Mungu akuongoze njia iliosahihi, mana mungu amewalaani wanaume wenye kujifananisha na mademu Huu ni mtihani sana kwa vijana wetu wa kitanzania, wenye kumpa kibali huyu msanii kwa kuipotosha jamii muandae majibu ya kwenda kumjibu mungu, Mungu wanusuru vijana wa kitanzania
Mwanetu kafanyiwa lile jambo. WCB for life lakini jameni sasa naanza kuwaogopa. Ushoga sasa ndio kageuka mtindo. In music industry you have to humiliate yourself in front of people for you to be elevated to the next level of success. Those who control the entertainment industry give you options. Look at Rema. Mbosso is on transition. What is happening here is an initiation. Many will be against my point but that's the bitter truth.
@@NgukuHerbalClinic alllah amrejeshe katika imani mana amepoteya tunaweza sema mwanzo katuchoreya mahina mikononi saivi tena madera su hanllah allah amtowe shimoni pamoja nasi inshallah na vizazi vyetu
Unatafuta nini kwenye mziki huku we sheikh ubwabwa nalaana zako zaajabu kisa ulifundshwa na ustadh wako huko. Nina uhakika bro kuna dhambi unazofanya mwenyewe sisi hatuzijui nahakuna aliyekulaani. So usijafanye mtakatifu sana wakati wewe binadamu tu ukamilifu wako upo kwenye kukosea nakuwaona wakosaji ndo waliopotea. Mkamilifu ni Mungu tu . Alilaaniwa firauni kisa kujifananisha na Mungu lakini hao kuna mbosso they are doing their music nakuswali japo mara chache kuliko huyo firauni alafu wewe unalaani hovyohovyo. Usiendeshwe na mihemuko bro kazi za Mungu mwachie Mungu. Nabii Mussa alipewa mtihani mdogo tu alipomtaka Mungu amjaalie uwezo wa kutoa riziki yeye kama yeye. Mungu akampa Missa akaona watu wametoka kuzika binti walipoondoka wakaja wengine wakafukua kaburi kisha kumzini maiti, Mussa akasema angekua anatoa riziki basi wale watu wangekuwa wakwanza kukosa. Mungu akamwambia Mussa rizki haitolewi hivo. Sasa wewe na Janaba zako unajiona mkamilifu sana. Ulitizama video yann sasa wakati ni bid'a. Judge kisomi sio kilevi
SUBHANAALLAH MMNAMKUFURU ALLAH KILA UCHAO NA KUPITILIZA MTT WA KIUME KWENYE NGUO ZA KIKE KISA USTAR NA PESA AMBAZO HAZINA FAIDA MAANA HATA SADAKA WALA SANDA YAKO LAZIMA IKACHANWGE KWA UMMA SIKU YAKO ITAKAPOFIKA OMBA TWAUBA NYINGI SANA KWA MUNGU ILI IFIKIE MAHALI MRUDI KUMUABUDU IPASAVYO
Hii ndo nn wengne kwenye majeneza na wengne wanapaka rang za kucha wengne nao wanajiingixa kwenye majeneza... ikifikia alikiba amefanya upuzi wwte wakumkufru Mungu hiyo ndo itakua mara mwisho kuskiliza bongo washenzi nyinyi
Siku Allah akikusjika na Asila sijuiutajibu nini nalaana mnazijaza etiumevaadela. Subuhanallah lnalillahi wainailahi rajuun. Jiandae na malipo yahayo unayoyafanya
Subhannah....Dalili zote za kiama zimejitokeza sai ......tumrudie Allah 🙏🙏🙏
Mimi mkristo hila nakumbaliana na wewe
Dunia imekwisha jamani mtihani umetukumba wanaadamu. Inna lillah Wainna illahi rajoun
Mungu akuongoze njia iliosahihi, mana mungu amewalaani wanaume wenye kujifananisha na mademu
Huu ni mtihani sana kwa vijana wetu wa kitanzania, wenye kumpa kibali huyu msanii kwa kuipotosha jamii muandae majibu ya kwenda kumjibu mungu, Mungu wanusuru vijana wa kitanzania
ni kweli uko sahihi
Mtihani mwenyezi mungu amuongoze yy na Sisi katika kheri
Allahumaa Amiin 🤲
Kaka umeuaaaa sanaaa ,KAMA MASHABIKI ZAKO HEBU YUTAFUTIEEEE JINGO LINGINE LA MWAKA KUFUNGAA 🙏🙏🙏🙏🫶🫶🫶🫶🔊
Mwanetu kafanyiwa lile jambo. WCB for life lakini jameni sasa naanza kuwaogopa. Ushoga sasa ndio kageuka mtindo. In music industry you have to humiliate yourself in front of people for you to be elevated to the next level of success. Those who control the entertainment industry give you options. Look at Rema. Mbosso is on transition. What is happening here is an initiation. Many will be against my point but that's the bitter truth.
