JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI hujawahi kuona, MISAMIATI hii aliyoishusha imetuvunja mbavu hapa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili fasaha. Utapenda anavyocheza na lugha

Komentáře • 316

  • @kimranely1984
    @kimranely1984 Před 2 lety +43

    This guy yuko vizuri pia kwenye math alinifundisha secondary he used to call himself "THE NEXT BILLIONAIRE"😊

    • @Mr_Yussuf_as_well
      @Mr_Yussuf_as_well Před 2 lety +2

      Amesoma degree ya math na statististics

    • @ronaldissack4955
      @ronaldissack4955 Před 2 lety +2

      Umefundishwa na mtu mbuji kabisa WA Kiswahili mwl Joram nkumbi

    • @joseph__kaale
      @joseph__kaale Před 2 lety +1

      @@ronaldissack4955 Mlumbi

    • @mrsmile5425
      @mrsmile5425 Před 2 lety +1

      Ni raha sana vile anacheka kiswahili ni lugha ya amani

  • @babphonc5794
    @babphonc5794 Před 2 lety +21

    Naona hadi mtangazaji kajisahau kumuuliza kuhusu vitabu,huyu mtu ni hazina kabisa yani ✊✊✊ kiukweli ni jambo jema sana kujifunza lugha hii kiufasaha

  • @newrace5544
    @newrace5544 Před 2 lety +10

    Najikuta nacheka kwa sauti kila nikimuangalia mbuji wa kiswahili🤣🤣🤣 this is best interview ever

  • @roybazigu765
    @roybazigu765 Před 2 lety +24

    Moja ya interview bora ✍️🙏

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 2 lety +23

    Sauti na umri wake tofauti 😉 mpeni kipindi I admire him 🙌

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před 2 lety +1

      Kumbe na wewe mwenzangu umeona

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před 2 lety

      Kabisa umri wake haviendani na ufahamu wake kwenye kiswahili, kwangu mimi huyu ni Profesa wa kiswahili

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 Před 2 lety +7

    Daah nataman kuwa Yeye uyu jamaa ni Genius 💪💪💪

  • @abukarosman2565
    @abukarosman2565 Před 2 lety +15

    Nimempenda bure huyu kaka🥰🥰🥰🥰

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Před 2 lety +11

    Nilipoona clips zake Mara ya kwanza nilipenda jinsi anavyoongea na hata akipewa kipindi cha kufanya maojiano anafaa kabisa keep moving brother

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 Před 2 lety +6

    Aaah bwana. Kijana huyu ni mbobezi wa kiswahili haswa. Atafika mbali sana maana kawekeza muda wake katika jambo hili la lugha. Hongera sana kwako Jorum

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Před 2 lety +9

    Kijana nimekuhini sana.Wewe ni miongoni mwa hazina za vijana wa nchi yetu katika ukinga wa lugha yetu ya kiswahili.

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před 2 lety +5

    Maashallah maashallah maashallah, kwa kweli kiswahili ni kiyamu mnooooooo. Hongera Sana kijana mwenzetu🙏🙏🙏🙏

  • @chenganjerry5273
    @chenganjerry5273 Před 2 lety +4

    Huyu jamaaa ni mathematian mkali Sana Joram nkumbi bravo bravo

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Před 2 lety +4

    Thands down. Kiswahili kili nipa tabu sana shule. Niki pata C nilikua na shangilia balaa sana. This guy deserves a credit.

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 Před 2 lety +6

    Huyu mtu ni hodar wa kiswahili kwelikweli ni vizuri wasani wetu wakamtimia kwa tafisida ili kupunguza ukali wa maneno wanayoyatumia.

