa kwanzaaa plan b
Congratulations kwa kutuletea mapema uendelee hivi kp🙏🙏🙏🙏
W mwish mm jaman naomb like zenu hap kp n zeb nakuombeni muslimu muigie kweny dini y kiislam naipend Sana michez yenu munajuw kueti nyny il nakuombeni muslimu ten
Nakubar team kp kazi nzur mungu awasimamie
Shey. Nakupenda bure. Tusomane bas😅
Mimi
Nawakubali.wote
Maana
Wanajuwa.kazi.mzee.likoma.hongera.sana.kisai.nakukubali.hutuangushi.mAnna.karata.unazo.cheza.yani.upo
Vizuri.shelisheli
Pia
Upo
Vizuri.wote.kwakweli.mppovizuri❤
Shey shey kanichekesha hapo kwenye kuiba nguo jaman
Kazi sheilamwanangu na Darkid kupoteza location ya simu ya Nora🤣🤣🤣
Waaah sheyshey umetisha sana mwangu na KP wako
🎉❤nimeipenda
Ila sheila unavituko wewe mwenzangu❤❤❤❤❤
Kwani ilikuwa lazima mtuseme wahaya😂😂
❤🎉kaz Safi team strong hongereni Sana mwaah
Kazi nzuri sana team kp mnajuwa sana
Ongera kwa kazi nzuru kip wa Aquino pamoja na timu nzima
Kazi nzuri sana kp hii inaweza sana naikubali kinoma
Kazi nzuri sana nawapenda sana
OYA NAKUBALI TEAM KP PLAN B TUNAYO NA TUNA TAMBA NAYO HONGERENI SANA KWA UBUNIFU WA KIPEKE YAKE INAVUTIA SAN
Kila nikiomba like saison sipewagi like ya kp na zebuu
Ya nini
Sasa nawewe nikp amazing zebuuu
Na mm Leo nimewah naomben like zangu. Kama unamkubali kp
Sheila kumbe uko poa kwa michongo ..hongera sana
Kazi yawizi Iko poa sana❤❤❤❤❤❤ safi Sana makaka
Wooow wapili jaman nmewai leoo❤❤❤
Em primeiro lugar hoje peço like from Moçambique
❤❤❤❤hampoi Wala hamboi haki ya nani vileee..... Hata MB haziniumi walahii kwenu nyie😂❤😂❤🎉🎉🎉😂😂❤
Wa mwisho 😂😂😂 naombeni like hata 10 basi
Bonge moja la tamthiliya sauti safi, mziki safi, waigizaji safi, mtiririko safi gonga like kam unaikubali hili dude
Nimechelewa kidogo tu yaaan
😂😂😂😂😂shey shey ushakuwa kibaka pia ww
Kisai zakihun anaziweza🎉🎉🎉
Sijui anajikuta nani😂😂 misifa kibao
@@m.mmarckus6298na mumemsikiliza kisai anavyo ongea lkn km anaongea na ulimi wala sijui ni kithembe
Mnajitahidi kuwahi jaman had raha❤❤
No 12 sio mbaya
Nipo tayari jamani naomba like zenu kwaku sapoti wa sujaha zetu kp na zebuu
Mbona sheyshey kma kavaa shart ya dar kid😂😂😂😂😂
Nimewai leo nipen laiki ata 5❤❤😂
KP Mungu akuzidishie ujuzi na akili kwenye kazi zako
Kwan izo like zina nn mbon kila mtu anaomba embu nipeni na mm izo likeee
Leo nimekuwa wakwanza ❤❤
Najua tu kp hawezi fanya hayo,,,,,,😅😅😅 congratulations wote Sheishei jameni hadi nguo
Hizo razita sinazeeza kp ,movie nyingine usiweke nywere hauko smart, unakaa mzee Sana.
