Cook with Wema Sepetu - S06E11 DivaTheBawse

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
    Connect with me;
    Instagram - @wemasepetu
    Twitter - @wema_sepetu
    Click here bit.ly/wemaApp to Download Wema App on Playstore
    Click here bit.ly/wemaApp to Download Wema App on Appstore
    #CookWithWemaSepetu #WemaApp #Bestizzo

Komentáře • 137

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před rokem +6

    yes mwanarab anaeshim ndoa yake sababu malezi ndo alie kulia ya kidini lakini heshima ya ndoa anaijua awezi kutoka bila kumuomba ruhusa mme wake ao wanao comment Wana comment chuki ukweli ndo huo sababu wao awawezi kuishi maisha ya ivyo ndoa kwanza ni heshima kwa mme kauli dini ndo utajua lakini kama ndo mmekutana disco mmelewa ndo ntaishi maisha hayo sababu ndo mtu unayo taka sio maisha ya kidini wala ndoa

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem +2

      Tena hao ndy hawana heshima ht kidogo kwa waume zao yaani hawawajari kwa chochote c chakula wala nn mtu anatoka anavyotaka msidanganye umma hapa tunaishi nao na tunaona vitendo vyao

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Před rokem +7

    Nakupenda saaana diva wangu yaani nakupenda saana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ allah awalinde weye na mume wako😊

  • @ladymzana4511
    @ladymzana4511 Před rokem +9

    Leo mmekutana Diva na Wema English iko safi, kingereza chenu hakinaga doa, kimenyooka, halafu sauti zote nzuri ila ya Wema Sepetu ni nzuri zaidi, ila Diva umetushangaza wapenzi watazamaji ''' Yani unapika halafu unamuuliza wema uanze nini?

  • @benimanzekele9075
    @benimanzekele9075 Před rokem +18

    Wema karembo sana

  • @HaryansDotto
    @HaryansDotto Před rokem +2

    Nakupenda Sana dada naomba kupata mawasiliano yako

    • @HaryansDotto
      @HaryansDotto Před rokem

      Samahani dada naomba mawasiliano yako nashida na wewe samahani dada mzuli

  • @mwanajumamwinyi2665
    @mwanajumamwinyi2665 Před rokem +9

    Mganga ana warabu ndani yake😂😂😂😂😂😂😂mrongo hyu

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem +3

    Diva.kweli unapenda ndoa maana umenenepa sana.mganga anakukosha

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před rokem +9

    Katika siku zote diva leo kapendeza sana yan na ilo wig limempendeza sana sio makatan yake yale

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 Před rokem +4

    Duuu diva kanenepa ad anaboaaaa,jitahd upungue diva

  • @ankovictor1564
    @ankovictor1564 Před rokem +6

    Wema nakupenda

  • @avelinafurahaoisso5491
    @avelinafurahaoisso5491 Před rokem +7

    Da wema mbona watuwekea nusu nusu dada you know we love you na twependa kipindi hiki chako weka full episode please

  • @nassornassor686
    @nassornassor686 Před rokem +1

    Diva anasema ana miaka 25 ,alafu anaonekana ni mmama na wema ni msichana

  • @morenalbian13
    @morenalbian13 Před rokem +1

    Kabody kamkubali wema ❤❤❤❤u are gaining whoza shem umenfanya kazi

  • @sikudhanicharles3933
    @sikudhanicharles3933 Před rokem +5

    Diva uyo bwana ako ana Kaz gani ya maana mpk akukataze usitoke😂😂😂😂 em acha kuongopa bwan

  • @marymaryrose1719
    @marymaryrose1719 Před rokem +1

    Wema your have nice hair

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před rokem +7

    My sepetungaaa ❤

  • @Zuuh4286
    @Zuuh4286 Před rokem

    Tunajivunia kuwa sweet heart Wemaaasepengaaa❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @delphinkavuthe
    @delphinkavuthe Před rokem +2

    Sauti yako haibadiliki kama vile tu ilivyo katika filamu nyingi.

