Maashaa Allaah Shekh kwenye hii dkk ya 6 umeongea kitu muhimu sana kwa watu ili wakijuwe, kwani huu ndio ukweli unao waweka wazi hawa wazushi na kuthibitisha kua lengo lao kwenye hii Dini ni uchafuzi nasio kufwata kile kilicho thibiti
Said alijibiw ila yy alitak ajibiw anavotak yy mana kambiw jibulake halipo kweny vitab ila km angeuliza vzur angejibiw kwa akil ya mt ndio mana aliambiw mfano kazaliw leo ng'ombe anavichwa 7 alaf ww umulize shekhe nn hukmu ya huyu mnyama mwenye vichwa7 kupitia vitabu apo shekh atajib halipo kweny vitab. Ss yy alitak aseme cjui ss ndio nn km lipo ww c litaj ndio mana kagandia pale
Mashallah mashekh zetu Bidaaa hii itaondoka tu kama ilivyoondoka 40 katk umisiba. Leo hakuna 40 na khitma ! hii n kaz za Ahlu sunnah kaz zenu zina manufaaa
Je saa za mazishi huletwa ustada atoe darsa nusu watu chini wengine mbali kilio watu walizana hakuna asikiaye jee waqti wa mitume na maswahaba ilikuweko? Lakini kukisomwa Qur'ani kuka khitimishwa na kisha ma tawasul na kumswalia Mtume watu wote watikia kwa umoja mpaka alofiliwa hupunguza kuliya nae atikiya kimyaa watu
Yaumu na Leila na kiyama ni siku tofauti. Yaumu ni mchana wa siku ya arafa kwa mujibu wa muandamo wa mwezi. Leila ni usiku usiojulikana 21,23,25,27 Kiyama ni kisimamo na kadri yake anaijua Allah.
kashindwa Muhammad Bachu si angejibu halafu aone elimu ambayo ingetolewa halafu hao mnaowahukumu hamuwakuti hata robo na ni Mashekh ambao washatangulia mbele za haki mkiwasema watajirekebisha lini
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Hayo aibu ni yapi ama urongo ni upi???
Naam wamezungumza wanyama na anayefahamu jinsi walivyozungumza ni aloandika abyati tunamuamini kwa miaka yote iliyopita na inayokuja sio wewe unayetafsiri na ufahamu wako.
Sio kwa hasira wala kukejeliana alhabib, naomba hadith swaheeh shekhe langu. Nahofia nisiwe miongoni mwa watu watakomkadhibisha Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam ((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) متفق عليه ((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim] Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo
Shekhe....wasema hiyo Nuru imetoka mahali ya aibu, yaani Mtume alikuwa kwenye sehemu aibu, ama kweli fahamu zikiwa saqimu fikra huwa ndogo. Ama kweli Nuru ilienea kwa mazazi yake Bwana mtukufu mpaka Shaam lakini masikitiko Nuru hiyo haikuwafika mawahabi. Maskini wasikitisha
Jamani mtume hakumsomea mke wake mama khadija quran alipokufa ! Wewe ni hatari sana hufai kuitwa shekhe , wewe shekhena naile dua inao waombea waliokufa ambao dua yenyewe ni quran inasema , Rambanaa ighfirlanaa wal ikhwaaninaa sabakunaa lil iman , hio ni dua nani quran
Hata wasiokua waislamu wanamsifu kipenzi chetu mtume MUHAMMAD (SAW)vizuri zaidi ya baadhi ya waislamu, watu kama ; J. H. DENISON SIR THOMAS CARLYLE MICHAEL H HART PRINGLE KENNEDY LAMARTINE Prof. K. S. RAMAKRISHNA RAO SIR WILLIAM MUIR
Jua pia ni moja tu tena lina muanga na twafuata jua kuswali kwanini tusiswali ulimwengu mzima soteniii kibla ni hichohicho 😂😂😂 mwapotezwa na mitandao wazuka wakubwa zamani watu walikua na utulivu hakuna fitna za mitandao kasomeni jamaniiii hatari sanaa mtu hana ilmu ajifanya ana ilmu huyu ni fitna ulimwengu mzima
