Cook with Wema Sepetu - S06E11 DivaTheBawse
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Click here bit.ly/wemaApp to Download Wema App on Playstore
Click here bit.ly/wemaApp to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #WemaApp #Bestizzo
yes mwanarab anaeshim ndoa yake sababu malezi ndo alie kulia ya kidini lakini heshima ya ndoa anaijua awezi kutoka bila kumuomba ruhusa mme wake ao wanao comment Wana comment chuki ukweli ndo huo sababu wao awawezi kuishi maisha ya ivyo ndoa kwanza ni heshima kwa mme kauli dini ndo utajua lakini kama ndo mmekutana disco mmelewa ndo ntaishi maisha hayo sababu ndo mtu unayo taka sio maisha ya kidini wala ndoa
Tena hao ndy hawana heshima ht kidogo kwa waume zao yaani hawawajari kwa chochote c chakula wala nn mtu anatoka anavyotaka msidanganye umma hapa tunaishi nao na tunaona vitendo vyao
Nakupenda saaana diva wangu yaani nakupenda saana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ allah awalinde weye na mume wako😊
Leo mmekutana Diva na Wema English iko safi, kingereza chenu hakinaga doa, kimenyooka, halafu sauti zote nzuri ila ya Wema Sepetu ni nzuri zaidi, ila Diva umetushangaza wapenzi watazamaji ''' Yani unapika halafu unamuuliza wema uanze nini?
Wema karembo sana
Amependeza wema na nguo yako
Nakupenda Sana dada naomba kupata mawasiliano yako
Samahani dada naomba mawasiliano yako nashida na wewe samahani dada mzuli
Mganga ana warabu ndani yake😂😂😂😂😂😂😂mrongo hyu
Diva.kweli unapenda ndoa maana umenenepa sana.mganga anakukosha
Katika siku zote diva leo kapendeza sana yan na ilo wig limempendeza sana sio makatan yake yale
Wig iko top notch 👌👌👌👌
Duuu diva kanenepa ad anaboaaaa,jitahd upungue diva
Mumewe anapenda Mke mnene
@@bahatisunga1642 😆😆😆😆
Wema nakupenda
Da wema mbona watuwekea nusu nusu dada you know we love you na twependa kipindi hiki chako weka full episode please
Danlod wema app ndo utafaid
Diva anasema ana miaka 25 ,alafu anaonekana ni mmama na wema ni msichana
Kabody kamkubali wema ❤❤❤❤u are gaining whoza shem umenfanya kazi
Diva uyo bwana ako ana Kaz gani ya maana mpk akukataze usitoke😂😂😂😂 em acha kuongopa bwan
Kweli wapo wanaume wa hivyo atakama pesa ana ni kweli Tanzania
Wema your have nice hair
My sepetungaaa ❤
Tunajivunia kuwa sweet heart Wemaaasepengaaa❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sauti yako haibadiliki kama vile tu ilivyo katika filamu nyingi.
Wema you need a reality drama show
Why is it always Soo short?
Diva nakupenda umeuliza cos uko real
He kumbe hadi uku Kuna wakwanza Nikajuwa huba tuu na jua kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimechekaaaaa kaaa chiz😂😂
😂😂😂😂
Mpak kwa zumaridi kuna wakwanza
Jaman Diva kazoea kupikiwa kam Beyonce 😂😂
Da wema 😂😂😂nimechoka sana Yani uyu mrembo ajui kupika😂😂😂
Mashallah, cute wema
Wakwanz leo like zangu wap
Sawa
😂😂😂😂😂
Ukipewa Izo Like Zinakusaidia Nini
Panya zimekutana wote wanataman ujauzito mungu wakumbuke hawa jaman
Mungu awakumbuke Ameeeen 🙏
Mbona wema aliwatoa mwenyew alie na mungu wake aombe toba tu kwakuja kwenye media kusema nimetoa mimba kadhaa aliona sifa kusema dhambi km ile kwa umma alie na mungu wake tu
@@zainabwage4658 Hakika ni toba tu kama watoto Mungu alimpa yeye akawaua
🤩🤩🤩🤩🤩
😂😂😂😂good one
🔥🔥🔥🔥🔥
👍🏻
Sifa zote diva tambi zakushinda duh
Kuachana for six hours 😂😂😂😂
Wema nakupenda nakashepu chako natamani nikuone
🔥
Mwanamke mzuli hujui kupika
Wema anadokoa tambi bado hazijapikwa🤣🤣
Wema hata hiii itakulipa mamaaaa plz tuekee full epsod bana hata huku twatumia hela zetu bana😢
Kweli🤣🤣🤣🤣
Jaman huo mtafuno wa tambi😂
powa
Mbona hamuongelei zaid kuhusu mapishi
long hair look Gud on you na icho kimwili kigauni🔥🔥😍
Wazuri jamani
😂😂😂 eti km wake wa kiarabu, eeh alafu yule anauwaarabu arabu 😂
😆😆
Wema sepetu ♥️♥️♥️
Nawapenda lakini funikeni nywele zetu.
