SHIGONGO ASIMULIA BUNGENI ALIVYOKATALIWA 'UDSM' KISA CHETI CHA FORM 4

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 9. 05. 2022
  • SHIGONGO ASIMULIA BUNGENI ALIVYOKATALIWA 'UDSM' KISA CHETI CHA FORM 4
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáƙe • 138

  • @meshmeshak1095
    @meshmeshak1095 Pƙed 2 lety +10

    Kwakweli Shigongo ni kati ya wabunge waelewa Sana, na kwaakili hii unafaa kuwa waziri. Hapo kwenye lugha ya kufundishia tulisha washauri sana , naomba Sana lisimamie hili kwa nguvu zote.

    • @mandevubanda9715
      @mandevubanda9715 Pƙed 2 lety

      Jaribu kufikiriya wewe huyo ni pumba tupu mchango wake umeoza !!anataka kuharibu wabunge wenzie wasiyo jitambuwa hata lugha yenu munayichukia kumbe wajinga sana

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Pƙed 2 lety +2

    Umenikonga sana Mh Shigongo. Navutiwa sana na watu wanaoweza kupeleka mambo ya msingi kama hayo bungeni. Watu wamekuwa rigid sana na ndio maana hatuendelei nchi hii.

  • @aminamjema9753
    @aminamjema9753 Pƙed 2 lety +7

    Kwa ujumla inauma sana wengine wakati wa uanzilishi shule za sekonda kuyumba tulipangiwa kufyatua tofali kwa wk Mara 2 ili ukiingia kidato cha 3 na 4 usikose darasa wakat huo wazazi wenye uwezo walihamisha watoto wait wengine walobaki wakaendelea kufyatua tofali wakat huo walimu hawatosh unasoma baadhi ya masomo mengine husomi unafanya mtihani unafeli mzazi anajitahidi walao upate taaluma nakwakua mungu anakusaidia unafaulu alafu unatolewa eti huna chet cha kidato cha 4 wakati ukiajiriwa unaulizwa taaluma gani unayo inauma sana nyie mnasomesha watoto wenu shule nzur alafu mtihani tunafanya pamoja mtu anaechorewa test tube kwenye ubao hata hajaiona usawa uko api profesa dhalichako tunalia na ww kwann walao hata mngeruhusu watu wafanye kazi mwape muda warudie QT kua na huruma na familia maskini nawao wanategemez

  • @willykikwete3176
    @willykikwete3176 Pƙed 2 lety +4

    Shigongo umenena kwa hoja. Umepiga nondo za ukweli. Be blessed though lugha ya kufundishia itachukua miaka mingi mno kufanyia maamuzi yake yenye kuwafaa watoto zetu na Taifa letu kutokana na kwamba mjadala wake hauna umoja wa kifikra kwa wahe. Wabunge wetu pamoja, wasomi wetu na michango ya Tafiti za kitaaluma juu ya Hilo. In deeply advise, English should be blessed to be used as a medium of instructions from kindergarten, primary schools to infinity just to meet the world of science and technology plus globalization.

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Pƙed 2 lety +6

    Elimu yetu itathininiwe sana wanawarudisha Watoto nyuma Kenya wanatushinda sana wao wakija nje wanafanikiwa sana katika Sekta ya Elimu!!

  • @albinpamphil3581
    @albinpamphil3581 Pƙed 19 dny

    That's it's bro, you are so brave and intelligent man

  • @emfamily2428
    @emfamily2428 Pƙed 2 lety

    nzuri hy Mh. Erick Shigongo

  • @raymondndeanka2608
    @raymondndeanka2608 Pƙed 2 lety

    GREAT MIND

  • @abuumputula640
    @abuumputula640 Pƙed 2 lety

    well said

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Pƙed 2 lety +3

    Nakukubali sasa kaka tupo wengi kaka

  • @jackloxley2865
    @jackloxley2865 Pƙed 2 lety

    Point 👏

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 Pƙed 2 lety

    Safi sana Eric Shigongo.

