Wema madamu Tanzania sweet heart nakupenda Sana Mungu azidi kukufungulia milango ya Baraka uzidi kufanikiwa siku moja upate mume bora na upate mtoto nakuombea Sana wanaokusema vibaya nakukudharau ipo siku watakusalimia kwa heshima nachoshukru hujawahi kukata tamaa pamoja namajaribu yote umesimama Kama wema ubarikiwe Tz sweetheart kipindi kizuri sana
@@ayoubmakori8680 shukrani hata nisipopata zawadi lakini wewe ukipata furaha ya moyo wako nitafurahi pia sababu furaha nayoipata Mimi na watoto wangu stamani mwingine aikose natumai tukiomba kwa pamoja Mungu atasikia kilio chako na atakupa hitaji la moyo wako hunijui sikujui lakini kwa jinsi ulivyokoment mwanzo nimejisikia huzuni na kwa maombi yetu Mimi na wewe Mungu asimamie hili
@@emmanueljoseph2576 amina Kaka aisee umeongea point Sana Kaka mpk machozi yananlenga maana broo nmepitia mengi Sana mpk niliachana na mke wangu nilioana before kwa sababu ya mtt na yy aliondokaga nilikuwa nampenda Sana nlimbebeleza Sana lkn wap hakutaka kurudi broo anyway nikajapuzia nikaamua kuoa mwingine yule papo hapo Mungu akambariki mimba mwezi na wiki mbili aisee mimba ikaharibika mpk sasa bado hajapata mimba nyingine aisee napiatia magumu kidogo
Kazuri haka kadada Mungu akabariki sana roho yake tu nzuri Sana sema Mimi sina hela ningekaoa kweli kwa vile ni kula kulala kipato changu nicha kula kushiba nasi kula ninachotaka nitaishia kuita Shemeji tu nakukubali Sana Madame
Nenga ariyajua hayo arigundua Kama Kuna limbwata nandiyomasna aritaka vitu vbadirshwe Mana bra hvyo angemteka jaman wenye mabwana zenu nahk kpnd mjiangarie kma mnabsha mtakuja kuibiwa kma whoz ulimponza uroho wake Mana arianza kudokoadokoa mpaka vilvyoiva kajikuta karewa na kumuacha tunda
WEMA you're still my NO.1 SUPERSTAR💕💕💕💕💕
Nenda he’s one of the man who is very wise and humble.. congratulations billinas keep on maintaining yr status
Who’s Nenda???
@@jacquelineniyo8177 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nenga 😂🤣
Siku utuletee diamond madam ombi langu tuu
Mungu akupe mtoto wema ntafraibyangu yote kipenzi nakuombaea,,love youvforever
Gonga like apa kama una kubali mbwembwe za nenga 😂😂
Wema madamu Tanzania sweet heart nakupenda Sana Mungu azidi kukufungulia milango ya Baraka uzidi kufanikiwa siku moja upate mume bora na upate mtoto nakuombea Sana wanaokusema vibaya nakukudharau ipo siku watakusalimia kwa heshima nachoshukru hujawahi kukata tamaa pamoja namajaribu yote umesimama Kama wema ubarikiwe Tz sweetheart kipindi kizuri sana
Hata mm pia Mungu atuskilizee wooote tunaohitaji watt
@@ayoubmakori8680 amina Mungu amesikia ombi lako utaitwa baba soon
@@emmanueljoseph2576 wow broo asante Sana utapata zawadi ujue kwa huu unabii wako hahaha
@@ayoubmakori8680 shukrani hata nisipopata zawadi lakini wewe ukipata furaha ya moyo wako nitafurahi pia sababu furaha nayoipata Mimi na watoto wangu stamani mwingine aikose natumai tukiomba kwa pamoja Mungu atasikia kilio chako na atakupa hitaji la moyo wako hunijui sikujui lakini kwa jinsi ulivyokoment mwanzo nimejisikia huzuni na kwa maombi yetu Mimi na wewe Mungu asimamie hili
@@emmanueljoseph2576 amina Kaka aisee umeongea point Sana Kaka mpk machozi yananlenga maana broo nmepitia mengi Sana mpk niliachana na mke wangu nilioana before kwa sababu ya mtt na yy aliondokaga nilikuwa nampenda Sana nlimbebeleza Sana lkn wap hakutaka kurudi broo anyway nikajapuzia nikaamua kuoa mwingine yule papo hapo Mungu akambariki mimba mwezi na wiki mbili aisee mimba ikaharibika mpk sasa bado hajapata mimba nyingine aisee napiatia magumu kidogo
Uje uwalete kwa pamoja nandy na billnass kwa pamoja please 😊😊😊
Kazuri haka kadada Mungu akabariki sana roho yake tu nzuri Sana sema Mimi sina hela ningekaoa kweli kwa vile ni kula kulala kipato changu nicha kula kushiba nasi kula ninachotaka nitaishia kuita Shemeji tu nakukubali Sana Madame
Ushaambiwa atazaa na mtu wa Hali ya chini. Jaribu bahati yako
@@yassintafanuely3779 hawakubali watu wa chini hao ndio maana wanahangaika
Uzaifu huo
😂😂😂😂😂 make nicheke kwanza
Jamani mbona humleti diamond
nimependa billnass hapendi kuusemea moyo 。uko sawa kabisa
Nenga Amazing 😘😘🤗🤗😍
Ila wema mzuri kwa kweli huwo ten uzee nao ndo huwo
Nakupenda sana my dear 😘 maisha malefu kwako namm naomba kupika na ww
Nengaaa ft sepenga ❤❤❤
Wema wangu nakupenda bure mie ❤❤❤
I love you Wema Sepetu
Wasiomuelewa bilnasi watasema ni majivuno ila kiukweli huyu mtu namuelewa sana
Good 👌❤️❤️ penda wema
Our Sister 😊 Wema.. congratulations
Kwani ni mimi pekeangu natamani siku moja Dada mkubwa amualike Idris sultan?
