huyo jamaa ni mkale,such a let down .Lessos is in Nandi County.Anampenda Mama Jayden kuliko wife yake home but hataki kuadmit and I think Ma Jayden si mkale thats why amefichwa sana na alikuwa girlfriend wa kwanza thats why hataki kumlet go.I know our people oooo dont ask me much LOL
i was about to say the same, i have stayed with wakale for long and i know them ndani na nje, na imagine that guy will not marry Mama Jayden, 10 yrs ni mob!
@lydia umesema ukweli kabisa....that is the real issue...and it's not easy....intermarriage kwa watu wa ocha is still shunned, but Sammy could have been the one to change that in his area.
Eunice ungekuwa ushatoka kwa huyo jamaa as soon as yesterday...He’s just wasting your precious time.Unaezaje kaa na mwanamme for a good 10years na hata hakuna mtu wao unajua?anyway yakimwagika hayazoleki...achana na hio *ngamia ASAP*
Sammy uko na ujinga sana Wewe why ukuwa unamwambia make wako uko na bibi Nyumba. .Unakaa na mtu 10 years naiyo shamba utabuyi lini falahii utagoma ujinga wakuchezea wanawake
sorry to say this I can't date someone for one month without knowing her family I have kujua mtu kwanza ili nimpe roho yangu I don't believe their is love there 10year kuchezwa
Jesus Christ,,,10yrs for God's sake,mwanadada songa mbelembele.Kumbe good men exist,mtu abuy shamba aandike kwa jina ya mtoi si wake.Mama hope ushafika Nai.
10 what??? Huyo mwanaume ana mke nyumbani kwao... Sasa usifanye maamuzi ya haraka kwenda kwa huyo jamaa wa Nairobi, chunguza kwanza, akupeleke kwao kwanza, know his status health wise, confirm kuwathe title is written under your child's name. Otherwise be very careful
God forbide alafu utaniambia ati umeoleka my friend huyo jamaa yuko n bibi anaendanga kuona wife home uuuuuiii dear unachezwa toka hapo.....how comes watu wa kwako hawajajua kwao ata n wewe unatukula akili
Hapo Jalas umepigia hiyo Ngamia simu umecheza vizuri sana hangejitoa kwa hiyo ngori. Miaka kumi bila kujua familia ya mpezi wangu? 🤔 kwani mimi mfungwa ❌❌
Aligonga pikipiki ten years ago.....hii ngamia ni burukenge kweli
Ndo hivo Aleki, Huyu jamaa ako na familia ocha.period!!!
10yrs wooooowwweeee eunice umelalia huyogamiya ningempiga marufuku kama covid.
I salute you jalas na mwakideu😚😚😚😚😚😚nawapenda bure kazi safi kabisa
Wewe eunice umewekwa mpango wa kando, bibi yuko nyumbani. Chura ruka!! Eunice shikilia huyo wa title deed ✔️
That man has a wife at home already
So this lady asonge mbele na mume mwengine
10 years I feel sad for that lady but God amemkumbuka ni achukue huyu bwana was Nairobi.
Congratulations jalas good job bro you have saved this woman
Style up Eunice,ni Kama hata jina ujui ,wasichana lets be focused
Jamaa ameoa jipe shughuli my dear huyo mwenye angekununulia shamba ndio bwana hii dude hakuna matuaini hapo you're wasting time there
Nani mwingine alikuwa anajua stevo mariga atapiga
kwan anakuanga na direct line ama
@@georgeabashwili9819 ni kama
ata sisi tupewe direct line ama niaje
That Stevo Mariga is more than popular with hali ilivyo😁😁
😄😄😄😄😄😄adi hawataki apige zingine
Pliz....big up to my cousin jalas n his pal mwakidesh!!!! Support 100%...good job dudes!!!
Uyo mwanaume anajua mpaka chini ya kitanda
10yrs kweli......wonders will never end.....my sis run while u can
Huyu mama n mvumilivu before azae angepelekwa kwao acha ujinga
Hapo unachezwa ,haki Huyo mzee akifa uko na shida kubwa jipange mapema dada
This guy has a very stable family somewhere , ujipange mapema
huyo jamaa ni mkale,such a let down .Lessos is in Nandi County.Anampenda Mama Jayden kuliko wife yake home but hataki kuadmit and I think Ma Jayden si mkale thats why amefichwa sana na alikuwa girlfriend wa kwanza thats why hataki kumlet go.I know our people oooo dont ask me much LOL
i was about to say the same, i have stayed with wakale for long and i know them ndani na nje, na imagine that guy will not marry Mama Jayden, 10 yrs ni mob!
