Majibu Ya Maswali Kuhusiana Na Vitendo Vya Bid'ah Sh Said Bafana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 01. 2020
  • Please subscribe.

Komentáře • 44

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy9388 Před 8 měsíci +2

    ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 Před rokem +3

    Allah atuzidishie Elimu tuzid kubainikiwa ili tusifanye bida'a
    Na hawa Masheh zetu Allah awape umri mrefu wazid kuzungumza Hakki

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 Před 3 lety +1

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️

  • @abdulrahmantalib5637
    @abdulrahmantalib5637 Před 2 lety +1

    Maa shaaa Allah.
    Allah akuzidishie ufasaha wa kuongea Sheikh.
    Allah atubainishie haq tuweze kuifuata na atubainishie batil tuweze kuiacha

  • @saidahmed2081
    @saidahmed2081 Před 4 lety +6

    "وقل جاء الحق وزهق الباطل ان الباطل كان زهوقا"
    MaashaAllah yaa Sheick
    Namuomba Allah akuzidishie nguvu upate kuielimishe Umma zaidi

  • @user-zg3ns6rz6o
    @user-zg3ns6rz6o Před 10 měsíci

    Allah atuepushe na bidagha na atustir

  • @cholochiidi5927
    @cholochiidi5927 Před 3 lety

    Jazakallahulkheyr Ya Sheikh Allahu Bareek

  • @abuuuruwatally3902
    @abuuuruwatally3902 Před 4 lety +1

    Masha Allah , baarak llah fiyk..

  • @as-habul-himma
    @as-habul-himma Před rokem

    MashaAllah sheikh...Allah yahfadhuk

  • @ABAELECRTONICSAR-ok5xf
    @ABAELECRTONICSAR-ok5xf Před 2 měsíci

    sheihk issa bin maryam hakuacha dini ya kikristo hapo umechemsha

  • @nassorochura7838
    @nassorochura7838 Před rokem

    mashaallah ilimu muhimu

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 Před rokem +2

    Sheikh kwanza ningependa kukushkuru kwa mafunzo yako uliyotupa ela niko naswali ningependa nikuulize ili unifahamishe nami vzr kwakifungu cha hiki cha wazazi wa Mtume kuingia Motoni,Swali langu ni hili kwakosa gani wazazi wa Mtume kuingizwa motonii na hali yakua kuna Aya katika Suratul Israi inayosema Wamakunna Muadhibina hata nab atha rasula na nnavyofahamu mm Mtumi alipopewa Utumi wazazi wake walikua washakufa Sheikh vipi hapoo Shukran

  • @mikidadhussein8350
    @mikidadhussein8350 Před rokem

    Subhaanallah ALLAH atusamehe makosa yetu

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Před rokem

    Bahthi ilio nyooka maashallah

  • @Uthman_Muhammad
    @Uthman_Muhammad Před 2 lety

    Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu.
    Ma shaa Allah.

  • @jaykay8983
    @jaykay8983 Před 4 lety +3

    Masha Allah tabaraka Allah, wazi kabisa, kwa hakika ukweli ukija uwongo hukimbia

  • @yahyaahamad2434
    @yahyaahamad2434 Před 3 lety

    masha Allah

  • @sharifukaila8313
    @sharifukaila8313 Před 2 lety

    Uko sawa shekhe

  • @wardaismail654
    @wardaismail654 Před 3 lety

    Waambie

  • @as-habul-himma
    @as-habul-himma Před rokem

    MashaAllah tunepata part 2 inshaAllah

  • @abdirahimsiko6795
    @abdirahimsiko6795 Před 3 lety

    Assalamu aleikum Part two please

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 Před rokem

    Then tena Sheikh kwenye sura Dhuha Allah vilevile amwambia Mtumi wala saufa yuutwika Rabuka fatardhwaa kweli Mtumi Moyo wa Mtumi utakua na waswaa iwapo wazazi wake watakua Motonii

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid2614 Před 8 měsíci +1

    Msema pweke hatolewi makosa wapoteze waislam utasimamishwa mbele ya hukmu siku moja , unasema haifai kutoa dhikri kwa pamoja wakati mtume asema inna Allaha malaikatan sayyaratun fudhlaa yabtaghuna majaalisa dhikri faidha wajuu kaaduu maahum wahafa baadhuhum baadha biajnihatim , mungu asema Yadu Allaha maaljamaa ,wewe unataka kutenganisha mpaka watu wasishirikiane katika mungu
    Yaani mawahabi sera zao ni kutenganisha kutetesha mpaka ibada pia watu wawe mbali mbali

