#EXCLUSIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 139

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 Před 14 dny +11

    Nyimbo kali zipo nyingi katika album, ila nazikubali 1.nitasimama tena Ft Abiud
    2.Nishaachana nae Ft Phina
    3.Namuachia Mungu Ft Appy
    4.Naskia Harufu ft Chid Benz
    5.Nakuja Kwako ft One Six

  • @BingwaboyPepeleboy
    @BingwaboyPepeleboy Před 7 dny +2

    big artistes in rap

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 6 hodinami

    Roma yupo vizuri sana

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d Před 12 dny +1

    Roma ni Artist mwenye Akili kubwa mnoo! Binafsi Naamini ili kumwelewa vizur inahitaji Mtu uwe na uwezo mkubwa wa Akili na Fikra. Lakini ukiwa na Akili ya Kawaida ni ngumu sana kumuelewa.

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252

    🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤Msanii wa Rwanda aliyesemwa kufariki alikuwa anaitwa Ivan Bravan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤. Big up from Kigali. Ila kama Nasikia harufu vile😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @imranmohamed9527
    @imranmohamed9527 Před dnem

    Nakukubali sana ROMA

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 9 dny

    Unaakili sana nilikuwa sikufatilii leo nimeskiliza na nimakufaham .mungu akuzidishiye

  • @KelvinBushesha
    @KelvinBushesha Před 11 dny +1

    Tunategemea hizi ngoma zisikose Top10

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 13 dny +2

    All the time = wakati wote

  • @basilvenance1368
    @basilvenance1368 Před 6 dny +1

    Anajitambua sana, pia anatumia akili sana kufikisha ujumbe.

  • @KenedyKazana
    @KenedyKazana Před 4 dny

    Akika usipo kuwa makini uwezi kumuelewa mwamba mungu ni mpaji wavyote mungu awe nawe mpaka mwisho✝️

  • @silvanusmasawe
    @silvanusmasawe Před 9 dny

    Love you kaka ❤❤❤❤

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 Před 13 dny +2

    Roma ni rapa mzuri isipokuwa hajui biashara ya muziki

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum4416 Před 13 dny +1

    Mkivaaa kiatu cha roma amtembei mnasaau kwambaa akuna alokamilika so ata ukiwa nawatoto so wote wataona unatenda aki lkn mzeee wetu ulitishaa

  • @jaderkyser9389
    @jaderkyser9389 Před 14 dny +2

    11:28

  • @AndreaBalintanzeko-vd8yw
    @AndreaBalintanzeko-vd8yw Před 13 dny +1

    🎉🎉

  • @millardGaiga-vh9yh
    @millardGaiga-vh9yh Před 13 dny +2

    Oya wanangu Roma katisha "aliyemteka Roma ndo aliyeyavamia mawingu and vice versa "

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 14 dny +1

    tunakukubali sana hujawahi kosea kaka. Big up roma👏👏.

  • @user-tt1ze2dw4x
    @user-tt1ze2dw4x Před dnem

    Mweu anakujaga bondo nakurudi uyu broo ngoja siku nitakupost ukiwa apa bongo😂😂😂

  • @chrispinegervas1681
    @chrispinegervas1681 Před 14 dny +2

    Super

  • @imammwasanyamba9715
    @imammwasanyamba9715 Před 14 dny +1

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 12 dny +1

    Naona kama bando langu mmelimaliza tu mlichoandika hapo na Roma alichoongea vitu viwili tofauti

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ Před 14 dny +2

    dk 46

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Před 12 dny +1

    Tatizo la uyo mtangazaji ana sifa hatulii anatangaza kuonekana kama anajua wakati sifa ya mtangazaji inatakiwa kufanya kaz na sio kushindana

  • @HamisiWilson-kb2bj
    @HamisiWilson-kb2bj Před 12 dny

    Roma salute _$

  • @dreamz_d
    @dreamz_d Před 6 dny

    Bro 😎

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před 13 dny +1

    Nyinyi wapuuzi tu hakuna lolote

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Před 9 dny

    Roma mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josephbuddoh1577
    @josephbuddoh1577 Před 12 dny +1

    Natamani kusikiliza hio ves walioigomea kuirusha hewan

  • @eliahswai1607
    @eliahswai1607 Před 14 dny +1

    Big up to you bro since day one hujawahi kukosea

    • @princessplatnum4416
      @princessplatnum4416 Před 13 dny

      Kaka nikweli lkn maumivu aliyapata yeye akuna alokamilika ata mzee akukamilika boss lkn tulimpenda mzee wetu kwa hyo ukijalibu kuvaa kiatu chaloma usingewenza kutembea

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 Před 13 dny +1

    HI CHANNEL IMEKUWA YA KISENGE SASA

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m Před 10 dny

    Mm kilicho nishangaja uyo mtangazaj Ana nawa sanamikono bila maji

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA Před 13 dny +1

    Namshauri sikumoja aimbe kuhusu flusa anazoziina huko especially masuala mazima ya biashara zinazoweza kuzalisha tukauza huko america mamen aache kutia sumu miyo.ya vijana ..coz Dunia haiitaji mambo hayoo kivile we need to hear economic issues..thanks

    • @joshuanyaulingo4109
      @joshuanyaulingo4109 Před 13 dny

      an kwa huo ushaur wako nd umbadilishe,, akat alinusurika kupotezwa en he z still in his standing

