JOEL LWAGA - UMENIKUBALI (Official Lyric Video)
Vložit
- čas přidán 8. 02. 2023
- The official lyric video for Joel Lwaga - Umenikubali
Taken from the upcoming studio album 'Good To Go'
Subscribe to the Joel Lwaga channel for all the best and latest official music videos, behind the scenes and live performances.
See more official videos from Joel Lwaga here:
/ joellwaga
Follow Joel Lwaga on:
Facebook: / joellwaga
Twitter: / joellwaga
Instagram: / joellwaga
Official Website: joellwaga.com
________________________________________
(Lyrics)
Kama Mungu ungetazama
Kama watu tunavyotazama
Nisingetosha kwenye mizani
Nisingekidhi masharti
Hukuangalia historia ya familia niliyotokea
Hazikukutisha zangu tabia ulilitazama lililo Jema
Umenipenda nisiyestahili
Umeniita mwanao
Niliyejidhania kuwa sifai
Umenipenda Upeo
Umebadilisha na yangu asili
Umenifanya mboni ya jicho lako
Ungehitaji walio kamili
Mimi si mmoja wao
Ulichojali wangu utayari wa kufanya utakalo
Umenikabidhi na zako siri Na kunifanya rafiki wa moyo wako
Bwana Umenikubali Jini Nilivyo
Umenikubali Jinis Nilivyo
Umeona Jema ndani yangu na Wala hukutazama Unyonge wangu
Kuna muda najiuliza Wewe ni Mungu wa namna gani
Uliyenipenda na kunikubali mtu wa namna hii
Ziko nyakati hata mimi napata shida kujikubali Iweje wewe unipende mtu wa namna hii
Umenipenda Nisiyestahili
Umeniita mwanao
Niliyejidhania kuwa sifai
Umenipenda Upeo
Umebadilisha na yangu asili
Umenifanya mboni ya jicho lako
Ungehitaji walio kamili
Mimi si mmoja wao
Ulichojali wangu utayari wa kufanya utakalo
Umenikabidhi na zako siri Na kunifanya rafiki wa moyo wako
Bwana Umenikubali Jini Nilivyo
Umenikubali Jinis Nilivyo
Umeona Jema ndani yangu na Wala hukutazama Unyonge wangu
Ahsanteee Ahsanteee Ahsantee Ahsantee maana
Umeona Jema ndani yangu hukutazama Unyonge wangu - Hudba
Tumechaguliwa na MUNGU hatukuchaguliwa na wanadamu namna MUNGU anavyotutazama ni tofauti kabisa wanadamu wanavyotutazama. MUNGU akubariki sanaa ndugu yangu 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Amiina Mtumishi 🤲
Natamani nitumike Kwa BWANA kwa njia ya uimbaji . Mubarkiwe na MUNGU watumishi 🙌🙏
+MUNGU+ ni MWEMA MILELE Yote ISAYA 54:10🙏🙏🙏🙌
Yah
Nataman na naamin iposku nitaimba na nyio wote wawili yan joel na clement naaimin katika bwana
Safii @paulclement25 & Joel huduma yenu nzuriii. God bless you all 🙏😇
Finya like hii comment kama huu wimbo NI Mtamu❤❤❤❤❤
Umenikubali jinsi nilivyo Yesu hutukubali tulivyo baadaye anatufanya apendavyo Mungu akubariki sana. JOEL
Asnte Mungu umenikubali jinsi nilivyo.. hongera kaka umenipa matumani juu ya nyimbo
MUNGU anatupenda upendo wa kweli,Amen
Asante bwana umenikubali
Huwa sina tabia ya kulinganisha nyimbo nikiwa naamini ni NENO LA WAKATI KUTOKA KWA MUNGU.... Bro Joel kuna nguvu nilipata kwenye Sitabaki kama nilivyo, nguvu ile ile imeninyanya tena katika kumtizama Mungu kwa shukran zaidi katika huu wimbo Umenikubali.
Asante Kristo kwa kunikubali jinsi nilivyo, vile watusamehe tu ni inshara haukuangalia unyonge wetu na kuna kitu chema ndani yetu.
