Fid Q Feat Rosa Ree - BIGMAN (Official Music Video)
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- #FidQ #RosaRee #BigMan #SlideDigital
Everything BIG!!
FID Q Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/bigman
Written & Performed by Fid Q
For Bookings:
Follow Fid Q on:
/ therealfidq
/ fidq
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Kama Roma kaomba Maua mm naomba like tu
Sasa ivi sisi bado tunamsikiliza Roma
Kaombe like kwa mm ako.
@@isdorchuvu6280 😂😂
Penda kuomba omba utakuja ombwa kinyeo
Oyah @Roma like hiyo hapo👊🏿
Kama unaamini fid ni best rapper of the all time gonga like apa
Kali sana,ii ya Rose na Q atary sana. Like zao
Mke wangu anajua mahesabu haitafuti thamani ya X 🔥🔥🔥
Sigombanii mpira kama sina uhakika wa kupata goli📌
Na this time ni kama kipofu mwenye pistol,,,niatari akikoki jua ni kifoooo. ✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼 Hey bigman
Tanzanians don't know how much we Kenyans love them...Tanzania🇹🇿 Kenya🇰🇪 loves you❤
You guys don't know we love you 😊
We love you too Kenyans
Kama umeskiza zaidi mara mbili gonga like apa
Huyu ndie ngoshaaaa sasa,,kama na ww ni ngosha weka likes hapa💪💪👊👊
Hii ni Mbupu kabiiiiiiiiiiisa💥💥💥💥💥goma la kunywea whisky gheto hili📌
BIG MAN KING MAN Kijana WA Mzee kubanda rock city tuna like Kwa hapa
Ngosha wa mbasa a.k.a mzee mbuzi wabheja sana home boy kwa dude la moto
Usiache kufanya ulichokitaka maishan ghafla tu kufata kile ambacho umetaman ❤❤
Ukisikilza pini ya kubanda unajaribu kutaja na unapotoka ili tufahamu wap kubanda anasikika zaidi japo ni dunia ila tujuane kikuuuu 💥🔥... R chugaaaa
I'm I the only Kenyan loving this vibe?
Na hii ni hatari km kipof mwenye pistooo, ni hatari akikoki jua no kifo........ Alafu sisi hatugombanii Mpira km hatuna uhakika wa goli
Kenya namjua kaligraph wengne tuna waskiza af Tz kuna fid q.... Descendant wa Ngwair... Wengine waskilizwe king karud
Hii nayo ni kali. If you feel the same way angusha like
Fid Q nizadi ya wanaofanya 💪✍️
Bonge la mzuka hapa , much love and appreciation from the 254 🇰🇪🇰🇪👊🏾💪🏾
Nakukubari tangu nasoma Hadi leo ... ..mke wangu anajua hesabu hivyo hasumbuki kutafta thamini ya X 😃😃 the best line of the year.
Sigombanii mpira kama sina uhakika wa kupata goli✊✊
Farid ni mmoja tu toka Rock City
MKE WANGU HAJUI HESABU SO HATAFUTI THAMANI YA X , is that what i had🙌🙌🙌🔥🔥
explain meaning
Wote kama tumemuona mzee wa marekani, mzee wa Viza
“Hey Shawty, sigombanii mpira kama sina uhakika wa kupata goli.!”🎙
Danga danga bye bye DaDa.😊
King of hihop we shori(diamond) sigombanii mpira kama Sina uhakika was kupata goli hahaha nikitakanunua kitabu nasikiliza nyimbo za fid Q tu you are King of rap music 🐐🐐
Ngosha unajua mpaka unaboa
Kwa hapa nilipofikia ni kwa ajili ya kufikiria sana deeply kwa kukusikiliza fid cjawahi chukia kila drop ya vibe LA line zako ❤
Ziki zito sana,Khaligraph jones angeingiza verse pia 🔥 🔥
Napenda hii 😢 please nipe likes ❤
Nyonyoma ametuwakilisha mbeya city big up fid Q bless mbeya city niggaz#mwaisa_mtumbad
Alfu nasikia Billnas kawa msani bora wa Hip Hop,Fidddddd Q
M mzaz Kama dddddddd daimond kwa vionjo hatar Sana kapita chibu kwa mbali🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯✌️
Namuona chafu yangu dullastar kwa mbalii nae anawaka🇺🇸🙏
2nao kubaliana Kuwa Fidiq Nikama Jey z wa Bongo Naombeni 2juane🙌
Nikiacha kuwapenda FID Q NA ROSA REE sishabikii tena mzik
Mnipatie likes za Rosa Ree❤️❤️❤️💜💯🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Kubwa sanaa Fid na Rose kazii hii Moto Big Man
Big maaaaaaaaaam
On behalf of my family ,my village people,my ancestors and also my wicked landlord,I approve this HIT!!💯💯🔥🔥🔥we love it💯 🇰🇪🇰🇪💯
Which ancestors and village dj, can u breaf explain
On behalf of wicked landlord 😂
🎤🎤🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 your wicked landlord
wicked neighbour 😂you forget him is here!
