Abdulswamad Shariff Nassir - Mlima Kenya Wakipambana Na Pombe, Waturuhusu Tupambane Na Muguka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 130

  • @alabizoshazb5678
    @alabizoshazb5678 Před 2 měsíci +12

    kazi nzuri sana Mombasa tuendelee kuamka 🙏🙏

  • @fablovesaadi9879
    @fablovesaadi9879 Před 2 měsíci +15

    You have done the right thing governor Abdulswamad Shariff Nasser and I support this burning issue. "Moguka inaleta uwazimu na ugomvi katika jamii na ni ukweli".

    • @angle3600
      @angle3600 Před 2 měsíci +1

      Niukweli unaongea,mimi mwenyewe nina jamaa yangu asipokula mogokaa ni mkali kama simba,yaani ameathirika vibaya

    • @kabuthakabutha9472
      @kabuthakabutha9472 Před 2 měsíci

      ​@@angle3600ahhh maskini, poleni.😢 Jaribuni mumpelekeni rehabilitation center.

  • @kabuthakabutha9472
    @kabuthakabutha9472 Před 2 měsíci +3

    Am proud of my governor Abdulswamad sharrif Nasir!! Endelea vivyo hivyo!!

  • @donomondi
    @donomondi Před 2 měsíci +6

    What you have done is an answered prayer for people at the coast. We are fully behind you our governor

  • @abubakarhassan2170
    @abubakarhassan2170 Před 2 měsíci +5

    Brother Shariff, we are with you bumper to bumper, Kaza nati an sheria za county ya coast province zitumike vilivyo. wauze kwao, wale kwao sisi hatuna shida.

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Před 2 měsíci +5

    Allah. Atakusimamamia governor IshaaAllah simama na haki utaenda kulizwa kiama ogopa mwenyez Mungu pekee sio wanadamu

  • @oscarmarucha7612
    @oscarmarucha7612 Před 2 měsíci +10

    my governor kazi nzuri

  • @nashonmisiko8342
    @nashonmisiko8342 Před 2 měsíci +11

    people living in mombasa we support this issue fully

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Před 2 měsíci

      But mnachoka Bure ju kesho muguka inaigia kwa fujo apo mombasa,,,neda apo kwasoko mrng ujione e vile itaigia kwa fujo

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 Před 2 měsíci

      ​@@JacksonMutinda-jw5qwhaikuhusu ndio ufanyweje sasa

  • @AliBadi-mc5cy
    @AliBadi-mc5cy Před 2 měsíci +1

    Mtume s.a.w aliwaambia maswahaba wake waqti mmoja..."بادروا باالأعمال السّبعة...na akataja ndani yake أو غنامتغيا، hawa ni matajiri wa kupitiliza wasojali ubora wala afya za wanaadamu, uko sahihi Sheikh Abduswamad, na usisahau qauli y mtume wetu aliposema,,,"kiongozi akifanya uamuzi wa sahihi hupata ujira mara mbili", usirudi nyuma...uko katika usawa na nakuunga mkono...🙏

  • @feizul.feisal
    @feizul.feisal Před 2 měsíci +2

    Kazi nzuri Governor # Abdisamad shariif

  • @Mamu774
    @Mamu774 Před 2 měsíci

    Kazi nzuri sana governor wetu mungu akuzidishi naakupe nguvu uzidi kutetea wana mombasa wote insha Allah🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kibeandyofficial-lm1kv
    @kibeandyofficial-lm1kv Před 2 měsíci +5

    From Embu I choose the side of Mombasa governor but from my point of view I think instead of keeping the ban we should really hold on strictly regulating the ways of selling the product

    • @kabuthakabutha9472
      @kabuthakabutha9472 Před 2 měsíci

      Unfortunately mulipatiwa hio opportunity ya self regulation mukakataa. The rule was very simple, dont sell to school kids.

    • @HuntersTV-zm6tb
      @HuntersTV-zm6tb Před 2 měsíci

      I support you bruh

    • @Hk-ig3ex
      @Hk-ig3ex Před 2 měsíci

      Sio watoto wa shule tuu..wanaume wanashindwa kumudu nyumba zao..marufuku ndio muafaka..

    • @Hk-ig3ex
      @Hk-ig3ex Před 2 měsíci

      Tz na znz hakuna hizi vitu..wako vzr sana..

