HISTORIA YA MKE WA BERNARD MUKASA, MATILDA SENDWA, NILIANZA KUIMBA UTOTONI- MAISHA NA MUZIKI S01EP03

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 09. 2020
  • Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa

Komentáře • 76

  • @evancemwankenja5451
    @evancemwankenja5451 Před 2 lety +1

    Hivi Matilda uchechi bado unao tu.Hongera sana kwa kazi nzuri hakika penye nia pana njia. Maana wakati tupo chuoni muda wote ulikuwa ni mcheshi na mwenye kupenda kuimbakuimba.

  • @felixotieno2433
    @felixotieno2433 Před 2 lety +2

    Hongera sana Dada Matilda. Nimefurahi sana kusikiliza hiyo interview. Ahsanteni sana kwa kazi ya Mwenyezi Mungu mnayoifanya. Mimi ni Mkenya lakini nyimbo zenu zanifurahisha sana

  • @BernardMukasa
    @BernardMukasa Před 3 lety +27

    Hongera sana. Interview nzuri sana

    • @shedy_marie
      @shedy_marie Před 3 lety

      Hahahh naww mwalm tunasubir yako nawapata vzr san nikiwa nchin Oman nabarikiwa san na nyimbo zenu mungu awabarik sana

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  Před 3 lety

      Amina sana

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  Před 3 lety

      Ya kwake tumeshafanya

    • @stephanominja8927
      @stephanominja8927 Před 3 lety

      Nakukubali Kaka,

    • @leocardkipengele5029
      @leocardkipengele5029 Před 3 lety +2

      Bwana Bernard Mukasa, hongera sana. Mama amesema ratiba huwa inambana wakati mwingine anashindwa kuimba misa yake. Tafadhali, naomba umkumbushe na mkumbushane kwamba kadiri unavyozidi kumtumikia Mungu na akakupa kazi nzuri basi shetani hutumia nafasi hiyo kukuweka busy ili uone huna nafasi ya kuendelea kuimba au kuhudhuria vipindi vya kwaya au vile vilivyokuweka karibu naye. Please hakikisheni ratiba ya kuimba, mazoezi pia misa haiachwi kamwe.
      Hongereni sana.

  • @yesunimwema4497
    @yesunimwema4497 Před 3 lety +6

    Hongela sana mama mkasa mungu aendelee kuyirinda familia yako,mnanifulahisha sana,mimi ni burundi 🇧🇮 ila nilikaaga myaka 11 kambini huko tanzania,kwaya yetu turikuwa tunaimba nyimbo zakiswahili,kwahi nazipenda sana, nawapenda🥰🥰

  • @stephanianyali2405
    @stephanianyali2405 Před rokem +1

    Nakupenda sana unaimba kwaisia nakwafulaha

  • @benkbenk9461
    @benkbenk9461 Před 3 lety +7

    Hongera teacher Matilda !👏🏼👏🏼👏🏼
    Your entire family is role model to many Christians ! Feel appreciated .
    Naumjuze mwalimu Bw. Mukasa utunzi wake hauna kifani Kwa nchi zote za East Africa !👏🏼👏🏼👏🏼
    Much love from Kenya
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️

  • @neemamwampashi2404
    @neemamwampashi2404 Před 3 lety +4

    My very own role model...such a confident mama ubarikiwe wewe na uzao wako na uzao wa wanao....

  • @anastazia7502
    @anastazia7502 Před rokem

    Hongera kwa utume ulionao mungu akuongoze nyimbo nzuri kwakweri

  • @euniceoduori5028
    @euniceoduori5028 Před 3 lety +3

    She's a happy woman not only in their music videos but also in her interview

  • @delphinealex8177
    @delphinealex8177 Před 3 lety +3

    Hongera sana Mwl. Matilda Mukasa.

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 Před 3 lety +4

    Watu wengi sana wanatamani kumuishi Mungu kama ninyi mlivyo. Mungu awabariki sana.

  • @leocadiavedastus
    @leocadiavedastus Před 3 lety +3

    Hongera sana madam Mukasa,nimependa sana historia yako wewe ni mfano Bora kwa walimu,unatumia muda vizuri kwa Mungu na binadamu ubarikiwe sana

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 Před 3 lety +5

    Jamani , hyu dada anabariki kwakweli , she is very charming. Mungu aendelee kukutumia katka Roho na kweli , aibariki familia yako na awape uliinzi teledada matlida

  • @patriccharles1562
    @patriccharles1562 Před 3 lety +3

    Mungu aendelee kukutumia kwa ajili utukufu wake ,,. Hongera sana Mama Mkasa

  • @antoniambogolo3628
    @antoniambogolo3628 Před 3 lety +3

    Amina Sana mama nimekupenda Sana kwakweri

  • @janemwangi6065
    @janemwangi6065 Před 2 lety

    Matilda mungu aedelee na kukumbaliki pamoja na Familia yako edeleeni na kumtukuza mungu. From Qatar

