MCHUNGAJI MSIGWA wa MOTO - ATEMA NYONGO YOTE - AIPASUA NGOME ya CHADEMA na MBOWE....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • MCHUNGAJI MSIGWA wa MOTO - ATEMA NYONGO YOTE - AIPASUA NGOME ya CHADEMA na MBOWE....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 27

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před měsícem

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před měsícem

    Sindano ya moto hiyo inachoma aaaa❤

  • @GiftyJackson-k3v
    @GiftyJackson-k3v Před měsícem +1

    Dah msigwa kuwa na akiba na maneno Dunia ni duara bro tambua ilo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem

    jmni Msigwa dah kuna maneno mengine mbona usiseme jmni..haikai vizuri ndugu yetu mwema...jmni

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před měsícem

    Wewe huna chama ulitokez nccr mageuzi ukenda CHADEMA, Tumbo lako linakusumbua.

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 Před měsícem

    Wewe ongea sera unatakazo zifanya huko ili zibadili maisha ya watu na si kuongea juu ya chadema sisi haituhusu

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Před měsícem

    Dunia hii Ina maajabu. Usimwamini mwanasiasa mia Kwa mia. Mbona. Utashangaa, hata wachungaji hawaminiki! Habari.

    • @MalamboSelijusi
      @MalamboSelijusi Před měsícem

      Kasema ukweli nkurunzinza nimbowe ,mbowe anatakiwa Aishi nawajinga ,wakati wa lowasa alimponda mzee watu Tena matusi nakumwita mwizi alivyokula pesa ,akamsafisha kua hausiki ,wajinga ndio waliwao

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 Před měsícem

    Huna akili

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Před měsícem

    Kama kuchana unachana, ndo mana ccm imekubali kufika bei

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Před měsícem

    Msigwa unajiaibisha tu. Hata wewe unajua kwamba unamsingizia Mbowe. Bila kujitoa kwa mbowe kwa hali na mali leo usingekuwa unaiongelea chadema. Uliza NCCR MAGEUZI, CUF, wako wapi sasa,chadema imeshindikana kwa sababu ya Mbowe ndiyo maana ndiye mlengwa mkuu tangu enzi za Mafuguli.

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 Před měsícem

    Mchungaji wa nguruwe😂

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před měsícem

    Ccm ni chama cha DHULMA ambcho hakitaki kushindwa , Tanganyika hakuna Democracy ni mfumo wa chama kimoja.

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Před měsícem

    Chadema muwe makin sana kuweka wanafk kwenye chama

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Niko paleeee subiri wengine soon utawasikia. Unganisha dots amesema alikaa na wenzake wakajadiliana

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před měsícem

    Duuu

  • @FADHILICHIKOLO-pb8iy
    @FADHILICHIKOLO-pb8iy Před měsícem

    Ongelea Sera siyo mtu

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Před měsícem

    Ivi tungemwondoa nkurunziza, tukuweke wewe. Chadema ingekuwepo kweli. Aisee wee ni yuda iskariote

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před měsícem

    Ccm Kazi yake kuiba kura, wanatumia tume yao ya ccm kuwaweka madarakani.

  • @Gahii-s5q
    @Gahii-s5q Před měsícem

    Kwa unachokifanya ata ccm yenyewe haipendi

  • @LameckMbele
    @LameckMbele Před měsícem

    Pumbavuuuuuuuuuùuuuuuuuuuiiuuuuuu

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Před měsícem

    😂😂😂 ila haya maisha anyway Huyu tumchinje Christmas

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Před měsícem

    Usaliti haujaanza leo 😢
    Ulianzia kwa yuda , so haya lalikuwepo , na ukishakua msaliti , huwezi kupata heshima tena 🤔 bora ungekaa kimya

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 Před měsícem

    Leo mbona hujapewa maokoto. Ulionekana tangu zamani kuwa msaliti na mwenye tamaa. Msukuma alisema upo kwenye payroll ya CCM ndiyo inakusuta. Unakula matapishi bado mavi.

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz Před měsícem

    Ccm ndiyo kulunziza anang'ang'ania madarakani anaiba kura ili abakie madarakani. Ccm hawajajua when to leave the stage

  • @STAY_FOCUS10
    @STAY_FOCUS10 Před měsícem

    Kashakula Mihela tena mamilioni kuhamia fisiemu ndo maana anaongea ,si ulikuwa huko miaka yote why unatuambia sasa hivi...We enjoy na hiyo mipesa ulioongwa acha bla bla