  • @stevenmanyalu890
    @stevenmanyalu890 Pƙed 2 lety

    Nimeipenda hii sana

  • @gmaemba22
    @gmaemba22 Pƙed 2 lety

    Woow this guy is genius

  • @edoyoseph4606
    @edoyoseph4606 Pƙed 2 lety

    Big up Mr Shigongo

  • @kadogojohn7643
    @kadogojohn7643 Pƙed 2 lety +11

    Mh Mbunge umechangia hoja nzuri, lakini kuhusu lugha ya kufundishia nawaomba sana mtumie busara + tafiti kwa upande wangu lugha ya kufundishia napendekeza iwe kingereza kuanzia elimu ya msingi, mpaka elimu ya juu kulingana na namna mambo mengi ulimwenguni yalivyotawaliwa na kingereza, mfano maelewano ya kuuziana bidhaa katika mataifa mengi yanafanyika kwa kiingereza, masomo katika mataifa ya nje kiingereza na vitu vingine kibao.

    • @umojamedia4167
      @umojamedia4167 Pƙed 2 lety +1

      Kingereza iwe somo la Lugha ukiishaijua Lugha kwisha habar

    • @miketzee806
      @miketzee806 Pƙed 2 lety

      Sasa mbona mchina anakuja africa na anakulazimisha uongee lugha yake ili akupe kazi na hatuliongei hili, Tatizo ni msimamo, Urusi imesema usipolipa kwa hela yao hakuna gas au mafuta nukta, sasa uamue kusuka au kunyoa, Sisi africa tumeshazoea kupelekwa ndo maana unaona hoja ya kingereza ndio kipaumbele, Kinachotakiwa ni msimamo, na hakikisha uchumi wako uko vizuri, hata ukiongea kisambaa, wakija watajifunza kisambaa.

    • @deomachumi2584
      @deomachumi2584 Pƙed 2 lety

      Naona tukiamua kiingereza, iwe kuanzia ngazi ya awali hadi elimu ya juu. Kinyume chake ni sahihi pia.

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 Pƙed 2 lety

    Wanaohitaji kiswahili kitumike kufundisha la kwanza hadi chuo ni wale wanaotaka tuwe na watawaliwa wa milele kingereza kitafungua milango ya mawasiliano kati ya mtu na mtu asante shigongo

  • @zeincky2215
    @zeincky2215 Pƙed 2 lety

    Nakuunga mkono Mh, all you spoke it's very sensitive

  • @rashidisadala9460
    @rashidisadala9460 Pƙed 2 lety +2

    Iweje uruke stage ya elimu broo😅😅😅😅😅afuu unataka masters hata ukienda kuomba kazi unaulizwa cheti Cha form 4

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 Pƙed 2 lety +1

    Sijawahi kusikia hoja zenye mashiko kwako kama leo.
    Am going to download this

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 Pƙed 21 dnem

    That is truth Bora kiingereza kuliko kiswahili

  • @timotheokiss6019
    @timotheokiss6019 Pƙed 2 lety

    👏

  • @credokazimoto8631
    @credokazimoto8631 Pƙed 2 lety

    👏👏👏👏👏

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 Pƙed 2 lety

    Safi sana hawa ndio wabunge tunawahitaji

  • @kakabaraka1058
    @kakabaraka1058 Pƙed 2 lety +1

    yes yes, nondo za moto.

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Pƙed 2 lety +1

    Kabisa. Form four is just a primary stage, lakini si vema kuwanyima watu fursa ikiwa wametahiniwa kwa ngazi zingine nanwakafaulu. Kama wanataka kuwapima watu wafanye interview kujua uwezo wao. Sheria zibadilike now dunia imekuwa.

  • @jkyamba3200
    @jkyamba3200 Pƙed 2 lety

    Safi sanaaa

  • @arthurherman6633
    @arthurherman6633 Pƙed 2 lety

    You are, right tell them the truth becourse most of they kids a failing today becourse they don't know
    English, & the world of today everything is speed of light the should put a system Which will help our kids in the upcoming future, course most of us, Tanzanians we are, smart & not S******d we are, living in they world of speed of light ( Make the way for the children than see the results & Out-Come than revaluet than improvise ) Tanzania is my birth home & my country we want to see the leaders we have chosen to act according what they sign for & to stand for they nation & to take their responsibility ) LIFE IS NOT REMOTE CONTROL WAKE UP & LET'S CHANGE IT TOGETHER AS ONE thanks...