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 Před 10 měsíci +1

    Mungu akuongoze sheikh maana naona wapotea sasa

  • @abdallahhalifa5860
    @abdallahhalifa5860 Před rokem

    Kwa kumalizia swali langu sheikh vilevile ni kwa Qur an tukufu pale Mola aliposema tumbo liombemba Mtumi kuanzia la mwanzo hadi la mwisho lakuzaliwa Bwana Mtumi ni Twahara vipi liwe litaingizwa Motonii naomba Sheikh kufamishwa

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 Před 2 lety

    Inaingia akilini kabisa Bila SHAKA. Ila sijui Hawa watu wa bid aa wapo vipi wallah.

  • @MrAmissi
    @MrAmissi Před 3 lety +1

    Assalam alaykum wa rahmatullah wa barakatuh mnaweza kunipa sehemu ya pili. Shukran

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid2614 Před 8 měsíci +1

    Muhamad ibnu wahab na ibnu taimia asema mashia na watu wa bidaa ni waovu kuliko mayahudi na manaswara jee sheikh ni sawa kuamini hivo?

    • @RamadhaniMussa-xs5uk
      @RamadhaniMussa-xs5uk Před 7 měsíci

      Mtu wa bidaa anazua jambo halafu anasema hii ni ibada Tena ibada kubwa itakua amemzulia uongo mtume

  • @khalfanikishki3609
    @khalfanikishki3609 Před 4 lety +1

    Watajua wenyewe na Bid'aah zao

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem

    Aaaah kumbeee jina la Wahabi walilitowa huko! kumbe sio mbaya! Basi wanajiona wame tutusi kumbe wala wala

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 Před rokem

    Wahabi ni wale wanaofuata mafunzo ya Sheikh Muhammad ibn Abdulwahhab. Lakini Sheikh kuna mambo mawili yananitatiza.
    1. mbona waislamu timepuuza dua za jamaa?
    2. Mbona Masheikh wamepuuza kutamka Bismillahi Rahmani Raheem?

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 Před 10 měsíci +1

    We sheikh utasemaje kwamba wazazi wa mtume wako motoni!
    قال تعالى
    وما كنا معذبين حتى نبعث رسولا
    وقال تعالى
    لتنذر قوما ما أنذر ءاباءهم فهم غىٰفلون
    وقال تعالى ولسوف يعطيك ربك فترضى
    Allah ashasema kwamba hawezi kuwa yeye ni mwenye kuadhibu mpka atumilize mtume.
    Kisha yeye allah akasema kwamba mtume alitumilizwa kwa qaum ambayo hawajamhofishwa baba zao ndo wakaghafilika kwa maana hawajatumiliziwa mtume kabsaa.kisha allah ashamwambia mtume kwamba atampa mpaka aridhie.sasa allah akimtilia wazazi wake motoni ataridhia kweli.
    Hadithi ya kusema kwamba mtume alimwomba allah azuru kaburi la mamake akakubaliwa kuzuru tu ila akakatazwa kuomba msamaha hadithi hii ina mushkil.Aloipokea alikuwa i mtu (thiqah)yaani ambaye hupokea makosa makosa.
    Na pia ingekuwa ni kweli ankatazwa kumwombea mamake msamaha maanake labda mamake hakuwa ana madhambi maana alikua ni miongoni mwa ahlul-fatrah.Watu ambao hawajapata kabsaa mafundisho ya uislamu.
    Hadithi ya pili aloisema ambayo iko katika swahih muslim ati mtume alposema babake na babake yule swahaba wako motoni ni kwamba alokusudiwa hapa ni abuu lahab maana neno ABII kiarabu maanake si baba tu bali hata amii,babu waeza kuitwa hivo.
    Kwa hiyo tuweni makini kwenye mazungumzo yetu ili tusije tukasema yasostahiki kwenye dini ikawa ni balaa kwetu sisi wenyewe.
    قال تعالى
    إن ٱلّذين يؤذون ٱللّه ٱللّه ورسوله لعنهم ٱللّه في ٱلدّنيا وٱلئاخرة وأعظ لهم عذابا مهينا
    Allah asema
    Hakika wale watakao muudhi allah na mtume wake,allah amewalaani katika dunia na akhirah na amewaandalia wao adhabu kali.
    Sasa kuwahukumiwa wazazi wa mtume moto ni kuwaudhi allah na mtume wake ama sivo?Bila shaka ni kuwaudhi maudhi makubwa sana.