Ushirikina ndani za kwasidah za almighrania suudaniyah كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني يا مزيل الغمِّ والكربى كلُّ هم أنت تفرجهُ إن وفا للعجم والعربي وإذا ما الخطبُ أمَّ لنا زحتهُ أيضاً كذا النكبى فاغث يا خير غوثٍ بدا واجل كربا عمَّ من حقبى وارحنا من عنا سيّدي من عنا الدنيا والأخرى يا بني واجعل الأوقات جمعاً صفا صحبةَ الأهل وصحباً حبى وباخرنا انل راحةً بزحامٍ لاعنا نصبى وانحنا من هولها سندى وإلى الجنّات سُق طلبى ومقاما بالجوار نل لك يا طه وذا مطلبى وصلاةُ اللَه تغشاك مع الك الصحب ومدا ما صبى هام فيكم وانشدَ المرغنى كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني شرح ومعاني كلمات قصيدة كر صلى الله عليك يا بني قصيدة كر صلى الله عليك يا بني لـ محمد عثمان الميرغني وعدد أبياتها أحد عشر. عن محمد عثمان الميرغني
س: تخصيص الأموات؟ ج: إذا خصَّهم لا بأس، كان النبيُّ ﷺ كثيرًا ما يُضَحِّي بذبح الشاة عن خديجة، يتصدق بها عن خديجة، ويقسمها بين صواحبات خديجة بعد وفاتها رضي الله عنها. Hizo kwenye fatwa za Binbaz
Amin amin amin Nimeitikia amin Kwasababu ulipo sena mungu awaongoze mawahabi Mungu najuwa ulikusudia Allah, Na mimi nawaombeya dua watu wa bidah Na Nyinyi watu wa bidah Allah Awaongoze muache bidah za maulid na zingine Mje kwanye suna
Dini ni ya Mungu umesema kweli na mwenye kujua nani kapatia na nani kakosea ni huyo mwenye DINI yaani Allah SW lakini kila sheikh ukimsikiliza utaona anajivutia upande wake anaoamini na wanao comment pia wameegemea upande wanaoshabikia kumbe sasa Allah ndie HAKIMU kwa aliepatia na aliekosea basi tumwachie Allah ahukumu sio sisi kuwa majaji ni makosa
Nuru ya mwenyezimungu imeenea alipozaliwa bwana na sio kama unavyotafsiri na unavyofahamu kwa uchafu wako na ndio maana upo kwenye kiza kwa ufahamu wako finyu.
Duuu. Kwa kupinga hayo maulid vitu vingi vizur vyapatikana katika maulidi maidha mazur yanatolewa qruani tukufu itasomwa na wanaume wanakaa peke yao na wanawake pekee Wakichangamyika ndo vibaya. Shekh twakupenda kwajili ya ALLAH Waislam wote nawapenda kwajili ya ALLAH bila kubagua dhehebu
Jana nimesikia kisa cha Miraj shekhe flani asema mtume alipofika mbinguni alimuona Allah kama vile mimi na wewe na pia mtume alifika ilipo arsh ya Allah akiwa na viatu na hakuambiwa avue viatu kuonyesha utukufu wake kwa Allah. Watuwa bid
Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi
Kwa kweli sio umuhimu wa kuoneshana ubabee wa kukosowana kwa mambo yasiyo muhimu wakati tunawacha mambo yalo muhimu, kama huyu sasa Bwane Bafana na wengineo kwanini hawatumi muda wao kwa mambo muhimu ya jamii?
Wewe mtoa mada hio kuwa ghera waislam wenzetu wanakufa kutokana na uzembe wenu kuwafarakanisha waislam kwenye kukumbatia ikhtilaaf badala ya kuhamasisha kwenye ufanano ili waislam tuwe wamoja
Nilichogundua masheikh wakianswar au ahlu Sunna waljamaaa.....wanajielewa na wanajuwa wanachofanya Masha.ALLAHOOO....bafana
Sheikh wangu said Bafana nakupenda kwa ajili ya ALLAH
Alhamdulillah. Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia kheri InshaAllah . Umetoa darsa kubwa sana.
