BARZANJI MAULIDINI Sheikh Said Bafana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • MAGHRIB DARSA AT MASJIDPUMWANI RIYADHA

Komentáře • 353

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u Před 2 měsíci +2

    Nilichogundua masheikh wakianswar au ahlu Sunna waljamaaa.....wanajielewa na wanajuwa wanachofanya Masha.ALLAHOOO....bafana

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Před 10 měsíci +19

    Sheikh wangu said Bafana nakupenda kwa ajili ya ALLAH

  • @GoodluckPaul-wf9gn
    @GoodluckPaul-wf9gn Před 10 dny

    Alhamdulillah. Mwenyezi MUNGU azidi kukujaalia kheri InshaAllah . Umetoa darsa kubwa sana.

  • @JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc
    @JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc Před 10 měsíci +12

    Umezungumza maneno matam sana Allah akuhifadhi

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u Před 2 měsíci

    Namshkuru ALLAHU.....nimezaliwa Baba angu ni answari. Ahlu Sunna waljamaaa

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Před 10 měsíci +10

    Maashaa Allaah Shekh kwenye hii dkk ya 6 umeongea kitu muhimu sana kwa watu ili wakijuwe, kwani huu ndio ukweli unao waweka wazi hawa wazushi na kuthibitisha kua lengo lao kwenye hii Dini ni uchafuzi nasio kufwata kile kilicho thibiti

    • @user-xn3kz4mc4v
      @user-xn3kz4mc4v Před 10 měsíci

      Nenda kasome acha kupelekeshwa 😅😅😅😅😅😅

  • @JumaMwangolo-b2k
    @JumaMwangolo-b2k Před 13 dny

    mashallah shukran sheikh wangu

  • @user-gp1rj2hp2u
    @user-gp1rj2hp2u Před 2 měsíci

    God bless you ustadh Masha.ALLAHOOO

  • @AbdullyHamid
    @AbdullyHamid Před 10 měsíci +5

    Mashallah habib mwenye kuskia n mweny mazingatio atazingatia allah ata tuongoza kwa ujumla inshallah

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 10 měsíci +6

    Umenena vzr shekh bafana...mtoto wa bachu yuko sawa

  • @sir-lymwethebest1028
    @sir-lymwethebest1028 Před 10 měsíci +11

    Shukran sheikh said bafafa ALLAH AKUHIFADHI

  • @AbdallahsalehjafferElchunu
    @AbdallahsalehjafferElchunu Před 10 měsíci +9

    Sheikh bafana may ALLAH protect you from jinn and bad mankind

  • @user-wd7vl2df8u
    @user-wd7vl2df8u Před 10 měsíci +7

    Maashaallah shekhe Allah akuhifadh

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Před 10 měsíci +1

    ManshAllah cheikh wangu mwishi wa Dunia njia tuaona maulid yanavunja rekodi zamani maulid yanakua ni balaa tupu

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura Před 9 měsíci +2

    Ma Shaa Allah
    Darsa lenye manufaa

  • @user-wy8zq9fj9b
    @user-wy8zq9fj9b Před 10 měsíci +20

    Marshallah nimefatilia mbaka mwisho Alhamdhulillah nitashikana na Sunnah

  • @MwaleniAmri
    @MwaleniAmri Před 7 dny

    Allah akulipe kutupa elim

  • @HarunIsmail-bi8lk
    @HarunIsmail-bi8lk Před 5 měsíci

    بارك الله فيك

  • @user-md5rj6oo8l
    @user-md5rj6oo8l Před 10 měsíci +3

    Sheikh wallah hawa watu wanajua ukweli lakini wanashindwa kutetea hakika ni vibur tu allahu mustaan allah awaongowe na awaonshe njia ya haki

