hakika walio upande wetu ni weng kuliko walio kinyume chetu....ninapouckiliza wimbo huu ufahamu wang unafunguka kwa sehemu kubwa mno..ubarikiwe mno kijana wa yesu..kumbuka mungu anakutumia kwa ajir ya wengne..endelea kuinuliwa kwa jina la yesu
Mungu akubariki sana mtumishi, azidi kukuinua Ili na mm nibadilike kupitia ujumbe huu, kweri nafarijika sana ninapockia huu wimbo yaan nahic uwepo wa mungu ukishuka.
Shetan akiona watu wanamuimbia Mungu ktk roho na kwel cjui uwa anawivu, anaanza kuwavuruga ili mrad kupoteza ushuhuda mzuri! Nakuombea ulinzi wa Mungu damu yake ikufunike adui ajapokufata asikuone ww amuone Yesu mwenyew❤🎉
No body is like Him(God) not only that but also he is unchangeable and reliable God. Through this song people are receiving blessing and impartation. mr mgogo may God take you to another level from one glory to another.
My brother i thank God for you.Many Nations are being saved by your songs.I love them for the are spirit filled.How i wish Malawi could have some of your type.
November 2022…. I can listen to this song the whole day repeated ❤️🫶🏻it’s healing up my heart I love it I love it 🥰 it’s gives me hope every time ,when I feel like giving up 🫶🏻🔥
Brother Emmanuel Mgogo you are a blessing to many.may the good God continue using you to touch many lost souls. I'm so blessed powerful msg in this song.😢😢😢 God I submit all of me to you. Let your will be done in my life.
Niko uliyeko Baba!!ooh haleluya huwa nikiskiza huu wimbo naskia nguvu za Mungu ndani yangu barikiwa sana Emanuel na tearm yako Mungu akujalie mwisho mwema
Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgogo unaimba tokea ndani si vibaya kusema katika Roho(Mungu ni Roho) na kweli(neno la Mungu) Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli *Yohana Mtakatifu 4:23*....... Ubarikiwe (uzidishwe) sana *Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgogo*
Hakika huu wimbo, unagusa Mpaka, Moyoni .Hakika matendo Yake yanatisha, aliye Muongezea Miaka Ezekia, Hakika Mungu Unatisha juu ya mataifa yote. Barikiwa Sana Mtumishi Bro E.Mgogo
Niko hapa 2024 wimbo una MAFUTA
tupo pamoja
Adi mimi
Me too
👍
Hikaka mtumishi mungu azidi kukuongoza huu 2024
Leo 21 .6.2024 nani mwingine anasikilizaa😢😢😢
Anaesikiliza 2020 like yako yamuhimu sana hapa tujuane....
Felix bosco tupo
Nipo hapa leo
Siuchokag
Niwapo ktk Mapito huwa nafarijiwa na hiii nyimbo mungu aKubariki kaka Emmanuel
wimbo umejaa nguvu ya roho mtakatifu
Nyimbo zake zote zina uvuvio wa Roho mtakatifu, na kaziimba kwa kumsifu Mungu
Mimi siwezi nyamaza kuzinena habari zako Mungu muumba wa vyote,,,
Wimbo huu umeniweka katik viwango vikubwa vyakiroho,,amina sana mtumishii
nyimbo nzuri kabisa mungu akubariki sana kaka ema uzidi kufika mbali kwa kueneza neno la mungu akufanye kuwa shujaa
hakika walio upande wetu ni weng kuliko walio kinyume chetu....ninapouckiliza wimbo huu ufahamu wang unafunguka kwa sehemu kubwa mno..ubarikiwe mno kijana wa yesu..kumbuka mungu anakutumia kwa ajir ya wengne..endelea kuinuliwa kwa jina la yesu
Daaaa hakika mungu niyule yule jana leo nahata mileleeee
Huu wimbo hautawah kuchuja Kila siku ni mpya
Nani anaye usikiliza huu wimbo 2019? unanifariji sana naomba like zenu ata mmoja ili twende pamoja na neno la Mungu
nipo pamoja isa jmpil njema mwenyezi munqu atubali kutoka 3msitali wa 7
Nani yuko hapa leo 2021 anazid balikiwa na nyimbo hiii🙏
Ubarikiwe xan
Who’s still depend on God and Love HIM 2024 🔥🔥🔥 I LOVE YOU JESUS CHRIST WITHOUT YOU AM NOTHING TOTAL .
Mungu akubariki sana mtumishi, azidi kukuinua Ili na mm nibadilike kupitia ujumbe huu, kweri nafarijika sana ninapockia huu wimbo yaan nahic uwepo wa mungu ukishuka.
Wimbo wamwelekea Mungu kwanza Kisha nasi tuliojazwa roho twapata kuufurahia. Usipokua umeogozwa na roho mtakatifu huwezi kufahamu uzuri was wimbo huu.
