MBWADUKE: TOBAAH! CHAMA KWELI YANGA?/ KOLABO YAKE NA PACOME, KI, MAXI BALAA TUPU/ HUKO CAF...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Komentáře • 16

  • @jmwa
    @jmwa Před 4 dny +10

    Haaa usimsahu hakim pia nasikia mhandisi wetu anataka wino wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 izo za ndaniii uwezi elewa

  • @JohnKavula-xw7xl
    @JohnKavula-xw7xl Před 4 dny +3

    Ah nikajua ameshasaini yanga kumbe ni mbwembwe tuu??🤔🤔🤔🤔🤔

  • @saidially5892
    @saidially5892 Před 3 dny +1

    Pacome, azizi, chama, max, dube, yao kwasi, aucho mmmmmh!.
    Ili tatizo 😂😂😂😂😂

  • @KarokoraJeremia
    @KarokoraJeremia Před 4 dny +2

    Jua risemaro ripo nakama aripo raja iyo mariyetu

  • @DeusChakiza
    @DeusChakiza Před 3 dny +1

    C.C.C TUNA MUITAJI YANGA.

  • @SalimAbdallah-tk9hs

    Mala paa uku chama,dube,ki azz,pacome,max mhhhhhh

  • @DeusChakiza
    @DeusChakiza Před 3 dny +1

    C.C.C (clatus chota chama)

  • @SaidiMshua
    @SaidiMshua Před 3 dny

    Kaka unajua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 Před 4 dny +1

    Asante kw taarfa hii kaka

  • @longinoSimon-dz2eb
    @longinoSimon-dz2eb Před 4 dny +1

    Nimekusomaaa

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 Před 4 dny +3

    Kaka nakuomba siku 1 utufafanulie malipo wanayopata timu zinazoshirik ligi kuu na ligi daraja zngne nchini il tujue. Nna imani utatusaidia kutuletea hilo somo ndugu yngu. Mungu akubarik sana.

  • @user-ht5tc5yv5t
    @user-ht5tc5yv5t Před 3 dny

    Ngoja niwaambie mwanzo simba walikuwa wameamua kuachana nae chama, lkn siku mbili hzi wameliamsha tena wanamtaka kwahyo now ni 50/50 hajui aende wapi😅😅😅 maamuz yamebaki kwake

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 2 dny +1

      Chama anataka kucheza CHAMPIONS LEAGUE mkuu! Kucheza shirikisho ataona kadharirika! Wachezaji huwajui wewe😂😂😂 simba watahangaika kusajili QUALITY PLAYERS kwasababu hawamo CAFCL 🤣🤣

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 2 dny +1

    Mimi nafikiri Yanga wakiamua kumsajili Chama si kwasababu ya kiwango au Ligi, nafikiri watamsajili kwa uzoefu wake Kwenye CAFCL! Kwenye ligi yanga wako ok!? Michuano mikubwa huitaji Wachezaji wenye vast experience!( Chama has that)
    Ndo maana bado tunamuona Ronaldo bado anachezea timu ya taifa kwa mfano! Sio kwasababu CR7 is at his best( kesha pita huko zamani) lkn UZOEFU wake kwenye michuano mikubwa,bado unaoneka in the EUROs! For me ,Chama will b a good asset for Yanga in CAFCL Rather than in the LEAGUE!