Kp na zebuu mbona Kuna mhusika mmoja waga hatumuoniii mama mzaaa
Mhusik yupi
I really enjoyed 😂😂😂🎉🎉🎉wenye waliona notification hivi na kuanza kuwatch immediately tupa like hapa🎉❤
Ila shey shey na kp 😂😂😂 noma sana
Mzee likima et unakuwa kama upo mwenye kipindi cha yesu😂😂😂😂
Andika vizur
Jaman wale wachelewaji wenzangu jamani tujuane😂😂😂😂
Kazi nzur Sana ❤❤🎉🎉🎉
Jamani mbn pambe
Ohhh atimaye nami leo nimekuwa watatu piga keleeeeeeeeeee 😂😂😂😂
H moj kali🎉🎉🎉🎉🎉wallah
Big up team kp by the zebuu
Leo am on time ❤❤❤❤
Wa nne leo😂 nipeni likes zangu
Mix shey shey wew ni atali sana😅😅😅
kaz zenu huwa nazipenda sana, akili nyingi nguvu kidogo🎉🎉🎉🎉
Kuna moto hapa but itakapo fika mwisho kp atakua amechoka sana heeee hile mbio anajukuliwa mmmmh😢😢😢😮
Djami napenda kazi yenu munajitahidi nawapenda sana ninacho omba like hata tatu
Mimi ni WA mwisho jaman NAOMBA like za mwisho
Wakwanza mm leo like ata tano jamani😊
KP na ZEBU hongereni mpo vizuri kwenye hi tasnia
Nkubali mzee likoma 😅😅
Ndugu zangu namisi sana Suraji ndani ya timu kubwa ya KP na zebu
Wakwaza kenya 🇰🇪🇮🇶 naomba like zenu
Kp kwakweli ino biriani nimeipenda kwakweli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tupo pamoja saana❤❤
Angalau ata nimewai leo nimekuwa wa 50 like jmn ata 20
Hongera sana team KP
Kwa kazi nzuri 🎉
DAAAH HIIII PLAN B SIJUI NIIFANANISH NA NINI ILA KIUKWELI KALI SAAN 🎉🎉🎉🎉🎉
Wàkwanza Jaman naombeni like Zangu hata 10
👌👌👌👌👌
Sawa achatukupe kipenzi
@@Bestudio-2 hàya bhn nashkur
Acha tukupe like zako
@@Bestudio-2 hàya sauwàààà shukrani
Kisai umebadilika kumbe hensam
Plan B naona inakuja poa sana ,,big up Kp🥳🥳
Up vzur san sheishei ila unatembey uchi sana mbn
Nani anamkubali sheshe 💪💪tujuan 😊
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa tupia like zangu apo
Wah.kube sheyshey n mwizi pia
KP iam here,naombeni like zangu svp❤❤
Shey sio kwa hvyo vipensi 😂😂😂 khaa
Ila samahan Kam nitawakwaz muko vizur kwa kueti mmwaàaaaaaa kp nawapend San ila muigie mwenye dini y kiislam kwa mugu kuna Moto mkali
Uuwee huku ni kumoto Kp and Sheila big deal Team strong 💪💪💪💪much love guys
🫡 kweli kaka unaweza
Shey shey amevaa bukta ya Darkid😂😂😂❤
Mbn mwachelewesha sanaaa hivy emb mjitahid kuwahishaa
Movie tamu sana 🎉🎉🎉 yenyu team izima kp
Anaeamini Diboz ndo baba wa Kp gonga like
Waàao
Wakwanza❤❤❤
Hamjawahi kutuletea mambo ya kitoto hongerani sana
Jamn Yuko wap Suraj wangu kp na zebu mleteen bas
hongeleni kwa kazi nzuri sana jaman mnafurahisha🎉❤
Good plan B more fire 🔥👌😌🤪nawapenda sana team kp
Kam unamkubali shey shey gonga like mpk kaiba nguo😂😂❤
Wow leo mmecheza kama moja😊😊nawakubali good 👍 👏 ❤❤