Daah ... Dada mamgi kimambi kama nakuonaa yaan mmmh ... Leo nilkua nafuatilia ishu yote ila am too proud of RUBBY lets bang with world ... #sillo music for life
Akikuomba mpe aridhike. Mlo kutwa mara moja ; visenti haba ila lazima nihakikishe nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo za mbosso. Hongerea sana @mbosso kwa kibarua kizito . Mziki mzuri kwelikweli.
Mih ndo wa kwanza hapa Kwa hio niwaombeni like hata tano basi 😢😢😢😢❤❤❤
Nipe na mm like... Nitakulike pia..... Usipo ni like siku like 😜😜😜😜
Zinakupa kula
@@salumkupenda1250 🤣🤣🤣🤣ndio
Next time Omba nyingi
Zina kusaidia nn kuma wewe
Jaman sisi wa mwanzo mwanzo tupeni haki zetu... Maua yetu jaman....
Ruby kaua,,,,,,,,
Mbosso kaua pia,,,,,,,,,, hii imeenda, nasema hii imeenda
Hii sauti ya haitham Kim marehemu sio ruby huy
@@nasraali144 mmmh 🤔🤔
@@RamadanPaul iskilizie vizur ruby akiimba anajikamua sanaaa kwenye kiitikio ndo Katia sauti yake ruby
😢
🎉🎉🎉
Hii imekaa poa sana Kenya 🇰🇪 mpo wapi Tanzania 🇹🇿 gonga like za Ruby ft mbosso ulidhike❤
🎉🎉🎉
Jamni tukubaliabe Ruby ako na sauti flani ❤wangapi tunakubaliane❤😅😅 uridhike moyo ❤
❤❤❤❤
Ruby back to the top like she never left.
Mbosso kapita kwenye hilo verse kichizi....jameni nipeeeni likes zangu
Kabisa yani💥💥💥mimi huwa nasemaga Ruby hata akae miaka 5 bila kuimba akisema anarudi akatoa wimbo mzuri tutamsikiliza tu💥💥💥💥💥
Nyimbo tamu sana weheeeeeee tafazali msinibanie👌😘🥰🥰🥰💐🔥🔥🔥🔥
Unaskia kabinti kanaimba " nikupe kisima uchimbe" maniner
Nyimbo nzuri bwana nzuri kupitiliza 🙌🙌🙌🙌HUNA BAYA😂❤❤❤
Baya lake nitakua kiko kupitia mume wa Lulu kaombwa rushwa ya ngono tangu enzi hizo mbona alikua haongei 😂
❤
Atariii sana
acha kabisa fayaa🎉🎉🎉
Wamekutana wote talented Ruby na Mbosso matokeo yake 🔥🔥🔥🔥
Sauti yako ndio inanimaliza, Ruby be blessed 🙌 ❤❤
Nimekuja hapa kwasababu ya mbosso wanao mpenda Mbosso likes pls hapa twende nalo.
