Mwenyenzi mungu akujali sana sana na akulonde toka nianze kukifatilia nabkaunza kufata yale unayk ya sema juu ya sala ya mtume wallah mungu ni mkubwa imekua ikinipa majib kwa kila kt ninacho omba juu ya sala hiii na me lel natoa ushuhuda wallah wallaah siamin kuanzia sasa me na sala ya mtume sitokuja kuiacha ALLAH AKUBALIK 🤍
Assalam alaikm shee kwakweli nimefarijika sana kwa uradi wa mtume niliwahi kupata ajali kama uliskia tandika kuna nyumba walikufa watoto 4 na mwanamke 1 kwasababu ya jeneta mm na mk wangu tulipata uo mtihali watotowangu 4 walikufa lakin mm na mke wangu Alhamdulilla tumepoa kwasababu ya kuswalia mtue
Assalm alykum warahmatuallah wabaraqaat....nimejarib kuitafuta hiyo clip ya jinsi ya kumsalia mtume s.a.w sijaiyona naomba msaada tafadhal natak nione jinsi ya kuifanya jamani
Allahumma Swalli ala Sayyidna Muhammad wa ala ali sayyidna Muhammad
Mwenyenzi mungu akujali sana sana na akulonde toka nianze kukifatilia nabkaunza kufata yale unayk ya sema juu ya sala ya mtume wallah mungu ni mkubwa imekua ikinipa majib kwa kila kt ninacho omba juu ya sala hiii na me lel natoa ushuhuda wallah wallaah siamin kuanzia sasa me na sala ya mtume sitokuja kuiacha ALLAH AKUBALIK 🤍
Assalam alaikm shee kwakweli nimefarijika sana kwa uradi wa mtume niliwahi kupata ajali kama uliskia tandika kuna nyumba walikufa watoto 4 na mwanamke 1 kwasababu ya jeneta mm na mk wangu tulipata uo mtihali watotowangu 4 walikufa lakin mm na mke wangu Alhamdulilla tumepoa kwasababu ya kuswalia mtue
Innalilah wa Innalilah rajuun pole sana kwa yaliyo kukuta
Pole sana ndugu yangu katika Imaan
Poleni sana Allah azidi kukupozeni nafsizenu na Allah atawalipa ujila wenu. 🤲
Pole sana kaka
Ni kweli hakuna kitu kibaya kama umaskini umaskini unavunja undugu
Sahihi maryam
Subuhana Allah 💚😇mashaallah mashaallah 💫Allah Atuogoze kwa kila jambo 🌟
Jazakallahu kheyr wabadal kheyr wajjannatul Firdaus
Allahuma swalli alla Muhammad waala ali Muhammad
Assalm alykum warahmatuallah wabaraqaat....nimejarib kuitafuta hiyo clip ya jinsi ya kumsalia mtume s.a.w sijaiyona naomba msaada tafadhal natak nione jinsi ya kuifanya jamani
Answari wanamswalia sana mtume