Kiri Records Presents MAGAZIJUTO Feat Stamina,Kontawa,Tannah,Maarifa &Bando Mc(Official Video)
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- #KiriRecordstz #NgommaTanzaniamusic
Song: MAGAZIJUTO
Performed by TANNAH,BANDO,STAMINA,MAARIFA &KONTAWA
Video directed by DeoAbel
Audio production: Kiri Records
For booking: kirirecordstz@gmail.com
Contact: +255716397048
Magazijuto" available on all digital platforms song.link/6P0S...
Follow Kiri Records on socialmedia ...
@2021 Channel Administered by Ngomma Vas.
Hakuna mzima humu 😅😅😅😅😅😅🙌🙌🙌 yaaan tangia asubuhi naisikiliza alafu sijui n saa ngap nita press next
Nasikiliza mpaka 2022/11/30
Bando: complicated verses
Tannah: burned the song with her voice💥💥
Maarifa: beat changer with listenable verses
Stamina: the G.OA.T
Kontawa:🤔
Kama unaikubali hii collabo ebu gonga like hapa japo Ifike hata 1k
Angekaa na yule mhuni wa kahama *NACHA* ngoma ingekaa kizazi zaidi ila haimaanishi kuwa haijasimama ni ngoma na nusu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hoya noma sama.mwafrika umekosa kwa kulala mpaka unalalamika
Hahahha stamina na kontawa wameuwa so kazi nzuri ila Bando appriciate you my brothee
Wanafunzi walevi wanatembea na kaunta😀😀😀
Uchawi wa mapenzi ni kuona mate matamu kushinda soda....😅😅🔥🔥🔥
😂 😁😁😁😁
.g vh g
Watoto wameandk mistar kila neno jiwe 😂😂😂
😅😅😅
Hahahahahhaha😅 mlevi atakunywa bapa zote ila si bapa la panga more 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 fire.
Moja kati ya ngoma kalii na nusu mjini muda huu iko on replay kweny mitaa💥💎
Bando ni hatar yni uwezekaniki brooo we unajua xana
Hata uwe simba damu ukifa utazikwa na mbao😄😄 Stamina ku****mako iyi ngoma ww nd umeifunika..
Remix plzzz naomba fidq,p mawenge,one incredible, nikk wapili,roma na hao balaaaaaa
Broo hao wote uliotaja ni levo zingine na Moto mwingine
Hahahahahaahaa baalaaaaaaaaaaaaaaa acha niendelee kurudia rudia x8
hip hop still exist,asante sana Stamina kwa kuwapa moyo na kuwashika mkono wadogo zako,Mungu akubariki
Unamjua Kontawa Ww Nakubal Mkubwa Wao
Ngoma kali Ila kamic nacha humu🔥🔥🔥🔥
Wala ujakosea mkuu
Umeonaee
Yes yes huyo mwana mwenye nywele nyeupe nywele htl Sana STAMINA unaonea watoto 🤸🤸
Nimesikiliza mwanzo mwisho lkn niliposikiliza Zaidi ni kwa Huyu BANDO MC & STAMINA Uongo dhambi Hawa watu wameibeba hiyo ngoma
Yupi aliye kula funda kati ya whozu na adamu
Respect kutoka 🇲🇿🇲🇿💚 nakubali sana hip hop from Tanzania
Stamina ✊✊✊ umewaongoza wadogo zako vzr like zao hapa.⏩⏩⏩
Oyaa wananngu ngoma Kali wauni wametufokea Sanaa🤣🤣
Haji Manara naomba uwaambie wanao/
Hata kama simba damu ukifa utazikwa na mbao/ 😂😂😂
Mmmh sister tannah umewakilisha hiphop kwa magirls
hapa kakosekana NACHA goma lingebamba kinoma
Kbsa kka
Nice...The girl is Hot she drops verses ile kinoma kaua...ila mwana Stamina Kills it at the end .. Beat imeenda shule im 100% hiphop still alive in Tanzania
mamaaaeeee haaaa🙌🙌🔥🔥 nimeirudia mara mbili lakini bado sijaona nani aliewaficha wenzako woote wameumiza .....ivi vichwaaa sio poa
Wimbo unaanzia 1:43 huyo Tanna amewakalisha wote humo. Beat iko poa sana inabadilika na bado inatembea fresh tu.
Stamina 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍👍 more love from Kenya Broh...
Kontawaa kauwaa anafuatiwa na maarifah✅
hii nyimbo ilitakiwa iwe na video kali sana....haijatendewa haki
Nipo poa sanaaaa😅😅😅😅😅
🔥🔥😁😂😂 oya nyote ni vichaa hata Tannah akili hana eti umekosa pa kulala mpaka unalalamika, hili jingine kontawa nalo jinga eti wanafunzi walevi ndo wanatembea na kaunta😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿hatar sana
ushawachek kudadekk zao👊🏻
KONTAWA KATISHA.
UNATAKA KUNIPIMA AKILI
MI SINA AKILI TIMAMU
Mapenzi kama uyoga leo mboga kesho sumu
Jamani Stamina Anajuaaaaa!!!!Utakunywa Bapa ila sio bapa LA Panga!!!! Oi!!!