  • @afyatips
    @afyatips Před 2 lety +3

    Huyu jamaa amefanya nijue kumbe sijui kiswahili 🙌🏾🤦🏽‍♂️

    • @manwoka4078
      @manwoka4078 Před 2 lety

      Unajua kiswahili ndugu, kiswahili cha huyu jamaa huwezi fanya mawasiliano na jamii nani anatumia hayo maneno na nahau zake. Lugha ni kwa mawasiliano kama hueleweki kwa lugha inayotumika na jamii inayokuzunguruka hapo Dhima ya lugha hua haipo

  • @albiz3946
    @albiz3946 Před 2 lety +5

    Hapo Tangasisi-Tanga Ndio Sehemu alipo Zaliwa Marehemu Shaban Robert Mtaalamu wa Kiswahili East Africa

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612 Před 4 měsíci +1

    Yupo vizuri sana huyu kijana,nampenda sana

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 Před 2 lety +2

    Kidume cha shoka elimu kubwa hadi degree ya mathematics lakin bado hakuna ammmm ammm you no what!!!big up bro

  • @lizzy_ways
    @lizzy_ways Před 2 lety +7

    My first time to comment
    Well i really enjoyed a lot

  • @carolinekalume934
    @carolinekalume934 Před 2 lety +8

    Hongera Rafiki yangu
    Ubarikiwe sana

  • @jumapjuma3020
    @jumapjuma3020 Před rokem +2

    🇰🇪🇰🇪 kiswahili kumbe kinapendeza😍

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 2 lety +7

    Nakubali mwamba lugha anaimudu kinoma 🙌

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před 2 měsíci

    Shukran mwalimu

  • @mmungaramazani4016
    @mmungaramazani4016 Před 2 lety +4

    Congo 🇨🇩 swahili and kenya 🇰🇪

  • @chicherickybenson1070
    @chicherickybenson1070 Před 2 lety

    Naitwa Chiche Benson Rukumba. Natoka hapa Uganda. Ndugu Nkumbi nanipendeza sana. Lazima nijifunze lugha ya Kiswahili😀. Just trying! But the truth is I really love Kiswahili.

  • @InstructITWise
    @InstructITWise Před 2 lety +1

    nafikiri huyu jamaa na awamajamaa waliotengeneza hii game ya swahiliwordcross(niliipatia playstore) ni kitu kimoja aki nimekua nikiicheza karibia wiki mbili ila kufikia level ya 50 tu imenichomoa. Watu makni wanaotuonesha njia, nimeipenda sana hii interview

  • @AbuBakar-fu9ov
    @AbuBakar-fu9ov Před 2 lety +3

    Joram hatari sana hongera sana Mr Joram

  • @hashimumwinyi2239
    @hashimumwinyi2239 Před 2 lety +1

    Namuon mwigulu huyu hapa halafu anakataa mh. Hajui kiswahili vzuri

  • @29WavesTV
    @29WavesTV Před 2 lety +2

    Yuko Vizuri sana na mimi nimevutiwa sana usemi wake.Haborongi katika kusema

  • @earnestmwangombola672
    @earnestmwangombola672 Před 2 lety

    Nimempenda Joram Mkumbi. Sikuwahi kumsikia kabla. Anafurahisha kwa kicheko chake na hazina ya kiswahili. Bahati mbaya ni mtaalamu wa hesabu na nadhani na masuala ya masoko yaani marketing. Sina uhakika kama ameokoka, angependeza zaidi.

    • @flomaje1J
      @flomaje1J Před rokem

      Ameokoka tena sana. Angalia interview yake alipokuwa Marekani

  • @hatbtalveson6581
    @hatbtalveson6581 Před 2 lety +3

    hujawahi kukosea bwana sky...🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @simbadume1694
    @simbadume1694 Před 2 lety +3

    Jamaa Yuko vizuri kuna misemo mingi nimejifunza kwake..

  • @minortone8571
    @minortone8571 Před 2 lety +17

    Mama samia please help this kid for he can be a surpotive fellow in broadcasting our natural resources.