  • @farakhanmohamed
    @farakhanmohamed Před 10 měsíci +3

    Swadakta ya sheikh bafana

  • @oruko4773
    @oruko4773 Před měsícem

    Alhamdulillah

  • @hasanulbaswari6804
    @hasanulbaswari6804 Před 10 měsíci +3

    الله يعطيك العافية والسلام في ٱمور حياتك يا شيخنا الفاضل❤️

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 Před 10 měsíci +1

    Inna lillah wainnaa ilaihi Raajiuun.Hawa...
    Tuweni wakweli mashekh zetu...
    Kuweni na Inswaaf...
    Shekh Bachu aliinuka akaawacha Mjadala we unasema kijana kashindwa kwenda Mbele jamani tusiwe warongo...
    Bachu angejibu ili yule Saidi aende mbele...

    • @nassleydady5783
      @nassleydady5783 Před 10 měsíci +1

      Said alijibiw ila yy alitak ajibiw anavotak yy mana kambiw jibulake halipo kweny vitab ila km angeuliza vzur angejibiw kwa akil ya mt ndio mana aliambiw mfano kazaliw leo ng'ombe anavichwa 7 alaf ww umulize shekhe nn hukmu ya huyu mnyama mwenye vichwa7 kupitia vitabu apo shekh atajib halipo kweny vitab. Ss yy alitak aseme cjui ss ndio nn km lipo ww c litaj ndio mana kagandia pale

  • @mwanakomboabdala-bt4po
    @mwanakomboabdala-bt4po Před 10 měsíci +5

    Naaam

  • @user-ir5ec5jn3w
    @user-ir5ec5jn3w Před 10 měsíci +1

    Na baada ya ule mjadada WATU wa Maulidi wakawa wanasherehekea kwa istzahi hili kumfanyia vitimbi Bachu
    May Allah guide us all

  • @yusufadanmoha311
    @yusufadanmoha311 Před 10 měsíci +3

    Asante Sheikh wetu

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 10 měsíci +3

    Maulidi sasa hivi yamekua disko dancer,........

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official Před 10 měsíci +12

    shaikh bafana Allah protect you ❤❤

  • @arafatshaban9217
    @arafatshaban9217 Před 7 měsíci

    Thank you good massage may Allah reward

  • @user-ou1dh2sb2t
    @user-ou1dh2sb2t Před 10 měsíci +1

    Nyiye ahlu Sunnah

  • @costerhoshan6755
    @costerhoshan6755 Před 10 měsíci +8

    Nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @shaibuyahayaupette4351
    @shaibuyahayaupette4351 Před 7 měsíci

    Mashaalah ,sheikh Allah akulinde

  • @Semayoteyote
    @Semayoteyote Před 10 měsíci +4

    JazakaAllah Sheikh said Allah akuhifadhi..... naomba unifanyie dua??

  • @barjah1184
    @barjah1184 Před 10 měsíci

    Watu wa maulid musiwashangae wakihalalisha kaumu lut. Hawa na mayahudi hawana tofauti Chinja wao woooote

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p Před 8 měsíci

    Shukran sana sheikh tumelewa sana bidah ni mbaya sana

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 Před 6 měsíci

    Masha Allah sheikh wangu asante sn

  • @user-fc4vl8zi4r
    @user-fc4vl8zi4r Před 6 měsíci

    Mashaallah mashaallah shekhe wangu Allah akuhifadhi

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 Před 10 měsíci +3

    JAZAAKA LLAAHU KHEIR SHEKH,ALLAH AKUBAARIK SHEKH NA UMRI WENYE KHERI

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Před 10 měsíci +4

    Sema watu bid'aa wakiambiwa ukweli huwa wanaumwa sana......wengine wakishajua ukweli wanaona kukubali haki ni hali ya kushindwa

