Mume wangu nilipozaa mimba yangu ya nne, alikuja hospitali na alipoarifiwa nimezaa mtoto wa kike, basi alirudi nyumbani akaniwacha hospitali. Nikapata usaidizi wa kurudi kwangu. ALHAMDULILLAH. Pia ndoa haikukaa mana niliza mimba 5 wote wasichana miongoni mwao twins. ALLAH KAREEM
Napenda Sana mauwaiza ya huyu shekh mwenyezi mungu akuhifadhi
Subhanahllah ,Allah atufanyie mambo mepesi pia atuepushe na adhabu ya kabri
Jazak Allahu khayran
mashaa Allah sheikh wetu
MashaAllah
جزاك الله خيرا
Masha Allah
Maasha'allah shukran sana sheikh kwa mawaidha mazuri
Ma shaa Allah
Manshala barakala
Mume wangu nilipozaa mimba yangu ya nne, alikuja hospitali na alipoarifiwa nimezaa mtoto wa kike, basi alirudi nyumbani akaniwacha hospitali. Nikapata usaidizi wa kurudi kwangu. ALHAMDULILLAH. Pia ndoa haikukaa mana niliza mimba 5 wote wasichana miongoni mwao twins. ALLAH KAREEM
Huna jipya
Hana jipya kakufanyia nn baya
Masha Allah