    • @joseph__kaale
      @joseph__kaale Před 2 lety

      Rudia tena kwa Kiswahili

    • @andrewnyasuru2917
      @andrewnyasuru2917 Před 2 lety

      Mama samia naomba umsaidie huyu mtoto maana anaweza kuwa kutusaidia katika kutangaza maliasili zetu.

    • @minortone8571
      @minortone8571 Před 2 lety

      @@andrewnyasuru2917 sawa

  • @benmbwele
    @benmbwele Před 2 lety +3

    Kusikiliza sio vizuri kama kusoma. Watu wengi hawajui nini hawajui.
    Yatupasa tuwe walumbi. Vinginevyo tutakuwa vipofu wakati tuna macho.

  • @andrewnyasuru2917
    @andrewnyasuru2917 Před 2 lety +1

    hili ni somo kwa waandishi wa habari, wawe wanavunja vunja maneno sio kila muda kutumia kiingereza

  • @gabrielgaby2265
    @gabrielgaby2265 Před 2 lety +2

    Nimeipenda sana hii interview anatumia kipindi gani niwe mfatiliaji wake

  • @benedictbuberwa3943
    @benedictbuberwa3943 Před 2 lety +1

    Jamaa amenifurahisha sana ..

  • @aahasaidi1977
    @aahasaidi1977 Před 2 lety +1

    safi sana, nashauri uandae vipindi vya Kiswahili ukitumia ubao na kalamu ili kizazi hiki tupate faida zaidi ya kufahamu maneo ya Kiswahili kwa ufasaha.Ahsante

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 Před měsícem

    MUNGU amlinde huyu mwamba.

  • @dottanzania771
    @dottanzania771 Před 2 lety +25

    Kwa hakika ni tajamala kumhoji mbuji, jagina, akiwa bado kijulanga kabisa ni furaha kama ya bibi harusi anapopewa ukonavi.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 2 lety +3

    Hii ni kichwa kabisa .. intellectual mind

    • @jacobmsigwa383
      @jacobmsigwa383 Před 2 lety

      Yaani huku duniani kuna matobo mengi sana ya fursa za kutobolea...jamaa ni fundi kwelikweli

    • @jacobmsigwa383
      @jacobmsigwa383 Před 2 lety

      Apatikane msanii mmoja atunge wimbo wenye uswahili mwingi kama huu

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Před 2 lety +2

    Apa mwisho kasema jambo kubwa sana. Kuwafunza watoto kujieleza

  • @alisalum2023
    @alisalum2023 Před 2 lety

    Kutepwereshwa nasio kutebwereshwa
    Mashallah au masharaf

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 Před 2 lety +1

    Interview nzuri Sana,nimerudia na kurudia utamu wake uko palepale

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 Před 2 lety

    Naona Fredrick bundala kafurahi Sana Kwa mahojiano na mbuji WA Kiswahili Joramu nkumbi

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 2 lety +16

    Highly intellectual 🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 Před 2 lety +4

    Tuondokane na mtindo wa kiswahili kama ilivyo kwenye nyimbo za Diamondi.

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před rokem

    Nitajamala kumjuwa ndugu Joran amenirovia rovurovu uyu ni mbuji wa kiswahili

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 2 lety +7

    The guy has made my day

  • @fathiyaalmazrui816
    @fathiyaalmazrui816 Před 2 lety +3

    Maasha Allah ni vizuri kweli watu wajifunze kuzungumza kiswahili kwa sababu sasa lugha ni maneno ya ovyo hata sijui yanatokea wapi.

