Mi naweza sema kila mtu na mapishi yake nice, ila ameweka nyanya nyingi na karroti,any way kwa yeye mtazamo wake kufanya mchuzi uwe mzito ni carroti ingawa sijawahi jaribu mi ninachojua ukitaka mchuzi mzito vituunguu tu viwe vingi, then huna haja ya kuweka nyanya nyingi 1,2 tosha kabisa.kwenye chapati niliona alipika vizuri ila ktk mchuzi niseme amejitahidi.❤ zama 👍
Wapenzi musikose kutizama video hii nilio hadithia kuhusu ujauzito wangu na changamoto nilizo pitia......🙏🏾🙏🏾🙏🏾 czcams.com/video/LsrIla10vcU/video.html Pia nakusihii u subscribe 🙏🏾😘😘😘
Kazi nzuri
Kazi nzur brooo
Wow! Mate
Kazi nzuriii
I know this man mungu akutangulie mshakaji
Safi kabisa chef
Mi naweza sema kila mtu na mapishi yake nice, ila ameweka nyanya nyingi na karroti,any way kwa yeye mtazamo wake kufanya mchuzi uwe mzito ni carroti ingawa sijawahi jaribu mi ninachojua ukitaka mchuzi mzito vituunguu tu viwe vingi, then huna haja ya kuweka nyanya nyingi 1,2 tosha kabisa.kwenye chapati niliona alipika vizuri ila ktk mchuzi niseme amejitahidi.❤ zama 👍
Kwann ungeliwa chemsha kwanza hao kuku ili ukiunga waive vizuri
Dada Zama me nimependa ulivyoweka ndefu maana inaonyesha hatua kwa hatua yan nimetenda sanaaa anavyoelekeza
Asante kwa upishi bora chef 👨🍳 ila hapo kwa title ulikua unatakiwa uandike chicken curry sio chicken curl 😘
Sufuria sijalisoma hata
Yaani mie niwe na jiko hilo zuri hivyo then nitumie sufuria cheap namna hyo na huo mfuniko😅! Oh big no!
Hahahaha
Hapa zama amefeli kwa kweli sufuria gani hiyo hajamtendea haki mpishi
Mchuzi mwingi sana
Kazi nzuri Ila nishauli ukiosha kuku weka kwenye chombo kinachochuja maji
Nzuri,Ila samahani mala nyingi me uwa nazani curry yoyote lazima uweke Nazi je kunaukweli?
Huuuuummmm👌🏽👍
Uwe unaandika list ya viungo..
Ulsema.
Paprika.
Curry powder
Chicken masala
Ukasema bizar nyembamba mara bizar ya njano...hapa umenichanganya
Mara alisema Karafuu
Umeachia mamchuzi mengi mnoo😎😎
🔥🔥🔥
Sharifa Abdullah Mapishi ya skonzi czcams.com/video/WdBNvhr0GX8/video.html unaweza angalia na subscribe tafadhali
Wapenzi musikose kutizama video hii nilio hadithia kuhusu ujauzito wangu na changamoto nilizo pitia......🙏🏾🙏🏾🙏🏾
czcams.com/video/LsrIla10vcU/video.html
Pia nakusihii u subscribe 🙏🏾😘😘😘
😋😋😋
gulla alex Mapishi ya skonzi czcams.com/video/WdBNvhr0GX8/video.html unaweza angalia na subscribe tafadhali
gulla alex Mapishi ya kabab za samaki czcams.com/video/QIYjKWLos2g/video.html naomba subscribe tafadhali
Utengenezaji wa milkshake 4 tofaut na tamu czcams.com/video/cGlANylqZKo/video.html
@@IlhaamMarshed 😋😋😋
⭐🌙🕌🙏🏼👍🏽
Nimecheka eti kwenye ubora wake
Hata mm naweza kupika hivyo ila chapati nishida zinakuwa kavu kama bati
😎😎😎 angalia mapish ya chapat alifundisha pia ni rahis sana pia tumia unga wa ppf utanipa mrejesho😋😋
Hahahaha
Asma Nicolaus Mapishi ya skonzi czcams.com/video/WdBNvhr0GX8/video.html unaweza angalia na subscribe tafadhali
Asma Nicolaus Mapishi ya kabab za samaki czcams.com/video/QIYjKWLos2g/video.html naomba subscribe tafadhali
Utengenezaji wa milkshake 4 tofaut na tamu czcams.com/video/cGlANylqZKo/video.html
Nimecheka kifala jamn comments zimeniua mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wa kwanza hapa 😋😋
rehema matemba Mapishi ya skonzi czcams.com/video/WdBNvhr0GX8/video.html unaweza angalia na subscribe tafadhali
rehema matemba Mapishi ya kabab za samaki czcams.com/video/QIYjKWLos2g/video.html naomba subscribe tafadhali
rehema matemba Utengenezaji wa milkshake 4 tofaut na tamu czcams.com/video/cGlANylqZKo/video.html
sound mbovu, km mzimu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙄mzimu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umefikiria mbali sana.
Hivyo vinyanya si uviweke kwenye sufuria unavibakisha vipande vnne vya nn jmn kwenye sahani 🤣🤣🤣🤣
Hahahaha yaani ww unawaza kama mm mharibifu huyo
@@asiayuliana4363 huhuhuhuhu et tuseme hakombelezi 🤣🤣🤣🙌
@@ulricamakalla5565 Hahahaha mambo show off unakuta nyuma ya Camera alivikombeleza vyote
Zama viombo cheap saaaana zama wewe jina kubwa weka vitu kwendandana hadhi
Daah nothing special kawaida tu.
Akuna kutokosha kuku at kidogo 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭, kuku wa ulaya ukimupika bila kutokosha anakuwa na chombo nyingi sana 🤮🤮🤮🤮🤮,lakini good job bro
Angel Bwija Mapishi ya skonzi czcams.com/video/WdBNvhr0GX8/video.html unaweza angalia na subscribe tafadhali
Angel Bwija Utengenezaji wa milkshake 4 tofaut na tamu czcams.com/video/cGlANylqZKo/video.html
Mapishi yake ni kawaida mno!ulizia wapishi wa hiyo kitu mpk unataka kulamba mwiko
@@dinnarandrew1982 🤣🤣🤣