Christina Shusho - Password (Official Video)
Vložit
- čas přidán 9. 05. 2024
- #ChristinaShusho #Password #SlideDigital
(C) Relax Investment
Christina Shusho Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/christinashusho
Written & Performed by Christina Shusho
For Bookings: cshusho@gmail.com
Follow Christina Shusho on:
/ christinashusho
/ shushochristina
/ officialchristinashusho
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Zábava
Shusho huku Kenya twakupenda ❤
Vile unavyoimba nyimbo zako❤
Shusho alijua siri ya kutembea Scoan Nigeria...continue shining mama ❤
Tangia nlivyokuwa mtoto we use to listen your songs. nimejifunza Mengi nimebarikiwa sana. 2024 still i cant get enough. god bless you "PASSWORD"
🔥🔥🔥🔥🔥
A great message here, don't let your enemies discover your point of strength, they will use it to destroy you. remember Samson and Delila.
@@James-Jabari I got you, Never judge, thou ye be judged. Tuwachie Mungu part yake, ama waonaje
Nyimbo za injili Sasa hivi nibiashala shetani Sasa hivi yoko laivu hofu ya mungu imetoeka shetani ndie anatenda kazi
Who is here to give like for the song WAKUABUDIWA by this madam .
As usual kenyans here we are.. Supporting raw talent ❤️🇰🇪❤️🥰
Password chunga sana,wow Hallelujah 🙏
Mtetezi wangu Yesu anaishi Leo...mtetezi wangu yuhai🔥
Watu wa mungu liombeeni hili jembe jamani lirudi Kule kwa mwanzo uku kwenye wozaa kwa diamond atoke kabisa
😂😂😂😂kwakweli huku kwenye woooza hapana sasa😢
😅😅😅😅😅😅😅
Hapa sijakuelewa kabsa dada angu, hta uwepo wa Mungu kwa upande wangu haujashuka, imba nyimbo kama zamani
Kiekie password kiekiekiekie hii nyimbo ainagani
Mungu kesha muacha huyu
😆😆😆😆😆😝😝 sasahivi anaimba imba tu hakuna utukufu wowote
Paswade ndo nini hizo mambo
Dah, upako wote kwisha. Sasa nyimbo zimekuwa kama za zuchu tu
Mwambieni kashaisha
Send us a playlist of songs ziko na Upako? And also enlighten people on how they can know songs that have upako.
Yaani kama unasikila Kiduku
Mbona wewehujachunga mafuta uliyopewa namungu yamwanzo acha kumzoea mungu umepoteza kibali haupo sawa
Waah ww ndo uajuaga wenye wameishiwa n upako
Uko sahihi Mungu keshachukua kibali chake amebaki tu na kipaji ambacho hakitamsaidia
"UNIKUMBUKE" NYIMBO AMBALO WAKUMUPITA HAJAPOKUWA. SALAMU ZA KRISTO KWAKO.
Nyimbo zinafanana zote cyo hit ni mama yangu ila hakuna jambo tena
Japo wengine hawajakielewa dadangu lakini nakuelewa , jambo la muhimu ni tuchunge tulichonacho asije muovu akakitwaa.....God bless you.
Uwepo haupo kabisa duuh...hebu linganisha huu wimbo na ule wa wakuabudiwa duuh nothing else here
Let's Give Christina Shusho Her Flowers 🎉🎉🎊🎊 Very Powerful Song indeed#Password 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Madness, akuna kitu ameimba apo
Acha makasiriko @@CarolineNerima-bg1nh
Najikupendea mommy❤
Thank you Christine Shusho ,you are an inspiration to many ,May God bless you
Mungu akubariki sana
Repent and come back to God, upako uliisha dada
waah hakimu.
Umeiskia Zakayo?
Rebeca je?
Labda wewe ndiye unapaswa kurudi kwa Mungu....dada upako anayo!
@@charlesotieno6001unatumia msisimko eti ni upako,upako hamna angalia na nzawise wanavyocheza
I think hizo majibu zimekutosha wozaaaaa😂😂
Judgement is not for us...Ur are doing a good job shusho....
May Grace be upon you usije ukashushwa nyavu za kidunia...