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Pƙed 2 lety +6

    Bila cheti cha Form 4 maana yake huna uwezo kwenye very basic things! Endelea kwingine kwenye elimu wewe ni mbabaishaji tu

    • @gamma9590
      @gamma9590 Pƙed 2 lety

      Kwahiyo akienda kutafuta cheti, anakua na basic?
      Acha ubabaishaji

    • @dastanlufunda8846
      @dastanlufunda8846 Pƙed 19 dny

      We Bado hujaelewa lugha ya mama ndo huleta wepes wa kufikiri, then lugha zingine sio English tu, hata chines hindi na zingine si vibaya kujua

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi Pƙed 5 dny

    Nimemkubali shigogo

  • @joelndowo
    @joelndowo Pƙed 2 lety +5

    Tanzania wazee wa kubaniana...

  • @evancedaniel7322
    @evancedaniel7322 Pƙed 2 lety

    Jaamaaaa ni nondo hoja ni nondo đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„ovyo ovyo aniii

  • @DENISIMANYAMA-vy8ju
    @DENISIMANYAMA-vy8ju Pƙed 2 měsĂ­ci

    Ni kweli kabisa

  • @ramadhanimsomanga5448
    @ramadhanimsomanga5448 Pƙed 2 lety +2

    English it's best language

  • @sirojingereza6495
    @sirojingereza6495 Pƙed 2 lety +2

    Baba unajua

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Pƙed 2 lety

    SHIGONGO!!

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 Pƙed 2 lety

    Nimekukubali

  • @Eddyx21
    @Eddyx21 Pƙed rokem

    Unaakili sana

  • @Goats_channel
    @Goats_channel Pƙed 2 lety +1

    Innovative skills ndo kitu kila nchi iliyoendelea ilikizingatia. Serikali haipaswi kupuuza nafasi ya watu kama hawa

  • @soundcorner994
    @soundcorner994 Pƙed 2 lety +1

    kachukue Masters kwenye Vyuo Vingine UDSM Hawawezi kukubali Hiyo kitu...

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Pƙed 2 lety

    Shigongo, kuna majitu Tanzania yalisoma kwa kupelekwa na sasa ndiyo yanayokuwa kwenye nafasi za juu yakijua kuwa yamekuwa ndiyo yanang'ang'ania cheti cha form 4. Shigongo uko sawa kabisa.

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 Pƙed 2 lety

      @Charles Musiba hata mimi namuunga asilimia 200 Bwana ShigongođŸ‘đŸŸđŸ‘đŸŸ

  • @lamlanyava6153
    @lamlanyava6153 Pƙed 2 lety +4

    Pongezi sana kaka but English is enter national language we need it

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Pƙed 2 lety +1

      International NOT enter national

    • @aronatv47
      @aronatv47 Pƙed 2 lety

      Kweli ila isiwe lugha Baba kwenye Nchi ambayo Kiswshi ndio lughs ya Taifa ila Sheria Nyingi Kingereza,Shuleni kingereza Huo ni utumwaa tuu tunahitaji kubadilikaa..TZ utopolo Mwingii saaanaaa

    • @richnuch1873
      @richnuch1873 Pƙed 2 lety

      😂😂@@rubenprince8990

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 Pƙed měsĂ­cem

    Lugha iwe kingereza kuanzia darasa la kwanza, wengi wetu tunajua sana ila ikifika kwenye kuwasilisha lugha gongana.
    Tuanze kingereza ili tupambane na wenzetu

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Pƙed 2 lety +1

    Apo kwenye lugha nakuunga mkono ila kwenye Cheti nenda tu Qt đŸ€Łhakuna msaada

  • @mkumbosamson7981
    @mkumbosamson7981 Pƙed 2 lety +1

    Wabadili Sheria kwa ajili yako Shigongo wewe Soma QT

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Pƙed 2 lety +1

    Really? How did you get to university without form 4

  • @piusmdoe8094
    @piusmdoe8094 Pƙed 2 lety +2

    Lugha ya kufundishia kwa nchi yetu kulingana na uchumi wetu iendelee kuwa kingereza.Hatuwezi kujilinganisha na China ama Urusi kwani wwnzetu wanajimudu kimaamuzi kutokana na uchumi wao.
    Hapa shida Ni matabaka,tunaposema iwe kingereza iwe kwa mdarasa yote kuanzia darasa la kwanza na kwa shule zote.Hii itasaidia kutoa matabaka kwani kwa Sasa binafsi wanafundishwa kingereza huku kwaingine kiswahili,wakikutana kidato Cha kwanza wote kingereza.

