Best of SWABAHA SALUM - NONSTOP (AUDIO) | MARJAN SEMPA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- The authentic and genuine traditional Swahili Music, that has its origin in Zanzibar and coastal area of Tanzania. The lyrics (Mashairi) in Taarab music are not just ordinary lyrics they're poems or more precisely it's poetry containing significant and instructively information.
In fact all Taarab songs follow the formal rules of traditional Swahili poetry, with intricate rhyming schemes. Furthermore Taarab is one of Swahili people ways of delivering messages to specific individual or individuals with very special metaphor or language codes that most likely and mostly only Swahili people can interpret, so even if you understand Swahili that doesn't mean you comprehend the messages behind, contents and significance of Taarab lyrics.
#MarjanSempa
#SwabahaSalum
#WasafiMedia
#SwabahaMuchacho
#Taarab
#Nonstop
#2020
naskiza kutoka mkoa wa magharibi nchini Kenya, Hapa nilipo yaani twajishepedua mie na mpenzi wangu,😍🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 volume iko juu sana. wanaosikiliza nami mwaka huu wa 2024, msininyime likes tafadhali
Ataka kuja kuskia baada ya tarehe ya Leo 19 mwezi wa 4 - 2024. Gonga like nirudi kuskiza
Tupo pamoja
Anyone here in 2024😊
Natazama na kusikiza kutoka Nairobi, Makadara. Wanasema, " kwangu mimi kazi bure, nazidi kufanikiwa." Taarab mambo tosha kabisa, nyimbo ambazo zinanikumbusha enzi zile nchi yetu Kenya ilikuwa mbele kwa sababu kila mtu alikuwa anaongea kiswahili mufti/sanifu sio sasa mambo na sheng ni kila mahali ata watoto hawajui mwelekeo ni upi. Hizi nyimbo zina mafunzo ya kutosha maishani.
Vya kale ni Dhahabu
Namba 1 ku comment best of swabaha salum
☺☺☺
Best song safi san
@@omanjahaziipojuusanaphone6563 nyimbo tamuu hahah
Nyimbo yaitwaje hiyo jicho lenu la hasidi
Ubaya wenu fanyeni hamtanichafulia hamnikomoa sindiii bali mwanifagilia.... Jicho lenu la ubaya lenye chuki na miii halitonitoboaa
Ipo Jikon ✔
Jamani kwelikabisa
Masha Allah nyimbo zilizopendwa enzi hizo ,natizama na kuskiliza nkiwa Saudi Arabia Jeddah 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sabah Salum anarindima... tamba mama, twakupenda, hauna baya. haloooo! Tanzania mashalah!
Je taarab kama hii piya ni haramu??? Salalah. Subhanallah alhamdulillah Allahu Akbar. Khutbah nzuri katika nyimbo za swabah. Maashaallah. We love you from UK - GB
kama ni nyimbo skiza,usiingize khutba..usijaribu kuhalalisha kulicho haramishwa na Allah
@@nurialmalik9637 ata kuskiza pia ni haramu
Asomtu ana mungu translate to Luganda ❤❤ thank you very much swabaha salum
It means if you don't have anyone in your life you have God (katonda). Uganda is my second home. Though I don't understand it.. ❤❤❤
Swabah salum , Mungu akuekee maisha marefu mamangu umetoa mbali
🇰🇪 254 Nimewakilisha kaboom💥
🥳🥳🥳
Una nini Chakubimbiiii nilipo mimi huwezi kusema mimi danger yako mimi danger yakoooo
Hii kali kabisa hasa nilikuwa naitafuta hii nyimbo yake "mapenzi hayana formula" kuanzia dakika 44:35 hapa ndio umenimaliza zaidi.
So nice from001
All the way from 001 county
Hio nyimbo ya pili...live performance ilkua kali
Thank you kwa hii nonstop
Nataka unitafutie nyumbo yaitwa zobaa
All the way from 001... thanks sana 🤗
Aiseee najinafasi.....
Uko vizuri
One of the best singers watching and listening from mombasa kisauni.
Raha Tele
Kali bro
Taarab raha tupuuuu aisee🤩🤩
Hapooooooo!
Big up marjan and shukran kwa vibao vikali vya Swabah salum💃💃
Like all ways taarab songs that
You sing are. So
relaxing.
Mambo Mazuri kwenda mbele
20/10/2020
love me some sabah salum.
selelea selelea habibi selelea.
representing 047 KE
hzo mbio za maisha,,,jmni naipenda hyo
eeh swabaha ungezaliwa tena jmni
Tulizo ya roho yangu nikisikiza hizi taarab ya mamaaaa sabah
Unakosa ukichelewa kutuleta mazuri kama ha
Kila jambo kwa Muumba mja una kitu gani ni yeye ninae muomba moyo ukatumaini
Jina limenitoka Kdg ebu niendelezee mashairi
@@marjansempa Aso Mtu Ana Mungu
Hapa raha kwenda mbele 🤩🤩🤩😍😍😍🙏🙏🙏
Zilipendwa hatari
All the way from +254....Hatari 💥💥💥naitaka hii ntaipata vp??
AUDIOMACK
Hii nyimbo kuanzia 1:50:00 inaitwaje
@@thumermicker9515 mwenye Subira swabaha salum
@@thumermicker9515 czcams.com/video/rW9mu_S67fA/video.html
Bofya link hiyo itakupeleka kwenye ngoma yenyewe
Wow asante sana maana nilikua nazitafuta sana ❤❤
♥️❤️❤️❤️Asomtu ana mungu 🇦🇪
Taarab songs are so
relaxing, give's you
the entertainment
that you understand.
The song is about lot's
of thing's happening right there. And the
person sings with
the music, the control
of the back singers
blend's with the lead
Singer. Keep it up.
Thanks.
Jah bless wakina Dada hawo
Big up 👆 bro
😆😆👏👏👏👏👍🏻🇰🇪💕💕💕💕 best song 👍🏻💕💕💕💕💕💕💕💕💕
One of my best songs, I love your mashups
🔥🔥🔥
nice taarabu
Mashalah
Ça c'est bon ça😘😘😘
lete vituuu
Mmmm
Very nice
🥰
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
J'aime bien cette chanson😘
Kuna ile mix ya 3hrs, inaanza na "wagombanao" naitafuta sana bro, cheza kama wewe.
Ushasema kka
czcams.com/video/UxNkDJavyAk/video.html
Hapo 1:34....
hzo mbio za maisha,,,jmni naipenda hyo