Hallelujah 🎉🎉🇰🇪🇰🇪
This song is simple and a blessing.....i short anamaanisha usiambie ambie watu Siri zako
Huyu mama kabisa simuelewi tena, achague kimoja, yaani aimbe nyimbo zakidunia ama amuimbie Mungu, hawezi yachanganga yote
Tumuombe Mungu amkumbuke tena.
Wueeh! Hadithi na Samson na Delilah, iko na ufunuo kweli wa ajabu. Mzee shusho amefanya kazi nzuri ya kukuchunga. Mungu azidi kumbariki. Nasi tuliumbwa Kama wasaidizi . Kwa ivyo yatupasa kusaidia lakini kwa delila,,, alitumia siri ya mume wake kumumaliza. Husikubali shetani aje kukuiba ivyo na kukutumia kumuangamiza mumeo aliyekupenda vile jameni,,,, from Kenya
Mrudie Mungu mama
Password...... alooohhh 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌... Be blessed MAMA ❤❤❤❤
Almighty father he is a promise keeper if you have a covenant with him he will not break it unless you break it
Dada angu asaivi uko kidunia sana izo nyimbo zako azinibariki kabisa
Kiekiekie password hii ni injili gani. Tofauti na nyimbo zake zakale, wakuabudiwa wakulinganishwa na wewe
Hii ni nini
Ebu tunga zako tuziskize
Hakuna kitu hapo
wooozaaa🤣🤣🤣mwaka huu mpaka tuelewe
Bonge la ngoma wajina wangu❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Watumishi wa MUNGU tuendelee kuombeana, sio vizuri kufurahia mapito ya mwingine
Password, Agano, Yote alimaliza, Hakuna na nyingine nyingi zilizopita tamu sana. Songs mbele ufalme wa mbinguni ni wa mtu mmoja mmoja. Be blessed more and more
Ogera Sana dada yetu ❤❤ mungu hakubariki kweli nyimbo. Zuri Sana ni kwaniaba ya bembe capany tv online pamoja na bembe stars edimond 🙏 ✨️ 💖 🙏 ✨️
When God takes his holy spirit ,he never takes his talent... ENJOY
Wimbo uko vizuri sana,bg up
Barikiwa mtu wa mungu❤❤❤
Mungu wangu Hadi mashairi na kudansi kama Diamond! Bwana Yesu simama utetee watu wako.
Unaungana na diamond unapata Hadi wacheza step kwake. Wewe Dada unahitaji utubu urudi kwa Mungu, ulishapotea
Mchungaji diamond kamharibu Sana dada etu,jaman hebu rudia kwenye mapito ya zaman naongea kwa kumanisha jaman hebu tusiwe chanzo chakumrudisha Tena yesu msalaban kwa Mara ya pili,mm nampenda yesu mm Ni msabato, MUNGU tuokoe Mambo ya utandawaz tuepushe nayo kwa jina la baba mwana na roho mtakatifu,🙏
Inapendeza hongera Sana 👏
Aty wozaaaa😮
Woooozaaaaaaa😂🎉🎉🎉
Chunga sana password 🔑...vitu zako za maana...usiambie watu hivi hivi... story ya samson na Delila 🎉🎉.. Barikiwa sana mtumishi wa Bwana.. Zidi kusonga mbele na injili ya Yesu Kristo 🙏🙏...wimbo mtamu sana
Injili iko wapi hapa, watu kuliko wayaongelee yale yesu kayafanya msalabana ati password kiekie
Hallelujah 🙏
Christina Platinumz rudi kwa Yesu
😂
😂😂
Waah, password yenyewe,.. Na bwana Ana watch vedio zake kweli..... Amen ooo
uko nje ya reli dada!!!!