    • @abdirahman_hasn
      @abdirahman_hasn Před 9 měsíci +1

      Kulikuwa na mitume kabla ya mtume Muhammad (saw) wazazi wake walikuwa wanatakiwa kufuata mitume hao

    • @HabibaMussa-mf3ny
      @HabibaMussa-mf3ny Před 8 měsíci +1

      Asalaam alykum.allah akuongoze na akupe maisha malefu.yenye mafanikio

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Před 8 měsíci +1

      @@abdirahman_hasn wajua kuna tafauti baina ya nabii na rasuul.
      Manabii ni wale walokuwa wakija wakati ambapo diin haijasahaulika na Marasuup ni wale walokuwa wakija time diin insahaulika wakija na scripture ya uislamu mpya kama kina Nabii Nuuh,Muusaa,Isa na Muhammad na wingineo.
      Sasa mtume yy alikuja time ambayo hakuna mtume kabsaa kwa zaidi ya miaka 570+.
      Sasa wakati wote huo ilkuwa dini ishapotea kabsaa sasa mtume ametumilizwa kuja kuifufua na ushahidi uko ndani ya quran pale allah alposema
      لتنذر قوما مّا أُنذر ءابآئُهم فهم غىٰفلون
      ili ukawaogopeshe wale ambao hawajaogopeshwa baba zao wakawa ni wenye kughafilika
      Hii ayah yatuonesha wazi kwamba wao hawakupata mtume wa kuwaonya wala hakuna hata watu wowote wasokuwa mitume ambao walkuwa wakiwaonya
      Na pia Allah ashasema kwenye quran kwamba hawezi kuadhibu mpaka atumilize mtume
      وما كنّا معذّبين حتّىٰ نبعث رسولا
      Hatukuwa sisi ni wenye kuadhibu mpaka tutumilize mtume na ayah nlotangulia kuitaja yaonesha kwamba hawakupata mtume
      Hii ni dalili tosha ya kuonesha kwamba wazazi wa mtume walkuwa ni ahlul fatrah na hawakupata wa kuwaonya na hwatokuwa na hisaab yaumul qiyaamah.
      Ikiwa hadith ametoa huyu sheikh kuonesha kwamba zaonesha kwamba ni dalili tosha ya kuwa wazazi wa mtume wako motoni basi twafaa tujue kwamba Quraan ina nguvu kuliko hadith
      Hadith kuna baadhi zimetungwa na kuna baadhi si za kweli ila Allah ajua zaidi
      Tumwombe Allah atuongoze sote
      Amiin.

    • @maawymuhammad6779
      @maawymuhammad6779 Před 8 měsíci

      @@HabibaMussa-mf3ny Amiin

  • @twalibsaid2614
    @twalibsaid2614 Před 8 měsíci +1

    Shida bi kwamba wewe wanazuoni ulotegemea sio hao pekee kuna na wanazuoni ambao wewe wafikra zako hukubaliani nawo wenzako wanakubaliana nao, mfano kusoma juzu mzima kila swala ya tarawehe kisha ramadhani ikiisha kuhitimisha juzu 30 mtume hakufanya nyinyi mnafanya fanya , imam kuswalisha huku ameshika spika na quran huku yuwaswalisha nyinyi mnafanya mtume hakufanya , mashindano ya musabaka ya quran na kulipa washindi pesa mtume hakufanya nyinyi mawahabi mnafanya , bidaa mzuri mtakazo nyinyi mnafanya lakini wakifanya wengine ni bidaa mbaya vipi nyinyi hamueleweki

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n Před 3 měsíci

      ndugu yangu yaan unaelekezwa maana hlo jna lkn bado unalirejea? tumuogope Allah

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 Před 9 měsíci

    فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
    Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
    Na hii hadithi Bafana ataidhoofisha vipi ama ataifahamisha vipi, ama hakuwa ameiona?
    Bafana huna heshima na Mtume Muhammad wewe. Waongea nini

  • @lidmaulito
    @lidmaulito Před rokem

    Huyu sheikh wakiwahabi akubali kuwa wafuasi wa ibn wahab ni wahabi
    m.czcams.com/users/shortsmTF8QWEBFwI

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Před 10 měsíci

      Hiyo clip ya sheikh ibnu baaz imekatwa tunataka ikiwa full plesae