Refurbished means that the product was used, deemed defective, recycled or returned for some reason, then tested and repaired by the manufacturer or a third party before being sold again. To sum it up, all refurbished products are used, but not all used electronics are refurbished.
Kaka naomba review za behind the scenes za movie mbalimbali maan niliona Ile sound track ya game of thrones Ilinivutia sana lkn ckujua kam ilitengenezwa vile pia naomba ufnye review ya eSIM kutoka Airtel @snash
Wafanyabiashara huwa wanasaidiana na si kila mtu huwa anabaki na stock, kwahiyo mteja akiulizia bidhaa / Simu duka ambalo tayar limemaliza stock huwa muuza duka husika huenda kwa jiran na kuchukua kuja kumuuzia mteja anaweza ongeza hapo elf 10,000 tuu kama faida na ndo ile kauli ya ngoja tukachukue store huwa inasemwa lakin wengi hawana hizo store bali wanaenda kuchukua duka ambalo bado lina bidhaa husika na hushambulia hivyo mpaka bidhaa zinakwisha soko zima.. Zaid sana mzigo ukiwa hot cake wapi wafanyabiashara wengine huenda na kuzinunua zote na kuongeza faida na kuuz kwa kujidai bila presha
ukiona umekaa na mzigo kwa muda mref ivo bas we biashara ipo kushoto kwako a year? mhh sasa maan ya average sales kwako ina maana gan? na ma simu yenyew yanashuka bei kadri siku zinav zd kwenda
Kama haijapita 6month baada ya tolea jipya una asilimia kadhaa za kupata mpya ila after hapo kuipata ni nadra hata ukienda apple store wenyew watakuambia out of stock and if wana stock ya refurb watakwambia its official apple refurb na package zake huwa tofauti na za mpyaa
Bado kaka unaendelea kutudanganya tuu coz umebase kwenye IPHONE na SAMSUNG tuu. Kaka kumbuka kuna kina Tecno, Infinix ambapo kuna majamaa wanauza mpka leo hii anayo Tecno Pop3 na pop5 mpya anauza ipo dukan kwake haizijatokaga ss izo ni refurb au mpya na haaijawah kuuzwa kwa yoyote
Wafanyabiashara huwa wanasaidiana na si kila mtu huwa anabaki na stock, kwahiyo mteja akiulizia bidhaa / Simu duka ambalo tayar limemaliza stock huwa muuza duka husika huenda kwa jiran na kuchukua kuja kumuuzia mteja anaweza ongeza hapo elf 10,000 tuu kama faida na ndo ile kauli ya ngoja tukachukue store huwa inasemwa lakin wengi hawana hizo store bali wanaenda kuchukua duka ambalo bado lina bidhaa husika na hushambulia hivyo mpaka bidhaa zinakwisha soko zima.. Zaid sana mzigo ukiwa hot cake wapi wafanyabiashara wengine huenda na kuzinunua zote na kuongeza faida na kuuz kwa kujidai bila presha
@snashtz Mambo vipi brother? Ebhana me nimekuelewa kinoma noma sema naomba utupe elimu kidgo kuhusu simu zilizokuwa na pin dot. Ni jambo lenye utata kdgo
katika vodeo yako yote umeshindwa kumcrush jamaa kwa facts unazunguka mle mle aliko pita yeye fanyen deep reviews ya kitu kabla hamjakaa mbele ya kamera
Snash samahan Kuna watu uwaga wananunua cm used ichi za wenzetu na kuja kuziuza uku na uwa Wana SEMA n used wakimaamisha imetumika na mzungu vp awo used Dubai phone
Haipo refurb hiyoo, sio mpyaaa ,mpya inaitwa non active na inakua na apple warranty ndani inayosoma tokea treh ulonunua simu,nenda kawauliz hii simu ni non active,na warranty itasom kuanzia leo mpk trh km y leo mwakan afu uone jibu lao😂😂
Unyama sana bro usimaindi nasiwengine ndotumejuwa zaidi kupitia wao
Refurbished means that the product was used, deemed defective, recycled or returned for some reason, then tested and repaired by the manufacturer or a third party before being sold again. To sum it up, all refurbished products are used, but not all used electronics are refurbished.