❤❤❤❤
Mmeacha kupika mnaongea mambo tofauti...wema vipi bwaaana?
🔥🔥❣️❣️💞🙏🏼
Huyu diva mmmh
From Kenya ❤❤❤
Aibu anajita mtoto wa kitanga😂aweke vanilla kweny mafuta🤣🤣🤣🙌
Da Wema ulize tu??ipi!!?😂nyie nimecheka narudia kila mda🤣🤣🤣
❤❤❤❤😊
Anajua kupika huyu kweri? Jamani😅😅
😂😂😂😂😂 Yan uweke mafuta arafu uweke vanilla Duuuh
Leo kimeumana mzungu na mzungu mwenzio full ving'eng'e 😂
Hapa ndo utajua kuwa diva ajui kingereza yaan leo hana mbwembwe maana anajua wema atampiga lock.. hahah
Umenena leo kapunguza Cos kakutana na kiboko yake
😂😂😂
@@upendommbaga7070 😆😆😆😆
Wazungu 2 😂
mmekutana sasa mnatunyoosha na king chenu
Heee yule ni muarabu???
Wake wakiarabu mnaowazungumzia kama watulivu mnawajua kweli hawatulii nyimbani hawa ni viguu na njia 🤣🤣🤣🤣
Tena maraya walio kubuu😅😅😅
@@maidamwaipopo9603 Tena Sana mambo wanaenda kufanyia kwao
Nanaona mgeni waleo mapishi yamempiga chenga
amesha sema ajuwi kupika ila anafuzwa
Mtihan kwel wigi kubwa akili sifuri 😆😆😆😆
Ushauri funika nywele ukiwa jikoni zaweza ingia ktk chakula
Kwani Diva mapishi wapi nawapi🏃🤣🤣🤣kupika hajui
Mimba mimba hiyoooooooo. Hana Uarabu wowote labda mwarabu wa mchongo
Penda sana wewe mpishi ulie makini
Hajui kupika that's why kachagua tambi
My wema ❤❤❤❤
Wema huji kipindi badala ya kuongelea mapishi mnaonge umbeà😢
Ni kwer
wazungu wamekutana leo
Diva karekebishe meno
Wema unapiga makelele na izo tambi unazotafuna🤣
Weeee musidanganywe wake wa kiarabu hawakai ndani kupikia waume zao subutuuuu akikaa ndani sana hupenda kulala tuu hata kuoga ni bahati baya waambie kulala na akiamka ni mwendo kwa mamake hata mume hajui kala nn weee
😂😂😂Kweli Yela Yela, Sirah sirah. Diva hafiki mwarabu kwa lolote, wake wakiarabu hawashiki Chochote kazi kitandani tu kujiremba na kutoka kwenda kwa mama zao
Umeona eeh my 😂😂
Tunafanya kazi kwao ndo tunajua hata kuswaki ni shida
😂😂😂 tujuane tunao ishi nao
@@maidamwaipopo9603 ukiona hivyo huyo mchafu doh 😅😅😅😅 mimi mwarabu wangu nachupi ikiingi damu anasafisha ndio anatupa kwenye ghasala lakini wengine😂😂😂😂 wachafu wanaweka hivyo hivyo
Tambi znaonewa na wasiojuwa kupika jaman haaaa
Natafuta mafuzo ya mapishi kunifuza nakuniajiri
Sauti kichefuchefuu😫
Ww km huna mimba bac una husda inakusumbua😆😆😆😆
Shoga hajui kupika tambi😂
😍😍😍❤️
Nani kaskia km abdul mualabu 😄🤣
Ila Diva jamani mganga? Alafu kupika mtihani 😅😅😅😅
Hapa hakuna mtu,makongoro tu ndo yamebaki
Fally Ipupa
😂😂😂
Diva umetuangusha
We diva ustarabu gani huo tunakata tambi kwa mdomo kisha una rudisha katika sahani unapika mchafu mkubwa we
🎉😂😂😂😂
Wema unatafuna nn kwa sauti hivo
Tambi
Hahahaa
Mashallah 😊😊😊
Wem❤❤❤
Hiyo tambi diva kaitia mdomon halafu kairudisha kwa tambi zengine 🤮
Upo makin shost mie ikabid nirudie kuangalia ndii nikamuona kaichanganya na nyingine
😂😂
Sasa hio sio cock Ni kipindi Cha mahojiano
Bibi wa Mganga sheikh wa Mchongo 😂😂kweli diva pumbavu aisee ukaolewa mchepuko no 1,300,. DIVA VIPI Boyfriend wako mzungu wa Marekani wewe nawe sio wakuolewa na Mganga,,, ukizaaa naye tu hiyo jela yako milele😭Abdul akawalee watoto wake walele wale, Diva hapo hata ukiomba talaka unarongwa narudi maxima Allah akusaidie tu ila abdul ni kaa balaaana pigo la kafiro jehamu
I love these beautifuls souls of mine@divathebawse@wemasepetu
❤❤❤