  • @jeromejanson3003
    @jeromejanson3003 Před 11 dny

    Is name’s jay polly

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 10 dny

    Ngoma kama hizi zinatakiwa kuwa nafasi za kumi bora kilamara

  • @brudatv3539
    @brudatv3539 Před 11 dny

    Walioanza kukimbilia comment

  • @RamadhanHaruna
    @RamadhanHaruna Před 14 dny +8

    Roma mtanzania ivi kwanni kaka umehama bongo

  • @LukeloKibumo-uu2oh
    @LukeloKibumo-uu2oh Před 13 dny +1

    Kote umeongea vizuri ila kumgusa aliyevamia mawingu umefeli unaushahidigani

    • @juliusmix
      @juliusmix Před 12 dny

      Kuna wakati usipoelewa kitu ni heri unyamaze tu ili usionyeshe udhaifu wako. Unazungumzia ushahidi kwa mhusika mwenyewe? Mhusika kasema, wewe unasema hana ushahidi...,unataka alete ushahidi hapa ni polisi?

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 10 dny

    Wanao kutukana naisi wana upungufu wa ufam kwaiyo wasame tuu

  • @idrisandaka2198
    @idrisandaka2198 Před 9 dny

    Huyu ni mwamba na nusu

  • @DitrickKidagayo-cj1cj
    @DitrickKidagayo-cj1cj Před 14 dny +3

    Huyu muongeaji Bado Hana sifa ya kuwa mtangazaji kigugumizi kama ametoka kunywa pombe

  • @ORG960
    @ORG960 Před 10 dny

    Roma ameamza kuzeeka sikuizi

  • @MponelaJuma
    @MponelaJuma Před 14 dny +1

    we mtangazaji unapapara tulia wakati unauliza maswali

  • @MohamedBakari-lb5mk
    @MohamedBakari-lb5mk Před 14 dny +1

    Mwana harakati mmoja

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před 12 dny

    Huyu dogo anachokonoa hatari

  • @chrismwanjalika9892
    @chrismwanjalika9892 Před 11 dny

    Hivi bado Nyimbo mnaita mwimbo? dah! hatutafika.

    • @brain_ujazo
      @brain_ujazo Před 10 dny +1

      Wewe mwenyewe pia umekosea hakuna Neno NYIMBO kwenye Kiswahili . Ni WIMBO Tu Iwe Wingi Iwe Umoja.

  • @Black-sound24
    @Black-sound24 Před 14 dny +1

    Roma 💥

  • @OscarPilla-oy2rc
    @OscarPilla-oy2rc Před 13 dny +1

    Ww 🎉❤mwamba

  • @user-rk9sd4kc4d
    @user-rk9sd4kc4d Před 9 dny

    Mzuri ni mchamungutu, nyie pigeni keleletu, af mnasahau Akhera

  • @VitukoKiwanga
    @VitukoKiwanga Před 14 dny +1

    Mwana, halakati huyoo!!

    • @ThousandPhase
      @ThousandPhase Před 14 dny

      Roma anakitu so ni mkweli Mimi sjaona ubaya wake

  • @robartifabiani
    @robartifabiani Před 13 dny +1

    Tano nyingi mpaka sugu

  • @user-wy5zv2qw6t
    @user-wy5zv2qw6t Před 11 dny

    Ramadhan na ww unauliza nn ss

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 10 dny

    Mm binafs nakukubali ijapo umetukacha

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 12 dny

    Ila yupo kijijini sana😂😂😂😂

    • @kareem1182
      @kareem1182 Před dnem

      Ulayaa ata pakiwaa shambaa sawa na masaki

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 14 dny +19

    Big up east Africa, big up Sana mwanangu Roma ,npo nawewe tangu mathematics adi leo paka na panya, kwenye maua yangu,,endelea kutusema watu wako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😎😎😎😎😎😎(nimewa challenge ,nlikua natafuta coment50 Dil done)😂😂

    • @emmanuelchacha6718
      @emmanuelchacha6718 Před 14 dny +2

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @angelsblackboard8008
      @angelsblackboard8008 Před 14 dny +14

      Kwani serikali ikikosea inatakiwa watu wasiseme? Hivi Mikundumikundu kama wewe akili mnapelekaga wapi?

    • @NorascoKipeto
      @NorascoKipeto Před 14 dny +3

      hamna bayaaa, chupa limeamka na chai,

    • @hezronjoseph405
      @hezronjoseph405 Před 14 dny

      @@angelsblackboard8008 mdomo uliponza kichwa😎😎😎

    • @TIMOTHEOALFREDI-zf2te
      @TIMOTHEOALFREDI-zf2te Před 14 dny +1

      Ww nyiko kweli urafinywa nyuma serikali ni nani sio me na wewe acha ujinga

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Před 14 dny +1

    Mtanzania anaeipenda nchi yake. Mzalendo ndo huyo sasa.

  • @ThousandPhase
    @ThousandPhase Před 14 dny +1

    Eee bana ee Roma ni jembe na nimegundua kitu rap iliyotulia
    IPO Moro na mwanza

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c Před 14 dny +2

    Tatizo uyu jamaa kuimba anajua shida mpumbavu wa kupinga ata jitihada za kuvusha inch katika umasikin