SIJATENGENEZA SHEPU/ SHEPU NI YANGU NIMEZALIWA HIVI NA HAPA NIMEPUNGUA SANA
Vložit
- čas přidán 9. 09. 2021
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Mwanzo na mwisho wetu sote ni vumbi tu, cha muhimu sio shepu wala sura, ila mahusiano yako na Mungu alokuumba , wako wapi warembo walotamba na kuwa gumzo , dunia ni mapito tu
Amen kweli hiyo
Uko sawa ila Wacha makasiriko kwa maisha ya wenyewe
Mashallah watu na mashep yao nakupenda dada nicole
Masha allah nakupenda saana dada nicole 😘😍😘😍❤
Muongo saaan huyu dada anahisi😅😅😅
Dada Nicol mm mwenyew Niko irika kihesa nakupenda san
Wow umependeza Sana kweli 💖💕💖💕💖💖💕
Alizema Mimi mweusi Sasa Kawa mweupe jamanii huyu dada kapitiliza 😜😜
"Ilikua kama mamitto"
Aisee, nakusalimu sana Nicole aka J
Nnikol nakupenda sana yan sijui tutaonana lin jaman😅❤👈👈👈👍👍👍😁😃👏
alikuwa kanyongonyeaaa kma anautapiamuloo hii ni sajalii😂
daaaah amejikataaa yaaaan amejiyuda esikariot
Nimeshapata jibu hapa amezunguuka jibu ameongeza shepu yake
Yeah amesema alipunguza mwil so imamaana aliongeza shape
Mtangazaji Wa mwisho nimekupenda kwakweli 😂😀😀ulivyo mkazania aongee ukweli
Sura hana
@@thoraiyahassiem4721 ww sura unayo????
Piga kelele kwa wahehe wote. Nikole anawakilisha wahehe
Ata Mimi mzee
hilo tako ukiliona unajua sio natural . hebu ona hiyo picha tako limekuwa duara km mpira umegaiwa nusu huku na huku tako la nature linaonesha kushuka hapo muonekano wako km manyonyo badala yakuwa matako .
I like her to the moon nikole🥰
Nice
Analiwa Uyoooo
czcams.com/video/cTi4vOt4Wys/video.html
FAHYVANNY vs PAULA KAJALA 🔥🔥🔥🐉🐉
Simu za zamani
🥰
Nicole Bwana
Jumaaaaa eti mmmh
Wee usituongopee Nicol khaaa umetengeneza vtu vingiii hpo mpk mbavu ukachomoa moja na Huku moja maziwa sauti mdomo matako vyote sajari
Hahahahaaa
🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😩😩😩 Ety Sajari
Hahahahaaa
Jamni nimecheka mno
Mpaka mbavu kumbe zinachomolewa😂😂😂😂😂😂
Mm siwez kataa Bali anavaa Va mbano tu but ...
Mm hupenda huyu dada haki
Mmh hay bhan
Anacheka vuzuri maskini ya mungu
Yaaaaaniii
Weye mjng sio ukubali tuu
SAuti sasa
Saw
Kwa
Miaka 28 mmmhh...!
Mbona kwenye Michele na mpunga hakuwa hivyo
Mmmm nikole
HABARI MIMI NI MTAALAM WA AFYA NAWASAIDIWA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZA TEZI DUME
❤
Hapo tyr mmempa airtime hakunaga,nani atajua Nicol alikuwepo mule bila kuangalia upya
Kwa kweli hata mimi narudi kuitazama upya
@@aminamgaya7511 Me nimeangalia mara mbili ila nimeshindwa kumgundua Nicole kwenye hiyo video
Kwakweli imenifanya nirudie Tena kuiangalia hakunaga
Umemuona kweli,mbona mm nimecheck sijamuona.
Lkn haipo ktk account ya Suma Lee ndo shida hyo tyr
mh Nicole kumbe ndo yule wa akunaga
Weeeeeeee 😲😲😲ndo huyoooooooo
ndio
Na meno kaweka rangi nyeweupe demu anatengeneza pesaaaaa🔥🔥🔥🥁🥁🎺🎺
Akunaga yle yule ambae ni video qeen au alikua mchezaji ebu niambieni
Aache kutu danganye umejiongezea
Yes amejiongeza sasa anadanganya nan🤣🤣
Yani maziwa makubwa matako makubwa ata hajaka vizur sauti yake tunzuri ila kamuiga orpa
Mtoto shape shape ni mzuri anatamanisha
Lkn wanawake kama hawa wavivu sana kitandani....
Kweli kabisa
kazi yako si kukojoa kwani tatizo nini??