@lydia umesema ukweli kabisa....that is the real issue...and it's not easy....intermarriage kwa watu wa ocha is still shunned, but Sammy could have been the one to change that in his area.
Ni kweli dear. .nilichezwa but nikajua within a month. .kumbe ni tabia yao
Huyo dada akanyange kubwa kubwa
Wanaume wengine kazi ni kupotezea watoto wa watu mda.
Eunice hama tu sahi
Eunice ungekuwa ushatoka kwa huyo jamaa as soon as yesterday...He’s just wasting your precious time.Unaezaje kaa na mwanamme for a good 10years na hata hakuna mtu wao unajua?anyway yakimwagika hayazoleki...achana na hio *ngamia ASAP*
Alias Eunice sasa amelevel up ...... move on boo boo . You deserve better 😎
😂😂😂😂😂Dakitar na Nurse Alex nani aliwaunganisha nyinyi asking for milele funs
Very good better than huyo msee wa curlykit.
Na huyu ngamia mwingine 😂😂😂😂 i die
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waoo keep on the 🔥🔥🔥🔥🔥mko juu to Sana the best of best
Surely yaani unawezaje sema umeolewa na hujawahi pelekwa nyumbani... duh!!!
mirriam mwikali kweli huyu mke n mpuuzi ameolewa vp km hajatolewa kitu
10 years this guy is a joker walai wawaaa nomareee
Eeeeh,wanaume na nusu 🤣🤣🤣🤣keep it up,huwa mnasaidia wa kenya may GOD bless you all🙏🙏
Sammy uko na ujinga sana Wewe why ukuwa unamwambia make wako uko na bibi Nyumba. .Unakaa na mtu 10 years naiyo shamba utabuyi lini falahii utagoma ujinga wakuchezea wanawake
kwani ilikua ni contract kama ya bahati na blessing
Kanyaga big big sioni unatafuta ushauri wa nn na uko na jibu
Hahhahahahaa makomakomkomakooooo hahahahaha ....the chemistry btwn this 2 ...iko sawa kabisaaaaa
sorry to say this I can't date someone for one month without knowing her family I have kujua mtu kwanza ili nimpe roho yangu I don't believe their is love there 10year kuchezwa
Kabwi Fridah kweli
salma said why stay 10years than I make bad decisions at last
For sure kuna wanaume wachawi jalas
Ndoa ya Mateso hio😟
that was a crazy one,wonders will never cease
Amefichwa ka baghi for me first twende kwa Hubby's family
Huyo jamaa Ana mke home . Jipange dada
Anakaa yuko na mambo mob kwa kichwa..he has good intetions though
Hiyo ngamia imeoa huyu madam asonge
eeeh wanaume kaa hawa hutoa wapi hyo courage haha 10yrs 😂👊
Jesus Christ,,,10yrs for God's sake,mwanadada songa mbelembele.Kumbe good men exist,mtu abuy shamba aandike kwa jina ya mtoi si wake.Mama hope ushafika Nai.
Kindly dada know your status then move on,kabla kitumbwa kianguke mchangani
Mm naona hio ngamia iko na bibi ushago anatumia Eunice
Ladies, acheni kua desperate na kuolewa ovyo ovyo, jirespect
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jalas na mwakideu ati na huyu Gamia mwingine hata hakuna kitu anafanya 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hiyo kicheko yenu tu weee😂😂😂
10 what??? Huyo mwanaume ana mke nyumbani kwao... Sasa usifanye maamuzi ya haraka kwenda kwa huyo jamaa wa Nairobi, chunguza kwanza, akupeleke kwao kwanza, know his status health wise, confirm kuwathe title is written under your child's name. Otherwise be very careful
Wah men meeeeen hatutaacha kuitwa dogs. Good job UNCLE TONY (JALAS) Any way someone tell me the Milele frequency in Mombasa pls.
Aki some times wanawake tunachezwa ...10yrs???...anza safari leo hii
Asking the same.....this guys kill me daily
Mama Jayden kimbia mbio..