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Před 10 měsíci +3

    MASHA ALLAH
    NGOJA HAKI IBAINISHWE ALLAH AKUJAZE KHERI SHEKHE WETU

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 6 měsíci

    Sheikh hebu kemea ulevi ,riba ,zinaa ,dhulma,uongo ,itakua vizuri

  • @SharifuHamisi-yw1dx
    @SharifuHamisi-yw1dx Před 9 měsíci +1

    Hamjui mtume huuyuu ufahamu nao nirizki tumswalieni mtumeee sanaa

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 10 měsíci +3

    Mashallah
    mashekh zetu
    Bidaaa hii itaondoka tu kama ilivyoondoka 40 katk umisiba.
    Leo hakuna 40 na khitma ! hii n kaz za Ahlu sunnah kaz zenu zina manufaaa

    • @user-xn3kz4mc4v
      @user-xn3kz4mc4v Před 10 měsíci

      Khitma ipo na zitaendelea kuwepo tatizo hamJa soma Niwatu wakukaririshwa njoo tanga 33:54

    • @ruzatuntajadin1274
      @ruzatuntajadin1274 Před 10 měsíci

      Je saa za mazishi huletwa ustada atoe darsa nusu watu chini wengine mbali kilio watu walizana hakuna asikiaye jee waqti wa mitume na maswahaba ilikuweko?
      Lakini kukisomwa Qur'ani kuka khitimishwa na kisha ma tawasul na kumswalia Mtume watu wote watikia kwa umoja mpaka alofiliwa hupunguza kuliya nae atikiya kimyaa watu

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 10 měsíci +4

    مشاالله

  • @user-pg3ez4uo1z
    @user-pg3ez4uo1z Před 5 měsíci

    Shekh Allah akuifadhi na akujaliie mwisho mwema inshaallah

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 10 měsíci +4

    shekh waongea swahihi kabsa

  • @fadhilizomboko459
    @fadhilizomboko459 Před 10 měsíci +2

    Mash'allah

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jq Před 10 měsíci

    Wewe shekhe kusema msikiti mbele yangu simakosa kwa ilmu mantiqia
    Nafkiri hujasoma mantiq
    Munatushangaza kweli mukoshasoma kiarabu mushakua maustadh

  • @AbdallahKabury-ig7kk
    @AbdallahKabury-ig7kk Před 10 měsíci +4

    Swahihi

  • @mohdhilaly7900
    @mohdhilaly7900 Před 10 měsíci +1

    Ustath said amewanyoosha hawa mawahabi imewauma sana

  • @MwaleniAmri
    @MwaleniAmri Před 7 dny

    Sheghe mm nipo Tanzania je unapokea vijana

  • @HusnaTanga
    @HusnaTanga Před 10 měsíci +2

    Ewe allah nifanye niwe mwenye kufata haki na kuicha batwr

  • @rahmaMohamed-op9mk
    @rahmaMohamed-op9mk Před 10 měsíci +1

    Mashallah,ukovizuri,mnajitambua

  • @OmarAbdulrahman-uk2fh
    @OmarAbdulrahman-uk2fh Před 7 měsíci +1

    Wewe saidi hujitambui kubwa zima hujielewi

    • @innocentmusa7660
      @innocentmusa7660 Před 4 měsíci

      Jadili hoja, wacha uburukenge haumjui mwenyezi Mungu na haki zake juu yako wewe na wala haki zake Mtume (s.a.w) juu yako yeye huzijui Je elewe mwanzo!

  • @user-ou1dh2sb2t
    @user-ou1dh2sb2t Před 10 měsíci

    Nyie sio ahlu sunnah

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 Před 6 měsíci

    Quran na Sunna ♥️♥️

  • @mohammedwedding6530
    @mohammedwedding6530 Před 10 měsíci +1

    Yaumu na Leila na kiyama ni siku tofauti.
    Yaumu ni mchana wa siku ya arafa kwa mujibu wa muandamo wa mwezi.
    Leila ni usiku usiojulikana 21,23,25,27
    Kiyama ni kisimamo na kadri yake anaijua Allah.

