Kaka nakuomba siku 1 utufafanulie malipo wanayopata timu zinazoshirik ligi kuu na ligi daraja zngne nchini il tujue. Nna imani utatusaidia kutuletea hilo somo ndugu yngu. Mungu akubarik sana.
Ngoja niwaambie mwanzo simba walikuwa wameamua kuachana nae chama, lkn siku mbili hzi wameliamsha tena wanamtaka kwahyo now ni 50/50 hajui aende wapi😅😅😅 maamuz yamebaki kwake
Mimi nafikiri Yanga wakiamua kumsajili Chama si kwasababu ya kiwango au Ligi, nafikiri watamsajili kwa uzoefu wake Kwenye CAFCL! Kwenye ligi yanga wako ok!? Michuano mikubwa huitaji Wachezaji wenye vast experience!( Chama has that) Ndo maana bado tunamuona Ronaldo bado anachezea timu ya taifa kwa mfano! Sio kwasababu CR7 is at his best( kesha pita huko zamani) lkn UZOEFU wake kwenye michuano mikubwa,bado unaoneka in the EUROs! For me ,Chama will b a good asset for Yanga in CAFCL Rather than in the LEAGUE!
Haaa usimsahu hakim pia nasikia mhandisi wetu anataka wino wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 izo za ndaniii uwezi elewa
😅😅😅😅😅😅😅
Ah nikajua ameshasaini yanga kumbe ni mbwembwe tuu??🤔🤔🤔🤔🤔
Pacome, azizi, chama, max, dube, yao kwasi, aucho mmmmmh!.
Ili tatizo 😂😂😂😂😂
Hahaha
Jua risemaro ripo nakama aripo raja iyo mariyetu
C.C.C TUNA MUITAJI YANGA.
Mala paa uku chama,dube,ki azz,pacome,max mhhhhhh
C.C.C (clatus chota chama)
Kaka unajua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kw taarfa hii kaka
Nimekusomaaa
Kaka nakuomba siku 1 utufafanulie malipo wanayopata timu zinazoshirik ligi kuu na ligi daraja zngne nchini il tujue. Nna imani utatusaidia kutuletea hilo somo ndugu yngu. Mungu akubarik sana.
Ngoja niwaambie mwanzo simba walikuwa wameamua kuachana nae chama, lkn siku mbili hzi wameliamsha tena wanamtaka kwahyo now ni 50/50 hajui aende wapi😅😅😅 maamuz yamebaki kwake
Chama anataka kucheza CHAMPIONS LEAGUE mkuu! Kucheza shirikisho ataona kadharirika! Wachezaji huwajui wewe😂😂😂 simba watahangaika kusajili QUALITY PLAYERS kwasababu hawamo CAFCL 🤣🤣
Mimi nafikiri Yanga wakiamua kumsajili Chama si kwasababu ya kiwango au Ligi, nafikiri watamsajili kwa uzoefu wake Kwenye CAFCL! Kwenye ligi yanga wako ok!? Michuano mikubwa huitaji Wachezaji wenye vast experience!( Chama has that)
Ndo maana bado tunamuona Ronaldo bado anachezea timu ya taifa kwa mfano! Sio kwasababu CR7 is at his best( kesha pita huko zamani) lkn UZOEFU wake kwenye michuano mikubwa,bado unaoneka in the EUROs! For me ,Chama will b a good asset for Yanga in CAFCL Rather than in the LEAGUE!