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Před 2 měsíci +2

    Mtangazaji anafaa aajiriwe Kwa TV. Yuko Sawa 💯. Awe Kwa mjadala ama News Anchor

  • @jacintak2477
    @jacintak2477 Před 2 měsíci +6

    i was praying everyday cz of my boyfriend to stop chewing and selling muguka...nikijaribu kumwambia aache tunakosana talking too much God answer my prayers machakos county to bann mguka...mtu ni graduate but anakaa kama hajui mlango wa darasa mungu tunakataa muguka in Jesus name

    • @alialmaawy8865
      @alialmaawy8865 Před 2 měsíci

      Actually

    • @alialmaawy8865
      @alialmaawy8865 Před 2 měsíci

      Mugokaa is a fight 4 all.Although coast imekuwa affected the most lkn ni janga la sote.

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 Před 2 měsíci +9

    Bwana Governor you don't need anybody's permission (ruhusa) to fight for your people. Wacha kuogopa!

    • @donomondi
      @donomondi Před 2 měsíci

      He has to lead his people out of addiction and even before God, he is doing the right thing. God bless him

  • @mashauriwapwani
    @mashauriwapwani Před 2 měsíci +8

    My Governor 💯

  • @lucianahtatu5665
    @lucianahtatu5665 Před 2 měsíci +3

    Perfect mhe#himiwa kazinzuri sana

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před 2 měsíci +1

    We support wapwaniwspige miguka kabisa

  • @iceplay18
    @iceplay18 Před 2 měsíci +4

    safi sana govonor mimi naishi finland kwa sasa na mogoka inatusumbua mbaka huku, wanatoletea ikiwa imekaushwa kwa majani chai imesambaratisha familia nyingi sana

  • @ismailsalim4082
    @ismailsalim4082 Před 2 měsíci

    ALLAH AKUFANYIE WEPESI GOVERNOR NA WATOTO WETU 🙏

  • @user-nl8my3ye5d
    @user-nl8my3ye5d Před 2 měsíci +2

    Ume fanya vizuri sana

  • @jacobomollo7100
    @jacobomollo7100 Před 2 měsíci +7

    true..and alcohol makers did not complain when they were fighting the menace..let them feed goats those leaves

    • @Hamisi8465
      @Hamisi8465 Před 2 měsíci

      Wallah mimi pia nashangaa

  • @user-vc4fy9ii2e
    @user-vc4fy9ii2e Před 2 měsíci +1

    Abduli swamadi congratulations kwa kazi yako

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Před 2 měsíci

    God bless u governor. Usife moyo Mungu ypo nawe.

  • @mutulajohn1243
    @mutulajohn1243 Před 2 měsíci +2

    Kazi zuri my governor

  • @NicholasTabuche
    @NicholasTabuche Před 2 měsíci +2

    Kazi kwako governor

  • @user-wo1mu3bf4p
    @user-wo1mu3bf4p Před 2 měsíci

    Hongera gorverna wetu simama imara tupate haki

  • @ruwaidaawadh1215
    @ruwaidaawadh1215 Před 2 měsíci +6

    We the people of mombasa are proud to have you as our governor.

    • @donomondi
      @donomondi Před 2 měsíci

      YES... I am proud of him

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u Před 2 měsíci

    Usiogope binadamu muogope mungu basi mungu iiipushe hii fina ya duniya

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 Před 2 měsíci

    Good job Governor na mnazi na chang:aa👏👏👏

  • @faizamahfudh8076
    @faizamahfudh8076 Před 2 měsíci +2

    Very important: tusikae tuu tukiangalia pesa but our lives matters as well

  • @user-tw9jk8ow1r
    @user-tw9jk8ow1r Před 2 měsíci

    mimi nasema pongezi kwa kazi hii governor na nakuombea kwa allah akupe nguvu ili washindwe na ubaya waloupanga ameen

  • @vicvictheemperor2549
    @vicvictheemperor2549 Před 2 měsíci

    YOU HAVE MY SUPPORT GOVERNOR

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Před 2 měsíci +4

    Governa umefanya jabo la kheir.

  • @mwanarusimusa3620
    @mwanarusimusa3620 Před 2 měsíci +8

    Sisi huku pwani twauza mnazi wetu hukuhuku hatupeleki huko meru wala embu. Kwa nini hao wanalazima kuuza mugoka huku pwani.

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 2 měsíci

      Maajabu

    • @TheeShann
      @TheeShann Před 2 měsíci

      utasema ivo juu unajua mnazi uwezi safirisha ubwa 🦮

    • @MwanziaMulei
      @MwanziaMulei Před 2 měsíci

      Mugoka lazma wapwani wakule kwani kuna mtu analazimishwa kununua.

