MSWAHILI:JENGO LA NGOME KONGWE BAGAMOYO LAMTISHA ZEMBWELA,ATAKA KUPOTEA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 32

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 Před 2 lety +3

    Asante,Kwa makala. Inayovutia,lkn Pia inahuzunisha.
    Ombi kufanyike ukarabati,ili historia hiyo isipotee. 🙏🏾

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 Před 2 lety +1

    Nimeghadhika sana na historia potofu,ya unafiki na uwongo mtupu !!! Nendeni shule mukasome vyema kuhusu maswala ya utumwa Afrika na ulimwengu mzima kwa jumla! Historia ya kuigiza ya kizungu bado munairudia bila kueleza chimbuko!! Inakera sana Muafrika hadi waleo amekabwa na taasubi za kimagharibi !!!

  • @blazemt9487
    @blazemt9487 Před 2 lety +4

    Tell the children the truth..history ya mzungu ndio mnatudanganya hadi leo dunia imeamka biashara ya utumwa anajulikana nani mfanyaji ...

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 Před 2 lety +1

    Duh leo nimejua vitu vingi hibgera sana Swahili

  • @abuibra
    @abuibra Před 2 lety +1

    Nani aliye kua akiuza watumwa?!wale Maalafu wa kiafrica walioko India na sehemu za ulaya na Marekani vipi ilikua,mbona wengi sana.

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Před 7 měsíci

    Hongera bwana zembwela

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 Před 2 lety +2

    Hiyo Kweli hata ulaya Indian women lazima watowe maali Kwa mwanaume

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 Před 2 lety +1

    Ivyo nyie Wabongo mnajuaje ukweli wa history halisi ya Zanzibar??

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili

    noma sana

  • @kifaruartsentertainmentgro9163

    Huyo gaid ni muongo haijui history ya bagamoyo zembwera rudia utafuti wako utajua kama alikuongopea

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Před rokem

    Duhhhh dada anakwambia sehem nyngine usichukuwe umemjibu vipi ?

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Před 2 lety

    nomependa sana

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 Před 2 lety

    Kaka Zembelwa,uliogopa kwenda vyumba vingine kwanini.. 🤣🤣🤣

  • @kifaruartsentertainmentgro9163

    Huyo gaid wa kiume ni muongo sana bagamoyo hakuna sehemu ya kunyongea zembwera

    • @chefr3020
      @chefr3020 Před 2 lety

      Ipo kaka kama unakujua badeko hotel baada ya geti tu upo mnara wa kunyongea

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Před rokem

    Kuhusu mlango umeongopea

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Před rokem

    Wsalabu mnawasema vibaya wajelumani na waleno na wakoloni nawaingeleza mnawa SEMA vizuli japokua waliuwa Sana tunajua mmekalilishwa kumchafua mwalabu kwakigezo Cha utalii uliona wapi makabuli namisikiti ya waisilamu yanasimamiwa na wakristo eti utalii kwanini wasitoe historia wazee wakiisilamu siwapo nakwanini makabuli ya wakristo hawayafanyi utalii

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 Před měsícem

    Km historia hamuijui mna Chuki zenu za Kibinafsi na Warabu kwa mnakua na Confidence na mnaloliongea wakati sio Ukweli??
    Wakati juzi tu Muingereza katoa Ushahidi na akaomba Samahani kwa Biashara ya Utumwa aliyoifanya Africa na ikiwemo Tanzania??
    Kwa taarifa yenu mwarabu anakataa yakua hajawahi kufanya Biashara ya Utumwa Duniani sio Tanzania bali Ulimwenguni kote!!!
    Huo ndio Ukweli Mtupu without doubt!

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 Před rokem

    Dah huyu jamaa muongo

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 Před 2 lety +1

    Uyo msimulizi wa kiume hana analolijua ktk historia , eti wahindi walipendelea kulima mitende eheeee!!!!!!!

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 Před 2 lety +1

    History itajirudia hii sehemu kama hii iko nchini. Senegal inaitwa the door no return its me ukifika hapo akuna kuludi

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 Před 2 lety

    Nyie mnajua yaliofanyika tokea lini??

  • @mannabu9333
    @mannabu9333 Před 2 lety

    Alafu utakuta mzanzibar eti anajivunia kuwa mwarabu Pumbavu

  • @jaysullman3697
    @jaysullman3697 Před měsícem

    Nyie mnaojiita Mswahili Mweusi Roho zenu ni Mbaya na Usaliti
    Mnasahau fadhila that's all i can see from people like you 😜
    Shame on you!

  • @clevisaboytz544
    @clevisaboytz544 Před 2 lety

    Bagamoyo

    • @selemani.matendo4091
      @selemani.matendo4091 Před 2 lety

      Mkoloni. Ni. Mkoloni..tu.si.mwarabu..au.mzungu..wote.ni.wachenzi.tu..waliuwa.babu.. Zetu. Hapo. Anaonekana.mkoloni.mzungu..halikuwa..mzuri

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Před 2 lety

      @@selemani.matendo4091 Hata mtu mweusi alikua mshenzi zaidi kwa kukamata na kuuza ndugu zake, huenda babu yako ndio alikua mtekaji na mkamataji wa watumwa na kuwauza ndio maana bado umejikuta umebakia TZ