Umezungumza maneno matam sana Allah akuhifadhi
Namshkuru ALLAHU.....nimezaliwa Baba angu ni answari. Ahlu Sunna waljamaaa
Maashaa Allaah Shekh kwenye hii dkk ya 6 umeongea kitu muhimu sana kwa watu ili wakijuwe, kwani huu ndio ukweli unao waweka wazi hawa wazushi na kuthibitisha kua lengo lao kwenye hii Dini ni uchafuzi nasio kufwata kile kilicho thibiti
Nenda kasome acha kupelekeshwa 😅😅😅😅😅😅
mashallah shukran sheikh wangu
God bless you ustadh Masha.ALLAHOOO
Mashallah habib mwenye kuskia n mweny mazingatio atazingatia allah ata tuongoza kwa ujumla inshallah
Umenena vzr shekh bafana...mtoto wa bachu yuko sawa
Shukran sheikh said bafafa ALLAH AKUHIFADHI
Sheikh bafana may ALLAH protect you from jinn and bad mankind
Maashaallah shekhe Allah akuhifadh
ManshAllah cheikh wangu mwishi wa Dunia njia tuaona maulid yanavunja rekodi zamani maulid yanakua ni balaa tupu
Ma Shaa Allah
Darsa lenye manufaa
Marshallah nimefatilia mbaka mwisho Alhamdhulillah nitashikana na Sunnah
Kumsalia mtume ni Fardhi au Sunna?
Allah akulipe kutupa elim
بارك الله فيك
Sheikh wallah hawa watu wanajua ukweli lakini wanashindwa kutetea hakika ni vibur tu allahu mustaan allah awaongowe na awaonshe njia ya haki
Tatizo kama ndio mila zao
Swadakta ya sheikh bafana
Alhamdulillah
الله يعطيك العافية والسلام في ٱمور حياتك يا شيخنا الفاضل❤️
Inna lillah wainnaa ilaihi Raajiuun.Hawa...
Tuweni wakweli mashekh zetu...
Kuweni na Inswaaf...
Shekh Bachu aliinuka akaawacha Mjadala we unasema kijana kashindwa kwenda Mbele jamani tusiwe warongo...
Bachu angejibu ili yule Saidi aende mbele...
Said alijibiw ila yy alitak ajibiw anavotak yy mana kambiw jibulake halipo kweny vitab ila km angeuliza vzur angejibiw kwa akil ya mt ndio mana aliambiw mfano kazaliw leo ng'ombe anavichwa 7 alaf ww umulize shekhe nn hukmu ya huyu mnyama mwenye vichwa7 kupitia vitabu apo shekh atajib halipo kweny vitab. Ss yy alitak aseme cjui ss ndio nn km lipo ww c litaj ndio mana kagandia pale
Naaam
Na baada ya ule mjadada WATU wa Maulidi wakawa wanasherehekea kwa istzahi hili kumfanyia vitimbi Bachu
May Allah guide us all
Asante Sheikh wetu
Maulidi sasa hivi yamekua disko dancer,........
Mtihan hakika
shaikh bafana Allah protect you ❤❤
Mashaalah
Thank you good massage may Allah reward
Nyiye ahlu Sunnah
Nakupenda kwa ajili ya Allah
Mashaalah ,sheikh Allah akulinde
JazakaAllah Sheikh said Allah akuhifadhi..... naomba unifanyie dua??
Watu wa maulid musiwashangae wakihalalisha kaumu lut. Hawa na mayahudi hawana tofauti Chinja wao woooote
Shukran sana sheikh tumelewa sana bidah ni mbaya sana
Masha Allah sheikh wangu asante sn
Mashaallah mashaallah shekhe wangu Allah akuhifadhi
JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUBAARIK SHEKH NA UMRI WENYE KHERI
Sema watu bid'aa wakiambiwa ukweli huwa wanaumwa sana......wengine wakishajua ukweli wanaona kukubali haki ni hali ya kushindwa
MASHA ALLAH
NGOJA HAKI IBAINISHWE ALLAH AKUJAZE KHERI SHEKHE WETU
Sheikh hebu kemea ulevi ,riba ,zinaa ,dhulma,uongo ,itakua vizuri
Hamjui mtume huuyuu ufahamu nao nirizki tumswalieni mtumeee sanaa
Mashallah
mashekh zetu
Bidaaa hii itaondoka tu kama ilivyoondoka 40 katk umisiba.
Leo hakuna 40 na khitma ! hii n kaz za Ahlu sunnah kaz zenu zina manufaaa
Khitma ipo na zitaendelea kuwepo tatizo hamJa soma Niwatu wakukaririshwa njoo tanga 33:54
Je saa za mazishi huletwa ustada atoe darsa nusu watu chini wengine mbali kilio watu walizana hakuna asikiaye jee waqti wa mitume na maswahaba ilikuweko?