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Před 2 měsíci +3

    Hata Miraa ipngwe marufuku huyu ulevi mbaya sana

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Před 2 měsíci +1

    2027 Ndani mapema sana InshaAllah kura zipo zasubiri wakati na mdaa wa debe Governor to terms . Mokoka Hana Kura za COAST 6 Countys . Wasitulete Watulete Makademiya na Avokados Tutanunua Embu wapate pesa na wafanya biashara wapate pesa this is the way to GO 🚶‍♂️Go 🚶‍♀️ 💪 👏 😄
    Not 👎 Mokoka.

  • @ruthkarimi2646
    @ruthkarimi2646 Před 2 měsíci +3

    Kweli kabisa pambana nayo

  • @user-ok3ou4yk4q
    @user-ok3ou4yk4q Před 2 měsíci

    Abdulswammad is handsome and brave ❤❤❤❤❤

  • @yusufsaid8911
    @yusufsaid8911 Před 2 měsíci +6

    YUKO WAPI MOHD ALI NA HASSAN SARAI WALIOKUA WAKIPIGA KELELE KUHUSU MIHADHARATI MOMBASA WAKATI WA JOHO. AMA SABABU WAKO KWA SERIKALI NDIO MAANA HAWANA HAJA NA VIJANA WANOUTUMIA MNGOKAA.

    • @johnmwangi9231
      @johnmwangi9231 Před 2 měsíci

      Siasa ni UAMALAYA,kama huyo jicho pevu vile alitabuliwa kwa kumlika watu, Leo ni jicho chongo;

  • @timaidarus4220
    @timaidarus4220 Před 2 měsíci +1

    Wanawake wa turkana walivamia shamba la merungi nakuvamia maeneo ya pombe waliona madhara yake na SISI wa MOMBASA tumeona madhara ya mogokaa na hata madawa ya kulevya lakini mogokaa iko affordable hata na watoto kwa bei ndogo.TUMEKATAA kABISAAA.

  • @josephnjogu9341
    @josephnjogu9341 Před 2 měsíci

    Kupiga marufuku rasli mali la sumbua kwani haiwezi kuwa suluhu kamwe kwani mapenzi ya mama haiko ila tu kwa matemshi, heshima ya watoto na ulinzi uliowekwa na sheria haufwatiliwi hivi kuagua shida inayoitwa Adverse Childhood Experiences ambako kama nikimnukumu alivyosema mchunguzi wa akili Segmund Freud-mungu amueke pahali pema peponi 'unexpressed emotions will never die, they are buried alive and will come forth later in uglier ways' ni dhahiri kuwa jambo la bila shaka, ama mara kwa mara watoto hudhalaliswa, kwa HUCHAPWA BURE shuleni hasa pale kwa chekechea, nyumbani na kufuaatilia kunyimwa usingizi kwa kuamshwa saa kumi na moja usiku, kubebeshwa mizigo ya vitabu. Hasa ile lugha wanajua kutoka utotoni ni NITAKUCHAPA, SHENZI, MJINGA, KUBAFU, TUTAKOSANA, USINISUMBUE na hata SHETANI. Wanapokua wakubwa hawana machozi-Iliisha kwa kukataliwa, kudhalilishwa na kuchochwa hasa na waliowazaa. This is traumatizing at its best. Muguka ni njia rahisi pekee ya kuzika huzuni iliyotandazwa kwa MAIN MEMORY. (RAM)Jamii inapoteza muelekeo!!! Ingekua ni jambo la busara kwa Mhe. Rais kuwaomba msamaha na kuachilia walio korokoroni na kutafuta njia muafaka za kuwarudishia heshima. Kutokana na adhari za historia ama uzoefu wa utumwa kwa akili zao, wamerikani weusi huwa ni wenye fujo na ujeuri hata kwa familia zao. Na ndio sababu wengi wa vijana wao huwa hawawezi kuepuka matendo ya jinai kwani Amerika hawana mayirungi.

  • @davidmwaura6031
    @davidmwaura6031 Před 2 měsíci +3

    amazing

  • @paulokondo1631
    @paulokondo1631 Před 2 měsíci

    Simba Wa Mombasa Hongera.Ishalaa.

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 Před 2 měsíci

    I support you 💯 per cent

  • @IsmailBaya
    @IsmailBaya Před 2 měsíci

    Hosha haho gavana hosha haho

  • @timaidarus4220
    @timaidarus4220 Před 2 měsíci

    Mtangazaji radio maisha unasema tunapata ushuru katika mogokaa. Hivi maisha na pesa tukubali pesa maisha ya watu yaharibike? HAPANA.MOGOKAA TUMEKATAA KABISA.