💪💪💪💪💃💃💃
💥💥💥💥
Mafundi wawili ndani ya track moja,, 🔥🔥🔥🙌💯
Dada ruby leo nashinda kukusikiliza wewe tu mwendo wa ngoma baada ya ngoma💥💥💥💥💥🙌🙌🙌hapo pa HUNA BAYA😂😂 Umetisha dada❤❤❤❤❤
Moyo uridhike Baba wapi like za moyo uridhike Baba 🥰🙌
Wapi video jameni. Wimbo tamu! Baada ya kuskiza mara moja imenifurahisha 😊😊😊
Now this is the queen of vocals. I love you Ruby. Here for you all the way from 🇰🇪
Wakwanza saiz mimi apa babake ruby ❤❤❤❤
This is going straight to my “Melodic Africa” playlist
❤ruby kama ruby no one like you nakubali sana
Mkenya Wa Kwanza kucomment nipeni likes tafadhali
Waoooo songi tamu hatari ❤️❤️
Duh. Ruby + Mbosso eh 🎶🎶🔥🔥🔥👍🏼👍🏼♥️♥️♥️
The real queen 👸 of melodies 💯🥰 is back.... ladies and gentlemen....Ruby👸🥰
My Favorite Ruby Coming Back Like She Never Left✅
Queen ni mmoja tuu wa bongo ambaye Ruby🎉🎉🎉🎉🎉🎉
But why,!! our girl is so talented 😍
Mbosso you're my sure bet ❤️
Mashairi to another level 🇰🇪🇯🇵❤
nyimbo kalisana ❤❤❤❤❤
Dada ulikuwa wapi nakupenda sna....❤
Aisee Ruby unajua mpaka unakeraaa.... 🙌🙌 The only one Vocalist in Tz forever 🥰🥰
Aya sasa mondi,chawa,mbosso wote wametoa magoma ila ibrah wa mmakonde alikaa mwaka sioo pw anachofanyiwa ata kma ni gang mbn mondi kawaluhusu
Ruby is onto the Next Level❤
Why umeweka picha kama yangu kwenye account yako 😂.navi force tujuane tafadhali
😂😂😂😂
Daah ... Dada mamgi kimambi kama nakuonaa yaan mmmh ... Leo nilkua nafuatilia ishu yote ila am too proud of RUBBY lets bang with world ... #sillo music for life
Nipeni like moja ya best song in 2024 rubby best female awards coming soon for this year
Hii imeendaaaaaaaa❤🔥🔥🔥
Ruby number one nipe like zangu ❤
Ooh Ngoma kalii Saaaana aiseeee 🔝🎶🎼 good music 🎶🎵 only
emu ongezeni sauti ya radio kwq kunipa likes jaman😢
A collab we never expected😢❤❤
African voice 🔥🔥🔥 achana na maboss wanao taka uchi mwaya tutakupa support ivo ivo jitahidi kufanya promo tu 🥰🥰🥰
❤❤❤ i love this song somuch ...wow yan mbosso ft Ruby hii kali tena sana..wapi liks bana
🥰keep it up good work y’both🔥🔥🥰🥰❤️🔥❤️🔥❤️🔥
kilungiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌
Our own queen 🔥🔥
❤❤❤❤yaani mahaba tele napenda aki ya nani❤❤
Ruby unajua mpaka unakera aisee sema nini endelea kutupa music mzur
Ruby never disappointed, that's a real definition of good music❤❤❤❤❤❤
Wish that rubis part was a bit longer....so sweet much love from kenya..🇰🇪🇰🇪
Baada ya kuona mtoto wa mama ki ki ki kimbooo😅😅😅
We are proud of having talented artist in tz❤❤❤🔥💯
Much love from kenya 🇰🇪🔥🔥
ruby is a natural na hakuna wa kukataa ...no female artist in Tanzania has a voice like hers
Kabisa huyu dada ni Gifted na hakuna mziki ambao hawezi imba ni💥💥💥💥💥💥
Umbuje umetisha hatareee
Let's go Tanzania 💯💯
NaKubal Hili Goma Kwel Ruby Umekill Pamoja Na Muhindi Wa Kusini Salute Kwenu
MMMMMMH !!..... HII KITU HATARI SANA.... kama kawaida yako MREMBO RUBY..Keep it UP Sister lake...✔✔💯💯💯💯👌👌💥💥❤❤
Duh ngoma Kali jmn ❤❤❤
Akikuomba mpe aridhike. Mlo kutwa mara moja ; visenti haba ila lazima nihakikishe nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo za mbosso. Hongerea sana @mbosso kwa kibarua kizito . Mziki mzuri kwelikweli.
Dah amaizing song❤❤❤❤❤❤
Mmh kawimbo katam sikaishi ham❤❤ nawe usikubali akapite my gonga hapo
Leo nina raha jamani ni full music ,uwiiiiii💥💥💥💥💥💥
Mwenye mziki wake karudi ❤🎉🎉
If Kenyans 🇰🇪🇰🇪 loves your song ,yuh automatically becomes a superstar
For sure Bruder
Wimbo mzuri alafu hata wala hauchoshi kuusikiliza 💥💥💥💥💥najisikia tu kucomment kila nikija CZcams ❤❤❤
My queen . jamani asanteni Sana an basi . so sweet and romantic.