Me l agree .....pity all over
Big up
😥😓
Truth be told, he just embarrassed himself, typically his manhood, I'm seeing nothing than squandering his talent
Really brother
Mwenyezimungu anamlaqni mwanaume mwenye kuvaaa kivazi cha kike laana za allah zikushukiye amin
Ni kweli haifai kujifananisha na jinsia tofauti na jinsia yako kimavazi na vinginevyo. Ila muombee dua Arudi kwa Allah ila usimlaani.
Ni kweli haifai kujifananisha na jinsia tofauti na jinsia yako kimavazi na vinginevyo. Ila muombee dua Arudi kwa Allah ila usimlaani.
@@NgukuHerbalClinic alllah amrejeshe katika imani mana amepoteya tunaweza sema mwanzo katuchoreya mahina mikononi saivi tena madera su hanllah allah amtowe shimoni pamoja nasi inshallah na vizazi vyetu
Umetisha my brother mungu aipiganie kazi ya mikono yako Kaka eee mwenyezi mungu mlinde mbosso na umbaliki afike mbali zaidi ya hapo alip
Acha kumshirikisha mungu kwenye mambo ya kijinga😂😂😂
Umeamua kuvaa gauni Dunia ileeeeeeeeee😭😭😭😭
Sjui unapenda sana kutiwa mbooo nyuma seeeee azalani kabisa hv
Kali sana nkiko kenya ..fan kabisa
kenyan tuko hapa❤❤❤
Allah akulaani kwa kujifananisha na dadazako
Unatafuta nini kwenye mziki huku we sheikh ubwabwa nalaana zako zaajabu kisa ulifundshwa na ustadh wako huko. Nina uhakika bro kuna dhambi unazofanya mwenyewe sisi hatuzijui nahakuna aliyekulaani. So usijafanye mtakatifu sana wakati wewe binadamu tu ukamilifu wako upo kwenye kukosea nakuwaona wakosaji ndo waliopotea. Mkamilifu ni Mungu tu . Alilaaniwa firauni kisa kujifananisha na Mungu lakini hao kuna mbosso they are doing their music nakuswali japo mara chache kuliko huyo firauni alafu wewe unalaani hovyohovyo. Usiendeshwe na mihemuko bro kazi za Mungu mwachie Mungu. Nabii Mussa alipewa mtihani mdogo tu alipomtaka Mungu amjaalie uwezo wa kutoa riziki yeye kama yeye. Mungu akampa Missa akaona watu wametoka kuzika binti walipoondoka wakaja wengine wakafukua kaburi kisha kumzini maiti, Mussa akasema angekua anatoa riziki basi wale watu wangekuwa wakwanza kukosa. Mungu akamwambia Mussa rizki haitolewi hivo.
Sasa wewe na Janaba zako unajiona mkamilifu sana. Ulitizama video yann sasa wakati ni bid'a.
Judge kisomi sio kilevi
Mbosso on another level.The outfit was a surprise ❤🥰
Siku hizi ni madera mboso 😂😂😂
Mboso umekoseya hata heri ugefunga kikoi unawapa mashonga nguvu
we have lost another man
Dada mbosso
Umeamua bro noma isay😂
Wooooooh😂😂😂😂 from drc
Yassss I love your music bro ❤❤❤
ama kwel hii ni dunia ya mwisho inafika wakt wanaume wanava nquo za wanawake daa😞
Madera kabisa Mbosso daaaaaah, nyie wcb mumezidi juzi juzi tu mwenzio diamond kaingia stage akiwa kwa coffin sai ww pia dera
Innalillahi wainnailahi rajiun 😭
Muito triste sim
❤❤noma san khan watching from.kenya
Waooh umependeza😂😂 Huyu mbosso huyu ni wayaa ya umeme aaah bhasiii ndio yupo katika ruti ruti za ma introduction weeèeeh! Maridadi pozi kabishaaaa😂😂
😂😂😂😂😂😂
Sawa mbosso ❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🖐️🖐️🥳🥳🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😊
Mwandazimu huyu mbosso siku hizi naona haziko Sawa kidogoo😂😂😂😂😂
Hi there am from Somaliland 😊😊
Mbosso h apana zae
Mwanangu hatari hii🎉🎉
Madness🤣🤣🤣❤️Tako unalo la dera😂
😂😂😂
Hivi huyu sele ilkua ni bonge la shoga sio
riswa,,, shikarabababababa mapepooo shindwee!!! kijana tafuta maji ya pastor Ezekiel
Sele noma sana😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Hawa wanaoshangilia wanaweza kutoka hapo wakazungumzia maendeleo ya nchi yao.....!?
sele katushinda tabia asseh🙌🏾
Dela tena,kama sio kupromote ushoga,ila ngoma kali mzeee
Fact let us keep silence 😢to our God
Umeharibu mboso Kwa dera😢😢
Kuna wapumbavu wanashangilia... Halafu kuna wapumbavu wanalalamikia bandari.