Snash nakubali sana, nilikua naomba pia uweze kutupa review ya zile LED TV za kufunga ukutani tunazipataje
Khaaaa sasa unataka usibishiwe kwa fo you think uko perfect sana
Wewe jamaa ni muongo
Mwanzo kabisa
Naomba video review ya gari aina ya Audi Q5 model 2010,2011 na hizi latest za 2019 mpaka 2022.
iOS 18 now is out. Waiting your amazing review our lovely brother. SNASH♥
Umeeleza vizur sana bro🔥🙌
fact, ni kweli binafsi nimeshakutana na hiyo ishu ya refublish ilikuwa s22, nimerejesha, na nimeamua kuchkua latest s23
One Love❤
MZEE WA FACTS
We umetupiga tu apo Unajibishia mwenyewe
Ila watu ni wabishiii daaaa
Mimi nakupataga sana we kijana...
Kaka naomba review za behind the scenes za movie mbalimbali maan niliona Ile sound track ya game of thrones Ilinivutia sana lkn ckujua kam ilitengenezwa vile pia naomba ufnye review ya eSIM kutoka Airtel @snash
Umetisha bro
Brother refurb na simu mpya unaweza kutofautisha vip...???
Tunatamani tujueee kuhusu issue za satellite 😊 fanya review ya role ya satellite
Kaka umeeleweka naomba review ya Toyota landcruiser Lc 300 gxr ya 2023
Hawawezi kuelewa kaka hatakama mpya lakin so ya mwaka huuu so mpya hiyo 😂
nakubal🎉
I like ur explaination bro
Thanks
Thanks
Unakuta mtu kanunua simu iliyokua discontinued kama iPhone 8 Iko full boxed Halafu Anasema mpya. Hakuna kitu kama hicho.
Sure bro
Mimi nataka simu ndogo android yenye uwezo zaidi ipi
Unyama
Hapo unatupiga na kitu kizito mzee 😂😂😂.
Broo naomb review ya samsung xcover 5 nataman xan kuiona maan mimi ni mutumiaji wa hiyo simu plz ilet kaka🙏🙏🙏
Naomba utuonye review ya samsung note 10 plus
Kuna mduka kama sharaf haya ruhusiwi kuuza refurb na used its mpya tyh na wana cm ad s22utra unataka useme sio
Kwaiyo hata tecno spark 10 pro ya mwaka jana saizi ni refub sio new??
Asanteeeeeee
Ebwana broo mm naomba kujua kuhusu izi sim aina ya Aquos water proof yake inaweza kukaa kwenye maji kwa muda gani
We ni hatar
Kaka me naomba elimu kuhusu internet imeanzia wapi na inafnyaj kazi
Umetisha sana bro ila kuna kitu umenkelewesha kuhusu stika ya warant ya refub japo natumia refub na mimi ila nilitoa stka
umeongea ukwel boss
Snach kaka ongelea kuhusu push up board
Kwanavyomjua mbongo bado atabisha tu apo , il kwakupita wew nimejua wauzaj simu wanapiga ela kinomanoma wanatuuzia refurb kwa bei ya simu mpya
Na Kuna anae faham kuhusu hizi Samsung zenye dot
Wameisha elewa broo maan sisi wabongo tunaamin uongo kuliko ukweli😂😂
😂😂
Namba ufanyie review ya sm za vivo
Mbona namba zao sizioni
Kaka oppo nazo vp
What i know simu ikiwa status yake ni discontiuned means hapo production ndio hsifanyiki tena, acha kutupanga 😂😂😂😂😂
Kuna w2 awaelewi tu ata uwachape awaelewi tu broo hapo umetsha sna
Bro naona umesahau mziki wa Colona byashala inachangamoto zake unapanga changamoto inapangua
Shazam
Watu wa DC una tutega Sanaa Shazam
Shazam movie DC
Uongo mtupu
Ukwel ni upi au wew nd hujui bora ukae kimya
Ni kwel san
Broo snash umesema haiwezekan kukaa na Stoke mwaka mzima !! Sasa what if kama biashara imekua mbaya na nna simba Dukan bado mpya
Kabisa mzee,
Hujui biashara kaka .. biashara haina ku assume
Kama haijatoka na ni mpya haijawahi kutumia hutasemaje?
Wafanyabiashara huwa wanasaidiana na si kila mtu huwa anabaki na stock, kwahiyo mteja akiulizia bidhaa / Simu duka ambalo tayar limemaliza stock huwa muuza duka husika huenda kwa jiran na kuchukua kuja kumuuzia mteja anaweza ongeza hapo elf 10,000 tuu kama faida na ndo ile kauli ya ngoja tukachukue store huwa inasemwa lakin wengi hawana hizo store bali wanaenda kuchukua duka ambalo bado lina bidhaa husika na hushambulia hivyo mpaka bidhaa zinakwisha soko zima..