Fidq ata ukifa leo pengo lako halizibiki hip hop ya Tanzania ww ndo mfalme wao wakitaka wasitake good song$
Ma Ichi Ichi Dumba Dumba Anga Banga vile Abbas anaroganga.!!
Hoyiii! Mwamba huyu namkubali kinyama! From Bdi
Ngosha wote naombeni like
“Hey shori, sigombanii mpira kama sina uhakika wa kupata goli.” This line hits big time 💯
Kama Kontawa kwa Mistari ya FidQ "me nachekanga tuu" 😂😂...yani mistari juu mabawa🔥
Rosa Ree kakiwasha 🔥🔥
"Sigombanii mpira kama Sina uhakika wa kupata goal".......From KE, Fid Q never disappoint 🔥🔥🔥🔥👊
"Mke wangu anajua mahesabu haitafuti thamani ya X." King as always @Fid Q👑BIGman.🔥🔥🔥🔥🔥
Mtoto w mjni km discooo najiamn mim kabla y mshiko,,mbuzi Kam mbuzi imetufikia.
Fid Q #Ngangari 💥
Jaman hii camouflage ilikua wap ya fid na rosa ,rosa ni noma sana dada wa hiphop ,mwamba mwenyew fid hatar sana
Rosa to the Rrrrrrrr.... Fire 🔥🔥🔥🔥karibu Kenya 🇰🇪🇰🇪... We love our Neighbouring countries...
Niiiteee mwanzaa mwanzaa soo poa Brack Fd Q anadawa ya cheusi dawa
Yani kama una sikiyaga kali, basi iyi hapa kali sana👌✌️🇨🇩
Wakenya mko wapiiiii😂😂😂😂??? Swahili Africa
The swagger Don haukosei. Tuishi humo
Nshapata mkwaju wa kulia Kush gheto huu mwezi💎
Big Man ni Hatariiiiiiii sana Dah!!
Haya Sasa wazushi mfyante mikia. Boya. This is Hiphop pipo
Hit nakupata sana mze faridi kubanda all the way from 🇧🇮
Sigombanii mpira kama sina uhakika wa goli 🔥🔥🔥
GWIJI ama MBORA..T.O.R.E💪🐐
Aminia Fid q,roza maua kama yote kwenye chorus
Fidi q kwenye hipohop make wako n Rosa Lee
Mkifanya kakikundi Mara moja moja Kam vle rostam mnaweza kuwa mnaua sana
Ebwana eeeeh si mchezo umeua mzeeee
Flow
Lyrics
Beat
Video
Yani kila kila kitu kiko safi sana
Na izo dance za Amapiano kwenye mdundo wa hop hop daaahh Ume uwa bro
Nobody is talking on beat💗
Thank you
Welkam
True,,it's siiiiiick🔥🔥🔥💯
💥💙💙
Nyimbo nyimbo Kwl ,,King Wa Hip Hop Tanzania Sema Ili Dude La Kikubwa Sana Kwel Broo Umekua Na Unaonyesha N Kwel We N Inspiretion Ya Watu Kbao 🙏
...huyu ndo fid Q Mwanza Icon
Fid q huzeeki mzee baba Kila ukija unakuja upya!
Nomaa, Ngosha ni wa 🔥🔥
DOPE from USA
Woof woof big up Sana 💪 i ngoma mmeuwa ile laana
Rosa ree 👌
Fidi 🙌🙌🙌
🇰🇪
Fundi fundi tu…barikiwa Ngosha
Hii ni noma...karibu Goddess
Naaam that's my friend ..Fid Q this is unified
Utabakia kuwa king siku zote
jama balaaaa anajua mpaka anakeraaaaaaaaa
Number1 rappers in🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Baba Ni Baba Ukiskia Bongo Hip Hop Ndo Hii Salute Sana Big Man
Moto kama pasi fid q baba yao
🔥🔥🔥
Oya ngosha umeua umeau mbwa hawa 😢😢 mnaendana sana rosa ree dah collabo zenu ni kisu
Much love for Rosalee, I'm watching frm South Africa 🇿🇦 Cape Town Claremont
Mzee kama unataka sifa hivi.
Dadadeki bonge la ngoma.
Fid Q good artist and a humble one, from Kenya 🇰🇪🇰🇪keep up the good work
🔥🔥🔥🔥🤝 ngoma hii inakita mpk dunia inatikisika unyama mkari
khaligraph has amde me recognize kumbe tz kuna rappers wanoma.... #respecttheog
Ngosha the swagger don 🔥🔥🔥💸💸💸✈️🈲✅
Show love from Burundi 🇧🇮🔥🔥🔥🔥🙌
One heat like always
My friend kubanda unatisha kaka big up always the best in hip hop
Mzee Mbuzi is always on fire
salute mwana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Classic flow Fid D Q feat Rosa lee amekaza sana sharra out Rosa lee
Hii ni rist ya wanamuziki bongo, fid q, Alikiba ,roma mkatoliki, wengine woote ni wasanii tu na kiki tu.
❤❤❤