Hii ngoma ni munoma sana vichwa vilioko humu ni hatar kupitiliza shout kwa home boy #maarifa you kill it buddah kibaha king of rap🤴🤴🤴
Angekuwepo na Rapcha ingekuwa ni fire🔥🔥🔥🔥 zaidi
Mlevi utakunywa bapa zote lakini sio bapa la panga
Ile goma bana😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Love from Bantu Bwoy+257🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Unaweza ukaishi Tanzania alafu ukala viazi ulaya. Kontawa nyoko wew
Mapenzi Kama Uyoga Leo Ni Mboga Kesho Ni Sumu...
Naqubalii
bando hakika unakipaji nakuomba kaka usije jisahau Kama wengine utapotea mwambie mungu akupo moyo wa uvumilivu 💖💖💖💖💖 By machera msoma town
Kontawa & stamina u killed it
Dah mmeuwaaaa wanangu wa kiliiii
wote vichwa mmetishaaa sn
this song is so underrated ,cjui namaanisha nni lakini ngoma kali
🔥🔥🔥
hiii wasanii wote wahua vikari sana
Kuna Wachanaji Halafu Kuna Maarifa 🔥🔥🔥🔥
🔥☄🔥🇹🇿🇰🇪 kazi nzuri sana mad Respek for Bongo Rap.
Let's subscriber to kiri records 🤜🤛🤛
Hii ngoma unapigia kula kumchagua raisi
Hivi mnao taka kufika lileleni mmekosa pakufika naombeni like dah
Kontawaaaaaaaaaaaaaaaa is 🔥🔥🔥🔥🔥
Oih oih oih oih hatari na nusu ni noma halafu utasikia mlevi mmoja hip hop imekufa
Dah bhando
Tannah killed it..🔥🔥🔥,
Mmekoss pakulala ndo mana mnalalamika
Ngoma kaliiii cna brooohhh
Ngoma kalii kama hii utaipata wapi bongo
Anaitwaa Bea uyuu jamaaa Hataree sana Producer hatare
Top saana wana👊🏻
Tanna ma favorite😍😍😍female rapper artist
Nakubali wanangu nyimbo naikiliza wiki zima cjaichoka🙌🙌🙌
ww Tannah kwn huu Mverse uliahidiwa gar
Bear Bear Beeeeeear, kwenye VERSE ya maarifa hilo VIBE la BEAT mzee KIRI RECORDS KILL IT.....TANNAH i see you KULEEEEEEEEEEEEEE, overtaking WALEEEEEEEEEE....Project ni Fire aisee.
mpangaji kamdai kodi mwenye nyumba
Number 40... 254 representing
Hakuna shonga kwenye hili battle ......wote wanaumee....stamina ,kontawa you killed it bro
Tannah umewakalisha vidume. Nakufatilia sana michano yako
Daa aisee wote wameua,wote yaan hii ngoma 🔥🔥
Bando '' ukitapasa fungua bank usifungue zipuu '' ...😁😁😁
Dada Tanna katisha sanaa❤❤❤❤
Noma sana
Tana na kontawa wameuwa kuliko mwenye nyimbo
*Walilia Wembe watoe kucha juzi Leo wanalilia wembe wapunguzee..........?*
👉👉👉 *VUZI* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Manina zenu
Hii ni Elimu.. Sio tu wimbo.. Love from Kenya
Stamina, bando ,kontawa kill this
Ha ha ha. Duuuu mapenz km uyoga Leo mboga kesho sumu
Kuna muda uneza usiwe shabiki wa muziki ila ukikutana na hivi vichwa lazima ukae
Heshima nyingi kwenu kwa kuiwakilisha vyema HipHop 💪💪💪💪
Ngoma hii itadumu miaka na miaka 🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥
Deo Abel umeumiza sana humu nimependa idea ya video
Bandoooooooooooooooooo
Hatare sana hii kwa tunaopenda rap ni noma na nusu
Wana wameuawa kabisaa💥💥bando amenifurahisha zaidi
Wallah hii combination ni kali
Dah maarifa umeuwa mno mwanangu
Ebwanaa balaaa zito bonge la ngoma mjini
Tannah unajua kinoma na unachora vizuri
Dahh......ngoma kali joint ya maana,,,,,unaambiwa+++ mwenye kiti kabeba na meza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mpangaji kamdai kodi mwenye nyumba 😂😂😂😂😂
Itikadi kali sana ngoma ya moto
Alilia wembe atoe kucha JuZi Leo analilia wembe Aje kupunguza ……….😅😅😅
Hili jitu lenye mvi kichaa sana,bonge la ngoma mjini
U guys r the baddest
Naishia kucheka tu ila nikipata nafas yakusema kit nitasema kuwa STAMINA UMETETEMESHA ANGA badala ya ardhi ♡♡♡♡♡♡♡
Mavoko Karibu 💥🔛Majini
Kibaha finest!
Mumeua wotee bando shy1