    • @mansixwilliamofficial5496
      @mansixwilliamofficial5496 Pƙed 2 lety

      Nani aliye kudanganya kwamba kingereza ndo kitakuza uchumi wa nchi hii? Mataifa mangapi wanatumia kingereza halafu ni masikin?

    • @victorjustus9258
      @victorjustus9258 Pƙed 2 lety

      Kinachokuza uchumi sio lugha, ila ubunifu wa watu wanaoishi humo

    • @piusmdoe8094
      @piusmdoe8094 Pƙed 2 lety

      @@victorjustus9258 Hapa wote hamjanielewa,sijasema lugha ndio itakuza uchumi.Bali wwnzetu Wana nguvu ya kutumia lugha yao kufundishia kutokana na uchumi wao.Sisi hatuwezi kutokana na utegemezi.
      Mia

  • @nasibumawila3655
    @nasibumawila3655 Pƙed 2 lety +7

    I was in China 3years ago for studying masters of MBA bt the mediam of instruction in every institutes there they uses Chinese language,and people from there show prestigious to their language...................Why Tz we don't use Kiswahili as a mediam of instruction?

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 Pƙed 2 lety +2

      Uwezi tumia kiswahili wakati huna uchumi Wala technolojia...wachina Wana kila kitu...Wana uwezo wakufanya lolote kwa lugha yao...Kuna wapumbavu wanataka dunia ituache ... Ebu ingia internet alafu ifanye kwa kiswahili uone ugumu wake

    • @nasibumawila3655
      @nasibumawila3655 Pƙed 2 lety +2

      @@mbwanakiting7180 Usichokijua ni ivi haiwez kuwa rahisi kama hujazoea kufnya jambo hilo kwan wapo watu waliosevu kiswahili katk simu zao na wanatumia. Alafu usichokijua ni ivi kiswahili kinahadhi kubwa sana kuliko kichani thus why kichina iz not a international language interms of clossing the boundaries though has big number of users lakn kiswahil ni international lg bcause several countries spoken kiswahili brooooo YOU CAN'T ACHIEVE SOMETHING WITHOUT DOING SOMETHING............Let us put and use swahili into techonoligical equipments

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 Pƙed 2 lety +3

      Cha ajabu mawila ata uandishi wako no wa kiingereza zaidi.
      Comment ya Kwanza umeandika kiingereza kitupu
      Comment ya pili ulijitaidi kuandika kiswahili ukaishia kiingereza.
      Hakina nayedharau lugha yake ninachosema kiswahili liwepo SoMo na kiingereza kitumike kufundishia Masonic mengine.
      Afrika mashariki tunaelekea kuwanchi zaidi ya sita zote zinafundisha kwa kiingereza alafu sisi tunataka kukitenga na kiswahili chetu. Ata husipofundishwa utakijua tu...shida kinasaidia nini ktk mafanikio
      Dunia nzima inapigana kujua kiingereza sisi tunataka kukitenga..eti.. wazalendo
      Mafanikio yako ndani mkono wako uko tunakokwenda...Nina maana yako ktk simu yako...humu utapata elimu...interview za kazi...biashara nk
      Nani ataangaika na wewe mtanzania Lisa unajua kiswahili
      Nyie mnadanganya watu alafu mnakwenda nje kusoma..msitutie ujinga

    • @nasibumawila3655
      @nasibumawila3655 Pƙed 2 lety +1

      @@mbwanakiting7180 sawa kaka hoja yako imaraa sana na nimielewa..We need such kind of people in our country like you who think beyond than what others think🙏🙏🙏

    • @festuscdc
      @festuscdc Pƙed 2 lety

      But China also uses French na English as medium of instruction

  • @allan3723
    @allan3723 Pƙed 2 lety +2

    Masomo kueleweka kufundisha kwa lugha ya kila siku ndio mpango mzima.

  • @mrramsonvidal170
    @mrramsonvidal170 Pƙed 2 lety +1

    Unaki2 Chief

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 Pƙed 2 lety

    Longa baba

  • @mohamedsalum8933
    @mohamedsalum8933 Pƙed 2 lety +2

    Huu upuuzi wa kufikiri kwmb kubadilisha lugha kutapelekea mafanikio ktk elimu ni ndoto ya abunuasi. Tatizo c lugha tatizo ni mfumo wenu na mipango icyo na kichwa wala miguu.