❤❤❤❤❤naomba kukua kwa video ya huu wimbo tafadhali
Duuh, aielezeki ila atukuzwe Yesu kupitia wew
WOW UMENIKUBALI YESU JINSI NILIVYO
Hakika Bwana umenikubali jinsi nilivyo ☺️🙌
😭umenikubali jinsi nilivyo 🙌
Powerful!
Umenikubali jinsi nilivyo
Hakika Mungu unikubali jinsi nilivyo😭😭😭🙏🙏🙏
mwimbo umetulia sana kaka lwaga mungu akuinuwe katika viwango vya juu sana
Huu unagusa maisha yangu
Nashukuru Mungu kwa kunikubari jinsi nilivyo sina cha kukupa baba
Dhah kama sauti ya #lariogerard kabisa
Kama Mungu angetazama kama watu wanavyotaza nisingekizi masharti ❤❤❤
Hakika nimebarikiwa Sana na huu wimbo
Kweli mungu ametupenda
Ungehitaji walio kamili Mimi SI mmoja wao,iweje wewe unipede?this song has touched the depth of my soul.
Asante Mungu umeona jema ndani yangu na Wala hukutazama unyongee wangu na zangu tabia nilikotokea familia gani umenipenda na ukanikubali jinsi nilivyo nifanye niwe rafiki wako 🙏🙏
Mungu Hana ubanguzi
Congo umetubaliki sana
This song inanifanya nijikubali .
Ubarikiwe San
MUNGU akubariki mnoooo.kaka joel
Hazikutisha zangu tabiaa aminaa
Saf mtumishi wa Mungu mweny kolabo zake za nje ya nch
Asante Bwana kwa kunikubali jinsi nilivyo 🙏
🥰🥰😇💞💕🩶asante yesu kwa yote haya.
Hakika ahsante Mungu
Kaka tulikutana tegeta kibo ukanipa kapicha nakukubali mnoooo
Na kanambq kako ukqnipa nkasevu
Ziko nyakati hata mimi (There are times that even I)
Napata shida kujikubali (Have trouble believing in myself)
Iweje wewe unipende (How then can you love me)
Mtu wa namna hii? (A person like this?)
Umenipenda nisiyestahili (You have loved me, the undeserved)
Umeniita mwanao (You have called me Your child)
Niliyejidhania kuwa sifai (The one who thought was not good enough)
Umenipenda Upeo (You have given me a future)
Umebadilisha na yangu asili (You have changed my origins)
Umenifanya mboni ya jicho lako (You have made me the apple of your eye)
Powerful.
Amen
amen 🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu ajitwalie utukufu
Kaz nzuri sn...hasa kwa sie tuliokata tamaa.ubarikiwe sn kaka joel🤚💗
Barikiwa mtumishi nice song
simple and clear message kwa wote wajajikubali
Asante..! Yesu kwakunikubali jinsi nilivyo 🙏🙏
Mungu akuongezeye tena
Hii kubwa sanaaaaaaaa
Nimeuskiza huu wimbo mara ishirini kwa siku moja tayari, what an anointed song! God bless you Joel Lwaga, uzidi kumskiliza Roho Mtakatifu 🙏🏼
Aamen tumekubaliwa
huu wimbo wenyewe sana
Hallelujah 🙌
Nimekubaliwa ❤
Nyimbo nzuri. Nabarikiwa
Unanibarikii 🇧🇮🇧🇮
Barikiwa Mtumishi
Umenikubali yesu
Barikiwa Na Mungu upo sahihi brother
Amen kk barikiwa
Joel sings like its the last thing he wants to do worship in truest form... God bless his ministry
Yes Amen
Hngera brooooo
Nyimbo nzuri sana
Nice song bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Greatest gospel artist of all times,,such a blessing masterpiece,, watching from kenya
youtube.com/@mukenachadrack3 Yes
Yes he is
Asante Mungu imekuwa faraja kwangu🙏
Mungu akubarki
Nimekubalika❤
Asante 🙏 mon maître
Ubarikiwe mno, nyimbo zako Huwa Zina nibariki sana na kunitia moyo haswa wimbo "Yote Mema" huu pia ni ujumbe endelevu kwangu kwamba vyovyote nilivyo pamoja na kasoro zangu Mungu amenikubali. Hakika atazamavyo Mungu si kama binadamu tutazamavyo! Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo azidi kukutumia Kwa kadri apendavyo.