  • @abdulkhalfan8586
    @abdulkhalfan8586 Před 10 měsíci +2

    SHEIKH MSELEM ALIWAAMBIYA NYINYI MAWAHABI HAMUTAKI KUSOMA MWATAKA KUTUKANA WATU

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 10 měsíci +3

    sheikh upo sahihi masahaAllah

  • @saleherashid2262
    @saleherashid2262 Před 10 měsíci +1

    kashindwa Muhammad Bachu si angejibu halafu aone elimu ambayo ingetolewa halafu hao mnaowahukumu hamuwakuti hata robo na ni Mashekh ambao washatangulia mbele za haki mkiwasema watajirekebisha lini

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu Před 10 měsíci +2

    Wewe jamaa unajioonaa unaweza kumteteaa bachu. Jamaa wametoaa nafasi uende wewe au uwaalike popootee watajuaa wakina ustdh saidii

  • @abubakarramadhan1716
    @abubakarramadhan1716 Před 10 měsíci +2

    Laaaaaailaaaaaaha illallaaahu dini imekosa watu waluiongelea kiudilifu ila lila mtu anataka kujulikana nakundi lake liipate kua juu mungu tusaidie

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Před 10 měsíci

      We fafanuwa km wanavofafanuwa wenzio usiseme kundi tu

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 Před 10 měsíci

      Kasema wewe ukiijua haki igaganie mpaka tone la mwisho

  • @uthmanmaalim2680
    @uthmanmaalim2680 Před 8 měsíci +1

    inategemeya umeelewa aje

  • @user-zr3pq4sg7j
    @user-zr3pq4sg7j Před 10 měsíci

    Wallah ikiwa upo kwa lengo la kujfunza utayaelewa haya maneno ila ukiwa ni mshabiki hutayafaham

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 Před 10 měsíci

      فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
      Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
      Hayo aibu ni yapi ama urongo ni upi???

    • @user-fc4vl8zi4r
      @user-fc4vl8zi4r Před 6 měsíci

      Nikweli kabisa mdogo wangu

  • @mohammedwedding6530
    @mohammedwedding6530 Před 10 měsíci +2

    Naam wamezungumza wanyama na anayefahamu jinsi walivyozungumza ni aloandika abyati tunamuamini kwa miaka yote iliyopita na inayokuja sio wewe unayetafsiri na ufahamu wako.

    • @earthmanhassan656
      @earthmanhassan656 Před 10 měsíci

      Sio kwa hasira wala kukejeliana alhabib, naomba hadith swaheeh shekhe langu. Nahofia nisiwe miongoni mwa watu watakomkadhibisha Mtume Wetu Swalla Allaahu Alayhi Wa Sallam
      ((من كذب علي متعمدا فليتبوأ مقعده من النار)) متفق عليه
      ((Atakayeniongopea makusudi basi ajitayarishie makazi yake motoni)) [Al-Bukhaariy Na Muslim]
      Ukiwa umeeneza mambo hayo na hali unajua kuwa si sahihi, basi tambua kuwa ushaingia katika walioelezwa ndani ya Hadiyth hiyo

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 Před 10 měsíci +5

    Shekhe....wasema hiyo Nuru imetoka mahali ya aibu, yaani Mtume alikuwa kwenye sehemu aibu, ama kweli fahamu zikiwa saqimu fikra huwa ndogo. Ama kweli Nuru ilienea kwa mazazi yake Bwana mtukufu mpaka Shaam lakini masikitiko Nuru hiyo haikuwafika mawahabi. Maskini wasikitisha

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 Před 10 měsíci +1

      وَأَنْتَ لَمَّا وُلِدْتَ أَشْرَقَتِ الأَرْضُ وَضَاءَتْ بِنُورِكَ الأُفُقُ فَنَحْنُ فِي الضِّيَاءِ وَفِي النُّورِ وَسُبُلُ الرَّشَادِ نَخْتَرِقُ ....

