Wakazi wa makueni waathirika na makali ya kiangazi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 10. 2022
  • Makali ya kiangazi maeneo ya mashariki mwa nchi umesababisha uhaba wa maji na chakula na kuwaacha wakaazi na hata mifugo kutaabika. wakaazi katika eneo la Kiteng’ei kaunti ya Makueni wanategeamea maji ya kununua baada ya mito na mabwawa kukauka. Na kama vile Emily Chebet anavyotuarifu, mamia ya wakaazi wako kwenye hatari ya kufa njaa huku wanafunzi nao pia wakishindwa kwenda shuleni.

Komentáře • 1