Bonge moja la goma ila fid q ww noma sana nandomana kuna laini moja unasema nibora ungeumbwa nyoka ungeyavua magamba milele usengezeeka hip hop ingendelea kutamba..huzeeki mzee sema nyandu naww umeuwa ileile
Ati mboso anajaribu chorus za hiphop very funny hakuna kitu....endelea na nyimbo zako za pwani...ww mboso...@nikkimbishi.....belle 9,pindaboy...ndio ...salute
Fid Q ulichofanya sio sawa! Huku sasa kukomoana... Khaa! Sio kwa michano hiyo... cha cha cha... Ningekuwa mimi ndo mwenye wimbo huu baada ya kusikliza verse yako ningebadili yangu angalau ikaribiane na wewe! Duuuh!
Mijusi wakae kushoto, wakae wakijua misoto ndo hinafanya si tuna kua,wanaisi joto alafu wakaa chini ya jua haa aa 26 we are life for real Nyandu Tozz Poor Millionea
Ngoma Kama hizi haziendi coz wako busy kusupport ngoma za kawaida 26 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tekash wannabees you tubu busy seeking views
Good music my bro
Tam song 26°
Sure
Uwiiiiiii😮😮😮😮 mbongo noma sana kweli eseee 26
Bonge moja la goma ila fid q ww noma sana nandomana kuna laini moja unasema nibora ungeumbwa nyoka ungeyavua magamba milele usengezeeka hip hop ingendelea kutamba..huzeeki mzee sema nyandu naww umeuwa ileile
Kama umegundua hiyo koras angepewa mr blue ngma ingeenda mbali zaid weka like
Kabisa mzee
Kweli au harmoniz
Ata angesimama Gnako ingekua poa sana yani
Hahaha naam
Wangempa Deddy ama GNako
Na kabla ya kumkata PAKA, papasa papaka mkare ha ha ha ...salute mr.Kuubanda
Ati mboso anajaribu chorus za hiphop very funny hakuna kitu....endelea na nyimbo zako za pwani...ww mboso...@nikkimbishi.....belle 9,pindaboy...ndio ...salute
Mjomba fid mkorofi kweli
Fid Q ulichofanya sio sawa! Huku sasa kukomoana... Khaa! Sio kwa michano hiyo... cha cha cha... Ningekuwa mimi ndo mwenye wimbo huu baada ya kusikliza verse yako ningebadili yangu angalau ikaribiane na wewe! Duuuh!
Yandu mm nilikujua unajitambulisha kumbe ngoma ndo isha fika Kati hatari sana
FID Q balaaaa tisha sana, Mboso nae kauwa sana,
Noma kwajili ya mbosso nimeipenda
Goma Kali SSanaana na kuku Bali Sana Fid Q 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mijusi wakae kushoto, wakae wakijua misoto ndo hinafanya si tuna kua,wanaisi joto alafu wakaa chini ya jua haa aa 26 we are life for real Nyandu Tozz Poor Millionea
Niwazii mwenye njaa hana mwiko....
Mziki mzuri hauna views daah yani hii ngoma inastahili 20 millions view
Ukipotea ukaonekana hukuikosea Ile njia, mwenye njaa Hana miiko, hakuna msafi hata mnafki anafaa wito fidi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sana
nyanduu mnyama...i respect you....u know wat am saying...kakosekana nwanao blue hapo basi....
sk2kizzy inafaa ausome mziki vizuri....vinanda vya nini kwa mdundo mgumu....aki ameniboa......acha beat iwe kavu ndio tuskie uwezo wa msanii
Fid q hii style ndio inafaa mwananguko ujue nakkumbua ile kinyamwez yaan kinyaamwez
Tozi ungekaza kidogo ungekaribia kumpata fid q
Mbosso kanishangaza sana aisee, kafanya chrous kali sana.
Fid Q rapstyle never get old big up 26 NUMBER 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏👏💰💰💰🤣🤣
Angekaa baiser kwenye chorus naona ingekuwa 🔥🔥🔥 sana ila ngoma kali sana wazee
Life imekua doja mpaka wanaume wamejiunga vikoba Kama umesikia huu mstari gonga like
Mbosso kauwaaa hatariiii kumbeee nahuku yupooo Nika juaaa mambooo ya Zanzibar tuuuu
Hili ndo tatizo la fid ukimuachia zaidi ya sekunde moja ndo nyimbo yote anaimeza2️⃣6️⃣
😂😂😂😂🙆🙆🙆🙆🙆🤸🤸🤸 Fid q anapenda sifa ukimshirikisha jipange
Fid unapumulia mipla ama!😯 Maan xo kwapumzi hio
Fid na Nusu mamae fid ame funika wote
I thot Bar was for soap till I met Bars after Bars❤️fid Q 🇰🇪 🇰🇪
Kuma la mamake nyimbo ya mwaka 🔥🔥🔥🔥🔥
much love from comoros 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲
Umejua kunichekeaha broooo🤣🤣🤣
This Guy's are in another level, I wish khaligraph Jones angekua kwa hii ngoma
Nyanduu anaongeaa Mbosso fid q wameua sanaa
Kaka chumaaa hatareeee heshimaa nyanduuuuuuu
Ngoooosha🤪🤪🤪
moja kali wanangu nyandu, mbosso, fidq moto #26life
Ila fidQ we endelea tu💚💛💚💛
Ebana mmmmmmh!!! Shughuli!!! Sio mchezo!! Hii sio mchezo aise
Ebwana nyandu Hii ndo Hit ya mwez may solute ninja sharp Kwa mbosso na fid q hawajaalibu ngoma yako yako Hii view 10ml...