    • @babinhoelninho5416
      @babinhoelninho5416 Před 10 měsíci

      Kutokuelewa ni shida maaa maneno hayo ni kwa barzanji peke yake,Allah atuongoze

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 Před 10 měsíci

      @Babinho huyo Barzanji mwamjua lakini ama mwamsikia Bafana na Bachu wakimtaja na nyinyi mwamtaja tu?

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid2614 Před 9 měsíci

    Jamani mtume hakumsomea mke wake mama khadija quran alipokufa ! Wewe ni hatari sana hufai kuitwa shekhe , wewe shekhena naile dua inao waombea waliokufa ambao dua yenyewe ni quran inasema , Rambanaa ighfirlanaa wal ikhwaaninaa sabakunaa lil iman , hio ni dua nani quran

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 Před 10 měsíci +1

    Swali liko pale pale sema sijui

  • @khadijaahmed2331
    @khadijaahmed2331 Před 10 měsíci +3

    Jazakallah kher alf marra naomba tupate mtu atutengezee translated copies in kiswahili n English ya kile kitabu cha barzanji😊

  • @alamoodyfauzi9658
    @alamoodyfauzi9658 Před 10 měsíci +3

    Hata wasiokua waislamu wanamsifu kipenzi chetu mtume MUHAMMAD (SAW)vizuri zaidi ya baadhi ya waislamu, watu kama ;
    J. H. DENISON
    SIR THOMAS CARLYLE
    MICHAEL H HART
    PRINGLE KENNEDY
    LAMARTINE
    Prof. K. S. RAMAKRISHNA RAO
    SIR WILLIAM MUIR

  • @aminaali5139
    @aminaali5139 Před 10 měsíci +2

    Jua pia ni moja tu tena lina muanga na twafuata jua kuswali kwanini tusiswali ulimwengu mzima soteniii kibla ni hichohicho 😂😂😂 mwapotezwa na mitandao wazuka wakubwa zamani watu walikua na utulivu hakuna fitna za mitandao kasomeni jamaniiii hatari sanaa mtu hana ilmu ajifanya ana ilmu huyu ni fitna ulimwengu mzima

  • @user-de4yj3oc1g
    @user-de4yj3oc1g Před 10 měsíci +1

    Hata huyu nae kashatumwa na mayahudu kuja kuharibu dini subhanallah

  • @barzaqtradingcompany8541
    @barzaqtradingcompany8541 Před 10 měsíci

    Ushirikina ndani za kwasidah za almighrania suudaniyah
    كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني
    يا مزيل الغمِّ والكربى
    كلُّ هم أنت تفرجهُ
    إن وفا للعجم والعربي
    وإذا ما الخطبُ أمَّ لنا
    زحتهُ أيضاً كذا النكبى
    فاغث يا خير غوثٍ بدا
    واجل كربا عمَّ من حقبى
    وارحنا من عنا سيّدي
    من عنا الدنيا والأخرى يا بني
    واجعل الأوقات جمعاً صفا
    صحبةَ الأهل وصحباً حبى
    وباخرنا انل راحةً
    بزحامٍ لاعنا نصبى
    وانحنا من هولها سندى
    وإلى الجنّات سُق طلبى
    ومقاما بالجوار نل
    لك يا طه وذا مطلبى
    وصلاةُ اللَه تغشاك مع
    الك الصحب ومدا ما صبى
    هام فيكم وانشدَ المرغنى
    كرَّ صلّى اللَه عليك يا بني
    شرح ومعاني كلمات قصيدة كر صلى الله عليك يا بني
    قصيدة كر صلى الله عليك يا بني لـ محمد عثمان الميرغني وعدد أبياتها أحد عشر.
    عن محمد عثمان الميرغني

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 Před 10 měsíci +1

    س: تخصيص الأموات؟
    ج: إذا خصَّهم لا بأس، كان النبيُّ ﷺ كثيرًا ما يُضَحِّي بذبح الشاة عن خديجة، يتصدق بها عن خديجة، ويقسمها بين صواحبات خديجة بعد وفاتها رضي الله عنها.
    Hizo kwenye fatwa za Binbaz

