MAUMIVU YA KUONGEZEWA MKE YANAUMA KULIKO YA KUZAA / ALIJAZA WANAWAKE CHUMBANI KWANGU - CHANUO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 51

  • @SaraUlaya-is2ch
    @SaraUlaya-is2ch Před 2 měsíci +10

    Chanuo mdogo wangu umependeza Sana hongera Kwa Hilo ila usharudi wangu usiangalie ulikotoka my kaza tengeneza furaha yako mwenyewe wanaume wanatunyanyasa Sana wakijua bila wao hatuwezi wakome❤❤❤

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 Před 2 měsíci +2

    She’s beautiful ❤

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Před 2 měsíci +2

    Chanuo mrembo masha allah

  • @VexMaizoOfficial
    @VexMaizoOfficial Před 2 měsíci

    🧭🤳 interview mzuri ongereni sana na pole beautiful chanuo.
    From Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoani Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa

  • @eprolucas326
    @eprolucas326 Před 2 měsíci +2

    Pole Sana chanuo ❤

  • @MariamBakari-im5ef
    @MariamBakari-im5ef Před 2 měsíci +1

    Naelewa hayo hata unavyoelezea nahisi maisha yananirudia upya sipendi kukumbuka chochote maana naumia kuliko maelezo nikieleza

  • @rayasalum3044
    @rayasalum3044 Před 2 měsíci

    Kanenepa mwenyewe nzuli❤

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 2 měsíci

    Dango kwa mganga waliosikia like plz 😂😂ila diva kawachukia ndg wa mganga mpk bac 🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před 2 měsíci +12

    Mwanaume uliyempenda anauma isee asikwambie mtu na ukiamua kumtoa moyon ndo forever

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před 2 měsíci +1

      Mapenzi yanauma bwana asikwambie mtu dada angu pambana mim nikisha umizwa Hadi sasa nafanya maisha yangu mwenyew nimemuacha mtoto mdogo wa mwaka moja na miez minne asaiv nipo zangu omani na mambo yangu ni safi kabisa

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 Před 2 měsíci

    Chanuo unaniangusha maisha
    yapo bila mwanaume

  • @ConfusedLighthouse-so9mc
    @ConfusedLighthouse-so9mc Před 2 měsíci +1

    Nikweli dada inauma sana

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před 2 měsíci +2

    Mtenda akitendwa inauma kweli

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Před 2 měsíci +2

    Dada mbona wewe Bado mnuso aise

  • @NeemaMwakyasima
    @NeemaMwakyasima Před měsícem

    Da diva Mimi nakuja

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před 2 měsíci +1

    Acheni ujinga kuzungumza2 katika dini ndoa haiwez vunjika kirahis hivyo nenda kwenye vyombo vya dini ukapatiwe haki sio2 kusema umekaa miezi mi3 basi hakuna hicho ki2

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 2 měsíci

    UNAKANA ILA UNATOA MAMBO....APA UNAKUJA KUONGEA UTUMBO..😊,,NA KUOGOPA AIBU KWA WA TZ WATAKUPAKA....VITU VILISHAONEKANA BLOGS KIBAO..UNAVIRUDIA KWANN USIKANE KUONGELEA...UNAMPENDA ILA UMESHAINGIA KWENYE MIFUMO YA MITANDAO😊 NA KUOGOPA MASHABIKI

  • @user-ch1tt1yo7p
    @user-ch1tt1yo7p Před 2 měsíci +1

    Nakuunga mkono chanuo maumivu yake hayaelezeki

  • @EphronSanga
    @EphronSanga Před 2 měsíci

    Kinachosumbua ni ubinafsi. Ungekuwa hujabahatika kupata mume na asiwepo WA kukutafuta Kwa vile wote wameoa ndo ungejua machungu ya kutokuwa kwenye mahusiano mile.

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před 2 měsíci

    Nice interview

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 2 měsíci +2

    Hawa ni waongo nawe wako wote

  • @EphronSanga
    @EphronSanga Před 2 měsíci

    Usione wenzako wanapokuwa wanaitwa kwenye upepo WA kisulisuli ili wapate mume na hawapati. Ingekuwa vipi ufiwe na mumeo au uachwe. Ndo utajua maumivu yake

  • @gundemushimushi9385
    @gundemushimushi9385 Před 2 měsíci

    Wameanza mapenzi akiwa na miaka 14 au

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 Před 2 měsíci

    Vidonda vya tumbo vinakuhusu Chanuo mwanangu

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 Před měsícem

    Huyu chanuo utafikiri kaolewa na devi wa huba anavyofanya media tour kumbe kaolewa na madebe Yule wa kusinzia huku anaangalia...yaani sijui anamuonaje Ila Mimi madebe hanivui nguo ....Kama ni wasanii hukuona wengine em pumzika dada acha interview kisa madebe😂😂😂😂