AMEN
Thanks alot Joel Lwanga for the song imenipa sababu ya kushukuru Mungu kuwa mwema kwangu hata wakati mgumu kwako huwa najipata nimekuwa mshindi bila kujuwa how I managed to overcome my battle's
Hakika THIS GOD....
🥰🥰❤❤napenda sana nyimbo zako zinanitia moyo najawa na nguvu kupitia nyimbo zako hakika nabarikiwa na nyimbo zako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Today is my first time listening to this song after my young baby sisy posted it to her status...but nishausikiliza zaidi ya Mara 70 na siuchoki... It's a blessing song... Mungu akubariki Joel kwa kutupa nyimbo bora zenye ujumbe mzuri sana wa Mungu
Joel keep living 4 GOD
whaou God bless you abundantly
Aaaaahhhhh😍😍😍😍😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
We are a choosen generation...
Video tunaombaaa!!!!
My friend sent me this song but let me say this as a person going through so much pain right now all i can is please GOD let me except my situation and please choose me also cz i can't die like this am so hurt so broke i can't alone only you can save me 🤲🏾
God loves you more than you can think,where ur hopes end that is where He start,trust and believe He will do it,have faith,praying for you🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nilikuwa nasubiri kwa hamu now is out congratulations
Incase i ever forget myself, i always come back here to remind myself I AM ENOUGH
Asante Bwana🙏
I love this song 🙏🙏🙏. God bless you brother ❤
Asante Mungu 😔🙏
100% meant for me🙏🙌...#UMENIKUBALI 🔥
My best gospel singer is always You Brother....thank you my favourite song...umenikubali jins tulivyooo ..thank you Lord ni kwa wema wako umenikubali
Tunazifunza kwako
😭😭😭😭😭 I HAVE LONGED TO MINISTER WITH THIS MAN OF GOD EVER SINCE I WAS IN HIGH SCHOOL AND I STILL DO ....OOOHH THIS MAN BLESSES MY HEART
I’m in aaweee🙏🏻🙏🏻🙏🏻
The song I've been longing to hear...thank you God...umenikubali jinsi nilivyo🙌🙌🙌
i love this song ; may God bless you Joel
Jesus is God
That is why men will always remain to be men and God will remain to be God. Jesus I love You. Thank you mtumishi wa Mungu.
Thank you God! For being there for me, never leaving me and always loving me.
Thank u Lwaga Be blessed 🤍
Nice song...The mercies of God are forever... kwa instruments, hapo kumalizia kuna mkono wa Mackob tz...🔥
One year I'm still in love with this song❤️
Good job Joel..
Kila nikiusikiliza huu wimbo machozi ya furaha yananitoka nikikumbuka nilikotoka aiseee mwache Mungu aitwe Mungu
Oiiii That’s iz amazing Bro nimependa sana maneno ya hili songi u kill it🎶💯🚀lemi say Thank & God Blec u🙏🏽🪐💪🏽
Huu wimbo unasema nami
AMEN KUBWA Kwa JEHOVA ' Mara tusikilizapo Kazi zko Ndg Joel 'wengne tunamtukuza MOLA kwa ajili yko na twaona fahari kwa MWENYE ENZI...
Nice
Mungu ni mwema Sana kwetu Hongera Sana My Brother Haujawahi kukosea
That moment when you are struggling to feel enough then you find this song in the most mysterious way. Truly God you know my innermost being. Psalms 139:1-16❤
This is a nice song
Wow Joel umenigusa nategea life ya huu wimbo
Amen and amen, asante Mungu
Be blessed Minister lwaga
Woow, 😍May Almighty God bless you Mtumishi 🙏
Be blessed my brother