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 Před 10 měsíci +1

    Mzee rudi ukasome

  • @abdallamohammed6069
    @abdallamohammed6069 Před 10 měsíci +1

    Mungu awaongoze mawahabi

    • @thabitisaidi6334
      @thabitisaidi6334 Před 10 měsíci

      Acha kukurpka ongea kwa hoja acha kuwaita watu wasunna mawahabi kwa sbabu wahabu niktika majina ya allaha acha kumkosea mula wako adabu

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 Před 10 měsíci

      ​@@thabitisaidi6334utakuwa mzee wa maulid 😂😂

    • @user-jk7sm1dl7p
      @user-jk7sm1dl7p Před 8 měsíci

      Amin amin amin
      Nimeitikia amin Kwasababu ulipo sena mungu awaongoze mawahabi
      Mungu najuwa ulikusudia Allah,
      Na mimi nawaombeya dua watu wa bidah
      Na Nyinyi watu wa bidah Allah
      Awaongoze muache bidah za maulid na zingine
      Mje kwanye suna

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 Před 10 měsíci

    Nyue ht mssem nin tushakushttukien mnalipw na mayahudi muuchafue uislam

  • @MtandaKibari-zm4bj
    @MtandaKibari-zm4bj Před 10 měsíci +1

    Saidi bafana naona hata kichefu chefu kukuangalia unaongea utumbo tu ndugu yangu

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga9134 Před 10 měsíci +1

    Dini ni ya Mungu umesema kweli na mwenye kujua nani kapatia na nani kakosea ni huyo mwenye DINI yaani Allah SW lakini kila sheikh ukimsikiliza utaona anajivutia upande wake anaoamini na wanao comment pia wameegemea upande wanaoshabikia kumbe sasa Allah ndie HAKIMU kwa aliepatia na aliekosea basi tumwachie Allah ahukumu sio sisi kuwa majaji ni makosa

    • @babiddi8620
      @babiddi8620 Před 10 měsíci

      Watu wana takiwa kuelimishana

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Před 10 měsíci +3

    Msaidie bas kujibu swali la bachu wacha kutuletea balbala zako

    • @diagfinamix1861
      @diagfinamix1861 Před 10 měsíci

      Bado hamja zi jibu hata zile za Tanga mnadai kujibiwa ka kwenu ka moja tu ,

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 Před 10 měsíci +2

    Wazushi wa maulidi wamefurunga dini

    • @akidahamad142
      @akidahamad142 Před 10 měsíci

      Na babu yako alikua mzushi maana alikua anafanya maulid au

    • @omarshaban4735
      @omarshaban4735 Před 10 měsíci

      @@akidahamad142 hata mm nilikua mtu wa maulidi lakini niliacha

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 Před 10 měsíci +1

    Jee shekhe....hizo aya za adhabu na za minyororo, ukizisoma zinayo thawabu kwa kila herufi....ama hizo aya hazina thawabu, maana kuna mushkil hapo....

  • @KhuluudHamouda2380
    @KhuluudHamouda2380 Před 10 měsíci

    Kapige magoti uisome Lugha ya kiarabu upate kuelewa mambo vzr.

  • @mohammedwedding6530
    @mohammedwedding6530 Před 10 měsíci +2

    Nuru ya mwenyezimungu imeenea alipozaliwa bwana na sio kama unavyotafsiri na unavyofahamu kwa uchafu wako na ndio maana upo kwenye kiza kwa ufahamu wako finyu.