Lakini kukisomwa Qur'ani kuka khitimishwa na kisha ma tawasul na kumswalia Mtume watu wote watikia kwa umoja mpaka alofiliwa hupunguza kuliya nae atikiya kimyaa watu
مشاالله
Shekh Allah akuifadhi na akujaliie mwisho mwema inshaallah
shekh waongea swahihi kabsa
Mash'allah
Wewe shekhe kusema msikiti mbele yangu simakosa kwa ilmu mantiqia
Nafkiri hujasoma mantiq
Munatushangaza kweli mukoshasoma kiarabu mushakua maustadh
Swahihi
Ustath said amewanyoosha hawa mawahabi imewauma sana
Sheghe mm nipo Tanzania je unapokea vijana
Ewe allah nifanye niwe mwenye kufata haki na kuicha batwr
Mashallah,ukovizuri,mnajitambua
Wewe saidi hujitambui kubwa zima hujielewi
Jadili hoja, wacha uburukenge haumjui mwenyezi Mungu na haki zake juu yako wewe na wala haki zake Mtume (s.a.w) juu yako yeye huzijui Je elewe mwanzo!
Nyie sio ahlu sunnah
Quran na Sunna ♥️♥️
Yaumu na Leila na kiyama ni siku tofauti.
Yaumu ni mchana wa siku ya arafa kwa mujibu wa muandamo wa mwezi.
Leila ni usiku usiojulikana 21,23,25,27
Kiyama ni kisimamo na kadri yake anaijua Allah.
SHEIKH MSELEM ALIWAAMBIYA NYINYI MAWAHABI HAMUTAKI KUSOMA MWATAKA KUTUKANA WATU
Likowap tuc apo au ukwel ndio tuc saiv
@@nassleydady5783ukweli mchungu 😂😂😊
sheikh upo sahihi masahaAllah
kashindwa Muhammad Bachu si angejibu halafu aone elimu ambayo ingetolewa halafu hao mnaowahukumu hamuwakuti hata robo na ni Mashekh ambao washatangulia mbele za haki mkiwasema watajirekebisha lini
Wewe jamaa unajioonaa unaweza kumteteaa bachu. Jamaa wametoaa nafasi uende wewe au uwaalike popootee watajuaa wakina ustdh saidii
Laaaaaailaaaaaaha illallaaahu dini imekosa watu waluiongelea kiudilifu ila lila mtu anataka kujulikana nakundi lake liipate kua juu mungu tusaidie
We fafanuwa km wanavofafanuwa wenzio usiseme kundi tu
Kasema wewe ukiijua haki igaganie mpaka tone la mwisho
inategemeya umeelewa aje
Wallah ikiwa upo kwa lengo la kujfunza utayaelewa haya maneno ila ukiwa ni mshabiki hutayafaham
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
Hayo aibu ni yapi ama urongo ni upi???
Nikweli kabisa mdogo wangu
Naam wamezungumza wanyama na anayefahamu jinsi walivyozungumza ni aloandika abyati tunamuamini kwa miaka yote iliyopita na inayokuja sio wewe unayetafsiri na ufahamu wako.
Sio kwa hasira wala kukejeliana alhabib, naomba hadith swaheeh shekhe langu. Nahofia nisiwe miongoni mwa watu watakomkadhibisha Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam
((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) متفق عليه
((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim]
Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo
Shekhe....wasema hiyo Nuru imetoka mahali ya aibu, yaani Mtume alikuwa kwenye sehemu aibu, ama kweli fahamu zikiwa saqimu fikra huwa ndogo. Ama kweli Nuru ilienea kwa mazazi yake Bwana mtukufu mpaka Shaam lakini masikitiko Nuru hiyo haikuwafika mawahabi. Maskini wasikitisha
وَأَنْتَ لَمَّا وُلِدْتَ أَشْرَقَتِ الأَرْضُ وَضَاءَتْ بِنُورِكَ الأُفُقُ فَنَحْنُ فِي الضِّيَاءِ وَفِي النُّورِ وَسُبُلُ الرَّشَادِ نَخْتَرِقُ ....