Mungu akubarki Sana Kaka umeimba vizur sana
Hu wimbo unanifariji sana katika maisha yangu
Yes kiti Chake cha enzi kisikalike..... uuuh aniteteee daima
Shetan akiona watu wanamuimbia Mungu ktk roho na kwel cjui uwa anawivu, anaanza kuwavuruga ili mrad kupoteza ushuhuda mzuri! Nakuombea ulinzi wa Mungu damu yake ikufunike adui ajapokufata asikuone ww amuone Yesu mwenyew❤🎉
Nikitazama mbingu ulivyoziumba maarifa yako ya ajabu hayafananishwi nimeuona mkono wako wenye nguvu sijaona wa kufananishwa na wewe
Nabarikiwa sana Na nyimbo zako kaka..Mungu azidi kukutumia
Mungu akubariki mtumish ,hakika nyimbo zako zimekuwa baraka kwako ,
nikisikiliza huu wimbo nabalikiwa sana God bless u my brother
Ukowp edina mm Godfrey
penda sana nyimbo za injil kama hiz mungu simamia kaz za uinjilishaji wa nyimbo... amina
Mungu wangu wa mbingu ni akubari kaka nyimbo zako zinapenya mpaka ndani ya moyo
nic xna nataman kujiung na nyny
Ukweli kapiza ndugu.
Kila nisikilizapo nyimbo zako kaka emmanuel nafarijika sana ipo siku ntakutafuta unisaidie kaka
No body is like Him(God) not only that but also he is unchangeable and reliable God. Through this song people are receiving blessing and impartation. mr mgogo may God take you to another level from one glory to another.
mungu naangalia kila anaye mwita na hutimiza mapezi yake ,
Tunao angalia 2019 tujuane hapa
Nabarikiwa sana na huu wimbo wakati ninapo usikiliza Huwa nahisi nguvu za Mungu zisizo za kawaida, mtumishi wa Mungu aliye hai akuzidishie neema zake.
Ubarkiwe mtumishi was mngu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu nyimbo zako zote nizakubariki watu Mungu aendeleye kukutumikisha kama chombo chake
Nabarikiwa xana na huu wimbo Mungu akubarik mtumish wa bwana,,
Amen,Mungu wa israel, hakuna kama wewe na hatakuwepo milele. Mungu akubariki sana.
Kaka ubalikiwe sana mungu akbaliki sana hduma yako idum milele
umebarikiwe sana kaka Ema wimbo mzuri saaàaana
Mtumixh mungu akupe moyo akulinde ili uendelee kuchapa gosper karbu arusha
ELIFURAHA KISANGA Amen sana mtumishi umenipaliki sana mungu akusaitiye akupemwisho muzuri kabisa nimepalikiwa
Upende, usipende, huu wimbo ukisikiliza lazima ukuguse .
Amon Lupimo nikweli kabisa yani Wacha Mungu aitwe Mungu
+Sara. Wanjala Alipo Yesu Yote Yanawezekana Sanaaaa
nikweli ndugu yangu
Amon Lupiml
Really you
My brother i thank God for you.Many Nations are being saved by your songs.I love them for the are spirit filled.How i wish Malawi could have some of your type.
This song always make me cry always when i hear,ooh God never let me alone
Proud of you Emanuel mgongo napenda wimbo uwuu yani Sana mungu akutangulie
Naifurahia neema . barikiwa sana
hakika ubalikiwe saana Mungu akubaliki maana yeye hakunalinalo mshind
kiti chako cha enzi kikalike. Naam
Mungu wakati wowote.
SIFA NA UTUKUFU NI MUNGU MUUMBA WA VYOTE.UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU SANA NAKUOMBEA NEEMA YA KUJITUNZA ILI UZIDI KUMTUMIKIA MUNGU.
Wimbo mzuri umenigusa!
Mimi siwezi nyamaza Bwana Yesu kuzisema habari zako kwamataifa
Jamani uu wimbo unanipa atua kila napousikiliza❤❤❤nikweli moyo umejawa na sifa zako milele
mungu azidi kumbariki mtumishi wake kipaji kikubwa sana
Asante YESU kwaajili ya mtumishi wako.Barikiwa mno kaka
November 2022…. I can listen to this song the whole day repeated ❤️🫶🏻it’s healing up my heart I love it I love it 🥰 it’s gives me hope every time ,when I feel like giving up 🫶🏻🔥
kilaniki sikiliza huu wimbo lazima nijawe ruoho mtakatifu munii akubariki amina
Ubalikiwe mgogo
real u bless me brother, I ask God to make u hier more n more
God bless you my brother
Frankly speaking this song makes me cry. Sichoki kuutazama. God bless you abundantly.
Nabarikiwa sana nanyimbo yako hakika magumu yangu nipitiayo nakumbuka neno hili nipo ulioko.
This song makes my heart "seat back" relaxed, waiting for my Lord to find me ready.
Song hii iko safi
Hakika neno jema laweza kutoka yelusalemu, unanibariki sana mtumishi kwa nyimbo zako. Mungu akuzidishie sana sana tena zaidi
we Mungu niumbie moyo wa sifa nikusifu Wewe Siku zangu zote
Wimbo unanivutiaga sana huuu sichokagi kuusikilizaa
Kazi nzuri, MUNGU akutie nguvu.
