Oyaaa eee waliokubaliii usajoliii wa young Africans gongaaa likeee hapaaa kama zoteeee maana. Mwaakaa huu timu yetu itafikaaa mbalii au nyiee mnaonajeeee!!!!😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunajua kua mwaka huuu hakunatimu yoyote ya kuimuduh tim yetu anae bisha aseme wananchi mniamini mm gonga like hata mbili tuh naombeni muendereee kuisapoti tim yetu yangaa hoyeeeeeeeeeeee
Yanga media vitu vingine edit video kama hii yakufichwa Baka kachelewa kuna namna ya uchelewaji leo katika zoezi .lazima mulinde video zetu .but tuko mbaaaaaaali decepline flan leo wachezaji wameinesha ambayo sio nzuri wapeni kisomo kuhusu umuhimu wa time
Kama ni kweli Simba wamepeleka malalamiko tff kuhusu chama ninachowaomba msijekutoka mchezoni watafanya Kila Hila hili wawatoe mchezoni tarehe 8 so kuweni sana makini tunalihitaji na Hilo kombe la ngao ya jamii kuanza nalo iwe hisiwe nawatakia Kila la kheri
Waliosema kagoma kurudi ni wale akina aulizwi na kauzibe😂 ndio walisema hivyo, hata Aucho naye walisema yupo dar na hapokei cm za boss😂😂😂ila redio mbao jamnii kazi ipo😅.
Oyaaa eee waliokubaliii usajoliii wa young Africans gongaaa likeee hapaaa kama zoteeee maana. Mwaakaa huu timu yetu itafikaaa mbalii au nyiee mnaonajeeee!!!!😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dua bro
Usajolo😂
Du nilikua nimemsi diara na Aucho anae kumbuka pas ya Aucho kumpasia gude na kuwafunga makolo aweke leki hapa 🎉🎉
Leki yann tena au kuna majani humu 😢
Tunajua kua mwaka huuu hakunatimu yoyote ya kuimuduh tim yetu anae bisha aseme wananchi mniamini mm gonga like hata mbili tuh naombeni muendereee kuisapoti tim yetu yangaa hoyeeeeeeeeeeee
Nimefurahi kuwaona msonda na aucho 🔰💚💚💚💚💛
Nasijikia amani saana na hii timu jamn mungu wabariki wachezaji wetu wa yanga
Bigapu sana mtu wangu kwa usajili huu tutaendelea kupata rahaaaaaa
Daaaaaaaa yani hata mazoezi2 niishalatosha kuwa sisi ni bigwa milele iloveyu yanga mwaaaaaaaaaaa😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
I believe young is 💥💥💥💥
Inatosha kusema viongozi na wachezaji furaha yetu Iko mikononi vichwania na hata katika miguu ya wachezaji I believe all our technical bench
Kama unaamini msimu ujao tutamaliza ligi bila kupoteza mchezo wowote gonga like😊😊😊
Huu msimu hata haito concede goli za ya tano
Hakuna kupotrz
Max na nkane love nkane zidi kumfundisha kiswahili max
Nkane endelea na kazi nzuri.
Makocha Africa Wana hofu kubwa kwa usajili wa Yanga. Umiza Kichwa.
Namuoma mdaka mishale amerudi Diarra😊
Yanga Bingwa ✅
hiii timu ni nzur sana ee mungu bariki tubebe CCL
Yanga media vitu vingine edit video kama hii yakufichwa Baka kachelewa kuna namna ya uchelewaji leo katika zoezi .lazima mulinde video zetu .but tuko mbaaaaaaali decepline flan leo wachezaji wameinesha ambayo sio nzuri wapeni kisomo kuhusu umuhimu wa time
Tuliomwona diara mkono juu!!!
☝️☝️
Tumemuona ila kavaa jez number ilikuwaga ya guede😢😢😢😢😢
Tumemuona ila kavaa jez number ilikuwaga ya guede😢😢😢😢😢
@@SalvatoryMbigili-m2fndo unalia😅😅😅😅
Hao wazee hatuwataki, kazi hawatopata na uwanachama watauacha hatutaki masnich
Nan Kamuona Bareke Na Leoo
Mimi
Bareke ni nani
😂😂Nimemkumbuka Mzizee...
Mnsheri🎉🎉🎉🎉
Ss pacome nd vp kichwan😊
MUDA YUPO SANA TANGU DAY 1. LOVE MY TEAM.
Kibwana mmemuona anacheza komasava tu 💚🖤💛
Wafungaji wapewe mazoezi special ya kutupia tuu
Max🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Usajili ulioenda yule safi sana
Mnarupatia raha saaana asantenii viongoz wote GSM GSM GSM.