  • @shaaqlassique6644
    @shaaqlassique6644 Před rokem +4

    Wema you need a reality drama show

  • @mawia2545
    @mawia2545 Před rokem +4

    Why is it always Soo short?

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před rokem +1

    Diva nakupenda umeuliza cos uko real

  • @mariyammbonakimysasaabdaal124

    He kumbe hadi uku Kuna wakwanza Nikajuwa huba tuu na jua kali😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před rokem +2

    Jaman Diva kazoea kupikiwa kam Beyonce 😂😂

  • @Linda-1999
    @Linda-1999 Před rokem +1

    Da wema 😂😂😂nimechoka sana Yani uyu mrembo ajui kupika😂😂😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +1

    Mashallah, cute wema

  • @marthatv64
    @marthatv64 Před rokem +35

    Wakwanz leo like zangu wap

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před rokem +2

    Panya zimekutana wote wanataman ujauzito mungu wakumbuke hawa jaman

    • @jannyjmamdak2570
      @jannyjmamdak2570 Před rokem +1

      Mungu awakumbuke Ameeeen 🙏

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Před rokem +1

      Mbona wema aliwatoa mwenyew alie na mungu wake aombe toba tu kwakuja kwenye media kusema nimetoa mimba kadhaa aliona sifa kusema dhambi km ile kwa umma alie na mungu wake tu

    • @bahatisunga1642
      @bahatisunga1642 Před rokem

      @@zainabwage4658 Hakika ni toba tu kama watoto Mungu alimpa yeye akawaua

  • @zuhurazabiir3769
    @zuhurazabiir3769 Před rokem +2

    🤩🤩🤩🤩🤩

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +1

    😂😂😂😂good one

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen Před rokem +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sikapendinakapenda4170
    @sikapendinakapenda4170 Před rokem +1

    👍🏻

  • @ramladhire
    @ramladhire Před rokem +3

    Sifa zote diva tambi zakushinda duh

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 Před rokem +2

    Kuachana for six hours 😂😂😂😂

  • @mwanaedwin1734
    @mwanaedwin1734 Před rokem

    Wema nakupenda nakashepu chako natamani nikuone

  • @celineerick7740
    @celineerick7740 Před rokem +1

    🔥

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Před rokem +1

    Mwanamke mzuli hujui kupika

  • @kokugonzaalfred8640
    @kokugonzaalfred8640 Před rokem +1

    Wema anadokoa tambi bado hazijapikwa🤣🤣

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 Před rokem +5

    Wema hata hiii itakulipa mamaaaa plz tuekee full epsod bana hata huku twatumia hela zetu bana😢

  • @saimonsolomon8557
    @saimonsolomon8557 Před 9 měsíci

    Jaman huo mtafuno wa tambi😂

  • @MariamMasinde-vm5kr
    @MariamMasinde-vm5kr Před rokem

    Mbona hamuongelei zaid kuhusu mapishi

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před rokem

    long hair look Gud on you na icho kimwili kigauni🔥🔥😍

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před rokem +2

    Wazuri jamani

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem +1

    😂😂😂 eti km wake wa kiarabu, eeh alafu yule anauwaarabu arabu 😂

  • @fettysaid769
    @fettysaid769 Před rokem

    Wema sepetu ♥️♥️♥️

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před rokem +1

    Nawapenda lakini funikeni nywele zetu.

  • @emmilyokoko7342
    @emmilyokoko7342 Před rokem +1

    ❤❤❤❤

  • @wilmotkarisa6174
    @wilmotkarisa6174 Před rokem

    Mmeacha kupika mnaongea mambo tofauti...wema vipi bwaaana?