Na mi pia
Fujo za idris c atamliza wema mana atamkeraaa
@@mayroseclemence99 🤣😂🤣
@@mbwanakhamis9634 c unajua kichwa ya idris
@@mayroseclemence99 😆😆
😂😂😂😂😂bilnandy anafujooooooo atariiiii
Wema sepenga ft bilnenga
Wema bring Tanasha donna
Nakupenda Wema
Nakupenda wema Yvette from Kigali
Wema si utuwekee yote you tube jmn😭
Yaan anatudokeza tu mm sielew naipata wp full
I second you
Nenga nakupendega ujui tuu
Wema ako kajama kakorofi nime Sha kawona mwenye munaorewa hapo kunakazi ngumu
❤❤❤
Wema i really love u from my Heart❤️❤️❤️❤️from🇧🇮🇧🇮
👏👏👏Hongera wema kipindi kizuri
Amazing wema vs billi nass nenga nawapenda 🥰🤩🇹🇿👈
BILNASI UMEJUWA WAENDA KUPIKA NA UMEVAA SUTI NA TAI KAAMBAE WAENDA CHURCH.
Nimecheka
Wema sepet
Chupa Limeamka Na Chai😂😂
😂😂Nenga toa mambo yako hapa
Ila nenga mukorofi jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
😍😍😍😍
Love you so much
Huyo msumbufu kama gwajima
😂🤣😂🤣
Nenga wewe unavurugu kishenzi😊😊ila ppwatu.madam achoki love u W
Kupatwa kwa Wema na Billnass,...
🤣🤣🤣
Dada wema tunaomba umualike Na Idriss sultan jamani
Jamn hy saut ya wema😂
Nenga mchawi nini?
Alafu wema unanenepa my love wetu❣️❤️👏
Kweli akinenep atapendeza zaid
@@doreensamwely8740 yeah anakua mtamu Sana❣️❣️❣️
I like the way you dress
Billl kama billl
Nandi uko wapiiii..... umelala mi sisemi muulize tunda😂😂😂
Nakupenda sana sann mov zako nazimicc kiramuda
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
❤️❤️
Nenga kama Nenga ♥️🔥♥️🔥🙏🙏🙏🙏🙏
I like your dress wema🥰🥰
❣️❣️❣️❣️❣️🔥
👏👏👏👏
Kazi kuvunja ndoa zawatu. Hakaagi kwenye ujumba
Bilnass suspected juju....
Mimi jamani sijui hats nisemeje ila vile ninakupenda namkubali mungu TU ndo anajus aendelee kukuipa uzima
🔥🔥🔥
That good
Umenenepa dada ang wema mzuri
You are intelligent
👏👏👏👏👏Go wema
Usimnyang'anye nandy mume😢😢😢
Usije ukamyiba na huyo😁😁
Tuletee simba bhna sjui itakuaj emu ngoj tuwait
You look so mwaaaa
Mkwala kama wa Gwajiboy..,!
🔥🔥🔥🔥
Mazungumzo ni poa sana
❤❤❤❤❤😀
Nengaa
I justed subcribed
Love from kenyq
Wema unapepea ukienda za wapi iyo blouse yenyewe yasemanje 😂😂😂
Love you my friend
Si ana mtoto huyu tayariiii nenga na nandy watakuwa wame achana🤷🏿♀🤷🏿♀🤷🏿♀🤷🏿♀
Mtoto wa dada yake
@@fatumazakaria9982 oooh sawa
Kumbe bilnas uongea ivi ,,,wattt
Gwanjima
Daah umenpa raha jamaniii
Unasaut mzur wema
He now to cook
Tunamtaka mondi
🔥
Nani aliyemuelewa billinas kamaanisha nini 😀😆 gwajima staili😀😀😀😀
Dada wema mbona unavishindo na hicho kiuno chako kembaba kama BIC 🤣🤣🤣
🤣😂🤣
Wemaaaa
Auja muiba neenga nae kutoka kwa nandy aje kwako Kama whozo?
Nenga ariyajua hayo arigundua Kama Kuna limbwata nandiyomasna aritaka vitu vbadirshwe Mana bra hvyo angemteka jaman wenye mabwana zenu nahk kpnd mjiangarie kma mnabsha mtakuja kuibiwa kma whoz ulimponza uroho wake Mana arianza kudokoadokoa mpaka vilvyoiva kajikuta karewa na kumuacha tunda
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dah😊
❤️💛❤️
jameni ibyo byakula wanabilaga bimeja mate jameni
Wema Waite Nand n Billnas
Si twaskia uko zAko America na diamond kulikoni tena jikoni
Billinas suti n miwani kweli inaingia jikon😅😅😅 eee bhn toa miwan Ubak m suti yako hiyo
Maringo ya billnenga
Mbona mda ni mdg sana???
Mbona hunaheshima eti sumu hata hujamsalimia Kwanza wema ushaanza kesi
Hello
SIJAPENDA BILNASI ACHA USHAMBA
❤❤❤😂😂😂
Baba nandiy
Hiyo sauti ya wema jamani