DHAMBI ZOTE NI MAKOSA LAKINI SI MAKOSA YOTE NI DHAMBI. SIKILIZA HAPO JUU UPATE KUJUA. Subscribe to this channel for more videos. • TENZI ZA ROHONI NA KUA...
Mtumishi apo uliposema hatuzaliwi na dhambi Bali tunazaliwa na uwezo wa kutenda dhambi binafsi naona umetupoteza!!..maandiko yanasema kwa kutenda dhambi kwa yule mmoja basi wote wametenda dhambi,na kwa kutenda haki kwa yule mmoja (kristo) wote wametenda haki . Neno (wote) halijatenga watoto wala mtu fulani kinachowafanya watoto waingie mbinguni hata kama hawajamwamini na kumkiri yesu ni neema ya mungu iliyo juu yao coz bado hawajawa na uweza kupambanua jema na baya.. Kwa ufupi wote tunadhaliwa tukiwa na dhambi ndani yetu.
Nimebarikiwa sana Mungu akuzidishie Mtumishi wake imani yangu imepanda kiwango kingine Amen
Amen.ubalikiwe Mtumishi ni Mebalikiwa Sana kwama fundisho ya Roho
Ameeni mtumishi wa mungu
Amen
Amen! The Spirit has spoken..
Nimejifunza kitu ubarikiwe kaka yangu DINU
Amen
Tumia wengine pia ninaomba
Amen
Unafundisha vizur San ubarikiwe kaka
Bwana ni mwema na Bwana akutangulie.
Mtumishi apo uliposema hatuzaliwi na dhambi Bali tunazaliwa na uwezo wa kutenda dhambi binafsi naona umetupoteza!!..maandiko yanasema kwa kutenda dhambi kwa yule mmoja basi wote wametenda dhambi,na kwa kutenda haki kwa yule mmoja (kristo) wote wametenda haki . Neno (wote) halijatenga watoto wala mtu fulani kinachowafanya watoto waingie mbinguni hata kama hawajamwamini na kumkiri yesu ni neema ya mungu iliyo juu yao coz bado hawajawa na uweza kupambanua jema na baya.. Kwa ufupi wote tunadhaliwa tukiwa na dhambi ndani yetu.