Kutokuelewa ni shida maaa maneno hayo ni kwa barzanji peke yake,Allah atuongoze
@Babinho huyo Barzanji mwamjua lakini ama mwamsikia Bafana na Bachu wakimtaja na nyinyi mwamtaja tu?
Jamani mtume hakumsomea mke wake mama khadija quran alipokufa ! Wewe ni hatari sana hufai kuitwa shekhe , wewe shekhena naile dua inao waombea waliokufa ambao dua yenyewe ni quran inasema , Rambanaa ighfirlanaa wal ikhwaaninaa sabakunaa lil iman , hio ni dua nani quran
Swali liko pale pale sema sijui
Jazakallah kher alf marra naomba tupate mtu atutengezee translated copies in kiswahili n English ya kile kitabu cha barzanji😊
Hata wasiokua waislamu wanamsifu kipenzi chetu mtume MUHAMMAD (SAW)vizuri zaidi ya baadhi ya waislamu, watu kama ;
J. H. DENISON
SIR THOMAS CARLYLE
MICHAEL H HART
PRINGLE KENNEDY
LAMARTINE
Prof. K. S. RAMAKRISHNA RAO
SIR WILLIAM MUIR
Jua pia ni moja tu tena lina muanga na twafuata jua kuswali kwanini tusiswali ulimwengu mzima soteniii kibla ni hichohicho 😂😂😂 mwapotezwa na mitandao wazuka wakubwa zamani watu walikua na utulivu hakuna fitna za mitandao kasomeni jamaniiii hatari sanaa mtu hana ilmu ajifanya ana ilmu huyu ni fitna ulimwengu mzima
Hata huyu nae kashatumwa na mayahudu kuja kuharibu dini subhanallah
Ushirikina ndani za kwasidah za almighrania suudaniyah
كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني
يا مزيل الغمِّ والكربى
كلُّ هم أنت تفرجهُ
إن وفا للعجم والعربي
وإذا ما الخطبُ أمَّ لنا
زحتهُ أيضاً كذا النكبى
فاغث يا خير غوثٍ بدا
واجل كربا عمَّ من حقبى
وارحنا من عنا سيّدي
من عنا الدنيا والأخرى يا بني
واجعل الأوقات جمعاً صفا
صحبةَ الأهل وصحباً حبى
وباخرنا انل راحةً
بزحامٍ لاعنا نصبى
وانحنا من هولها سندى
وإلى الجنّات سُق طلبى
ومقاما بالجوار نل
لك يا طه وذا مطلبى
وصلاةُ اللَه تغشاك مع
الك الصحب ومدا ما صبى
هام فيكم وانشدَ المرغنى
كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني
شرح ومعاني كلمات قصيدة كر صلى الله عليك يا بني
قصيدة كر صلى الله عليك يا بني لـ محمد عثمان الميرغني وعدد أبياتها أحد عشر.
عن محمد عثمان الميرغني
س: تخصيص الأموات؟
ج: إذا خصَّهم لا بأس، كان النبيُّ ﷺ كثيرًا ما يُضَحِّي بذبح الشاة عن خديجة، يتصدق بها عن خديجة، ويقسمها بين صواحبات خديجة بعد وفاتها رضي الله عنها.
Hizo kwenye fatwa za Binbaz
Mzee rudi ukasome
Mungu awaongoze mawahabi
Acha kukurpka ongea kwa hoja acha kuwaita watu wasunna mawahabi kwa sbabu wahabu niktika majina ya allaha acha kumkosea mula wako adabu
@@thabitisaidi6334utakuwa mzee wa maulid 😂😂
Amin amin amin
Nimeitikia amin Kwasababu ulipo sena mungu awaongoze mawahabi
Mungu najuwa ulikusudia Allah,
Na mimi nawaombeya dua watu wa bidah
Na Nyinyi watu wa bidah Allah
Awaongoze muache bidah za maulid na zingine
Mje kwanye suna
Nyue ht mssem nin tushakushttukien mnalipw na mayahudi muuchafue uislam
Saidi bafana naona hata kichefu chefu kukuangalia unaongea utumbo tu ndugu yangu
Dini ni ya Mungu umesema kweli na mwenye kujua nani kapatia na nani kakosea ni huyo mwenye DINI yaani Allah SW lakini kila sheikh ukimsikiliza utaona anajivutia upande wake anaoamini na wanao comment pia wameegemea upande wanaoshabikia kumbe sasa Allah ndie HAKIMU kwa aliepatia na aliekosea basi tumwachie Allah ahukumu sio sisi kuwa majaji ni makosa
Watu wana takiwa kuelimishana
Msaidie bas kujibu swali la bachu wacha kutuletea balbala zako
Bado hamja zi jibu hata zile za Tanga mnadai kujibiwa ka kwenu ka moja tu ,
Wazushi wa maulidi wamefurunga dini
Na babu yako alikua mzushi maana alikua anafanya maulid au
@@akidahamad142 hata mm nilikua mtu wa maulidi lakini niliacha
Jee shekhe....hizo aya za adhabu na za minyororo, ukizisoma zinayo thawabu kwa kila herufi....ama hizo aya hazina thawabu, maana kuna mushkil hapo....