Zaid sana mzigo ukiwa hot cake wapi wafanyabiashara wengine huenda na kuzinunua zote na kuongeza faida na kuuz kwa kujidai bila presha
ukiona umekaa na mzigo kwa muda mref ivo bas we biashara ipo kushoto kwako a year? mhh sasa maan ya average sales kwako ina maana gan? na ma simu yenyew yanashuka bei kadri siku zinav zd kwenda
Kaka oppo nazo vp 1:20 😊
ulikuwa the tech 360 ukatuambia jamaa wana genuine phone kuanzia iphone 12 na kuendelea mwakajana hii imekaaje nayo...??
Kaka fany review ya redmi 11 pro naomba
Powa powa
Snash pamoja imeeleweka
Tupe Review ya hacker na scammer
Tuchambulie tofauti zao
Kwahiyo Bro snash hata nikinunua simu Apple store simu iliyotoka mwaka Jana bado ni refurbished?
Kama haijapita 6month baada ya tolea jipya una asilimia kadhaa za kupata mpya ila after hapo kuipata ni nadra hata ukienda apple store wenyew watakuambia out of stock and if wana stock ya refurb watakwambia its official apple refurb na package zake huwa tofauti na za mpyaa
Na hizi simu unakuta mtu ametumia halafu anakuambia anaenda kutop up hii inamaana gani
Ila snash kuna watu wakutengeneza copy 😄
Kumbe usomagi comments ndo Mana hujui washabiki wako wa damu
Bado kaka unaendelea kutudanganya tuu coz umebase kwenye IPHONE na SAMSUNG tuu. Kaka kumbuka kuna kina Tecno, Infinix ambapo kuna majamaa wanauza mpka leo hii anayo Tecno Pop3 na pop5 mpya anauza ipo dukan kwake haizijatokaga ss izo ni refurb au mpya na haaijawah kuuzwa kwa yoyote
mwanang wwe umenena aisee big up
Mbna hao unaowaongelea ndo kabisa kil mwak wanatoa mpya na za zaman zinapotea njoo kariakoo ukiipat techno pop3 mpya nakup pop8 bure😂
@@athumanijoseph3042😂😂😂e waongo nyie
Na zile unakuta zipo sealed box na cmu ni ya mwaka jna
Nyingi ni refurb au Active ila sio non active
Mbona wanajiita used Dubai phone afu Wanauza rifabu hii imekaaje
Sipmple!
Refurbished yyt ilianza kuwa used kwanza..
bro stock huwa zinabaki tu inawezekana labda n chache sana
Wafanyabiashara huwa wanasaidiana na si kila mtu huwa anabaki na stock, kwahiyo mteja akiulizia bidhaa / Simu duka ambalo tayar limemaliza stock huwa muuza duka husika huenda kwa jiran na kuchukua kuja kumuuzia mteja anaweza ongeza hapo elf 10,000 tuu kama faida na ndo ile kauli ya ngoja tukachukue store huwa inasemwa lakin wengi hawana hizo store bali wanaenda kuchukua duka ambalo bado lina bidhaa husika na hushambulia hivyo mpaka bidhaa zinakwisha soko zima..
Zaid sana mzigo ukiwa hot cake wapi wafanyabiashara wengine huenda na kuzinunua zote na kuongeza faida na kuuz kwa kujidai bila presha
@snashtz Mambo vipi brother?
Ebhana me nimekuelewa kinoma noma sema naomba utupe elimu kidgo kuhusu simu zilizokuwa na pin dot.
Ni jambo lenye utata kdgo
katika vodeo yako yote umeshindwa kumcrush jamaa kwa facts
unazunguka mle mle aliko pita yeye
fanyen deep reviews ya kitu kabla hamjakaa mbele ya kamera
Snash samahan Kuna watu uwaga wananunua cm used ichi za wenzetu na kuja kuziuza uku na uwa Wana SEMA n used wakimaamisha imetumika na mzungu vp awo used Dubai phone
Zinakua hazijabadilishwa chochote ila nyingi za dubai zinakua zimerekebishwa ndo izo ni refurb ila wanaita used dubai kuepusha complication
Unachobisha ni nn sasa hapo kuna maduka stock haiishi sababu ya bei zao njoo arusha kwa benson utapata iphone x mas mpya kabsa
😂
😂😂😂
Kuna kitu huyu jamaa naye haelewi,anadanganya umma.
Haipo refurb hiyoo, sio mpyaaa ,mpya inaitwa non active na inakua na apple warranty ndani inayosoma tokea treh ulonunua simu,nenda kawauliz hii simu ni non active,na warranty itasom kuanzia leo mpk trh km y leo mwakan afu uone jibu lao😂😂