  • @sadnagoso-yn6iz
    @sadnagoso-yn6iz Před 2 měsíci

    Thank you 🙏🏾

  • @kingofshorts6824
    @kingofshorts6824 Před 2 měsíci +1

    Sasa ukitaka kuchonga si ujichange tu uchkue veve kwan lazma ule jaba kama mwanamke from Nairobi govana uko sawa

  • @jfabbyhussein6861
    @jfabbyhussein6861 Před 2 měsíci +1

    Apo sawa waki4c sisi pia tuna samaki,maembe,korosho na utalii pia uko kwetu mbona awanunui samaki korosho wala maembe utalii waeumaliza bt mugokaa kwa kuwa wana pata faida awajali madhara tunayopata watuache MSA wasitupangie chakufanya .......

  • @user-lw3ne4zu3k
    @user-lw3ne4zu3k Před 2 měsíci

    Ukweli kanisa umesema my governor

  • @stephenngila827
    @stephenngila827 Před 2 měsíci +3

    Usiluti nyuma

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Před 2 měsíci +2

    Kama wameru na wa embu wanakula Muguka na Miraa basi ni wale woe silazima walete Mombasa

    • @True-Kenyan
      @True-Kenyan Před 2 měsíci

      Wewe haujalazimishwa kula jameni🤷‍♀️🤷‍♀️

  • @Marara254
    @Marara254 Před 2 měsíci +1

    One term governor

  • @mikesamba8465
    @mikesamba8465 Před 2 měsíci +2

    Drugs now in mombasa is not selling good enough

  • @chiwayamruche9415
    @chiwayamruche9415 Před 2 měsíci

    Kaza viatu governor usilegeze kamba 💪💪💪💪

  • @ayanabdi7884
    @ayanabdi7884 Před 2 měsíci +5

    Ginger governor watafute soko riftvalley

  • @hakeemprince6868
    @hakeemprince6868 Před 2 měsíci

    Kwahivyo umehalalisha ushoga ngono pombe na drugs... kudos mr governor 🤙

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 Před 2 měsíci

    Mugoka 🔞🔐wauze kwao central . Mombasa ❌❌❌

  • @koomejohn4287
    @koomejohn4287 Před 2 měsíci +1

    Pwani ni Kenya.

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 Před 2 měsíci

    Very true

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 Před 2 měsíci +1

    Wapeleke mogoka Eldoret na sugoi😂😂😂😂😂

  • @PatrickMutua-jn4vv
    @PatrickMutua-jn4vv Před 2 měsíci

    SASA hitakuwa aje munguka hikishaa uko

  • @paulokondo1631
    @paulokondo1631 Před 2 měsíci

    Simba Wa Mombasa.

  • @hakeemprince6868
    @hakeemprince6868 Před 2 měsíci

    Miti ni dawa jamanii 🌿

  • @collinsoconnor5843
    @collinsoconnor5843 Před 2 měsíci

    Mogoka mbaya, lakini Unga na Bangi Mzuri huko Mombasani 😂😂😂😂.

  • @johnlobuin4212
    @johnlobuin4212 Před 2 měsíci +4

    Very correct

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Před 2 měsíci +1

    tuko nyuma ako

  • @daltonmboya
    @daltonmboya Před 2 měsíci +3

    is it banned because of its effect or because the the muguka business is giving an headache to another business,,anyway i side with mothers crying for their addicted childrten

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Před 2 měsíci

      Hatutaki kwasababu inahathiri watu upo

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 Před 2 měsíci +1

    👍👋👋👋👋💐

  • @Henry-xx7ql
    @Henry-xx7ql Před 2 měsíci +1

    This confused governor is fighting a losing a battle🤣🤣🤣🤣

  • @stocks2545
    @stocks2545 Před 2 měsíci +2

    001 county

  • @IsmailBaya
    @IsmailBaya Před 2 měsíci

    Tano tena

  • @sarahmakena46
    @sarahmakena46 Před 2 měsíci

    Tunaomba basi mutupe kazi ya kuuza unga na bangi maana atuna la kufanya.

    • @richardkarisa1949
      @richardkarisa1949 Před 2 měsíci

      wewe nawe hauna akili ndio mana unasupport hii ujinga

  • @mohamednyuni2631
    @mohamednyuni2631 Před 2 měsíci +1

    What is pombe haramu na halali? Chang'aa na whisky tofauti ni ipi?wapi mungu amehalalisha pombe?

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Před 2 měsíci +2

    Ni hasara ni munkar.