Wimbo mzuri cha msingi ni ujumbe mungu akubaliki
A very good song. May God continue to shine His face on you Christina
Watanzania mna kiwivu Kenya mpo vizuri sana Mungu awabariki
Kristian ujawa kuniangusha ii Password nikali Sana🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏
Nguvu za diamond kamgawamyia na bado shusho Waja Kali mtaona kwa kipindi kifupi kijacho
Very Powerful Woman Of God
Hatari sana🔥
Naipenda hii password ya Shusho 🎉🎉❤
Gospel of another level
Mungu apokee sifa. Wimbo una ujumbe mzuri sana
❤❤❤❤❤🔥🔥 Password
Wa Kongo Lubumbashi, mupo 🎉🎉❤❤❤❤🎉🎉 🇨🇩🇨🇩🔥❤️🔥🔥🔥 Nipeni like zangu ✊
Tupo
Mimi hapa mkongo
Niombeni kwa Mungu anipe huyo mwanume ambaye Christina aliye muacha
waait, kwan ume reduce bodly kidogo au naona zangu, GOD BLESS ANYWAY
Marahaba dadaetu amewakilisha nchi yake 🇨🇩🙌🙌
Ladha ya mziki wa kitambo ilienda wapi jameni?
Hapo nakusapoti Huyu MTU SKU hizi anaimba viti hazieleweki sasa password Kwa bibilia iko wapi KHA
@@dfremac inaelewe vizuri tu , password ni ile siri ya nguvu za Samson .
Mungu atuonee huruma..huduma kwa Mungu uliisha
I was looking for this comment,nyimbo zake za siku hizi hazina upako kabisa.
😢
Ni kama wakenya pekeee ndio tunaapreciate huku wimbo. Very strong and powerful message.....only the chosen few will understand.
Keep going Shusho 🙏🙏 . Let them judge
Mmmh chosen!!! There is Nothing to understand there
@@Kagomix okay Mr. Perfect
Eshapotea mama sana rudi kwenye mstari
Next ni amapiano big up producer teddy b
Kenya ndani ya password ❤❤😂😂😂😂
What have I just hear woza" or what😢 huyu mwanadada nilpenda nyimbo zako za awali jameni rudi uimbe ulivyokua ukiimba huu mtindo wa muziki sio wako
Pray for her...
Wooozaaah!!!!!
Hongera sana Christina kwa wimbo wako.
Wee anayepondea nyimbo hii🎉 hajuwi mziki nyimbo hii nikali❤❤ mnoooooo yaan amebuni vinzr mnooo pastor christna piga kazi mama nakuelewa leo hadi kesho❤❤❤
Sawa mke wa Mond ngoma Kali inaburudisha ila haibariki
Amen 🙏
Ngoma nikali love you shusho nita kuowa
Duuuuh bado nashangaaa mim mwenzenu mungu atuhulumie wakristo wa leo😣😣😣
Waoooo nyimbo nzuli
Woozawooza, bachwee
Wimbo mzuri sana christina♥️
Mti wenye matunda upigwa mawe.....you are that tree keeping on pressing on
The ways of righteous are full of obstacle
Listen not to the voice of sonballat &Tobias .....God in the Heaven will give you success
Mwimbo nzuri sana
Hapo kwenye Woozaaaa mh,jamani Album ya unikumbuke naielewa sana
Kwan lugha inayotakiwa kuimba kwenye biblia ni ipi,kichina,kizungu au kiswahili?Wozaa,mbona neno lakawaida Kwan ametukana?????
Much Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤❤❤❤❤ From burundi munipe lik hapa
Kenyans let's show our love❤
Are you mad, plz don't drug as in platinum bzness, ati Kenyans, unatuona wajinga sindio
Beautiful singing 🎉
Powerful message.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu nyimbo ni nzur ujumbe pia kwakweli nimebarikiwa sana
Kiekiekie ujumbe mgani
Shusho ni vibeee🎉🎉🎉 zakayo Bado haijaload pia but wueeeeh hii mwaka❤❤❤
kiukweli nyimbo za zamani ndizo zinazonibariki sana🙏 wacha kwanza nikasikilize hizo then nifanye na maombi sasa🤗
🤌
True...especially nataka ushirika na wewe"
My password,my secret❤❤❤
Unaenda kubaya mungu akuokoe
Chunga sana Password.... nimeielewa sana hii nyimbo MTUMISHI... TUPE TUPEE DADA
My all-time favorite good job Christina Shusho. #Password
Sauti pekee imebakia but upako wa wimbo ziii.bure kabisaa 🎤🎤🎤🎤
Hongera mama hii ndio password 🔑
Hit song
Wow very strong 💪 and amazing massage about samson from kenya 🇰🇪 much ❤
WOW - VERY NICE DONE - THANK YOU GUYS.