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Před 2 lety +4

    Huyu kijana angefaa akasome degree ya kiswahili (kama utaratibu tu wa kielimu, maana kwangu mimi huyu bwana ni Prof tayari). Ni hazina ya taifa kwanye lughaa yetu

  • @beatricefrankngalubutu1448

    Nilidhan najua kiswahili ila wew kaka hodari sana👌👌👌....."*ukonavi* ni malipo, zawadi au fidia awewayo mtu baada ya kazi fulani😍❤️❤️umenikosha sana kaka sky 👍

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 Před 2 lety

      Love u

    • @neemamahenge3044
      @neemamahenge3044 Před rokem

      Hongera Sana kaka Nina mtoto wa darasa la nne anapenda sana Kiswahili naomba mawasiliano tafadhali

  • @AshouHumaid
    @AshouHumaid Před 10 měsíci

    Mimi ni mwenye asili ya kiarabu ila hakika nasikia furaha sana kwa lugha fasaha yenye kuupa burdani mtima wangu.Ama zama hizi kiswahili kimepotea,( KISWAHILI NI LUGHA YA TAIFA ,WATANZANIA SOTE TUNAJIVUNIA..
    KWANZA WALIMU WANALOJUKUM KUBWA,KUTUFUNDISHA LUGHA YA TAIFA.

  • @hatbtalveson6581
    @hatbtalveson6581 Před 2 lety +2

    huyu jamaa anafikra mkururo na ALLAH kajaalia HIDAYA maashaalah...

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Před rokem

    Wow! Just wow! Anafurahisha na kufundisha kwa pamoja

  • @user-xb2pi9gp9j
    @user-xb2pi9gp9j Před 3 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před 2 lety

    Kwa kweli lugha ya kiswahili ni lugha nzuri saana ukiongea vizuri. Mimi pia napenda mtu anae zungumza kiswahili vizuri. Cku hizi wengi kwenye L wanaweka R. Na kwenye R wanaweka L. Wanatuharibia lugha.

    • @bekabakari7394
      @bekabakari7394 Před 2 lety

      Lafidhi zao huko walikutoka
      Makabila yao nivigumu ra na la
      Hawajui zinawekwa wapi

  • @nuruhaule
    @nuruhaule Před 2 měsíci

    Safi sana Jorum..

  • @gemgsp7104
    @gemgsp7104 Před 2 lety +1

    Hongera kwake nimependa sana

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Před 2 lety +2

    Ana saut ya utangazaji mashaAllah

  • @lissahkisamba8843
    @lissahkisamba8843 Před 2 lety

    Hongereni sana

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Před 2 lety

    Hii interview itanifaa sanaaaa......🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nicokabonge197
    @nicokabonge197 Před rokem

    Safi sana....kaka

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 Před 2 lety +2

    Aliyesikia athari za lugha ya asili ya joram agonge like hapa. Mzanaki huyu wa kinyariri 🤣🤣🤣

  • @alhaithamiy_
    @alhaithamiy_ Před 2 lety +1

    Ghulamu, Banati, Dhukuriya zote hizi asili yake yake Arabic wow

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 Před 2 lety +3

    Hakika haya ni mahojiano yaliyo tukuka, na bora zaid . Bila shaka naweza sema mahijiano haya yatabaki kuwa ktk safu ya juu kabisa

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Před 2 lety +2

    Veeerrryyyyyy confident

  • @davidngomeni2608
    @davidngomeni2608 Před 2 lety +4

    Mtu anajua kiasi hicho ila ataonekana hafai kwa kushindwa kufaulu shule😁😁😁,tubadilike.

  • @orthospeedafrica5335
    @orthospeedafrica5335 Před 2 lety +11

    Napenda unavocheka na unavoongea Mr Joram

    • @nicokabonge197
      @nicokabonge197 Před rokem

      Dah!! Jamaa anatufungua sana....ila Vijana wa hovyooo tunafatilia mahusiano mapya ya wema sepetu na ........masanja🙄🙄🙄🙄

  • @eliakusiluka2390
    @eliakusiluka2390 Před 2 lety +1

    Hatari

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před 2 lety

    Hahaha safi sana kazi nzuri

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 Před 2 lety +1

    Nash Mc njoo uku umuome mswahili

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 Před 2 lety

    Nimependa.

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 Před rokem

    Yuko vichuri ❤❤

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Před rokem

    Nakumbuka pale shuleni tukiandika insha- Sherehe ilikuwa imefana, na mahuluki lukuki.