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers Před rokem +3

    🔥🔥❣️❣️💞🙏🏼

  • @erickmillanei4346
    @erickmillanei4346 Před rokem

    Huyu diva mmmh

  • @aishaharuni2937
    @aishaharuni2937 Před rokem +6

    From Kenya ❤❤❤

  • @khaulajuma4123
    @khaulajuma4123 Před rokem

    Aibu anajita mtoto wa kitanga😂aweke vanilla kweny mafuta🤣🤣🤣🙌

    • @khaulajuma4123
      @khaulajuma4123 Před rokem

      Da Wema ulize tu??ipi!!?😂nyie nimecheka narudia kila mda🤣🤣🤣

  • @nqlwangasaida8061
    @nqlwangasaida8061 Před rokem +1

    ❤❤❤❤😊

  • @angelsogolani1991
    @angelsogolani1991 Před rokem +1

    Anajua kupika huyu kweri? Jamani😅😅

  • @hamisaadam7358
    @hamisaadam7358 Před rokem

    😂😂😂😂😂 Yan uweke mafuta arafu uweke vanilla Duuuh

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Před rokem +5

    Leo kimeumana mzungu na mzungu mwenzio full ving'eng'e 😂

    • @upendommbaga7070
      @upendommbaga7070 Před rokem +5

      Hapa ndo utajua kuwa diva ajui kingereza yaan leo hana mbwembwe maana anajua wema atampiga lock.. hahah

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před rokem +2

      Umenena leo kapunguza Cos kakutana na kiboko yake

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před rokem

      😂😂😂

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      @@upendommbaga7070 😆😆😆😆

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 Před rokem +2

    Wazungu 2 😂

  • @annalubango9899
    @annalubango9899 Před rokem

    mmekutana sasa mnatunyoosha na king chenu

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Před rokem +1

    Heee yule ni muarabu???

  • @lolollololi1050
    @lolollololi1050 Před rokem +3

    Wake wakiarabu mnaowazungumzia kama watulivu mnawajua kweli hawatulii nyimbani hawa ni viguu na njia 🤣🤣🤣🤣

    • @maidamwaipopo9603
      @maidamwaipopo9603 Před rokem +1

      Tena maraya walio kubuu😅😅😅

    • @masoudaass
      @masoudaass Před rokem

      ​@@maidamwaipopo9603 Tena Sana mambo wanaenda kufanyia kwao

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 Před rokem +2

    Nanaona mgeni waleo mapishi yamempiga chenga

  • @magdalenampanda1426
    @magdalenampanda1426 Před rokem

    Ushauri funika nywele ukiwa jikoni zaweza ingia ktk chakula

  • @mwaminievelyne3604
    @mwaminievelyne3604 Před rokem +3

    Kwani Diva mapishi wapi nawapi🏃🤣🤣🤣kupika hajui

  • @maramara5621
    @maramara5621 Před rokem

    Mimba mimba hiyoooooooo. Hana Uarabu wowote labda mwarabu wa mchongo

  • @tabumpate9722
    @tabumpate9722 Před 11 měsíci

    Penda sana wewe mpishi ulie makini

  • @erickmillanei4346
    @erickmillanei4346 Před rokem

    Hajui kupika that's why kachagua tambi

  • @Twandana2010.
    @Twandana2010. Před rokem

    My wema ❤❤❤❤

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Před rokem +2

    Wema huji kipindi badala ya kuongelea mapishi mnaonge umbeà😢

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 Před rokem

    wazungu wamekutana leo

  • @3Dshoez
    @3Dshoez Před rokem

    Diva karekebishe meno

  • @mariamsaidi6147
    @mariamsaidi6147 Před rokem

    Wema unapiga makelele na izo tambi unazotafuna🤣

  • @sadiamassage9589
    @sadiamassage9589 Před rokem +5

    Weeee musidanganywe wake wa kiarabu hawakai ndani kupikia waume zao subutuuuu akikaa ndani sana hupenda kulala tuu hata kuoga ni bahati baya waambie kulala na akiamka ni mwendo kwa mamake hata mume hajui kala nn weee

