I have a very deep feeling this song was trying to talk about Rose Muhando,maybe the management wanted to send a message to Rose.But God of Rose is Soo faithful.nani anakumbaliana namimi
Ata jeshi ya ruto haifikii jeshi ya Oliva ata kidogo,ya ruto ni ya dunia na yake Oliva ni ya mbinguni,tumeambiwa tuachane na midomodomo,barikiwa sana mtumishi pamoja na jeshi lako
Umevaa Kama rose muhando kwa ile wimbo ya wambe hao... Kweli ukona kidomodomo.... Fwata upako wako, Tangu lini rose muhando anpanda juu ya bonnet ya gari... Majungu yatakupata wewe kidomodomo
Dada ubarikiwe kwa utumishi, ila nyimbo ni kumsifu MUNGU, andika nyimbo ambazo zinamwendea mzee wa siku( MUNGU) achana na mabango, mfano mmeitilafiana na jirani yako unaweza kuuweka wimbo huo? Si itaonekana unampasha? Tubadirike.
Mungu wangu mie katika dunia hii!!!,Ndg hebu fanya hili,FANYENIJITIHADA WEWE NA MENEJA PAMOJA ROSE MHANDO MKAE MEZA MOJA MUONGEE MMYAMALIZE,MSIMPE SHETANI NAFASI,MSIJEMKAPATA PIGO,TAZAMA SASA ,HAMTUNGI TENA NYIMBO ZA INJILI ,BADALA YAKE MNATUNGA ZAKUJIBIZANA!!!!!!!!!!!!!!!?? MNATUACHA WAPI SISI AMBAO TAYARI TULISHAINGIA KWENYE CHOMBO CHENU,MBONA MNATUTELEKEZA!!!!?FEDHA,DHAHABU,MAGARI,MAJUMBA,TUTAVIACHAAA .LAKINI NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.
Hamna hutofauti kabisa sijasikiya shaajabu hapo wala hauna maana hatakidogo kyi niatari mwenyewe hajavaa kama mchristo hovyo hii sinitaarabu tu chambo chahuyu ndungu kyi nishida ndoanasemekana kamzidi rose 🌹 hajahingiya hatanusu robo huyu ni hovyo sana
Umempa nn uyo manager wenu akakupa copy zote za rose, ama n alitoa jini la Rose akakupa ww kwakweli watanzania hamna kibali. Watanzani mmetufika kwa koo tuacheni ss wakenya
I have a very deep feeling this song was trying to talk about Rose Muhando,maybe the management wanted to send a message to Rose.But God of Rose is Soo faithful.nani anakumbaliana namimi
True
True
Yg
Achana na wivu na mtumishi wa mungu Oliva wema,yeye aingizani na mtu,istoshe beat yake Oliva na dancing yake si kama ya 🌹 rose,kweli ako na jeshi
Ata jeshi ya ruto haifikii jeshi ya Oliva ata kidogo,ya ruto ni ya dunia na yake Oliva ni ya mbinguni,tumeambiwa tuachane na midomodomo,barikiwa sana mtumishi pamoja na jeshi lako
Tanzania mko mbele sana na injili...Olivia mungu akubariki san pamoja na.rose muhando nyimbo zenyu zanibariki sana..kutoka Kenya
Rose Mary ata kindomodomo niya injiili bado
The truth. There is nothing that has changed. The spirit of Rose is still in the Rhythms. We are watching and listening.
Aahaa nimeamin hii kaz ya meneja kuuwa huduma ya rhose Mungu atawaharibu anaye mkubali rhose gonga like
Huyu ndo alichukua nyota ya rose
nikweli domodom chanini
shaitani ashindwe
Rose muhando is and will remain to be the best, copy cat
Rose atabaki kuw rose,
Kitu tunangoja ni kuona mungu aliyemuita rose akijidhihira kumpigania💪💪💪🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇🙇
Sure
Oliver wema zidi kupanda
😮
Umevaa Kama rose muhando kwa ile wimbo ya wambe hao... Kweli ukona kidomodomo.... Fwata upako wako, Tangu lini rose muhando anpanda juu ya bonnet ya gari... Majungu yatakupata wewe kidomodomo
Naupenda huu wimbo barikiwa oliva❤❤❤❤
Iwas with her in 2016 at tororo prison uganda 🇺🇬 live oliva only success
Hapa kuna nyimbo yaMungu kweli jamani unaimba mipasho ya tarabu ama ni nyimbo yaMungu jamani hapana Mungu hapa sijaipenda.....majungu, umbea....