    • @sijalikifunyo912
      @sijalikifunyo912 Pƙed 2 lety +2

      Huja dhaifu hii.
      Lugha inatumika kufikiri, we mswahili huwezi fikiri kwa kingereza.

    • @donjb3178
      @donjb3178 Pƙed 2 lety +1

      @@sijalikifunyo912 Ni kweli kbsa uwezo wa kufikiri unakuwa hafifu nakubaliana na ww ukiangalia wachina uwezo wao umekuwa mkubwa sana kwa sababu wanatumia lugha yao binafsi

  • @barakamori428
    @barakamori428 Pƙed 2 lety

    QT hutoboiiiiii hivyo vya chuoni simnakopiana tu coz work😂😂

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 Pƙed 21 dnem

    Kiswahili libaki kama somo peke yake but kiingereza kiwe kipaumbele masomo yote kuanzia shule ya msingi

  • @yonaezekiel580
    @yonaezekiel580 Pƙed 2 lety +1

    Huyu ndo hamnazo kabisa watoto wanasoma Mambo simple kabisa na wanashindwa kufaulu la Saba leo uanze kuwafundisha coding primary ndo tatizo la wasomi wa mchongo

  • @pauljohn1411
    @pauljohn1411 Pƙed 20 dny

    Form four ni two years, nenda shule tu...

  • @a.katunzi5815
    @a.katunzi5815 Pƙed 2 lety +2

    Kwa heshima nauliza, Kwa nini wabunge waitwao “academic dwarfs “ wanatoa michango mizuri sana kuliko hao “wasomi “?
    Kwa nini?

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Pƙed 2 lety

      Watakao kuja kukujibu ni hao hao wasomi wanaojifanya wanajua na kumbe ni mbumbumbuu

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 Pƙed 2 lety

    Shigongo umeongea vyema lakn system inatakiwa kw watu wote sio kw ajil ya mtu mmoja. Kasome QT

  • @aminamjema9753
    @aminamjema9753 Pƙed 2 lety +1

    Tupo wengi tumekosa kaz kisa chet na taaluma tunazo na tumefaulu vyuo

  • @DENISIMANYAMA-vy8ju
    @DENISIMANYAMA-vy8ju Pƙed 2 měsĂ­ci

    Waambie Mkuu😅😼😼

  • @philimonphilipo725
    @philimonphilipo725 Pƙed 2 lety

    Kwenye lugha uko sawa kabisa

  • @virus2637
    @virus2637 Pƙed 2 lety

    Tatizo sio ata lugha ya kufundishia ila Ni mtaala wa elimu urekebishwe umeegemea sana katika nadharia, hadithi na sio vitendo.wanafunzi waanze kujifunza fani mbali mbali tokea shule ya msingi.inawezakanaje mwalimu abezi kuna somo moja afu mwanafunzi asome tisa, matatu advance haya aliyoyaacha mwengine alikuwa anasom ya nn?.kwanin asisome kilimo,engineering, udaktar au, phamacia tokea elimu ya awali.Tukifanya hivo hatutakuwa tunasubiri chanjo toka kwa wanzungu.đŸ‹ïžđŸ‹ïžđŸ‹ïž

  • @sephania8085
    @sephania8085 Pƙed 2 lety

    Nashangaa Sana watanzania tunavowachukia wazungu ila ukipita mashuleni walim masomo yote wanasomesha kwa luga hiohio yakizungu sijui hiiii nchi ipoje ifikie pahal Kama nikuwachukia hao wazungu ata kiengereza ibaki kua luga yakawaida nachaajabu Kama mtu hajui kiengereza anachekwa. Kiufup nchi hiiii mzungu hakwepeki

    • @lamlanyava6153
      @lamlanyava6153 Pƙed 2 lety

      Kiingereza ni lugha ya dunia na mzungu ni nguruwe tu

    • @sephania8085
      @sephania8085 Pƙed 2 lety +1

      @@lamlanyava6153 kwaiyo kila taifa linatumia kiengereza kufundishia au

    • @dismasstanslaus5985
      @dismasstanslaus5985 Pƙed 2 lety

      Sawa lakini lazima ujue kingereza ,hiyo ni lugha ya dunia nzima mzee ,kwahiyo ukiacha kujifunza sio kwamba ndio mmeendelea saaĂ na ,no ,pengine unajidanganya maana sikuukienda huko Marekani kiswahili haikusaidi chochote mzee