Sisemi sana mana makolo nao wanaongoxa kwa kwa usajili wa wachexaji wengi wao nae wanasema mwaka huu wayarudishe
Jamani yanga raha sana gonga like hapa❤
nimemuona Musonda Roho yangu imetulia sasa
Wewe umemuona
Ahaaaa Raha sana asee
Simba wamepania kuzirudisha zile saba msimu huu. Halafu eti wamejiamini kweli!!!
Waanze kurudisha Sita walizofungwa huko kwanza kabla hawajafikiria saba
Huyo Mzize Hana Rafiki❤
Aucho🎉🎉🎉🎉🎉
Unyama ni nwingiiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Gamond kasha andaa mitego na Mabom anangoja mtu ahingie kwenye 18 zake mabom yamlipukie na Mitego himnase
Yanga makombe mpaka 2040
keep on going bafethu
Baca🎉🎉🎉🎉
Allaah Akbar
Nje ya fensi ni watu jmn
Raia kama woooote
Mwambie aduke aachekujitenga
Alhamdullilahi
😂😂😂aucho ilo li mwili akistafuu mpira wa miguu aende ruby
Kazi njema
Yaooooo🎉🎉🎉🎉🎉
Dube🎉🎉🎉🎉🎉
Pacome 🎉🎉🎉🎉
Kibwana 🎉🎉🎉🎉
Diara 🎉🎉🎉🎉
Kibabage🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
CHAMA aaaaaaa. Wota a goal ,, Dube eeeee waoo,,huu mwaka kuna TIMU hapo zitaumwa Utiai sugu 🤣🤣🤣🤣
Maana hujui utamkaba yupi 💪💪💪
Job🎉🎉🎉🎉🎉
Hatuzuiliki sisi mpaka uchoke makombe ndo tutawaachia la sivyo watasahau makombe
Mzize
Juma kagom ndani yanga atu taki aondoke
Wakwanza
Maisha ya mpira Bana watu wanayapenda ila magumu Sana Yani nikula kulala mazoezi
Kama ni kweli Simba wamepeleka malalamiko tff kuhusu chama ninachowaomba msijekutoka mchezoni watafanya Kila Hila hili wawatoe mchezoni tarehe 8 so kuweni sana makini tunalihitaji na Hilo kombe la ngao ya jamii kuanza nalo iwe hisiwe nawatakia Kila la kheri
🔰🔰🔰
Yanga tam
Kwani hayupo
🎉😢😮😮oy inatosha jaman
Namba 11😇
🙌🙌🙌
Yanga tamu
Kula kolo limoko lilisema kama chama atasajiliwa yanga nae anahamia yanga hatakubali kuendelea kupata tabu makolo
Bila kuchoka❤
Muda🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kapten mwanyeto🎉🎉🎉🎉🎉
Tumetisha
❤❤❤❤
Diaraa😂❤❤❤
Safiiii
Mafunguo simuoni 😢
Awee
Wakwanza apa likes zangu
Wapinzani kwa yanga hii hakuna rangi mtaacha ona😂😂😂
Boca🎉🎉🎉🎉🎉
hili club lina nipa rahaaaa da
Yanga bingwa😅
😂😂ligi ianze bhn mm kuna wakati siamin kweli chamaa na dube ni wetu
😮
11 imevaliwa na baleke
Duke abuyq
ni shidaa
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Nimemuona baleke
Kwenye page za vipapa mkojo utakuta wanaandika ooh mkude sio mwananchi tena shenzi huyu nani ma dako yao
Kama naona watu watakavyo kuwa wanateseka
😂😂😂😂nmemuona bacca nmekumbka penat zake😂😂😂😂
Jamani tujiungeni na yanga Kwa kuwa na kadi ya uwanachama kama kweli tunaipenda yanga
Ingekua rahisi sana kujisajili mtandaoni kuwa mwanachama ila ni ngumu hasa si wa mikoani
Musonda anakizizikweli
Tunaomba haj manala ndo atutambulishie ao wchzaj sku ya mwana nch
Kocha msaidizi yupo wapi?
Mbona Dube simuoni mazoezini?, kavaa jezi namba ngapi?
Mliokuwa na wasi2 na Djigui Diarra huyo hapo nani kasema amegoma kurudi wee Yanga siyo Yanga ninayoijua ya GSM na Rais wetu Eng. Hersi Said
Waliosema kagoma kurudi ni wale akina aulizwi na kauzibe😂 ndio walisema hivyo, hata Aucho naye walisema yupo dar na hapokei cm za boss😂😂😂ila redio mbao jamnii kazi ipo😅.
Awajaamaa watapiga sanaa wana kila kitu kwenye kikosi ya anaye toka substution nisawa na aliye anza Mungu tuepushe na ngarika hii tareh 8/8/😢
Duke abuya mbona kapoa kaja chama kubwa afu anakua muoga