MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 10. 2021
  • MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
    Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
    Jumatano saa9 -12 jioni
    Ijumaa saa 9-12 jioni
    JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
    Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
    +255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI
  • Hudba

Komentáře • 55

  • @deborahdelly6254
    @deborahdelly6254 Před 2 lety +1

    Hongera sana Pst kwa kazi njema ya Mungu ubarikiwe sana

  • @elisharichard4558
    @elisharichard4558 Před 2 měsíci

    Kaz njema sana mtu wa mungu

  • @noahmwaipaja7725
    @noahmwaipaja7725 Před 2 lety +2

    Ubalikiwe sana mtumish

  • @christophermgonzo711
    @christophermgonzo711 Před 2 lety +2

    Endelea kumtumikia Mungu kwa Mali zako na Mungu atakukumbuka ktk ufalme wake. Jina la Bwana Yesu lihimidiwe Sana .

  • @elishadaiemmanuel7785
    @elishadaiemmanuel7785 Před 2 lety +2

    Hongera sana sana BISHOP EMMANUEL MGAYA

  • @mariamlohhay538
    @mariamlohhay538 Před 2 lety

    Hongera sana Mchungaji Mungu aendelee kukutumia kuinua wengine hasa vijana.

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 Před 2 lety +1

    Mungu akubariki sanaaaaaa baba angu, Askofu Masanja kwa kazi hii ya MUNGU

  • @isaacsifatv123
    @isaacsifatv123 Před 2 lety +1

    Good job servant of God

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 Před 2 lety +1

    Hongeleni sana mtumishi

  • @Mara_Gold_Film
    @Mara_Gold_Film Před 2 lety +1

    Mungu akubaliki

  • @emmanuelchejo7154
    @emmanuelchejo7154 Před 2 lety

    Mungu nimwema kaka masanja ubarikiwe

  • @ibrahimlameckministry1867

    Ubarikiwe San

  • @gabrielchristopher1979
    @gabrielchristopher1979 Před 2 lety +1

    Hongera sana Bishop

  • @jacksonmhonzwa4894
    @jacksonmhonzwa4894 Před 2 lety +1

    Iende mbele injili 👏👏👏👏.Haleluya

  • @joshuasitta293
    @joshuasitta293 Před 2 lety

    Mungu NI Mwema Sana, Kazi isonge mbele

  • @science_fact93
    @science_fact93 Před 2 lety +1

    Ubarikiwe sana

  • @mapachawayesu
    @mapachawayesu Před 2 lety +1

    Safi Saana hii

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 Před 2 lety +1

    MUNGU akubariki Sana mtumshi

  • @MESSENGERWORLD1978
    @MESSENGERWORLD1978 Před 2 lety +1

    Amen,, God bless you bishop

  • @joelmsawile1718
    @joelmsawile1718 Před 2 lety +1

    Saf Sana pastor

  • @AnnastaziaJOtama
    @AnnastaziaJOtama Před 2 lety +2

    Baba naomba tu nijiunge na kanisa lako jamani napenda utumishi wako

  • @charlesnkasi9904
    @charlesnkasi9904 Před 2 lety +1

    Injili ya Kweli isonge mbeleeeeeeeeee

  • @kadashijunior2141
    @kadashijunior2141 Před 2 lety +2

    Huyo jamaa amesoma chuo biblia na nihaki kwa kila mweny wito kufanya kz ya MUNGU,hv mtu ulkuwa unauza maji ya kandoro kichwan leo umeinuliwa kwa dolali unashindwa nn kumheshimu MUNGU na kumtumikia kwa akil,Mali na nguvu zako zote?big up brother

  • @lusajojoram4522
    @lusajojoram4522 Před 2 lety

    Hivi huu uaskafu unagawiwa Kama njugu masanja tayari kawa askofu

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před 2 lety +1

    Gloire à Dieu

  • @abelmkuvasa4044
    @abelmkuvasa4044 Před 2 lety +1

    Duuuuh!

  • @ibrahimlameckministry1867

    MUNGU akutangulie masanja nitakuja kuimba siku

  • @peterjulius8510
    @peterjulius8510 Před 2 lety

    Peter julius

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @manassetawe9675
    @manassetawe9675 Před 2 lety +1

    Kanisa hili la Free church lipo kibaha gani maana kibaha kubwa .