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 Pƙed 2 lety +1

      Kiingereza no lugha ya dunia sijui kwa mini watu wanataka kiswahili kitimike ...hivi mtoto asome la Kwanza mpaka chip kikuu kwa kiswahili alafu akipata nafasi kusoma nje itakuwaje? Dunia huko tunakokwenda itakuwa Kijiji kimoja kupitia digital...Sasa watoto wetu tusipokuwa Malini tukajifanya wazalendo wataachwa nyima Sana.
      Leo baba zao tumeachwa nyuma na wakenya na waganda sababu ya lugha tu.
      Ndani ya mitandao Kuna Mambo mengi Sana Sana ya maana wenzetu wanatumia sababu wanajua lugha.
      Sisi tumebaki na tiktok mpaka maofisini...
      Kiswahi tunazungumza na ndio maisha yetu libaki SoMo tu la kiswahili lakini kiingereza
      Liwe SoMo la kufundishia kuanzia la Kwanza mpaka chip kikuu.
      Ili ukiwa engineer na ukikutana na engineer wa marekani mnzungumza kitu kimojA.

    • @dismasstanslaus5985
      @dismasstanslaus5985 Pƙed 2 lety

      @@mbwanakiting7180 umeongea pointi

  • @user-mx8ne4qq5s
    @user-mx8ne4qq5s Pƙed 11 měsĂ­ci

    Duuuuuu

  • @constanciashangali7523
    @constanciashangali7523 Pƙed 2 lety

    Haina tofauti na mtu ana Diploma/Advance Diploma ya clinical Medicine.. bado akitaka Degree basi inabidi aanze upyaaaa..5years + 1year Internship!!... Hii haijakaa sawa

    • @musakhalid1274
      @musakhalid1274 Pƙed 2 lety

      Yan degree ya medicine usome usome miaka 3 umetoka diploma ya clinical medicine aiaee utakua mweupe sana

    • @constanciashangali7523
      @constanciashangali7523 Pƙed 2 lety

      @@musakhalid1274 mtu ku comment haimaanishi ndio kasomea hayo mambo, halafu nikuulize hao wekundu au weusi wamezuia vifo huko mahospitalini.. wajawazito, watoto, vifo vimeisha vya kizembe?.. acha kujibu PUMBA WEWE

  • @severinkinunda5269
    @severinkinunda5269 Pƙed 2 měsĂ­ci

    Sasa kama mwenzako alisoma QT kwa nini isishindikane kwako.

  • @gushamathias7410
    @gushamathias7410 Pƙed 2 lety

    Pumbaaa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Pƙed 4 dny

    Vyuo vyetu vinashangaza cheti cha mwisho kina maana. Haiwezekani mtu ana 1st degree halafu anataka kusoma Masters unamuambia alete cheti cha form four. Alipataje 1st degree. Tuache uzamani

  • @charleskatabila3729
    @charleskatabila3729 Pƙed 2 lety

    Kaxom ujue uchungu wa mtihan wa form four

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Pƙed 2 lety

    Sasa njia rahisi nenda Qt kaka

  • @josephmafuru7296
    @josephmafuru7296 Pƙed 2 lety

    Hata kwenye utabibu mtu amakatazwa kuchukua bacholar kisa hakufaulu physics

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Pƙed 2 lety

    Sasa watoto si hawatasoma sekondari? Itakuwaje? Mi naona hii elimu yeti ipo sawa sana wabunge wanapiga tu makofi kwani lazima kupiga makofi kama hojahaina maana?

  • @beatricejoseph3537
    @beatricejoseph3537 Pƙed 2 lety

    Utanunua na kufoji vyet vyote Ila sio Cha form four lazima upite hapo hamna jins

  • @asiamuhammad8718
    @asiamuhammad8718 Pƙed 2 lety

    Si akasome tu qt jmn kwan tatizo nini jamaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Pƙed 2 lety