  • @benendettewambua2820
    @benendettewambua2820 Před rokem

    Great. Talanta tajika

  • @stephaniemutua9172
    @stephaniemutua9172 Před 3 lety +1

    Hongera Sana mama na ubarikiwe

  • @nelsonkasiti7908
    @nelsonkasiti7908 Před 3 lety +2

    Huyu madamu akanifundisha english kantalamba mwaka 2007/2008

  • @aidanitelesphory1362
    @aidanitelesphory1362 Před 3 lety +2

    Hongereni Jugo, mtuletee ya Mr.Mukasa

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před 3 lety +3

    Mama huyu ni mchangamfu Sana

  • @josephlwagi9370
    @josephlwagi9370 Před 3 lety +3

    Huyu mama umeshindwa kumuoji vzr....tulitaka kujua maisha yake yeye na mukasa walianzia wap Kwan weng wanapenda kuwajua

  • @janefrolakalinga5664
    @janefrolakalinga5664 Před 3 lety

    Nakupenda sn Mrs Mukasa Mungu awape maisha marefu ww na familiya yako kwa ujumla umenifurahisha sn

  • @magrethmichael1924
    @magrethmichael1924 Před 3 lety

    Hongera sana mama Mungu akubariki.

  • @eliudihamsoni2277
    @eliudihamsoni2277 Před 3 lety

    Nimefurahi sana huyu Mama yangu ni mcheshi aisee kumbe anavyoimbaga vile ni reflection ya ucheshi wake!! Mungu azidi kuwa nawe

  • @marymnyanyi9221
    @marymnyanyi9221 Před 3 lety +2

    Nimependa mama kachangamka sana kipindi kimenoga asante

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 Před 3 lety

    Ongera sana mama bernard mukasa Mungu akubariki siku zote zamaisha yako pia akujalie nguvu za roho mtakatifu ili upate kumtumikia siku zote zamaisha yako amina

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Před 3 lety +1

    Hongera Sana mama wawata

  • @emmanuelsisiwaya7629
    @emmanuelsisiwaya7629 Před 3 lety +1

    Hongera vzr sana

  • @jessiewanjohi3300
    @jessiewanjohi3300 Před 3 lety +2

    Cograts madam mukasa..

  • @mghendipato
    @mghendipato Před 3 lety +3

    Mwalimu mtafungwa is such a blessing he made a great impact to the musical landscape back at Taita Taveta county (Kenya) may God bless him

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 Před 3 lety

    Vipaji vinajengwa ktk familia .hongera mama

  • @victoriasiay4218
    @victoriasiay4218 Před 3 lety

    Hongera sana ktkt Utume was Uinjilishaj Mungu akutunze

  • @toma634
    @toma634 Před 3 lety +1

    dada angu nakupenda sana unaimba vizur Mungu akubariki sana na mume wako na watoto wenu

  • @gracemaina9240
    @gracemaina9240 Před 3 lety

    Such an amazing lady

  • @emmanueldkulwa1824
    @emmanueldkulwa1824 Před 3 lety

    Hongera sana Mwl Matrida S. Mukasa

  • @moshaladisilaus5849
    @moshaladisilaus5849 Před 3 lety

    Napenda sana nyimbo zako.

  • @gustaviamgode1625
    @gustaviamgode1625 Před 3 lety

    Interview iko bombaaa daaaaaa

  • @linerkhera5798
    @linerkhera5798 Před 3 lety +2

    I love her

  • @tatumassay4965
    @tatumassay4965 Před 2 lety

    Nice madame

  • @amonimwaitulo2731
    @amonimwaitulo2731 Před 3 lety

    God bless you

  • @matildaleonard8860
    @matildaleonard8860 Před 3 lety

    Mungu azid kukubark

  • @SirJames065
    @SirJames065 Před 3 lety +2

    Bi. Mukasa ni mchangamvu kweli..

  • @josephineemmanuel6061
    @josephineemmanuel6061 Před 3 lety

    hongera sna mama

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 Před 3 lety

    Upo vzr da Matty tabasamu lako tu mi hoi

  • @franklaurent216
    @franklaurent216 Před 3 lety

    hongereni

  • @kevinmadinda3576
    @kevinmadinda3576 Před 3 lety +3

    Mimina Neema,mlete Bernard sasa

  • @felisterligwa
    @felisterligwa Před 3 lety +2

    👏👏👏

  • @festomtwale7642
    @festomtwale7642 Před 3 lety

    Mimina Neema zako

  • @marykelvin9783
    @marykelvin9783 Před 3 lety +2

    That's my wii

  • @franciscahmunyanya6942
    @franciscahmunyanya6942 Před 3 lety +1

    Mm napendezwa sana na uimbaji wako pale kwa choir

  • @veronikaraphael3272
    @veronikaraphael3272 Před 3 lety

    Mnafano bora kwa wanawake

  • @rosenyabokee2209
    @rosenyabokee2209 Před 3 lety +1

    Hongera Sana. Napenda nyimbo zenu Sana.Barikiwa Sana na familia yako.

  • @evancemwankenja5451
    @evancemwankenja5451 Před 2 lety

    Nimefurahia sana haya mahojiano kweli yamekuwa mazuri sana

  • @reyysanka8025
    @reyysanka8025 Před 3 lety

    Napenda kwaya mt kizito sana