JINSI YA KUTENGENEZA MTINDI/YOGURT NYUMBANI
Vložit
- čas přidán 22. 02. 2017
- Mahitaji
Kwa kila vikombe 2 mpaka 3 vya maziwa
Tumia vijiko 2 vikubwa vya mtindi
Pasha maziwa moto kiasi cha kuchemka lakini USICHEMSHE
Kama unatumia thermometer iwache ifike 180F/82C
Ondoa kwenye moto halafu uwache yapewe kufika temperature 110-115F/43 - 46C ( yaani ni vugu vugu yasiunguze)
Changanya mtindi na maziwa vizuri
Funika, weka sehemu ya joto au weka ndani ya oven, washa taa ya oven umate umoto wa oven ( usiwashe moto wa oven!!)
weka kiasi masaa 6-8 hrs
Baada ya masaa 6 au 8, ondoa kwneye sehemu imoto mtindi wako utakua ushakua mzito , weka ndani ya fridge kiasi masaa 2/3 upate kushikana vizuri - Jak na to + styl
Masha Allah Jazaka'ALLAHU kheyran sister,u make it easy for us,I gonna try it 😝
shukran habibty Kwa mambo mazuri 😋😋
asante dada kwa mapishi
Mashallah nimependa kwa sababu ni natural hamna chemical 👌🏼
Shukran
subhanaAllah umeeva ukatokota..nice presentation thumbs up...I love all your recipe simple and unique...
Thank you dear
Nimependa sana, upo vizuri na unaeleweka sana💓💓💓💓💓
Karibu sana
Asante kwa kutupa hii recipe. Nimeshajaribu imetoka vizuri Sana. Mungu akuzidishie.
Shukran kwa kunijulisha, nimefurahi kujua umefanikiwa x amin kwa dua njema
Masha ma sha allah kwenye ricep zote za mtindi hii nimependa zaid💕💕
Shukran
lah...asante Sana Dada..unanifanya nakua mke wa nguvu...yan skuiz nachange mapishi kwakujiamini zaman nilkua naogopa kupika tofauti na ugali wali na chapat za kumimina....asante Sana na Allah akupe nguvu uweze kutufunza mengi
Amin, shukran
maashaallah,,allah awazidishia,,ujuzi zaidi,,na akupea afia na umri,,shukran
Amin
shukran kwa recipe mpya. Mungu azidi kukupa ujuzi zaidi.
Shukran
Dada kiboko❤❤❤
Tunashkuru dear kwa kutupa mafundisho na mungu atakuongezea ujuzi zaidi inshaallah dadaa
Amin
yummy
tuandarie Ramadan yaja
mashaallah
Jazakallahu
AROMA OF ZANZIBAR mm ndio maana nampenda anty yangu jaman maana ivyo ukipika km magic vile mashallakh mm najiamin kwa recipe zako
Shukran dear,
shukrn kwa mapishi nlikua naomba na skonzi cjui mwziitaje bt kwetu n ivo
Ishallah nikipata nafasi nitaeka
Shukran mpenzi wangu Allah akuzidishie uzima na afya tele uzidi kutufunza
AMIN , Shukran
MashaAllah hii ni plain yoghurt haina haja ya sukari
Dada angu Aroma of Zanzibar, hivi ulienda cookery school? Au ni mautundu tu? Your dishes are unique and amaizing!
Hhaha, utundu ilinifanya niend culinary school mie napenda kujaribu vyakula vya aina mbali mbali
Aroma of Zanzibar asante na hongera sana.
shukran sana habbity,alafu kwann hazitokei all of your videos ktk you channel?kuzipatazote ktk orodha.
Nenda Aroma of Zanzibar, halafu bonyeza vieo utapata zote kwa pamoja
Naomba kuuliza kama mtu anapenda kuutia sukali anatakiwaatie sukali mda gani
Utaeka sukari wakati baada ya kuondoa kwenye moto kabla hujafunika
nice huo mtindi wa kuanzia ndio ile ya kwenye kopo la caravan au
Sawa ndio huo , usiwe na sukari au ladha ya matunda, plain
Asante sana dada. Zile yourgat za ladha mfano chocolate, vanilla, passion nk zinatengenezwaje?
Unatenegeza kama kawaida halafu wakati maziwa bado ya moto unaweka vanilla au utakacho penda
Hi,saw that you used plain yoghurt. How can I flavour the yoghurt?