Meeeen tozy vs ngosha ni balaaa kubwaaaa
Hakuna rapper zaidi ya Fid Q
nakubali kwani ni ujio mwingine tupo chimbo limpopo hatuna tagi tupo mtu be me and my blood jr26mafia tuna furahi .
Fid q wamoto sana hamna anae kufiki brother saluti
Mimi niljua tuu mwanangu mbosso kwenye hili goma amefanya mauajii🔥🔥
Ngoma Kali sana mwanangu nyandu 26 umetishaaa
Vifua vikubwa kumbe mambo ikoo hukuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ckuiz hatunywi bar tena, tunakunywa nyumban n guess who is bar tender
𝗦𝗵𝗶𝗸𝗮𝗺𝗼𝗼 𝗡𝗴𝗼𝘀𝗵𝗮 🙌🙌
Mwanza mwanza ngosha ze don
Fid q 😎🙌🙌
Ni hatari kinoma 26 life like zake apo chini kama unawakubali
Fareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeed KUBANDA 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mbona kama ngoma Niyangosha tu
Kawaida ya Ngosha kukinukisha
noma sanaaaa nyandu 26 life
Noma sana
Nakubali mwanangu hamidu
Nyandu anajikuta nani mbona anaua sanaa
Ngomaa kali sanaa mwambaa
OG angepewa amalizie verse wuehh🔥
Chorus haikutendewa haki kabisa
King of hipap Ngosha 🙌
Hawezi fika kwa hashim dogo...kama ni hiphop mjombaa sio kwa ubaya....facts...@nikkimbishi
@@suhailsodeh5063 hujui hip hop kas kmy
Big up sana mbosso & fid Q
Mbosso kapita vizuri beat la mauaji
Good music.hiphope chakula Cha ubongo
Nmeelewa sana mbosso khan
King of hip hop fid
Saa ya mabadilko...26....🦁
Round hii ningeambiwa nichague kaz ningechagua Soldier' Like Pah' Pah' nauwa mmoja mmoja 26 FOR LIFE🌍
Ngoshaaaa umeuwa brooo
Message 🇹🇿
fiq 💥💥💥💥mikono juu kwel hii no 26
Habari ziwafikie miamba ya kaskazini mana tanzania hakuna mroma mwenye stamina ya kurap na ngosha
Ngosha
Ngoma tamu ngoma Kali
Ebu mwacheni Kwanza Nyandu atupe ladha All ze way from South Africa Cape town wynbebrg 🇿🇦
Huku ni 🙌🙌🙌💥💥💥
Mamaeeeeeeeeee uyu FID KONYOOOOOO 👐
Ukiskia fid q pisha bwana🔥🔥
2023 tunaishi na vibe bado
26 LIFE 🔥🔥🔥
Ngoma Kali sanaaa 👊
I have been listening to fid q for 15yr bro,fid is on another level 👌, keep them coming, love from kenya 🇰🇪 👏
Nakwambia 👍
Uuuuuuwi ni moto rapper guru
Goma languh🔥🔥
Bonge moja la ngoma
Mmetisha 🔥🔥🔥🔥🔥
Chata ni chaleeee chapa ilalee
Mbosso hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Acha na f Q ni mtu mwinginee🔥🔥🔥🔥
Huuuuhuuuuuhuuuuuuu☠️☠️☠️☠️
Wayaaa hujawah kukoseaaa
Ngoshaaaaa
Hilo beat!...n nooma!
Ngosha mtu mbaya umeua kinoma
Fid hujawahi niangusha🙌
Nakubali zombie
Anga zetu izi Kenya
Lebo ni 26 life
Poor milionea
fid q ametisha sana
Nyandu tozzy ft FidQ never disappoint ☑️💕
Chorous ni balaa.the realQ ameuaaaa
dah zomb umeuwaaaa
Izo rap zemetugonga kutokea Rwanda nani mwenzangu like zenu jameni
Amahoro🇷🇼✊
Hakuna msafi ata mchafu anahitaji uwito