  • @KennethMwendia-og6oi
    @KennethMwendia-og6oi Před 2 měsíci +1

    😊

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Před 2 měsíci

    Ruto patia wakulima wa.Embu mbegu za makademia na ma'avokado wapande wakivuna watulete mombasa kilifi tana river lamu kwale taita taveta Wapwani watanunua na Wa Embu watapata pesa Wafanya biashara watapata pesa . LAKINI KAMA NI MOKOKA KULETWA 6 COUNTYS COAST TO MAKE AND MADE OUR CHILDREN'S ZOMBEZ ZOMBEZ ZOMBEZ Lazy mindset 😴 for other kenyans to benefit while our Children are taken to Rehab's . We say no no no Mokoka in our six County's.

  • @gigimarco2592
    @gigimarco2592 Před 2 měsíci

    Kwa nini hiyo Drug ya Mgokaa waiuze huko kwao Governor

  • @JulixYung-kw2tr
    @JulixYung-kw2tr Před 2 měsíci

    Ambia huyu Governor vita vya pombe haramu ndio viko central na vita vya mihadarati cocain, hashish, crackd pigana nazo sio majani ya mbuzi!!!&😂🍀😁

  • @SultanIqbal-qe1kg
    @SultanIqbal-qe1kg Před 2 měsíci +1

    😂😂😂🔥🔥🔥💯

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před 2 měsíci

    Ushoga je?

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Před 2 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @harunnjiru6024
    @harunnjiru6024 Před 2 měsíci

    Ni unga tu

  • @mikesamba8465
    @mikesamba8465 Před 2 měsíci

    What are you talking about

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk Před 2 měsíci +1

    Sio tu pombe pombe Bali Ni pombe haramu na hatari

  • @mikesamba8465
    @mikesamba8465 Před 2 měsíci +1

    Drug's mr Govan

  • @koomejohn4287
    @koomejohn4287 Před 2 měsíci

    Mbona hamuongei juu ya bhangi sindano pombe,? twajua mihadarati yetu imepigwa competition na muguka. Utafiti mliufanya Kwa maabara ipi?

    • @rajabyanga3026
      @rajabyanga3026 Před 2 měsíci

      Kwani ni lazima mlete huku c mkule wenyewe

  • @jameswakanyeki4191
    @jameswakanyeki4191 Před 2 měsíci

    Kwani muguka inaharibu vijana wa Mombasa pekee?,maliza UNGA kwanza governor,io ndio tatizo kubwa Mombasa

  • @benja-rl6in
    @benja-rl6in Před 2 měsíci

    Muguka si dawa wewe tumia akilii

  • @cleopaswamugi8578
    @cleopaswamugi8578 Před 2 měsíci

    Your people have a laziness problem not a drug problem

  • @SoldierOfAllah435
    @SoldierOfAllah435 Před 2 měsíci

    This man is a joke…afadhali joho huyu ni mbwakni 😂

  • @TheeShann
    @TheeShann Před 2 měsíci

    why can't you talk about those bhang people of Mombasa are using

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Před 2 měsíci

      Aisha jibu Hilo swali halipo juu yake hio muulize ruto na kindiki mugokaa noo Mombasa kwendeni kwenu huko muuze

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 Před 2 měsíci

    Badala apige marufuku kutombana mkundu na kutumia madawa ya cocaine na heroine Mombasa

  • @hashimthuwein5412
    @hashimthuwein5412 Před 2 měsíci

    Sisi ndio tume waharibu watoto wetu wenyewe kwa kutuiga sasa ikiwa ww ni kiongozi Umenyoa hivyo unatarajia watoto wako nawe waje wanyowe vipi, ata dini imekataza unyowaji huo, na mwenye nidhamu yake awezi kunyoa hivyo

  • @KennethMwendia-og6oi
    @KennethMwendia-og6oi Před 2 měsíci

    😊

  • @did3462
    @did3462 Před 2 měsíci +2

    Hatutaki mungokaa pwani wauze kwao

    • @josephmwangi5644
      @josephmwangi5644 Před 2 měsíci

      Pwani si kwenu. Pwani iko kenya😂😂

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 2 měsíci

      ​@@josephmwangi5644 iko kenya lkn mgoka hatuutaki

    • @isagreg8482
      @isagreg8482 Před 2 měsíci

      Kuleni wenyewe hyo aaaah lazma gani jameni

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Před 2 měsíci

      @@josephmwangi5644 😂😂biashara yako inafilisishwa na magovernor wa pwani. Plz change biz haraka