GAMONDI AKIANDAA FURAHA YA WANANCHI MAZOEZINI AVIC TOWN | PRE SEASON 🔰

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024

Komentáře • 147

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Před měsícem +63

    Oyaaa eee waliokubaliii usajoliii wa young Africans gongaaa likeee hapaaa kama zoteeee maana. Mwaakaa huu timu yetu itafikaaa mbalii au nyiee mnaonajeeee!!!!😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Před měsícem +23

    Du nilikua nimemsi diara na Aucho anae kumbuka pas ya Aucho kumpasia gude na kuwafunga makolo aweke leki hapa 🎉🎉

  • @Andrewmyala-t1b
    @Andrewmyala-t1b Před měsícem +16

    Tunajua kua mwaka huuu hakunatimu yoyote ya kuimuduh tim yetu anae bisha aseme wananchi mniamini mm gonga like hata mbili tuh naombeni muendereee kuisapoti tim yetu yangaa hoyeeeeeeeeeeee

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 Před měsícem +12

    Nimefurahi kuwaona msonda na aucho 🔰💚💚💚💚💛

  • @SophiaKilegu
    @SophiaKilegu Před měsícem +5

    Nasijikia amani saana na hii timu jamn mungu wabariki wachezaji wetu wa yanga

  • @BoniphaceFelisian
    @BoniphaceFelisian Před měsícem +7

    Bigapu sana mtu wangu kwa usajili huu tutaendelea kupata rahaaaaaa

  • @JastineMakanyaga-bd6wi
    @JastineMakanyaga-bd6wi Před měsícem +15

    Daaaaaaaa yani hata mazoezi2 niishalatosha kuwa sisi ni bigwa milele iloveyu yanga mwaaaaaaaaaaa😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @abubakalimavumbi5846
    @abubakalimavumbi5846 Před měsícem +12

    I believe young is 💥💥💥💥

  • @adamtanakhel8185
    @adamtanakhel8185 Před měsícem +3

    Inatosha kusema viongozi na wachezaji furaha yetu Iko mikononi vichwania na hata katika miguu ya wachezaji I believe all our technical bench

  • @misambo7539
    @misambo7539 Před měsícem +49

    Kama unaamini msimu ujao tutamaliza ligi bila kupoteza mchezo wowote gonga like😊😊😊

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Před měsícem +4

    Max na nkane love nkane zidi kumfundisha kiswahili max

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 Před měsícem +4

    Makocha Africa Wana hofu kubwa kwa usajili wa Yanga. Umiza Kichwa.

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Před měsícem +7

    Namuoma mdaka mishale amerudi Diarra😊

  • @samweledward7664
    @samweledward7664 Před měsícem +7

    Yanga Bingwa ✅

  • @MerkJaka
    @MerkJaka Před měsícem +1

    hiii timu ni nzur sana ee mungu bariki tubebe CCL

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Před měsícem +4

    Yanga media vitu vingine edit video kama hii yakufichwa Baka kachelewa kuna namna ya uchelewaji leo katika zoezi .lazima mulinde video zetu .but tuko mbaaaaaaali decepline flan leo wachezaji wameinesha ambayo sio nzuri wapeni kisomo kuhusu umuhimu wa time

  • @Shine-minutes
    @Shine-minutes Před měsícem +18

    Tuliomwona diara mkono juu!!!

  • @user-fi1qp7hv5t
    @user-fi1qp7hv5t Před měsícem +1

    Hao wazee hatuwataki, kazi hawatopata na uwanachama watauacha hatutaki masnich

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule Před měsícem +15

    Nan Kamuona Bareke Na Leoo

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 Před měsícem +2

    😂😂Nimemkumbuka Mzizee...

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +5

    Mnsheri🎉🎉🎉🎉

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn Před měsícem +2

    Ss pacome nd vp kichwan😊

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 Před měsícem +3

    MUDA YUPO SANA TANGU DAY 1. LOVE MY TEAM.

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio Před měsícem +1

    Kibwana mmemuona anacheza komasava tu 💚🖤💛

  • @adamtanakhel8185
    @adamtanakhel8185 Před měsícem +2

    Wafungaji wapewe mazoezi special ya kutupia tuu

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +6

    Max🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-lf7sg1vx8w
    @user-lf7sg1vx8w Před měsícem +1

    Mnarupatia raha saaana asantenii viongoz wote GSM GSM GSM.