    • @maramara5621
      @maramara5621 Před rokem +1

      😂😂😂Kweli Yela Yela, Sirah sirah. Diva hafiki mwarabu kwa lolote, wake wakiarabu hawashiki Chochote kazi kitandani tu kujiremba na kutoka kwenda kwa mama zao

    • @kadegashibani5934
      @kadegashibani5934 Před rokem +1

      Umeona eeh my 😂😂

    • @maidamwaipopo9603
      @maidamwaipopo9603 Před rokem +3

      Tunafanya kazi kwao ndo tunajua hata kuswaki ni shida

    • @mumasa498
      @mumasa498 Před rokem +6

      😂😂😂 tujuane tunao ishi nao

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Před rokem +1

      ​@@maidamwaipopo9603 ukiona hivyo huyo mchafu doh 😅😅😅😅 mimi mwarabu wangu nachupi ikiingi damu anasafisha ndio anatupa kwenye ghasala lakini wengine😂😂😂😂 wachafu wanaweka hivyo hivyo

  • @zaynabmwanjovu1002
    @zaynabmwanjovu1002 Před rokem

    Tambi znaonewa na wasiojuwa kupika jaman haaaa

  • @faustellamathew2125
    @faustellamathew2125 Před rokem

    Natafuta mafuzo ya mapishi kunifuza nakuniajiri

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 Před rokem +2

    Sauti kichefuchefuu😫

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 Před rokem

      Ww km huna mimba bac una husda inakusumbua😆😆😆😆

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Před rokem

    Shoga hajui kupika tambi😂

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    😍😍😍❤️

  • @ashamasoud1929
    @ashamasoud1929 Před rokem

    Nani kaskia km abdul mualabu 😄🤣

  • @Twandana2010.
    @Twandana2010. Před rokem

    Ila Diva jamani mganga? Alafu kupika mtihani 😅😅😅😅

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Před rokem

    Hapa hakuna mtu,makongoro tu ndo yamebaki

  • @2PAC.77
    @2PAC.77 Před rokem

    Fally Ipupa

  • @bonnetambweofficial
    @bonnetambweofficial Před rokem +2

    😂😂😂

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před rokem

    Diva umetuangusha

  • @zoab2699
    @zoab2699 Před rokem

    We diva ustarabu gani huo tunakata tambi kwa mdomo kisha una rudisha katika sahani unapika mchafu mkubwa we

  • @RizikiNdale
    @RizikiNdale Před 4 měsíci

    🎉😂😂😂😂

  • @emilykinya6514
    @emilykinya6514 Před rokem +1

    Wema unatafuna nn kwa sauti hivo

  • @Melaninjoy
    @Melaninjoy Před rokem +1

    Mashallah 😊😊😊

  • @bigirumanalululouise4540

    Wem❤❤❤

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před rokem +2

    Hiyo tambi diva kaitia mdomon halafu kairudisha kwa tambi zengine 🤮

  • @petersitta7545
    @petersitta7545 Před rokem

    Sasa hio sio cock Ni kipindi Cha mahojiano

  • @maramara5621
    @maramara5621 Před rokem +1

    Bibi wa Mganga sheikh wa Mchongo 😂😂kweli diva pumbavu aisee ukaolewa mchepuko no 1,300,. DIVA VIPI Boyfriend wako mzungu wa Marekani wewe nawe sio wakuolewa na Mganga,,, ukizaaa naye tu hiyo jela yako milele😭Abdul akawalee watoto wake walele wale, Diva hapo hata ukiomba talaka unarongwa narudi maxima Allah akusaidie tu ila abdul ni kaa balaaana pigo la kafiro jehamu

  • @mercymdodo1473
    @mercymdodo1473 Před rokem

    I love these beautifuls souls of mine@divathebawse@wemasepetu

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 Před rokem

    ❤❤❤