FAIDA ZA KULA MWANI KIAFYA
Vložit
- čas přidán 31. 05. 2023
- Video hii imeelezea faida mbalimbali za kula mwani kiafya, Pia wani unaweza kutumia kama tiba asili ya matatizo mbalimbali ya kiafya.
Mwani na faida zake.
#mwani
#baharini
#kilimochamwani
#zanzibar
#zanzibarbeach
#hascavela
Napenda hujaeleza unatumiwa kiasi Gani na kampuni ipi inayouza mwani uliosalama maana wengi wanauza mitaani tunaogopa kununua
Maelezo ni mazuri, ila naomba kuuliza. Nitumie kiasi gani au punje ngapi kwa kikombe cha chai kwa kazi ya kugunguza sumu mwilini. Au naomba utaratibu wa zoezi hilo.
Habari mm ni Fatma Leo nimepata unga wa mwani nautumia vp na familia yangu mm ninauzito mkubwa Sana na mtoto wangu hapendi kula na anamiaka mitano unanisaidiaje hapo
Kwa la stroke mwani utanisaidiaje maana viungo vina ganzi
Mwani inatibu saratan ya tezi dumu
Unatakiwa ule mwani kwa kiwango gani kwa kujitibu
Natumia ya taiwani kijiko cha chai kwenye uji
Naomba nijueh kuhuxu matumizi ya mwani km dawa
Je mwani huwa unaharibika
Mimi nikiketewa mwani brown je unafaa kwa kula? Au vyanzo vyake vya habari nitavipata wapi ilikujua utumiaji wake? Pls
Shukrani kwa elimu nimenunua wa unga Kutoka pemba lakini matumizi ndio cjui unakunywa kwa muda gani
Asante kwa maelezo mazuri nitajuaje nina madin ya ayodin ili nisitumie mwan ninao wa unga
Asante Kwa elimu ya mwani
Asante, vipi kuhusu mwani unaouzwa kwenye mikebe kama dawa?
Asante kwa kutujuza, mimi nimepata mwani ilohifadhiwa kwenye kopo ipo uji uji je hii matumizi yake yanakuaje? Asante
Mwani upi mzuri zaidi kwa kila
Mwani waweza kutibu uvimbe wa kwenye spinacode? Mnisaidie
Je Mwan unatibu Pressure
Mimi Naomba kujua kuhusu kipimo cha kutumia kwa mwezi mgonjwa Wa Sukari pia nijulishe Kama Mwani unaweza kutubu Uric Acid?
Je naweza kutumia mwani mweupe kwa ajili ya kula