  • @BoniphaceFelisian
    @BoniphaceFelisian Před měsícem +2

    Sisemi sana mana makolo nao wanaongoxa kwa kwa usajili wa wachexaji wengi wao nae wanasema mwaka huu wayarudishe

  • @norooshabani8681
    @norooshabani8681 Před měsícem +9

    Jamani yanga raha sana gonga like hapa❤

  • @emmanuelbmaduhu3198
    @emmanuelbmaduhu3198 Před měsícem +1

    nimemuona Musonda Roho yangu imetulia sasa

  • @EdoMapipa
    @EdoMapipa Před měsícem +2

    Wewe umemuona

  • @SettyRukoloto
    @SettyRukoloto Před měsícem +4

    Ahaaaa Raha sana asee

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem +1

    Simba wamepania kuzirudisha zile saba msimu huu. Halafu eti wamejiamini kweli!!!

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před měsícem

      Waanze kurudisha Sita walizofungwa huko kwanza kabla hawajafikiria saba

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley Před měsícem

    Huyo Mzize Hana Rafiki❤

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +3

    Aucho🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-nc2me2ic9y
    @user-nc2me2ic9y Před měsícem

    Unyama ni nwingiiiii 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @user-rz4mi8og1w
    @user-rz4mi8og1w Před měsícem +1

    Gamond kasha andaa mitego na Mabom anangoja mtu ahingie kwenye 18 zake mabom yamlipukie na Mitego himnase

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 Před měsícem +12

    Yanga makombe mpaka 2040

  • @thandokuhlelatha-wi6vs
    @thandokuhlelatha-wi6vs Před měsícem

    keep on going bafethu

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +4

    Baca🎉🎉🎉🎉

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Před měsícem +1

    Allaah Akbar

  • @SophiaKilegu
    @SophiaKilegu Před měsícem +1

    Nje ya fensi ni watu jmn

  • @scratcharico6223
    @scratcharico6223 Před měsícem +2

    Mwambie aduke aachekujitenga

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x Před měsícem +1

    Alhamdullilahi

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem +1

    😂😂😂aucho ilo li mwili akistafuu mpira wa miguu aende ruby

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Před měsícem +1

    Kazi njema

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +2

    Yaooooo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +2

    Dube🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +2

    Pacome 🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Kibwana 🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +2

    Diara 🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Kibabage🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 Před měsícem

    CHAMA aaaaaaa. Wota a goal ,, Dube eeeee waoo,,huu mwaka kuna TIMU hapo zitaumwa Utiai sugu 🤣🤣🤣🤣
    Maana hujui utamkaba yupi 💪💪💪

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Job🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ErickDerick-q9x
    @ErickDerick-q9x Před měsícem

    Hatuzuiliki sisi mpaka uchoke makombe ndo tutawaachia la sivyo watasahau makombe

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Mzize

  • @JafarishaibMachapaka
    @JafarishaibMachapaka Před měsícem

    Juma kagom ndani yanga atu taki aondoke

  • @abdulyshebby3018
    @abdulyshebby3018 Před měsícem +4

    Wakwanza

  • @emanuelkazungu7058
    @emanuelkazungu7058 Před měsícem

    Maisha ya mpira Bana watu wanayapenda ila magumu Sana Yani nikula kulala mazoezi

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Před měsícem

    Kama ni kweli Simba wamepeleka malalamiko tff kuhusu chama ninachowaomba msijekutoka mchezoni watafanya Kila Hila hili wawatoe mchezoni tarehe 8 so kuweni sana makini tunalihitaji na Hilo kombe la ngao ya jamii kuanza nalo iwe hisiwe nawatakia Kila la kheri

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics Před měsícem +3

    🔰🔰🔰

  • @HappySaid-n7b
    @HappySaid-n7b Před měsícem

    Yanga tam

  • @EdoMapipa
    @EdoMapipa Před měsícem +1

    Kwani hayupo

  • @PttaMagel
    @PttaMagel Před měsícem +1

    🎉😢😮😮oy inatosha jaman

  • @gabrielngei
    @gabrielngei Před měsícem +1

    Namba 11😇

  • @user-cu4mk4lp8v
    @user-cu4mk4lp8v Před měsícem +1

    🙌🙌🙌

  • @daudpaul-c7b
    @daudpaul-c7b Před měsícem

    Yanga tamu

  • @BoniphaceFelisian
    @BoniphaceFelisian Před měsícem

    Kula kolo limoko lilisema kama chama atasajiliwa yanga nae anahamia yanga hatakubali kuendelea kupata tabu makolo