  • @omarytobaomary7148
    @omarytobaomary7148 Před 10 měsíci +3

    Mashallah masheh wanaosema ukweli kama wwe ndio tunawaitaji

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y Před 10 měsíci

    Duuu.
    Kwa kupinga hayo maulid vitu vingi vizur vyapatikana katika maulidi maidha mazur yanatolewa qruani tukufu itasomwa na wanaume wanakaa peke yao na wanawake pekee
    Wakichangamyika ndo vibaya.
    Shekh twakupenda kwajili ya ALLAH
    Waislam wote nawapenda kwajili ya ALLAH bila kubagua dhehebu

  • @imamhussein2370
    @imamhussein2370 Před 10 měsíci

    Ule mlango unaoanza kwa kusema. واول من أمن من الرجال ابو بكر صاحب الغار والصديقية

  • @user-zt1ov5qy5z
    @user-zt1ov5qy5z Před 9 měsíci

    Kwakweli naona sheikh wanimalizia banlde langu bila tija, ,

  • @saadmbarak1903
    @saadmbarak1903 Před 10 měsíci +1

    Kwahiyo sheikh ww pia alkua wasoma moulid sio kisha ukanunuliwa ukaacha kusoma moulid

  • @murkemadmar3840
    @murkemadmar3840 Před 6 měsíci

    Jana nimesikia kisa cha Miraj shekhe flani asema mtume alipofika mbinguni alimuona Allah kama vile mimi na wewe na pia mtume alifika ilipo arsh ya Allah akiwa na viatu na hakuambiwa avue viatu kuonyesha utukufu wake kwa Allah. Watuwa bid

  • @SeifRupatu
    @SeifRupatu Před 10 měsíci

    Wewe achaa uongooo. Hujawahii kumuoonaa sheekh Samir Wa Tanga akiwakemeaa mashiaa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Před 10 měsíci

    Kumbe na wewe ulikuwa unasoma Maulidi.....
    Jua kuwa hiyo aina yasiyo na NIDHAMU hata hakuna anae yakubali.....

  • @issayunus2395
    @issayunus2395 Před 10 měsíci

    Ustadh, soma na usome saana ustadh.

  • @alamoodyfauzi9658
    @alamoodyfauzi9658 Před 10 měsíci +7

    Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi

  • @hamisishabani4333
    @hamisishabani4333 Před 10 měsíci +3

    It's munakasha nawewe tuoneelimu yako

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Před 10 měsíci

    Washanga wanyama Shanga lile jiwe likimsalimia mtume kabla hajakua mtume

  • @saleherashid2262
    @saleherashid2262 Před 10 měsíci +2

    Mwenyewe hapo upo kwenye Bida'a hiyo maiki Mtume hakutumia

  • @casmiliyndunguru6110
    @casmiliyndunguru6110 Před 10 měsíci +1

    Nyie leo mahabi inaacha kuzungumzia zinaa imekithir mitaani mnazungumzia maulid

  • @salimjawas8123
    @salimjawas8123 Před 10 měsíci

    Tumia ilimu yako vizuri, ilimu nayo ni rizki. Chunga manena yako Bafana. Yasije yakakuangamiza kaka.....

    • @omadal1
      @omadal1 Před 10 měsíci

      Kwa kweli sio umuhimu wa kuoneshana ubabee wa kukosowana kwa mambo yasiyo muhimu wakati tunawacha mambo yalo muhimu, kama huyu sasa Bwane Bafana na wengineo kwanini hawatumi muda wao kwa mambo muhimu ya jamii?

    • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
      @yahyamajidyahyahilalal-har8762 Před 10 měsíci

      Leta na wewe elimu yako 😅😂

    • @rashidbanza7840
      @rashidbanza7840 Před 3 měsíci

      ​@@omadal1elimu muimu niipi iyo tuambie

  • @sikandarsuleimanTV
    @sikandarsuleimanTV Před 10 měsíci

    Wewe mtoa mada hio kuwa ghera waislam wenzetu wanakufa kutokana na uzembe wenu kuwafarakanisha waislam kwenye kukumbatia ikhtilaaf badala ya kuhamasisha kwenye ufanano ili waislam tuwe wamoja