Kapige magoti uisome Lugha ya kiarabu upate kuelewa mambo vzr.
Nuru ya mwenyezimungu imeenea alipozaliwa bwana na sio kama unavyotafsiri na unavyofahamu kwa uchafu wako na ndio maana upo kwenye kiza kwa ufahamu wako finyu.
Mashallah masheh wanaosema ukweli kama wwe ndio tunawaitaji
Duuu.
Kwa kupinga hayo maulid vitu vingi vizur vyapatikana katika maulidi maidha mazur yanatolewa qruani tukufu itasomwa na wanaume wanakaa peke yao na wanawake pekee
Wakichangamyika ndo vibaya.
Shekh twakupenda kwajili ya ALLAH
Waislam wote nawapenda kwajili ya ALLAH bila kubagua dhehebu
Ule mlango unaoanza kwa kusema. واول من أمن من الرجال ابو بكر صاحب الغار والصديقية
Kwakweli naona sheikh wanimalizia banlde langu bila tija, ,
Kwahiyo sheikh ww pia alkua wasoma moulid sio kisha ukanunuliwa ukaacha kusoma moulid
Ni baada ya kujua ukweli akaacha
Jana nimesikia kisa cha Miraj shekhe flani asema mtume alipofika mbinguni alimuona Allah kama vile mimi na wewe na pia mtume alifika ilipo arsh ya Allah akiwa na viatu na hakuambiwa avue viatu kuonyesha utukufu wake kwa Allah. Watuwa bid
Wewe achaa uongooo. Hujawahii kumuoonaa sheekh Samir Wa Tanga akiwakemeaa mashiaa
Kumbe na wewe ulikuwa unasoma Maulidi.....
Jua kuwa hiyo aina yasiyo na NIDHAMU hata hakuna anae yakubali.....
Ustadh, soma na usome saana ustadh.
Wewe uliesoma mbona huongei??😂😂😂
Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi
maneno haya umeyatumia ktk video nyingi unaonekana upo kishabiki zaidi.
@@jumamahmoud9271 kweli kabisa
@@alamoodyfauzi9658 nas alu allah yahdiika
Safi sanaa
wee si ahlul sunnah jitathmini upya
It's munakasha nawewe tuoneelimu yako
Washanga wanyama Shanga lile jiwe likimsalimia mtume kabla hajakua mtume
Mwenyewe hapo upo kwenye Bida'a hiyo maiki Mtume hakutumia
Mtume alitabiri technology 😂😂. Acha kumzungizia uongo
Nyie leo mahabi inaacha kuzungumzia zinaa imekithir mitaani mnazungumzia maulid
Hata maulid ni haramu
Tumia ilimu yako vizuri, ilimu nayo ni rizki. Chunga manena yako Bafana. Yasije yakakuangamiza kaka.....
Kwa kweli sio umuhimu wa kuoneshana ubabee wa kukosowana kwa mambo yasiyo muhimu wakati tunawacha mambo yalo muhimu, kama huyu sasa Bwane Bafana na wengineo kwanini hawatumi muda wao kwa mambo muhimu ya jamii?
Leta na wewe elimu yako 😅😂
@@omadal1elimu muimu niipi iyo tuambie
Wewe mtoa mada hio kuwa ghera waislam wenzetu wanakufa kutokana na uzembe wenu kuwafarakanisha waislam kwenye kukumbatia ikhtilaaf badala ya kuhamasisha kwenye ufanano ili waislam tuwe wamoja