  • @mikidadymanga1346
    @mikidadymanga1346 Před měsícem

    Bila kuchoka❤

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Muda🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem

    Kapten mwanyeto🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jackoboabunuasi-hb4qc
    @jackoboabunuasi-hb4qc Před měsícem

    Tumetisha

  • @MagdalineMambo
    @MagdalineMambo Před měsícem +1

    ❤❤❤❤

  • @HadiaMohammed-ec2dn
    @HadiaMohammed-ec2dn Před měsícem +1

    Diaraa😂❤❤❤

  • @NestoryMapunda-gq3kb
    @NestoryMapunda-gq3kb Před měsícem +1

    Safiiii

  • @Manilabonaangelo
    @Manilabonaangelo Před měsícem

    Mafunguo simuoni 😢

  • @allyabdullah9205
    @allyabdullah9205 Před měsícem

    Awee

  • @GodwinPatrickMdaku-j7i
    @GodwinPatrickMdaku-j7i Před měsícem +4

    Wakwanza apa likes zangu

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Před měsícem

    Wapinzani kwa yanga hii hakuna rangi mtaacha ona😂😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Boca🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lamama.
    @lamama. Před měsícem

    hili club lina nipa rahaaaa da

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 Před měsícem

    Yanga bingwa😅

  • @SuhuurFarxaan
    @SuhuurFarxaan Před měsícem

    😂😂ligi ianze bhn mm kuna wakati siamin kweli chamaa na dube ni wetu

  • @saidymengwa9996
    @saidymengwa9996 Před měsícem

    😮

  • @MarcoPius-gg9zn
    @MarcoPius-gg9zn Před měsícem +1

    11 imevaliwa na baleke

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo Před měsícem +1

    Duke abuyq

  • @simonmeruti
    @simonmeruti Před měsícem +1

    ni shidaa

  • @MkamiMavika
    @MkamiMavika Před měsícem

    DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @Mloka_designer
    @Mloka_designer Před měsícem +1

    Nimemuona baleke

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Před měsícem

    Kwenye page za vipapa mkojo utakuta wanaandika ooh mkude sio mwananchi tena shenzi huyu nani ma dako yao

  • @faidha23
    @faidha23 Před měsícem

    Kama naona watu watakavyo kuwa wanateseka

  • @chollejr_
    @chollejr_ Před měsícem

    😂😂😂😂nmemuona bacca nmekumbka penat zake😂😂😂😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem

    Jamani tujiungeni na yanga Kwa kuwa na kadi ya uwanachama kama kweli tunaipenda yanga

    • @victormkini2708
      @victormkini2708 Před měsícem

      Ingekua rahisi sana kujisajili mtandaoni kuwa mwanachama ila ni ngumu hasa si wa mikoani

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Před měsícem +1

    Musonda anakizizikweli

  • @user-zx8qu1ym8y
    @user-zx8qu1ym8y Před měsícem

    Tunaomba haj manala ndo atutambulishie ao wchzaj sku ya mwana nch

  • @farajamfaume7545
    @farajamfaume7545 Před měsícem

    Kocha msaidizi yupo wapi?

  • @KondoMhando
    @KondoMhando Před měsícem

    Mbona Dube simuoni mazoezini?, kavaa jezi namba ngapi?

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem +1

    Mliokuwa na wasi2 na Djigui Diarra huyo hapo nani kasema amegoma kurudi wee Yanga siyo Yanga ninayoijua ya GSM na Rais wetu Eng. Hersi Said

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc Před měsícem

      Waliosema kagoma kurudi ni wale akina aulizwi na kauzibe😂 ndio walisema hivyo, hata Aucho naye walisema yupo dar na hapokei cm za boss😂😂😂ila redio mbao jamnii kazi ipo😅.

  • @KelvnShoo
    @KelvnShoo Před měsícem +1

    Awajaamaa watapiga sanaa wana kila kitu kwenye kikosi ya anaye toka substution nisawa na aliye anza Mungu tuepushe na ngarika hii tareh 8/8/😢

  • @Dula707
    @Dula707 Před měsícem

    Duke abuya mbona kapoa kaja chama kubwa afu anakua muoga