  • @kulwamkwachu7399
    @kulwamkwachu7399 Před měsícem

    Rudi kwa mumeo dada

  • @user-kg1fs3zf7o
    @user-kg1fs3zf7o Před 2 měsíci

    Chanuo uyo au sio aya bhana kikubwa una pumua

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před 2 měsíci

      Wenae kaa kwa kutulia kwaio ulitaka asipumue kwa kukosa madebe 😂😂😂😂

  • @ludovickmutalemwa7387
    @ludovickmutalemwa7387 Před 2 měsíci

    Wanawake shda yenu umalaya tu

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 2 měsíci

    Oleweni acheni kelele

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 Před 2 měsíci +1

    Hizi ni kiki

    • @bigbro-my6xj
      @bigbro-my6xj Před 2 měsíci

      Sasa kiki kivipi hapo mjomba? Naomba nieleweshe

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Před 2 měsíci

      @@bigbro-my6xj hawajaachn

    • @bigbro-my6xj
      @bigbro-my6xj Před 2 měsíci

      @@jeunajuatv817 kwa hio wanaishi nyumba moja ?yani kupika na kupakua na mume wake ? Hapo kahojiwa kwenye tv kudanganya tu ?

    • @ahmadlitwe7190
      @ahmadlitwe7190 Před 2 měsíci

      Una akili sana brother

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před 2 měsíci

    Kiukweli sijuwi kwanini sivutiwagi na wasichana waupe lakini sauti ya huyu dada mtangazaji inanivutiyaga sana kwenye interview ni nzuri ivi utakuwaje kitandani kwenye lile tendo?mpaka raha.achana na limadabe lina unabii mwingi kichwani kwake,ivi wewe ulishaga vunjika kidole,mbavu,jino kuuma kisha lingolewe.apana maumivu ya mwili yanauma kuzidi ya mapenzi.unakuwa mrembo nakumbuka ulikuwaga na shepu nzuri kabla jaribu kunenepa kidogo uone njisi wavulana watakumiminikiya.mtampata atakae kupenda na kukijali.yupo.

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani6954 Před 2 měsíci

    Kumbe wengine hampati maumivu ya kuzaa eeeeh mwehu ww usifananishe maumivu ya kuzaa na ujinga wako watu tumeachwa na tunaowapenda hakina hakuna maumivu hayo bhana eeeeeeeeeh kuzaa mchezo eeee

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před 2 měsíci +1

      We naona hujawah kupenda mim cku ya pili baada ya kujifungua mwanaume wangu anaenda kutambulisha mwanamke kwaio yani nikijickia maumivu makali kuliko nilio ya ona Jana yake

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 Před 2 měsíci

      @@user-sv6zy3hc8o pole jipende kwanza ww ndo umpende mwingine, siku za zote kwenye suala la mapenzi ifanye nafsi yako kipaumbele hutajutia

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před 2 měsíci

    Wanawake miongon mwenu mnaozikataa neema za ndoa mna dhima kubwa mbele ya Allah yaan leo imekuw kitu cha kawaid kuvunja kwa sabab zisizo za msingi aloo dada Allah akurejeshe katik hadhi yak ya mke sio single media zisiharib akher yako unalilia talaka kitu kinachomkere Allah ,ulihifadhiw badal ya kulind hifadh yako unapamban kuiharib ,na ifike kipind sheria ya tz ibadilik watu kama hawa ndo wanshawishi wengin kuvunja ndoa zao kwa kukosa subira ya maswaib

    • @aisharamadhan4541
      @aisharamadhan4541 Před 2 měsíci +2

      Huyu hakukataa ndoa but mateso aliyokuwa anapitia ni makubwa sana kama ulifuatilia interview zake za nyuma utamwelewa

    • @user-lq6mt5ji4l
      @user-lq6mt5ji4l Před 2 měsíci

      Mateso tunayopitia ndio yanatupa ujasiri wa kukaa ndoa 😢😢😢

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 2 měsíci +1

      Umeckiliza kwa umakin lkn ? Au unajaza lawama kwake tuuu ht nyie mwanaume mna dhima pia kwa Allah mnataka wake zaid ya 1 lkn hamna uadilifu 😢

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 Před 2 měsíci

      😂😂😂Sikiliza upya kabla ya kujieleza

    • @sakinaunderwood
      @sakinaunderwood Před 2 měsíci

      Endelea kuvumilia mpaka uumizwe​@@user-lq6mt5ji4l