Enock Kitundu her I
mungu akutie nguvu kuitumikia kaz yake nimebarkiwa sana God blees u mgogo
Ubarikiwe Sana God bless you
Brother Emmanuel Mgogo you are a blessing to many.may the good God continue using you to touch many lost souls.
I'm so blessed powerful msg in this song.😢😢😢
God I submit all of me to you. Let your will be done in my life.
Mungu azidi kukubariki
Helen Melzig mungu akubariki
🤲🏻👈🏽👉🏽🤲🏻 morning god
Mungu akabariki sana mutumishi wamungu nyimbo zako zina upako wa roho mutakatifu zanifariji, zanitia nguvu za roho mutakatifu kabisa
nikoooo, uliyeko baba,
Mimi siwezinyamaza kuzinena habar zako Mungu wangu,.
God bless u Emmanuel Mgogo
Naipenda Sana huduma yako mtumishi,nabarikiwa Sana
hakuna jambo jambo jema duniani kama kuzinena habari za Mungu zinafariji zinainua Zinauwisha lakini
nyimbo zako ni uponyaji tosha.barikiwa aana
huu wimbo unanibari saaaaaaaana jamani
mungu akubaliki sana mgogo wimbo mzuli umenibaliki sana niko ulieko
Niko uliyeko Baba!!ooh haleluya huwa nikiskiza huu wimbo naskia nguvu za Mungu ndani yangu barikiwa sana Emanuel na tearm yako Mungu akujalie mwisho mwema
Nabarikiwa sana na wimbo huu
ur my fevaret cosp singer ...
amina sana nabarikiwa san na nyimbo zako
Aksante Emanuel Mgogo. Mungu aendelee kukutumia katika kutangaza injili kwa njia ya uimbaji.
aaah yani hii nyimbo imepenya had mbingun ubalikiwe kak emma
wimbo huu unanibariki sana Mungu akutie nguvu mtumishi
I love this video very very much o you need to be on the x fator yes you deserve a place there. From Lyndon.
nabariki xana mungu akuongezee nguvu.....
Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgogo unaimba tokea ndani si vibaya kusema katika Roho(Mungu ni Roho) na kweli(neno la Mungu)
Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika Roho na kweli *Yohana Mtakatifu 4:23*.......
Ubarikiwe (uzidishwe) sana *Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgogo*
Huu wimbo wanibariki naona kuinuliwa sana.mungu akubariki brother Emanuel mungu akuinue zaidi🙌🙌
Hallelujah hallelujah glory to God juu ya wimbo huu
Hakika huu wimbo siachi kuusikiza kwan Unanibariki, God Bless you Emmanuel Mgongo 🙏🙏🙏
Huu wimbo kila napousikiliza machozi yananitoka unagusa mpaka damuni
Wimboo huu uanaubariki moyo wangu sana...naona upako Daima....kip
Wimbo huo wa niko uliyeko umenigusa sana ubalikiwe na BWANA YESU
it has really touched mai soul and it has increased mai faith. thanks very much may God bless u.
Huu Wimbo unaniingia mpaka kilindi cha moyo najikuta nalia tu
i like this song more(niko aliyeko)
also who sing is my school mate at iyunga boys
@@emmanuelmwandumbya8616 l
nimebarikiwa sana na huu wimbo
be blessed brother Imma and your team
Asante yesu ..ww ni mkuu siku zote
Ashkuliwe mungu aliye juu mbingun
Asante baba emmanuel mgombe nabarikiwa saaana mungu akubariki saana
Hakika huu wimbo, unagusa Mpaka, Moyoni .Hakika matendo Yake yanatisha, aliye Muongezea Miaka Ezekia, Hakika Mungu Unatisha juu ya mataifa yote. Barikiwa Sana Mtumishi Bro E.Mgogo
That's God... Glorified be his mighty Name
Niko ambaye niko..no comments 🙌
nice one Mr mgogo
Nice song God bless you
Mungu awabarik sana watumishi kila niskilizapo huu wimbo nafarijika Sanaaa❤️❤️❤️❤️
Nikisikiliza nyimbo nabariki Sana .Songs mbele zaidi mungu akubariki.
nyimb zk zinanitia nguvu kila nipo ckiliz god bless u
Amina Mtumish wa mungu Emmanuel Mgogo mungu zaidi kukuinua amina
Mungu akutunze unamanixha xana unacho imba na unafata bible inavyo xma
Nzuriiii
Niko uliyeko Bwana, nani aliyekama wewe baba mwenye kutusaidia Leo! Najivunia uwepo wako ndani yangu Jehovah!
Hakika MUNGU alikufunulia ktk uandishi na hata namna ya uimbaji,ujumbe unaobariki sana.
Amina.
Wimbo una anointing huu
Namshukuru Mungu kupitia Emmanuel maana wimbo huu umenirudisha kundini, b blessed.