😂kazi nzuri brother hivyo vyote unafatuta mbinu ya kukiendeleza kipaji chako na kuonesha unaipenda kazi yako sana Mungu azidi kukupa nguvu ❤🎉
SUBHANAALLAH MMNAMKUFURU ALLAH KILA UCHAO NA KUPITILIZA MTT WA KIUME KWENYE NGUO ZA KIKE KISA USTAR NA PESA AMBAZO HAZINA FAIDA MAANA HATA SADAKA WALA SANDA YAKO LAZIMA IKACHANWGE KWA UMMA SIKU YAKO ITAKAPOFIKA OMBA TWAUBA NYINGI SANA KWA MUNGU ILI IFIKIE MAHALI MRUDI KUMUABUDU IPASAVYO
My mboso ❤,
Dada mboso kapndz
Wapi Sele weeeeueeeeew Mbosso huna baya wala mba mba mba
Mbosso unatuaibiasha ban😂😂
Sasa mbosoo una anza kugua kichaa guo zimeisha au amdukni😮😮
Tz wanapenda mziki kuliko Mungu hadi waume wanavaa madera
I love you mbosso❤😭🔥 the outfit is giving so unique😂🔥 what if he love my comment l can go mad❤💀
Kumbe wassenge wakowengi laanatullahi
Some love from Kenya this is nice Khan 💘 love za Kenya zikuje 🇰🇪🇰🇪
Mwanaume unavaa dera kweli Uswahili kazi
Mbosso ni shogaaaaa
Hii nayo ni mtihani mungu atuondole
Jamani mungu ame. Laani mwanaume anae vaa nguo za kike kizazi chetu mungu akiongoze lakini kimeshaelekea pabaya hiii xx ni laaana
Sele mabangi weeeh. Kula chima hioioo😢😂😂😂😂😂😢😢😢❤❤❤
mmm brother sele I like it
Acha ushoga we mbosso
Another fallen soldier 😊
❤❤❤❤ mbosso 🔥🔥🔥🔥
Utavaaa sana Madera ww ushamba huo achen ujinga
Mungu aturehem
Mbosso mbona unavaa Dera kama wamama
Mboso umetisha sana mwanangu ndo maan nakukubali sana jamaa yangu
Allah akuongoze inshallah
Dalili za mwisho hzo .....kiama Allah atuhifadh
Wasafi mnatumika vibaya kuharibu jamii kwa kuingiza mambo ya ushoga
❤❤❤❤ wow show kali!!
Dada mboso😅
Kavaa dera kesho ataingia na handbag...grow up mbosso
Subuhanallah ujinga mnashangilia nn mwanaumekuvaa nguo yakike si sawa
Khañ1🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯
Chokooo iloooo
Uko m komediye kbx 🇧🇮 🎵👯💥
Your fans are still waiting you in lodwar kenya
Hii ndo nn wengne kwenye majeneza na wengne wanapaka rang za kucha wengne nao wanajiingixa kwenye majeneza... ikifikia alikiba amefanya upuzi wwte wakumkufru Mungu hiyo ndo itakua mara mwisho kuskiliza bongo washenzi nyinyi
Wanaume kama mabinti😢
Na bado hmujasema na mtasema😂😂❤❤
Dunia simama nikachimbe dawa😢😢😢
Uyo amina siyo sele
Siku Allah akikusjika na Asila sijuiutajibu nini nalaana mnazijaza etiumevaadela. Subuhanallah lnalillahi wainailahi rajuun. Jiandae na malipo yahayo unayoyafanya
Kama kivalia dela 😂😂😂. Much love to you ❤️ Kan.
Mtoto wa kiume hatakiwi kuvaa nguo za kike... Unajidhalisha
Duh nomaa kaka umetishae
❤❤nakupenda bwa sele
C'est cool vraiment
Noma sanaaa
Ndio nn hiyo baba wallah nakupenda sana wallah lakini kuva hizo nguozakike no omg 😮
Uo ni ulama mxiewwww
Sana mbosso bana nakubali
سبحان اللہ laana
He sasa navijola jamn😮
Acha aibu mbosso bana..acha dadazako madera
Norma sanaa mboso kijidera hicho
Uliua kaka😂😂😂😂😂😂😂😂
Tabia gan zakisenge izo😂
Mh si Kwa Dira Ivo mmmmn😂
Big up Sana bro
Selemani😅😅😅😅🎉
Ni kioo cha jamii.
jinga kabisa
Mbona umevaa Dera mwanaume
Mwanna laana wapotevu
Kumamazao wasafi munasapoti usenge kweli mboso umevaa kijora cha mwanamke
Bosson kijorauomekowa demu😂😂
The dera is deraring😂😂😂