If Ngorongoro Could Speak: The Maasai, the Land and the Government | Kama Ngorongoro Ingeongea

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 12

  • @unambwenaiman5355
    @unambwenaiman5355 Před 2 lety +1

    Shida yenu mnakaribisha Wamasai Wakenya,Kuna ng'ombe wengi sana kutoka Kenya,ambao wanatumia malisho ya ngorongoro

  • @titokibona7264
    @titokibona7264 Před 2 lety +1

    Siyo ugonjwa wa Ndigana, bali na ugongwa wa nyumbu (Malignant Catarrhal fever kwa kifupi MCF). Huu ndiyo ugonjwa unaoletwa na nyumbu kwa Ng,ombe. Ngigana (East Coast fever) huathiri ngombe lakini unatibika na unayo chanjo pia

  • @charsm8778
    @charsm8778 Před 2 lety +1

    Very interesting

  • @goustonefrancisisole2534
    @goustonefrancisisole2534 Před 2 lety +2

    It's not easy to weigh the matter......

  • @domikhalifa2682
    @domikhalifa2682 Před 2 lety +1

    Mama kashakula rushwa

  • @FredyRikoyaniMolleld
    @FredyRikoyaniMolleld Před 16 dny

    Huyu majaliwa ndio adui namba moja wa ngorongoro

  • @blackity10
    @blackity10 Před 2 lety +1

    Wamasai wa kenya ndo wanawachochea wenzao, serikali isiwaonee aibu hao wakenya hawana nia njema na nchi yetu yenye amani. Wakafanye fujo zao huko kenya. Na mkiwaamisha wamasai wa tanzania inabidi iwafidie.

    • @samperukasaine2331
      @samperukasaine2331 Před 2 lety

      Davisa estates your inciting the gvt against it's pple, shame on you wherever your ,we may evn come and strongly hold our brothers in this dificult times

    • @blackity10
      @blackity10 Před 2 lety

      @@samperukasaine2331 just leave people's lands alone, shame on your government for using maasai

    • @blackity10
      @blackity10 Před 2 lety

      @@samperukasaine2331 just tell your your government to allocate pasture lands for kenyan maasai so they dont have to cross a country to feed their animals and the problem will be solved. Take lands from your ex prime ministers and ex presidents we know they own almost all the land there

    • @samperukasaine2331
      @samperukasaine2331 Před 2 lety

      @Davisa Estate my friend human life matters alot than that investment of yours ,