FAIDA ZA KULA MWANI KIAFYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 05. 2023
  • Video hii imeelezea faida mbalimbali za kula mwani kiafya, Pia wani unaweza kutumia kama tiba asili ya matatizo mbalimbali ya kiafya.
    Mwani na faida zake.
    #mwani
    #baharini
    #kilimochamwani
    #zanzibar
    #zanzibarbeach
    #hascavela

Komentáře • 54

  • @TATULIEMBE

    Napenda hujaeleza unatumiwa kiasi Gani na kampuni ipi inayouza mwani uliosalama maana wengi wanauza mitaani tunaogopa kununua

  • @user-vo8dz4ek6f

    Maelezo ni mazuri, ila naomba kuuliza. Nitumie kiasi gani au punje ngapi kwa kikombe cha chai kwa kazi ya kugunguza sumu mwilini. Au naomba utaratibu wa zoezi hilo.

  • @fatmamahmoud5607

    Habari mm ni Fatma Leo nimepata unga wa mwani nautumia vp na familia yangu mm ninauzito mkubwa Sana na mtoto wangu hapendi kula na anamiaka mitano unanisaidiaje hapo

  • @EsteriaWilliam

    Kwa la stroke mwani utanisaidiaje maana viungo vina ganzi

  • @IsmailMsuya-b6w
    @IsmailMsuya-b6w Před 28 dny

    Mwani inatibu saratan ya tezi dumu

  • @RashidySulemani
    @RashidySulemani Před 12 hodinami

    Unatakiwa ule mwani kwa kiwango gani kwa kujitibu

  • @IsmailMsuya-b6w
    @IsmailMsuya-b6w Před 28 dny

    Natumia ya taiwani kijiko cha chai kwenye uji

  • @timehamad6161

    Naomba nijueh kuhuxu matumizi ya mwani km dawa

  • @sophiamwasha7445
    @sophiamwasha7445 Před 21 dnem

    Je mwani huwa unaharibika

  • @halimashebe6966

    Mimi nikiketewa mwani brown je unafaa kwa kula? Au vyanzo vyake vya habari nitavipata wapi ilikujua utumiaji wake? Pls

  • @FatumaMwajeki-yt6uv

    Shukrani kwa elimu nimenunua wa unga Kutoka pemba lakini matumizi ndio cjui unakunywa kwa muda gani

  • @Doris-oo3gc

    Asante kwa maelezo mazuri nitajuaje nina madin ya ayodin ili nisitumie mwan ninao wa unga

  • @ElishaMmari-t2r
    @ElishaMmari-t2r Před 14 dny

    Asante Kwa elimu ya mwani

  • @margaretmkangala7774

    Asante, vipi kuhusu mwani unaouzwa kwenye mikebe kama dawa?

  • @anitakidola3820

    Asante kwa kutujuza, mimi nimepata mwani ilohifadhiwa kwenye kopo ipo uji uji je hii matumizi yake yanakuaje? Asante

  • @khadijajabu2467

    Mwani upi mzuri zaidi kwa kila

  • @user-dz6wb3vd9c

    Mwani waweza kutibu uvimbe wa kwenye spinacode? Mnisaidie

  • @user-re3qe7tk2t

    Je Mwan unatibu Pressure

  • @DeboraWisdom-zx8ne

    Mimi Naomba kujua kuhusu kipimo cha kutumia kwa mwezi mgonjwa Wa Sukari pia nijulishe Kama Mwani unaweza kutubu Uric Acid?

  • @sophiamwasha7445

    Je naweza kutumia mwani mweupe kwa ajili ya kula