Na hivyo wewe mwenyewe mchaga😂😂😂😂kiruuuuuuu kibo chandede
@@ramadhanmahongole5663 kaka epuka ule usemi wa dakika mbili tuu kamaliza
Hahahaaaa
@@blandinamyinga9489 kwani uchaga tatizo Lake nn dada
Shape kama shape mama.
asidangany kajibadilisha
Dah jamani acha uongo jaman
Nachekaaaaaa
kumbe wa kwetu
Kwenye miaka 28 hapo
Mamito😅😅😅😅mnataka vita
Kwani watu hawakujui
Watz mna mambo sa maminto wetu mnamtoa wapi
katengeneza
Picha za zamani
Ngoja nikaangalie wimbo w akunaga🤣umbea kz
Akung up wa sumalee
😆😆
Huyu ndio alisema nalima mchele na 😂😂😂
Hee kumbe ndio huyu 🤣😂🙄
Nalima mpunga nalima mchele pia na matango
Nalima mpunga na mchele iringa!!!!!!!!!!!
Na hapo kasema ivoivo
Poa sana
Weeee, sio mtu kuzaliwa hivo kama ulizaliwa hivo ulikuaje wakati ulikuwa umezaliwa hebu tujue kuongea lugha uzuri
🧢🧢🧢🧢🧢
❤❤❤❤
Upo?
Hawez kukubali ety ajaaongezaa😏 ata wema sepetu alikuwa anasema ndivyo alivyozaliwa Leo hii upo wapi ule mwili wa sepetu wetuuu
huwezi jua kesho yako
Wedada wewe kwaiyo macho yangu pia yananiongopea sawa bana we kataa uwalisia wako kwani sh ngapi kuwa mkeeli bana au unataka ufike mbinguni umechoka nawewe
🤣🤣🤣🤣🤣ayiiiii comment hiziii ila kafny sili ile kidg ajasem tu ukweli
Duh
Wa kulima mchele na mpunga
Jamani jamani tunakuomba sumalee uje hapa utueleze ndo yeye ama aio yeye, kama ni hiyo huyu dada mwili mzima ni saggery kuanzia shepu, sura, matiti hadi urefu. Ndugu yake Michael Jackson kabisa huyu
ujinga mtupu munapenda dunia kuliko Akheir acheni ujinga huo
Duu jamaa wa kabagalashia umemkomalia nicole hadi anakataa kwao na kujihamishia mkwawa
Hayo Manyonyo Kama masufulia kaongezea bw
Yaani ktk ktk Hana tumbo hakuwa hivyo cm na hiyo shepu
Chawaaaa hizooo
M
Hiyo mikucha yenyewe niyakubandika, kawa kama jini makata.... Sembuse shepu na weupe, asema ati kazaliwa nao... Mpuzi mbuzi huyu, kunya mavi ya tembe tembe... Akubali tu mwili wote mzima kaubadilisha, nna imani hata sauti pia sio yake
Duuh si kwa vichambo🤣🤣🤣🤣
Mlima mchele na mpunga uyo
🤣🤣🤣
Yaani ukitaka kujua mtu kajibadil msikilize hiyo sauti
Hahahah hahahahaha hahahahaha bongo sihami
Giuiii
Mnazinguw mtu yoyote anae jiphoto mwili juwa hamna kitu apo
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ni kutangaza umalaya tuu..
Nalima mpunga na Mchele 🤣🤣🤣🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Kulima ndio dil wewe acha ushamba
Mambo ya iringa ayo
Natafuta Dem jamani Niko Kenya 🇰🇪 nko na pesa kila ki2 jamani serikali ingilie kati
Basi usiwe na wasi wasi wadau washakusikia watakutafuta
😂😂
😳😳😳😳😳😳🙃🙃🙃🙃🙃
Matikiti ku dondoka😅
Sasa unamuongopea nani wakat Shepu la mchongo Maden Uturuki
Mbona imepinda😂😂😂
Wacha urongo. Umeongezea 😂
Tena kaongeza zaidi tena na matiti kaongeza mpaka imetisha zaidi
Siku hizi hamna kazi mnaongea vitu havina msaada kwa watanzania ni upumbavu mtupu
Asinikarishishe nipost picha yake ya kitambo
kila kitu feki midemu yetu ya kibongo manywele feki masura feki kujichubua aibuu tupu
Watu wambea dada kaumbwa na nimzuri pia
Kila mtu ni nzur msimkufuru Allh
She is lying wallah, tumelala wote deka moja chuoni joyce
😁😁
Hadi nimetafuta wimbo wa Suma lee
Sio kwl
Ukubali tuu km umeongeza kila kitu ktk mwili wako
Kbsaaa
@@neemaruben5427 picha zake za zaman zipo anabisha tuu
Singeli inayohit czcams.com/video/wxfTfu0_S6U/video.html
Kwan yule dada wa nyimbo ya akunaga ya sumalee ni Nicole
Hapana
Sasa simutu anakua naanabadirik
Umeubwa vibaya mama
Hahahahahah anamuongopea nani
Me miguu yake tuu jamanii. Angejiongeza kote kote
@@faustadonasian2777 ameongeza titi halafu anasema sio feki........
Sasa ukiona kwenye tamthiliya ya huba DSTV mpk unaweza ukacheka mara nyingine. Hilo nyonyo la saa sita me mpk huwa nachoka kabisa.