    Fundisheni lugha zote wazielewe

  • @imranijuma6955
    @imranijuma6955 Pƙed 2 lety +1

    😂😂😂😂uyu jamaaaa aende zake yaani tumehangaika vibaya sanaaaaaaaaaaa ilimradi tupate ata cheti cha form for na ndo cheti very important kwa TANZANIA 😂😂😂 hatukupi sisi so wajinga km hukutaka KUSOMA tuliaaa naona mpk utakufa nakinyongo ndugu lkn hatukupi me naona kwenye SEREKALI hiii utauziwa nchi utatoa rushwa utapewa kila kitu lkn cheti cha form for ata km mtoto warais hupewi hupewi apo tu ndo wamepatia😂🙏đŸ‡č🇿

  • @hawakhamisjuma2121
    @hawakhamisjuma2121 Pƙed 2 lety

    Lugha zote ni muhimu

  • @Mentorship_clips
    @Mentorship_clips Pƙed 2 lety

    Leo nmeckia kitu muhim xana kuona kiongoz tz anazungumzia coding,, coding nimuhim xana kupewa kipaumbele kufundishwa kwan znaweza kusaidia vijana wengi kuanzisha startup zao wenyewe na kuzalisha watu km mark zuckerberg

  • @gmaemba22
    @gmaemba22 Pƙed 2 lety

    Hivi huyu naibu spika ameshindwa kumpa sekunde nne kumaliza hoja muhimu namna hii. Kweli akili ni nywele.

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Pƙed 2 lety

    Sasa utalukaje vidato ufike degree hata hapo uchunguzwe umepewaje iyo degree

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Pƙed 2 lety

    Katiba mpya mkiambiwa mnakataa

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias6006 Pƙed 2 lety

    Pointi hizi huwezi kuzipata kwa watu wengi

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 Pƙed 2 lety

    Wow.
    TuNang'ang'ania Kiswahili Kwa mantiki ya Uzalendo fake. Tukitumia Kiingereza hatuwezi kusahau Kisw.
    Mbona hatusahau lugha za makabila yetu,japo hazitumiki kufundishia?

  • @barakabahati6600
    @barakabahati6600 Pƙed 2 lety

    Wa TZ hawapendagi English kwanini?

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Pƙed 2 lety

    Yani ukweli mtupu yafanyiwe kazi wengi wanafeli sababu ya lugha kubadilika

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Pƙed 2 lety

    Shida ni lugha? Narrow thinking capacity ya aina yake hii! Fundisha hata Kisukuma uone matokeo yake sasa

    • @gamma9590
      @gamma9590 Pƙed 2 lety

      Tatizo hujaelewa , msikilize vizuri. Ukitoka Tanzania na uende kusoma China italazimika ujifunze lugha mwaka mzima ndio uanze kusoma ulichoende kusoma. Je vp kwa huyu mtoto katoka la Saba anaenda form 1 lugha imebadilika, inakua kazi sana kwake

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 Pƙed 2 lety

    Huyu mtu hua Ana uzoefu na mengi, alishapitia mengi!!!

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 Pƙed 2 lety

    Elimu yetu inaitaji mabadiliko

  • @philimonphilipo725
    @philimonphilipo725 Pƙed 2 lety

    Kwenye luga ukonsawa kabisa

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Pƙed 2 lety

    Degrees are overrated in Tanzania. They are basically useless

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 Pƙed 2 lety +1

    Hujasoma acha uzezeta!

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Pƙed 2 lety

    Hata manara Ana degree ya kuropoka

  • @israelmwambi1571
    @israelmwambi1571 Pƙed 2 lety

    czcams.com/video/cUMIfQQOumc/video.html gusa link kusikiliza wimbo wa faraja ya pekee

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Pƙed 2 lety

    Eleza utatuzi wa wananchi wako jimboni

    • @dastankalinga442
      @dastankalinga442 Pƙed 2 lety +1

      Usiwe mubinafsi kaka anaongea hoja ya kitaifa sio ya kijimbo

    • @musason1680
      @musason1680 Pƙed 2 lety

      Akili huna sa unadhan hilo atalisemea nan au hujui kaz za mbunge

  • @johnfaceluhigilo7129
    @johnfaceluhigilo7129 Pƙed 2 lety

    Kumbe wewe darasa lasaba ndiyomaana bwana unapiganiya tutumie kiswahili wakati watoto wakounapeleka engirsh midum jaman

  • @tgeofrey
    @tgeofrey Pƙed 2 lety

    Utanganyika

  • @philimonphilipo725
    @philimonphilipo725 Pƙed 2 lety

    Kasome bwana kama uataki usisome