You can either add some vanilla pods or vanilla extract after heating up and let it set, or you can mix some jam of your choice once its cooled
nimeitengeneza leo.in shaa allah ikitok kwny fridge ntakupa mrejesho.but naon ipo poa.
jamani mtindi umetika poa sanaaaaa.mashallah jazaaka Allahul kheir. yaan mlaini mtamu, mzur. una kila sifa. cnunuippppo tena
Mashallah nilikua sijaona hii comment , hongera
asante Dada kwa video , . I tried to make a while a go using another CZcams video lakini nikashindwa , this time I'll use this video and I'm sure it will come out better. but kama nataka kufanya maziwa mgando , I think in English wanaita kafir milk , maana yogurt inashikana but maziwa mgando yanakuwa separate kidogo and more liquidy... how can I , while I was back in tz this was easy kwa sababu we use fresh milk from cows😊😊😊 haya maziwa ya dukani make the process quite different. help pls. thanks. PS I'm a pro at making maandazi now. thanks to you sis
Lucy ngoja nifanye research kidogo yaa hii kitu mie pia sijawahi kufanya nyumbani nina nunua, I will get back to you on this x have a wonderful weekend
Aroma of Zanzibar mwenyezi mungu akupe afya na furaha ktk maisha yako yote kwa kutundisha haya mola akupe alimu zaidi
+Hailin Helen Shukran Amin
Naomba kufunzwa mkate wa sinia practically.kwa hisani
sweet mozlin sijui umekusudia nini practically receipe nilikua nayo no kwenye link hii , czcams.com/video/t7twccnSQ4U/video.html
Asante sn Dd najigunza lkn cjaelewa hapo mwanzo ulichotia kwenye mtindi wako ni Maziwa ulichemsha ni mtindi pia ulitengeneza au siagi ya Maziwa???
ndio kwenye maziwa niliweka mtindi huo ni wa kuanzia
Asante sn Allah azidi kukujalia mema kwa kutufundisha vitu km hvyo je km oven cna naweza weka wp??
hi?? naweza kutumia mtindi wa kawaida badala ya huo wa dukani?? na huo wa dukani unaitwaje??....asante
Mtindi wa kawaida ndio gani, mtindi ni mtindi tu kama wa kutengeneza nyumbani au wa dukani wotw ni sawa , unaitwa yogurt kwa ki engereza
Aroma of Zanzibar asante
naomba utufundishe mkate wa mchele ambao upo laini Kama siponji
Inshallah nikipata fursa
Dada samahan mm ndo naona leo ili somo ila naomba kuliza mana kidigo umenichanganya hapa vinatakiwa vitu 3 yaan maziwa ya ngombe maziwa wa kulala na iyogati si ndio au ni vipi naomba unieleweshe dada yng plz
Nimetumia vitu 2 tu maziwa ya n'gombe na maziwa lala ndio yogurt kwa kiengereza ni kitu himoja tu
@@aromaofzanzibar asante sanaa shukran
Dada nimejaribu kugandisha ila yanatoka mepesi mno sijui nitakua nakosea wap na ninatumia maziwa ya dukan ya azam na mgando n tanga fresh
Emmanueli Mushi pole sana kama mtindi unatoka mwepesi itakua kujaweka kwenye joto la kutosha kama sii umoto wa kutasha itabidi uweke mda mrefu ili upate kuwa mzito
A.aleykum dada, vipi kama sina yogurt yakuanzia naweza kutumia nini?
Tafuta japo kidogo japo kijiko tu, kwani live culture zinapatikana factory au laboratories tu, njia hii ni rahisi zaidi
Culture kama upo tanzania kenya zipo
Assalam alaykum ilikua nauliza huwezi kufanya kwa maziwa ya unga?
Unaweza kutumia maziwa ya unga lakini mimi sijawahi kujaribu
Ok shukran sana Allah akibariki azidi kukuweka uzidi kutufunza tusoyafaham❤
Asalamalaykum mie nataka kujua kama yale maziwa ya ngombe lazma uchanganye na uwo a mtind mwengne ili uwe mtindi
Subehaa Haji ndio unahitaji mtindi wa kuanzia kutengeneza,
Mtindi ni nini
Yogurt, maziwa lala
Ok thanks
Shukran