Utamu wa yesu rhythm
Badilisha ....hiyo ni style ya rose......hapo umejiharibia.......from kenya
Jamani mungu baba wa yatima mfariji wawanyonge umkumbuke mtumishi wako rozi kwa wanayo mnenea yawarudie saba Mara sabini
Ww mbn unalaani sasa kwn ww nan umpe Mungu maelekezo?
Jamani kwa nini kuiga mtindo,sauti,kucheza na kila Ku act kama Rose Muhando...
.be original uwe wewe mwenyewe.
kila mti hutambulika kwa matunda yake nilicho kiona hapo wamemuongezea Rose heshima kubwa
Jesus haja kuinua umeiba kipaji Cha mama yetu Rose Rose ako juuuuuuuu.
Hakuna upako kwako,,,,,,tafuta chako kipaji usijivunie na cha mwenzako,,,,,,
Wimbo,,,mavazi nywele,,,,kudance na sauti sio vyako bure wewe kidomo
Kidomodomo
True
nina mtoto mmoja kwa raha zangu
sina mpango wa kuolewa
walokole wa siku za mwisho
kazi tunayo.
Hey ukweli kabisaa hiki kidomo Wacha 2nafaa kukitumiya kusifu mungu
Ata uige rozi humfikii mtachoka na huyo meneja wenyu cha Rozi ni cha Rozi mtasubiri sana
Mungu akuinue zaidi ya hapoo usifwate mtuuu anasema nin God be with u ukwel una wewe
the mesej ov da song iz; mdomo uliopewa ni kwa ajili ya kumsifu/ kumtukuza Mungu na si kwa ajili ya umbea, masengenyo na masimango""
Mwenyezi mungu awaumbue kutembelea nyota ya Rose muhando pumbavu
We need back our rose muhando.
Kwani àmewekwa na Oliver??
Mtu huchukia kile ambacho hawezi
Wimbo gani huu jamani mungu tusaidie dini zimeingiliwa oliva imba tu taarabu
Ilove this song so much 💓💓💓💓
Ubarikiwe San Oliva,,,The song is really blessing
majungu ya watu hayatanikwaza coz Mungu ameniinua na kunibariki; ameeen......?
Asante kwa huyo mtoto kijana ana kipawa cha kumchezea mungu
Dada ubarikiwe kwa utumishi, ila nyimbo ni kumsifu MUNGU, andika nyimbo ambazo zinamwendea mzee wa siku( MUNGU) achana na mabango, mfano mmeitilafiana na jirani yako unaweza kuuweka wimbo huo? Si itaonekana unampasha? Tubadirike.
That dance at 4:31 is so cute 😂❤
mnaacha kuimba nyimbo za injili mnaimba mipasho duuu
Kweli
Lucy Gk kweli kabisa mipasho tu
Hii imeweza sna❤
Mungu wangu mie katika dunia hii!!!,Ndg hebu fanya hili,FANYENIJITIHADA WEWE NA MENEJA PAMOJA ROSE MHANDO MKAE MEZA MOJA MUONGEE MMYAMALIZE,MSIMPE SHETANI NAFASI,MSIJEMKAPATA PIGO,TAZAMA SASA ,HAMTUNGI TENA NYIMBO ZA INJILI ,BADALA YAKE MNATUNGA ZAKUJIBIZANA!!!!!!!!!!!!!!!?? MNATUACHA WAPI SISI AMBAO TAYARI TULISHAINGIA KWENYE CHOMBO CHENU,MBONA MNATUTELEKEZA!!!!?FEDHA,DHAHABU,MAGARI,MAJUMBA,TUTAVIACHAAA .LAKINI NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.
Huna radha, sauti mbaya original rose tafuta staili zako na wewe bora uimbe bongo freva
oliver l love your songs and rose mohando l love your songs
Hamna hutofauti kabisa sijasikiya shaajabu hapo wala hauna maana hatakidogo kyi niatari mwenyewe hajavaa kama mchristo hovyo hii sinitaarabu tu chambo chahuyu ndungu kyi nishida ndoanasemekana kamzidi rose 🌹 hajahingiya hatanusu robo huyu ni hovyo sana
I love this song 🎉
dada kwakweli nimeipenda, unaimba paka na balikiwa
We still love Rose ✌
Put God first before everything else He take control
Umempa nn uyo manager wenu akakupa copy zote za rose, ama n alitoa jini la Rose akakupa ww kwakweli watanzania hamna kibali. Watanzani mmetufika kwa koo tuacheni ss wakenya
Nice and lovely, love you sweetheart love you so much, and keep up
Kweli oliva watu waache kidomodomo mungu akubariki sana Dada oliva wema
All I see is Rose. Dancing, movements and everything. She needs to be herself
I like the energy though i can't understand the words in Zimbabwe
Everything in this Video resembles Rose
True
Mbona unaimba Kama utamu WA yesu by rose
Hamna ujumbe hapa. Mungu akupiganie Rose Muhando. Hakuna mtu atakaye inyakua nyota yako. You're the best Rose Muhando
youll never be Muhando,try harder and steal even her identity,watch God work for her.