  • @evalinegideon3982
    @evalinegideon3982 Před 2 lety +2

    Kibaha kubwa location plz kibaha mailimoja.....! Kwa matiasi...!! Au wap

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 Před 2 lety

    Taka Askofu Wa kisasa jamani

  • @essanfesto3049
    @essanfesto3049 Před 2 lety +1

    Amin

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Před 7 měsíci

    Naomba namba yako mtumishi

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 Před 2 lety +3

    Watu wawe huru wafunguliwe waondokane na mateso sio kufungua makanisa meeengi afu watu wanaingia na kutoka na vifungo.uwingi wa makanisa sio tija kinachotakuwa watu wafunguliwe watumish mtoil watu waondokane na vifungo

    • @naylinekiv6642
      @naylinekiv6642 Před 2 lety +1

      Ukiona hospitali zinajengwa ni ili wagonjwa wapate mahali pa kusaidika!!! Asipojenga makanisa, basi labda tumashauri ajenge nyumba za kupangisha, au ajenge baa!! Halafu tuone kama hao watu watafunguliwa huko!!!

    • @modeemojombo5662
      @modeemojombo5662 Před 2 lety +1

      Kufunguliwa kutategemea na imani yako.
      Km unaenda kanisani kutembea na kushangaa mavazi utahama makanisa hadi uchakae.
      Tusipowapongeza kwa kufungua makanisa tutapongeza ongezeko la vienge vya waganga wa kienyeji.
      Acha watu wapate pa kuabudia katika Roho na Kweli dada.

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 Před 2 lety +1

    Piga KAZI ya MUNGU usisikilize maneno ya watu

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 Před 2 lety +2

    Kazi hii imevamiwa sana mchungaji askofu ndiyo nini?

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 Před 2 lety +3

    Kaka masanja. Isiwe ni ktk harakati za kumwinua lucfaer. Na kumtumikia kupitia madhabau za kifrimasoon kaka. Laana ya Mungu haitokwacha salama. Ila kama unamtumikia Mungu wa kweli kwa uwaminifu ubarikiwe

    • @naylinekiv6642
      @naylinekiv6642 Před 2 lety +1

      Lucifer hawezi kuinuliwa kwa kutajwa jina la Yesu!!!! Huwezi kuitangaza Tanzania kwa kuitaja Kenya!!! Emmanuel Mgaya( Masanja) anamtumikia Mungu!!!

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  Před 2 lety +1

      Ubarikiwe mwanangu kwa Kumuelewesha uyo

    • @modeemojombo5662
      @modeemojombo5662 Před 2 lety +1

      Mnaoingiza ushetani kwenye kazi njema ya Yesu Kristo mna nini?
      Kwa nini huanzi na jema...kupongeza kazi nzuri na kuwatakia mema?
      Je, hayo ndiyo yaujazao moyo wako??

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 Před 2 lety +1

      Kwa nini maneno hayo? Umeona nini? Au ushaingia kwenye kivuli cha mungu kumbe unamtimikia shetani?

    • @peteronesmo5433
      @peteronesmo5433 Před 2 lety +1

      @@FeelfreechurchHongera Sana kabisa

  • @josephhaule9123
    @josephhaule9123 Před 2 lety +1

    Ngoja niungane na waathene nione Kama nikweli hiyo huduma ipo sahihi Kama yatuagizavyo maadiko?

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 Před 2 lety +1

    Mchungaji amenyoa denge hizi siku za mwisho.

  • @reecemweneb2259
    @reecemweneb2259 Před 2 lety +1

    Free church? angalisho wapendwa,uyo ni free,mlishajuwa.

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 Před 2 lety

    Uko WAP nataka nije

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Před 2 lety +4

    Siku hzi bhna mtu akitaka kustaafu kazi anayofanya anafungua kanisa ndyo maana mtu ananunua uwanja anajenga ni watu tu kuingia nakupelaka mafungu ya kumi kazi nikubebwa tu sadaka makao makuu

    • @naylinekiv6642
      @naylinekiv6642 Před 2 lety +4

      Inaonekana hii bishara inalipa sana!! Sasa nakishauri, ufungue na wewe halafu tukeletee fungu la kumi!!!

    • @shiplegcm4948
      @shiplegcm4948 Před 2 lety

      @@naylinekiv6642 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @heriethmbelwa4127
    @heriethmbelwa4127 Před 2 lety +1

    Mungu ni mkuu milele na milele🙏