  • @fatmamsindi4612
    @fatmamsindi4612 Před 4 měsíci

    Maashallah

  • @silasjacob9132
    @silasjacob9132 Před 2 lety

    Jamaa anacheka tu aiseee kiswahili 🚶‍♂️

  • @moganfred6473
    @moganfred6473 Před rokem

    Namkubali sana

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Před 2 lety +2

    Wadigo oyeeeeee maana joram anajivunia kujifunza kufundishwa kiswahili na wadigo

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 Před 2 lety +3

    WATU WA MUZIKI WATANGAZE LUGHA YA KISWAHILI KWA UFASAHA. MAANA WANASIKILIZWA NA WATU WENGI NNJE NA NDANI YA TANZANIA 🇹🇿

    • @bekabakari7394
      @bekabakari7394 Před 2 lety

      Kweli bro pamoja na
      Waandishi wa habari
      Wte lugha hawajui lafidhi zao mbaya
      Kutokana na makabila wanayotoka
      Ramadhani kwao lamazani

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Před 2 lety

    nimemsikiliza uyo jamaa duh kiswahili kumbe cjui ase

  • @jabilmusa7569
    @jabilmusa7569 Před 2 lety

    Daah hakika kijana ni mzalendo qa aina yake

  • @princemimi2090
    @princemimi2090 Před 4 měsíci

    interview moja misamiati buruji kutoka kwa mbujii

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Před 2 lety

    Kumbe hatamimi sijuikiswahili

  • @juvenclemence1490
    @juvenclemence1490 Před 2 lety +7

    Ukonavi ni mimba - ila Leo nmecheka sana leo tumefungwa na yanga ila hii clip imerejesha tabasam letu

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 Před 3 měsíci

    Mm nahisi selikali ingewekeza kwa huyu brother..ingefaa, pia km ingewezekana ingeandaliawa movi yenye maudhuiya kiswali km hiki

  • @fredricklitunda8870
    @fredricklitunda8870 Před 2 lety

    Kumbe kiswahili kizurii aseee

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 2 lety +1

    Tupende vya kwetu sk Leo naona ume furahi Sana kwenye maada ya leo

  • @kennedysalanomashairi7187
    @kennedysalanomashairi7187 Před 11 měsíci

    Joram , kiswahili chako hakika kina mashiko na mnato uso mfano.

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Před 2 lety

    khaaa Kiswahili ni kigumu asee

  • @onlineshow123
    @onlineshow123 Před 11 měsíci

    Kazi kuntu zaidi naomba mnisaidie niweze kutagusana Na ndugu Nkumbi tafadhali ,,mimi pia ni mwandishi ila Sina mwelekezi

  • @elijahmgalula7465
    @elijahmgalula7465 Před 2 lety +1

    Nimeongeza msamiati! Kazole

  • @jamil1547
    @jamil1547 Před 2 lety +7

    Sky huyu jamaa naomba apewe muda hapo kwenye TV yenu aweze kutufunza lugha ya kiswahili

  • @aminakigada5250
    @aminakigada5250 Před 2 lety +3

    Hiiyote imondani yaquran takatifu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 3 měsíci

    Kijulanga mmoja aje hapa

  • @ngarathecomedian5743
    @ngarathecomedian5743 Před 2 lety

    Jama ni noma sana 🙄🤔🔥🔥

  • @MkbinladenNikunetotoz
    @MkbinladenNikunetotoz Před 2 lety

    Tanga kiswahili kilipo zaliwa duniani.

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před 2 lety +1

    Nkumbi safi kabisa

  • @rosemery542
    @rosemery542 Před 2 lety

    Ma Sha Allah maneno mengi ni Kiarabu na Kiarabu ni lugha inayopendeza.

  • @mwaminindayishimiye4434

    Vizuri sana ila kigumu 😍😃😃😃😃