Sasa 👆 uo ni wimbo wa kumuimbia Mungu kweli
Ulipotelea wapi 😏😏😏mama alifufuka Mungu amemuinua kwa kiwango kingine. Anawika kuwika kabisa. Wewe na manager mlijificha wapi💃💃💃
Usihukumu usije hukumiwa songa mbele na huduma mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe mungu awaongoze nyote ktk huduma zenu
IMANA irakiza
Kama ni kweli huwezi fika mbali.
I like the song
Message ni gani sasa,,,,,,
Mhhh our Rose Muhando we want u back ooh
Rose muhando was the best, no one will be like her no matter what....what's the story behind this song...ASN the message sipati message
its tru there is somthing behind this song
Unang'ang'ana kuunganisha maneno.....wacha kucopy rose muhando be your self.
Unatoa injili kwa njia ya uimbaji au unamichambo tu hapo khaaa
sema mama wamezidi umbea ,kweli mngu akuongeze maisha
Surely have come to understand this parable that says like mum like daughter
Naskia utamu wa yesu by Rose mhando.utamu utamu utamu wa yesu e eee.alafu wasema hujamwiga haa
Asanti sana kwauuwimbo
I love it.
YEAP TELL THEM TO CALCULATE THE VALUE OF THEIR MOUTHS NICE ONE KEEP DELIVERING
Que Dieu vous bénisse Oliva.
Utamu wa yesu na Rose muhando.
That’s muhando’s voice
Dada wimbo mzur na ujumbe upo sema hauna reference ya biblia
Siyo hamna reference ya Biblia, hamna kitu hapo ni shetani mtupu! Hii nyimbo ametungiwa mtu maalumu wala haina mguso!
Hahahaha sijaona bado
Umegonga dipo ya kukomesha wambea
Great song ! hugs from the Netherlands !
young boy is dancing Good
Huwezi fikikia rose. 😂😂mohando juuu
Like mother like daughter
beautiful one keep it up girl
Congratulations to you dear may almighty God bless you abundantly
wooooow ......wat a song ...niceeee
💕💕💕💕oliva nice song
Ukweli huo wenye umbea mkome
kuna nyimbo za Injili ukianza kuisikilza uwepo wa Mungu unauona kabisa, Lakini zingine mmmmmmmmh!!!!!!!!!!!!!!!!
What a nice song you must be rose mhando's child
Mbona ukacopy rose muhando jameni jitafutie style yako tafathali
still trying to get the message in this song 😢😢 Rose Muhando welcome back to your industry and win souls to heaven ..
Why do you have a bad comment
Ameen 🙏
May God bless her
No one i mean no one.. Ata mshinda Rose... We love you Rose muhando. Ur the best.
Watching here in Iraq
Fuata nyayo wachana na wenye wanaongea...
Mwanzoni nilijua rosemuhando kumbe kopy ya kawAida tu
hivi hii nikwaya au taarabu huruma
Sawa ndo limeeimba nini hili nalo hovyoooo,yaani meneja ulijuwa unamkomesha Rose kwa hiki kituko loh aibu yako
I like this,
.......Ya bure kabisa
Husiwasikize wapinga christo ndo wenye kidomodomo ....mwimbie BWANA
Aty meneja anasema aty huyu ataxinda rose 😞😞😞😋rose namba moja
Wewe Dada achakumuiga rose kwanza hujui kuimba kama rose
Hakuna kitu wana onekana na meneg wake hakuna kitu
Hongera Sana oliva
Be blessed oliva
Great dancers
Necessito di semplici cose per raggiungere la felicità. Tra queste è essere proprietario di un terreno con degli alberi di olive frutti di olive
we usituletee... tafuta style za kudance sio kutumia za Rose alaah
Dada oliva mungu akuzidishie
Unaudhi...be original...unaiga utamu wa yesu...