Ruby has Natural voice that can console and boost up your vibes while in bed with your special one 🔥🔥🔥😜💯💯🫶
Lakini hana bahati sijui kwa nini
@@leokamil6284 Ndio binadamu tukivyo, sio watu Wote watakupenda wapo wataokuchukia nakutamani ufikwe na Matatizo Siku zote. Mimi Namkubali sana 🔥🔥🔥💯
@@leokamil6284 nami najiulza
Wakati wa mungu bado akifika ,mungu akimnyooshea mkono,atakuwa tyuu juuu
Ruby una pepo yako peke yako, hii sauti yako hata malaika wanafrah@iamrubyafrica ❤❤❤❤
Ruby is such natural voice. Couldn't be happier for her. 🔥🔥🔥
Fundi wangu bora wa muziki wa muda wote kuwahi kutokea nchini Tanzania ❤ go Ruby
Ma'Ruby Amerudiiii 🙌🙌🔥🔥🔥
Ruby kipenz nimekubali ngoma Kali
Rubby nakukubal mpk kiffo.... Cina wimbo wako nisioukubali dada anguh more success
🔥🔥🔥
I always love sauti ya ruby tena kashirikiana na my all time star mbosso massive love my ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ruby ni msaniii mnoooma
Ruby anashinda wote ❤
Ruby wakati huu umeandika dada umeweza🌹
King mboso🎉 na bibie mideko hapo sasa hiiii imeenda
One love from Kenya ❤❤❤❤
Kenya yote tupo pamoja mpaka mwisho wa dahali!
Nawapenda sana kwa jinsi mnavyounga mkono kazi za East Africa bila upendeleo!👊👊🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
Wamekutana ma tajir wa saut yaan music ukawa mwaaah!!!!!
Those vocals makes me relax,Mbosso khan my boy
My mboso mwenyewe ❤❤❤
My wangu uridhike moyo!! 💖💕💕💖💯😍🔥🔥🔥🔥
my favorite girl my favorite artist msanii bora wa muda wote ruby ❤❤❤
one ❤ from 🇰🇪🇰🇪
Ruby imesababisha leo nimekua mtamu kwa mpenz wangu ❤❤❤❤
Amazing song like it ❤❤ Ruby you have a nice voice❤big up
She's legendary. The goat. Mboso the goat. Watu wetu hawa.
Bora hata ruby arudii coz Kuna vidada vilidhanii vitaweza lishinda vocal la ruby⚡⚡⚡
😂😂😂😂😂😂Ruby kiboko jamani💥💥💥💥💥💥
Ruby com sua voz natural a nos briendar 🇲🇿🇲🇿
Waoooooooo❤❤❤❤❤❤❤ imenibamba warahi hii song❤❤❤❤❤❤
Aaaahgg!!!! Ngoma kali sanaa miondoko yake!. Verse ya Ruby kaliii kinomaaa🔥🔥🔥🔥
💃💃💃💃💪💪👌👌👌 Ruby mbosso vous tous là voix d'or c'est magnifique chanson 🔥🔥🔥🔥🔥💪👌👌💪❤️❤️❤️❤️❤️🇲🇫🇲🇫🇲🇫🇲🇫
Mon frère tu nous sa manqué tellement ❤❤❤
Mbosso est tjrs là 😂
Mbosso sauti💯🔥
Kazi safi Ruby sauti nzuurii,,, ukipenda ingia pia kwahii yangu cheki Ngoma safi safi
when my best best tz artists come together
Mm shabiki mpya kuanzia Leo🔥🔥🔥
Ruby ruby dada wewee❤❤❤❤❤❤
Dope song and kudos to the producer too
Ruby wanguh tunamiss nyimbo zako tunaomba usikae kimya kipenz chetu
Ruby sauti yako ni nzuri sana lakn sijui kwann haujawa famous sana