Lengo kuu au dhamira yangu ni kuhakikisha kuwa, kila mmoja wetu anaelewa methali za kiswahili na kuwa chuma cha moto kwa lugha ya kiswahili.@danielaluora4083
Fimbo ya mnyonge hulipwa na Mungu. m.y. :Ubaya anaotendewa mtu mnyonge hulipizwa na Mungu. mat. :Mungu pekee ndiye mlinzi au ngao ya wanyonge. Methali hii huelezewa matajiri wadhalimu wapendao kuwaonea maskini.
nice one
Thanks
Good work!
thanks
Fimbo ya mnyonge
Fimbo ya mnyonge hulipwa na Mungu.
m.y. :Ubaya anaotendewa mtu mnyonge hulipizwa na Mungu.
mat. :Mungu pekee ndiye mlinzi au ngao ya wanyonge. Methali hii huelezewa matajiri wadhalimu wapendao kuwaonea maskini.