Niko hapa 😂😂😂😂😂
Kabisa ako na family nyumbani
Dont advice a woman in love ,aki ulichezwa kabisaa.u wasted your time aki.10yrs ama daiz.🤔🤔🤔🤔
Interesting!😎
Mako mako mako mako heeeeeeeee 😂😂😂😂
Hii nyang'au iko na familia na ndo manake haiwezi kumpeleka kwao,huyu dem angekuwa ashaanza safari ya Nairobi hata
Eunice Eunice, ingia bafu onga osha mtoto toka na nguo iko kwa mwili,.. Husibebe ata handbag. Toka nenda na ubandilishe namba ya simu.
Handbag abebe
Atoke tu weekend kama huyu nugu ameenda kwa hilo familia lingine...never to be seen again.
@@emmaollows ukweli aki ni vibaya kuaribia mtu wakati,, ten years zote na umemficha mke wako.?
Mwakideu na kiherehere anaambiwa anyamaze ati yeye ni nurse😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂hawa ni wadaku😂😂😂😂wambea kweli kicheko 2 kimeweza
Big up jalas na mwakidise
Aki you guys will kill me one day😂😂
Ako namke home yaweza kuwa
Jalas na Alex mko na kicheko cha udaku hahahahahaaaa
Weeh... this is hard small..
Huyo ana mke nyumbani. panua akili unachezwa
Kumbe uko apa pia betty
Waziwazi she should have given him 3months.
Hehehe...jalas yawa
🤣 🤣 Na huyu ngamia,,, jalas
definitely huyo mwanaume ako na bibi, ur his sec wife lakini hakwambii ukweli
Make make make make make make mako waaaaaaaaaaaah, kwa ground city huchange anga
You mean 1, 2, 3........ to 10 yrs.come on.😂😂😂😂 miezi mbili tu nakanyaga kubwa kubwa
Jentrix Ati miezi mbili...Hehehehe....
Aki huyo bwana ako na wife home anakudanganya tu.
Uuuuuuuuiiiiiiii huyu dem hayuko serious "Eunithi Eunithi "aki mtu anaweza kuslap shikilia huyo wapili wachana na hii ngamia ati unaita bwana
😂😂😂😂😂 Hallooo makomakomakomaaaaa
Uncle tony
Siezi kaa hiyo miaka bila kuenda Kwao
Waah huyu mwanaume nimubaya haki
Ladies,miaka kumi?
Be Serous
Unaezaje ishi na mtu 10yrs na usijuwe wapi kwao
Run run run ruuuuun
Waluhya 😂😂😂 tunamambo aki
Wewe ni bibi no 2 natusi bishane😏 10yr ???
Hicho kicheko waaah
God forbide alafu utaniambia ati umeoleka my friend huyo jamaa yuko n bibi anaendanga kuona wife home uuuuuiii dear unachezwa toka hapo.....how comes watu wa kwako hawajajua kwao ata n wewe unatukula akili
Young lady songa mbele Ka injili
😂😂😂😂😂😂😂 daktari na nurse
Ana mke mwingine kwao
Dakitari ,,,amepanic 🙉😃🙉😃
Jalas unajuwa ktl sana ww 🤣🤣🤣🤣
Tell her she is not married they r house mate basi
maajab hayo
What kind of this marriage
Hapo Jalas umepigia hiyo Ngamia simu umecheza vizuri sana hangejitoa kwa hiyo ngori. Miaka kumi bila kujua familia ya mpezi wangu? 🤔 kwani mimi mfungwa ❌❌
Ishi na uyo mwanaume anae kucare
Huyo ni mume wa mtu
Eti helooo
😀😀😀😀😀😀😀
That's why unaona mtu akikufa mwanamke akikuja kusema ako na watoto was uyo wanakosana na family ya jamaa
this guy has a wife home....
Gamia hana Hata shugl nakunamwenye amenunua shamba Eunice kimbia Anza safari leo😂😂😂😂
Huyo ngamia sio binadamu wa kawaida, anaweza akawa jini..
Eunice umefichwa kama kamisi for 10yrs
Hahaha ata kamisi huonekana!
@@mwendapoleee 😂😂yaa hio miaka ni mingi sana kukaa na mtu mwenye hujui kwao
Hata better kamisi inaweza teremka ionekane
@@reginawambua7433 yaa
stevo Mariga amemaliza😅😅😅😅😅dose
Siwezi kuzalia mtu kama sijafika kwao